Mchina kumpiga mkenya kwa kuchelewa kazi!!!

Поділитися
Вставка

КОМЕНТАРІ • 77

  • @mariamabou3553
    @mariamabou3553 4 роки тому +4

    Tuseme tu kuna vile mwenyezi Mungu alijua akahakikisha sifanyii mchina kazi. Ni hayo tu kwa sasa.

  • @austineochieng8117
    @austineochieng8117 4 роки тому +5

    I agree with jalas. Kama ingekuwa mimi, mchina mortuary mimi naye kamiti

  • @lamesalamesa1380
    @lamesalamesa1380 4 роки тому +7

    The sad part is hana makaratasi yaku fanya kazi na akona kazi 😭😭

  • @bensonabisai9197
    @bensonabisai9197 4 роки тому +7

    Yet we are laughing about it. What are we doing as citizens. Indians have been doing for as long as I can remember

    • @luchinasarah3745
      @luchinasarah3745 4 роки тому

      True

    • @xoxomacx2539
      @xoxomacx2539 4 роки тому +1

      Benson Abisai and also what are they doing about it. That guy is probably walking around Mombasa now. How about getting a lawyer to sue him and give this guy some compensation.

  • @feihimani57
    @feihimani57 4 роки тому +3

    Yeees jalas ur talking... this our country mchina apeleke Corona Na Uko

  • @centreflora5170
    @centreflora5170 4 роки тому +4

    Saa hizi tupo na uhuru na Raisi ni Uhuru....na kuchapwa kulipa deni ya mchina! Ni low self Esteem ya hao wawili

  • @inahazan9339
    @inahazan9339 4 роки тому +3

    Ukitaka kujua the real life ya kupigwa kama mtoto wa class one juu umechelewa ulizia wale wanafanya kazi kwa Muhindi

  • @godsfavour5665
    @godsfavour5665 4 роки тому

    Enyewe hapo ndio kukosa kazi ndio imefikisha wakenya but huyo boy angejam heri angewacha kazi mungu angemfungulia kwengine but uzuri God aliwaanika

  • @maurinekhasila3326
    @maurinekhasila3326 4 роки тому +1

    Mm huyu vile niko mwanamke naeeza jikaza nikiomba mungu nipe guvu mtu awezi nipigia kwangu nyumbani.

  • @delilaindashou4580
    @delilaindashou4580 4 роки тому +2

    Alex na jalas noma sana 🤣🤣🤣

  • @innocentmutembei9604
    @innocentmutembei9604 4 роки тому +1

    😂😂😂😂😂😂 shika mtu transformer na ufinye

  • @alexanderbonnysimiyu3789
    @alexanderbonnysimiyu3789 4 роки тому +1

    Saizi ningekua nakula githeri,viboko na ngazi ngumu lakini mchines ako mortuary. Huo ni ujinga siezi nkakubali hata kwa ndoto

  • @sherrykeya7370
    @sherrykeya7370 4 роки тому +3

    Yawa jalas 😂😂😂😂 you made my night

  • @mr.jasonfxsignals4873
    @mr.jasonfxsignals4873 4 роки тому +1

    Jalas 😂😂😂😂 mm io yako pia naeza tumia😂😂😂😂😂

  • @njoramichael7051
    @njoramichael7051 4 роки тому

    True that's the cause of joblessness,,, it's sad,c mtu awafunze lesson hawa wachina

  • @glorytogod1712
    @glorytogod1712 4 роки тому +5

    It's not only abt foreigner beating a citizen but nobody should put their hands on anybody period, that a how I look at it, cuz if ya talking abt foreigners then it looks like its cool to be beaten by your fellow citizen as long as hes your boss

  • @hamisihassan2620
    @hamisihassan2620 4 роки тому

    Sooo sad kama ni enzi za marehemu Daniel moi angewapeleka kwao mara hiyo hiyo.

  • @thesinaimounthospital6670
    @thesinaimounthospital6670 4 роки тому

    CHING LONG HING. JALAS UTANIMALIZA

  • @rosierosie8118
    @rosierosie8118 4 роки тому

    Huyu vile jalas amesema tu ndivyo ningemalizana na yeye angejua hiyo siku hapana chezea mnyore wa kutoka Luanda hata hiyo food yenye wanaua hapo yote ningemwaga kwa dustbin

  • @salomemukani1627
    @salomemukani1627 4 роки тому

    Nikama Mtu akuje kwenu ama kwako anze kuku jarasa viboko nimbaya sana. Ata kama nikuchelewa kazini kuna sheria za kazi mutu upewa woning kama ajatoa sababu muhimu ya kujelewa. Kazi. Woning3 unafutwa kazi but sio kuchapwa kama mfungwa ina uzunisha. Sheria zifwate mkondo wake.

  • @emilymuthoni3776
    @emilymuthoni3776 4 роки тому

    kama alikuwa anachapiwa uko china ni sawa bt hapa kwetu 🙆🙆🙆na ni mwanaume ka ni wangu💪 💪 ni mmoja aende jela mwingine aende mochari ⚰

  • @eunicewairimu5015
    @eunicewairimu5015 4 роки тому

    Ukweli joblessness imefikisha watu hapo, kutandikwa na wachina

  • @Captain_shiii
    @Captain_shiii 4 роки тому +1

    Ukweli jqlas I'm inn

  • @carolinetalam5832
    @carolinetalam5832 4 роки тому

    Jalas you're right

  • @menyajoseph76
    @menyajoseph76 4 роки тому

    Lakini kuangu Mimi naona foreigner ambaye anakutua natabia mbaya kama kupiga wana inchi inafa watowe fine yakutosha na kuregeshua kwao that's all

  • @khamisijuma3167
    @khamisijuma3167 4 роки тому +1

    Kesi Kama hii ilitaka ifanyike kwamagufuli uone vile mchina angeadhibiwa

  • @amosboywo8669
    @amosboywo8669 4 роки тому +1

    😂😂😂😂😂 jelas

  • @rashidwalwanda1991
    @rashidwalwanda1991 4 роки тому

    Ati welcome to Kenya republic of Chaina

  • @monicakassi303
    @monicakassi303 4 роки тому

    Jalas na mwakideo yes tuko na Uhuru Kenyatta ndo maana tumachapwa hadi hapa nyumbani, si Kenya ni republic of china, tukizidisha BBI ndo tutachapwa kabisa. Aki inauma i wish ningekua mimi mchina angekula kisu cha koo cheei

  • @mohamedrashid7323
    @mohamedrashid7323 4 роки тому

    Hyo mchina ingekua Mombasa angejua kama Kuna wanaume

  • @MsDavali
    @MsDavali 4 роки тому

    Nangoja mChina anichokoze

  • @susanmunge6724
    @susanmunge6724 4 роки тому +1

    Mimi ningemchanganya makofi asikie

  • @josiahalela7672
    @josiahalela7672 4 роки тому +1

    mwakideu utaigwa na stlyle ya tichiii

  • @Quilant749
    @Quilant749 4 роки тому

    Haujui vile watu wanateseka inje, bora mchina anipige niendelee na kazi

    • @wacmber2131
      @wacmber2131 4 роки тому

      Afadhali ukauze mboga kuliko kupigwa eti kisa ni kazi that's a no aki

    • @Quilant749
      @Quilant749 4 роки тому

      @Reality check mwenye yuko kazi ndio ataongea vile mnaongea hapa saa hii, u people do not know how people are suffering out there, saa hii Kuna wenye wa natamani interview y kiboko na wapate job.

  • @rasjoe9948
    @rasjoe9948 4 роки тому

    Haki hii sio poa foreigner beating any Kenyan nyumbani kwetu, that boy ata yeye wooiii 👎👎👎

  • @fl0rencemutuku40
    @fl0rencemutuku40 4 роки тому

    🤣🤣🤣🤣🤣😜Wacha niwaambie muindi akajaribu kunifuruta Hati nimapitwa na namba yangu nikinduu??? Wacha nipasue barika,, nilimshika huo. Mkono wake Nikamuambia asiwai nichapia kwa mamangu hata saaa hio 😭😭😭😭 nikamuuliza nimechelewa Kazi yako? Hapa ni nabari tu? Kaa wee ni mwanaume jaribu kuniguza. Watu wakapiganisha duru huui wacha Flo, utaaribu Kazi, nikawaambia ishaaaribika musinileeteeni mambo zenu kwanini amezoea kurushanisha watu ivyo? Saa hio nikakaribia Nikamuambia nichape 😜. Akunichapa but tangu hio day nikasema kaa chakula ni hapo nife 😔... Hadi waleo sijawai kanyanga kwa muindi tagu 2000 upto date na sitawai I tell u... So, so, China watuangwe na dume za Kenya sio Hati unampa matako yako aaribu na ako na yake... Ubaya watu ujifanya Hati nikitoka hapa nakufa, aaai, kwanza ndio utaendelea mbele

  • @nahumbaya9224
    @nahumbaya9224 4 роки тому

    Mimi uyo mchina ningerudisha macho kwa iyo socket

  • @Esty1248
    @Esty1248 4 роки тому

    Hata kama ni kazi wacha ikae.

  • @phannyshiggs5472
    @phannyshiggs5472 4 роки тому

    Same to me jalas

  • @mutisyabenjamin2502
    @mutisyabenjamin2502 4 роки тому +1

    Hata shuleni kichapo iliisha

  • @kaka_prince_
    @kaka_prince_ 4 роки тому

    hakutaka afutwe kazi.. so he had to submit coz maybe many people are looking up to him.. na hata kama ni kufinya sehemu ya siri ya mchina utafinya nini? hawana kiti.. ile wanayo ni mbumbumbu imelala kama socks mzee

  • @geoffreyanthony1488
    @geoffreyanthony1488 4 роки тому

    So sad

  • @deearacemarg450
    @deearacemarg450 4 роки тому

    Ukoloni mambo Leo.This is the result

  • @bensonkwendo8756
    @bensonkwendo8756 4 роки тому +1

    Tunalipa madeni

  • @stellahkerubonyangaresi103
    @stellahkerubonyangaresi103 4 роки тому +1

    So sad😭😭...

  • @stevohsteen6809
    @stevohsteen6809 4 роки тому

    Kama unachapwa ata salary unapewa ata? Huyu jamaa alichapwa anafaa apelekwa Mathare hospital for check up!

  • @queensbellah7173
    @queensbellah7173 4 роки тому

    Walai hata Mimi siwezi pigwa hizo snake style zao ni za movie this is real life kwanza Kofi then next naaglai available silaha kesi baadaye

  • @shakejudy2744
    @shakejudy2744 4 роки тому

    So sad pia mmi siwezi chapwa Ivo aaiii

  • @nastehbashir8415
    @nastehbashir8415 4 роки тому +3

    When you have a job you talk like this but you know what many of you pass through with Indians in industrial area.poverty itself is colonization.that guy is now jobless.

    • @mrtoshtosh4714
      @mrtoshtosh4714 4 роки тому

      U are just supporting nonsense...

    • @davidogola8384
      @davidogola8384 4 роки тому +4

      Nasteh Bashir was he born and went to that hotel straight was he living before that hotel you are so dumb ebu enda china ufungue hoteli then uajiri mchina then umchape uone Kama hutarudi kenya Kama weee ni maiti stop stupidity ndo maana we are called monkeys and dark continent coz of people like you ...my dad didn’t have a job we went through hardship but now I am an employer you don’t bend that low kazi zinakuja zikienda

    • @missmalaikalee4646
      @missmalaikalee4646 4 роки тому

      Bul bro. Hata k.m siko Seattle.....

    • @lioness8207
      @lioness8207 4 роки тому +1

      Futa hii comment ni ujinga gani unasema hapa sasa unataka kusema tuanze kulamba Chinese next time fikiria kwanza ndio ucomment na pia sio lazma ucomment.wewe Bashir

  • @stevebiko3806
    @stevebiko3806 4 роки тому

    Jaribu kupigana na Chinese, utaona karate. Unajua Jet-Li wewe?

  • @derekmwiriki9284
    @derekmwiriki9284 4 роки тому

    Iyo one dislike ni ya one of the Chinese.....

  • @jackienjenga5227
    @jackienjenga5227 4 роки тому +1

    Jalas 😂😂😂😂

  • @mwaurawilfred719
    @mwaurawilfred719 4 роки тому

    Mwakideo acheni kuongea ivo vijana hawana kazi so wanadanya wawezavyo ili walinde kazi acheni mdomo hapo

  • @thomasmachuma9271
    @thomasmachuma9271 4 роки тому

    THIS IS Neocolonialism

  • @nzisakasau8234
    @nzisakasau8234 4 роки тому

    Kweli kabisa jalas😂😂😂😂

  • @jumjumsaid3552
    @jumjumsaid3552 4 роки тому

    Nkwasababu wanatudai

  • @ellyemily4234
    @ellyemily4234 4 роки тому

    Ila source ya problem Ni kukosa kazii

  • @mahmuodmusa5883
    @mahmuodmusa5883 4 роки тому

    🤣🤣🤣