Nimesikiliza somo hili baada ya mwezi sasa toka somo limetolewa lakini kwa Imani MUNGU Ametenda.....nmefunguliwa Ahsante MUNGU.
Namwombea rafiki yangu Mungu akampatie mbaraka wa watoto
Mungu akubariki nilipoteza tumaini lakini kupitia mahibiri hayo Mungu amenipa tumaini jipya l
Shalom nimebarikiwa sana kwa maombi haya.najua kuna mabadiliko kwa familia yetu.amina
Pastor hakika Mungu amekuleta Kwa wakati wake nabarikiwa sana kwa neno lako uchumi wangu umefunguliwa shauku yangu ni kujitegemea kiuçhumi yaani kujajili nikitengenezewa njama kazini lakini kupitia neno hili unalofundisha nimekula nikiliamini nakwambia pastor aliyetaka kunifukuza kazi yeye ndiye amepewa barua ya onyo ya kufukuzwa kazi namshkuru sana Mungu
Nimepona kwa jina la Yesu Amen
Kwa Mungu Kila jambo linawezekana naomba maombi ya kuombea familia yangu naomba nipate amani ya moyo na niwe mtu wa kusamehe.kuwaombea wazazi wangu na mkwe wangu wapate kumjua Mungu na kumtumainia.maombi ya biashara yangu ipate wateja zaidi .
Kweli Mungu ni mwema nime barikwa sana kwenye iki kipindi
Amina
Ahsante Yesu kwa uponyaji
Amina nazidi kubarkiwa na kufunguliwa na nafeel aman rohoni mwangu🙏🙏
Mungu akubariki pastor Kwa somo hili hakika mungu akuzidishiee hekima Na kibali kikumbwa
Ombea mdogo wangu anugua kisukari na ana kidonda kikubwa sana
🤲🙏,Naamini kupitia mahubiri haya wanangu watakombolewa ...
libarikiwe jina la yesu, nimependa mafundisho haya
Mungu niombeje kiusahihi
Namuombea mwanangu Arnold,Mungu jifunue Arnold akapokee Ajira ya kudumu kutoka kwako Bwana Yesu Kristo
Bwana Yesu asifiwe naomba mniombee kwa ajili ya familia yangu watoto wangu kazi za mikono yao afya zetu tumtegemee Mungu katika maisha yetu yakila siku
Amen🙏mungu akubariki sana pastor kwa mafunzo mema unatubariki nayo
Naomba uniombee duka langu likue,maanalimedumaa sana
Nimebarikwa sana nimeipona ugonwà wa mwili nanilishakata tamaa mana sikuwa naweza kuomba tena.natamani nipate Musa wakuongea nawe kama utapata kibali kwa mungu
Amen nimebarikiwa 🙏
Somo hili limenitianguvu nyingi katka maisha yangu Bwana akubariki . Aminaa
Mungu akubariki sana..
Nina muda sifuatilii haya mahubiri lakini leo nimesikia msukumo wa ajabu kusikiliza
Asante sana Bwana Yesu
Amina Amina
Mungu anikumbuke kila ninaloanzisha linakufa,
Ninaomba muimbee familia yetu upendo, mshikamano utawale ktk maisha yetu
Asante mungu nimebarikiwa🙏
Mungu anauwezo tumwamini najua ametenda
Amen pastor
Barikiwa sana
Mungu asifiwe
Namshukuru Mungu Leo nilikuwa nasikiliza mahubiri tonses zilikuwa zimenibana baada ya maombi Mungu ameniponya kweli Kuna nguvu za Mungu tuamini jaman
Pr David Mmbaga kwa neno la Mungu kupitia kinywa chako naomba Mungu aniinue ktk uchumi wangu pia afya njma
Shadrack... Naomba uponyaji wa macho ambayo yamenisumbua kwa miaka zaidi ya 10...na kufunguliwa toka katika nguvu za giza zinazonifuata na nguvu zinazoniletea mikwamo katika maisha yangu hasa ya uchumi
Pastor naomba familia yangu kiuchumi kimaisha naomba mungu atutoe kwa wakat huu mgumu
NAWAOMBEA wangu Mungu awapatie kazi za kudumu kuwainua kimaisha
Hakika Mungu akubariki sana...ni kila siku lazima nipitie video zako naona mabadiliko makubwa kuielewa biblia
Naomba UPONYAJI wa UCHUMI wangu,Mungu aguse hazina za wale aliowainua Kuni support kimitaji Ili wakatimize kama walivyoniahidi KATIKA JINA la Yesu Kristo, Amina
: naomb Mungu anirudishie mkewang
Mchungaji barikiwa sana nimeanz kufatilia mafunzo haya baada ya familia yetu kuondokewa na mpendwa wetu ambaye alkuw n nguzo katika familia yetu(BABA) na tukawa katika Sinto faham ya jinsi Gani tutaweza kwenda baada ya Yale yote.....Lkn nashuhudia ukuu huu wa mungu familia yetu inazd kufunguliwa zaid na zaid tofauti na watu walivyokuwa wadhani .... BARIKIWA SANA MCHUNGAJI 🙏🙏
Pr mtumishi wa Mungu aliye hai kwa neno lako naamini nimekuwa juu sana kiuchumi asante sana pr
NAMSHUKURU MUNGU KWA AMANI YAKE
Ubarikiwe
Amina..Magret naamini Mungu anaona mikwamo yangu...na akafugue familia yangu.🙏🏽
Mafundisho haya ni yangu kabisa... Ndoa yangu...Uchumi wangu ...madeni mengi kuliko mshahara...ukoo unanitegemea....Lakini nimepata Tumaini ktk kusikia fundisho hili.,. Naamini MUNGU nisaidie kutokuamini kwangu
Anaamini Mungu amenitendea
MUNGU AKUBARIKI BABA UMENIPA MAJIBU YA JARIBU NINQLOPITIA NIMARAYAKWANZA KUKUSIKILIZA
Mchungaji ombea familia yangu iweze kufunguliwa kutoka umaskini na kizazi chetu kiweze kuendelea
Umasikini Sio ugonjwa ukifanya kazi Kwa bidii utaukimbia umasikini na uamini katika kile unacho omba MUNGU
Amen..nimebarikiwa sana ..pr. Bwana akubariki
Pasta asante kwa fundisho hili, kweli ninaamini kuwa mangwanjwa yangu yamekwisha, prostate imekwisha, watoto wote wamefaanikiwa, na hivi Mungu anaogeza tena njia ya mapato yangu
Mchunfaji namshukulu mungu kwa kukutumia utufungue akiri na nakuomba umuombee baba angu mashaka aokoke atoke kwenye vifungo mbal mbali
Nimefunguliwa kwaimani ndowatangu maishayangu nafamiliya yangupiya katikajinalayesu
Moza naomba nipone magonjwa yangu yote maumivu ya miguu maumivu ya kiuno naomba mungu aniponye
Ukweli kabisa unasema mambo ya ukweli nimeokoka lakini nateseka sana miungu ya kwetu tunaokoka tunaanguka.hakuna hata mmoja amekaa kwenye ndoa,vijana wetu wanavuta bangi walevi wagomvi na hawakuwa hivyo.naomba MUNGU atume NENO moja familia ya AGUSTOR MSARIKIE wapate wokovu.ubarikiwe mchungaji Amina.
Mungu amenipatia amani ya moyo na tumaini jipya kupitia somo hili
Mungu akubariki mchungaji
Mtumishi mi nahitaji kukuona wewe mwenyew nina shida sana
Amen amen amen nimefungulìwa katikajina layesu kristo wanazaret
Ombea family yangu
Nanamushukuru Mungu kwakuniponya nilikua naumwa mkono lakini ulipo omba mkono wangu ukapona Mungu akubariki
Asante pastor Mmbaga.Nahitaji maombi kwa mjukuu wangu Neviah ajue kuongea.
Ni kweli mchungaji wengi tumekwama Kwa sababu hatujapata utakazo.
Uniombee nipate riziki pia na jamii yangu
Pastor naomba niombee familia yangu
Japo kuwa nasikiliza somo hili baada ya siku nyingi,siku hiyi,nina imani kwamba leo ntapokea muujiza wangu kwa jina la Yesu.
Amen
Naomba uniombee mtoto wako anaamka usiku Analia bure miaka nane ukimuuliza Hana sababu
Niombee nimekwama miaka mingi peza zangu hazitulii
Niombee mamaangu mzazi anasahau hajielewi
Niombee nijue kuomba
Mungu azidi kukubaliki mchungaji
Muombee mama yangu anamatatizo
ombi langu naomba mungu amupe mwanangu mudogo afia njema
Mchugaji nashukuru kwa ajili ya kipindi hiki.maana Mimi mambo yangu biashara zangu zimekwama na nimebaki na deni kubwa na nimekata tamaa.lakini kwa neno lako mtumishi ninaamini nimepona.ubarikiwe sana.
Nina imani siku yangu ya kufunguliwa ni leo .Nina amani na imani katika jina la Yesu .maombi yang ya mda mrefu yamejibiwa.
Naomba maombi ya familia yangu hasa kwa kijana wangu Jayden hasibadilike vile ameenda secondary na mimi pia niondolee madeni niko nazo mingi...wanisamehe kwa hizi madeni niliingia bila kujua. Nimepitia mengi.
Barikiwa sana mtumishi wa Mungu
Naomba kufunguliwa milango biashara yangu imeenda chini Sana
Hesbon nyariki happiness mongare fortune obongo quinton mugoya
kiusema kweli,, kwetu hakuna aliye soma, ushirikina, wazazi hawana ndoa,
Amen,mungu nisaidie niweze kuyasahau niliyatendewa wakati nilikua sina kitu,na nifunze kusamehe na kurudiana kama mwanzo
naomba maombi kuhusu kunywa pombe na kusoma neno la mungu lijae kwawingi 17:13 17:15 17:17
Mungu akupe maisha malefu sana u
Amen namshkuru mungu nimeaka Salama
Pastor please niombee baba ni mgonjwa then mamangu kafika 78 years kaanza kunyua pombe. Juzi akamjapa baba am feeling pain why my family
Ombea familia yangu na my aproval visa in jesus name
Na mimi siku zote hizi nasikiya pembeni nakichwa panauma naomba mungu anifungue.
Ningeamini mkwamo ninausababisha mwenyewe namsingizia tu shetani Kwa jina la YESU kuanzia Sasa sitakwama tena
Ubakiwe sana Mchungaji
ombea familia nyangu na pia wenye wamepoteza familia zao kwa mafuriko. mungu awafariji
Naamini mtoto wangu anatembea Anderson from NRB
Kwa IMANI BWANA Ameniokoa.
asante pasta kwa fundisho
ila kuna dhambi nilifanya ila ilikuwa kwa siri bila kanisa kughundua ila inaendelea kuni sumbua nishaka tubu ila inaendelea kunisumbua nina mkwamo kila ninapo pata adjira sabato ndilo ina kuwa tatizo nina acha hiyo kazo
Amen Amen Amen
Mchungaji nahomba unihombee ninamatatizo yakutokupata choo nikitaka kujisahidia nasikia mahumivu nyingisana unihombee mchungaji
Amen... Shadrack following from Nairobi
Nahiji,maobmi kuobmea family yangu, Asant.
Nmeamini mwanangu amefunguliwa masomomo yake maana glafla alikua kubadilika Ila sasa MUNGU ametenda🙏🙏
Nasumbuliwa na mambo nisiyoyajua naomba maombi
Amen
Mchungaji Naomba umwombee mtoto wangu Caroline Sanga Daraja la saba anafeli sana wakati alikuwa anashika nafasi ya Kwanza darasani.
Watoto,uvuvio wa roho mtakatifu, uchumi
AMINA
Familiar yetu kila atakaye inuka anaanguka yani tuko halingumu haki nahitaji musaada unifundishe niwezekuvunja hii hali
Amina mungu azidi kukutumia nimekwesha kufungulia na magonjwa yamepona yesu atukuzwe