MALAIKA EP [11]

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 5 лют 2025

КОМЕНТАРІ • 564

  • @KimuEj
    @KimuEj 7 днів тому +120

    Mungu asimame nawe mzee kicheche kazi ziwe zinatufikia Kwa wakati wote fans wa malaika tumuombee ndugu yetu mungu asimame na washirika wa kicheche Ameen more....

  • @ZaidyMussa-cz6ok
    @ZaidyMussa-cz6ok 7 днів тому +17

    Asante mungu maraika imetoka tena kicheche big job my brother 👏

  • @JamlickKiogora
    @JamlickKiogora 7 днів тому +12

    Kicheche kazi nzuri sana,kwa series unafanya vizuri sana kuliko comedy,nafuatilia kutoka Meru Kenya wa Meru wa Tanzania mpo

  • @azariajocktan6350
    @azariajocktan6350 7 днів тому +38

    Mwajuma komwe nafurah sana kuambatana na kicheche 😂😂🎉🎉🎉🎉

  • @Shukuru2535
    @Shukuru2535 7 днів тому +17

    Yesu Kristo ni alpha na Omega yaani mwazo n'a mwisho Amin ivyo n'a ubarikiwe sema amin

  • @RafhaelMutha
    @RafhaelMutha 7 днів тому +34

    Mwenye anaona brother kicheche akifika mbali gonga like 👍 tukisonga🎉🎉

  • @MimuhMimuh-k4n
    @MimuhMimuh-k4n 7 днів тому +9

    My only & one best actor ni j unajua sana brooh nategemea kukuona ukifanya makubwa na kufika mbali inshalllah unakipaji❤❤

  • @MOKA..FILM5
    @MOKA..FILM5 7 днів тому +7

    muzid ktupa mambo mazur hata ya taratibu kuliko mabaya y harak big up kaka kicheche mm mwanao tulikuwa pamoja lambalamba pia ni mfuas wako sana big up❤❤

  • @BrightonRamadhani-k3n
    @BrightonRamadhani-k3n 7 днів тому +9

    nakuku bar sana mzee kicheche 😅😅😅😅ila unachelewesha sana

  • @PeterNguno-w6r
    @PeterNguno-w6r 7 днів тому +6

    Mungu awape nguvu na baraka tələ ktk kusimamia hii tamthiliya nzuri sana hii🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤

  • @stevenmakuga
    @stevenmakuga 7 днів тому +4

    Joel umeupiga mwingi sana kaka dah naona kaz zinaend vzr uko nawakubal san tu ❤❤❤❤❤

  • @AbscahMuli
    @AbscahMuli 7 днів тому +7

    Baba tuko pamoja mungu akubariki sana lakini kicheko tu❤❤❤❤❤❤

  • @JermainDolla-o2s
    @JermainDolla-o2s 7 днів тому +14

    Niko hapa wakwanja toka Congo ❤❤❤🎉😂🎉

  • @KisagaJohn-o6b
    @KisagaJohn-o6b 7 днів тому +60

    Toka nimefatilia move sijawah pata like hata Moja sjui Nina gundu gan jaman😢😢😢😢😢ila kicheche unaweza sana sema mnachelewesha sna

  • @RBOYJIGER
    @RBOYJIGER 7 днів тому +9

    Mor bless good job mmeupiga mwingi🫂 mzee wamabus mwamba kabisa joel ras mlanyama 😁😁😁😁uwezi mkubwa umbo dogo

  • @ShanguuuJuma
    @ShanguuuJuma 7 днів тому +6

    Oy Mzeee kicheche kazi zuri sema unachelewa sana

  • @SifaBaranyizigiye-o4h
    @SifaBaranyizigiye-o4h 7 днів тому +14

    Iyi movie ni nzuri sn ila ss tatizo inakawia sn kutok mpaka inapotez ladha kabis😢

  • @richardmloha1762
    @richardmloha1762 7 днів тому +5

    Kicheche n bonge la muandishii asee MUNGU ambariki sana

  • @ZaidyMussa-cz6ok
    @ZaidyMussa-cz6ok 7 днів тому +11

    Watu mpo fasta humu dk saba lakini mshaawahi duh,,😮

  • @AmanielyCleopa
    @AmanielyCleopa 7 днів тому +8

    Hongeren kwa kazi nzur 🎉

  • @HekaluEliastaifajipya
    @HekaluEliastaifajipya 7 днів тому +7

    Unagawa sana makoti). MWAYUMA 🎉❤ karibuni sana

  • @martinchibwara3773
    @martinchibwara3773 7 днів тому +6

    Uwezoo sana Malaika+makoti

  • @JoëlAmaniDrisse
    @JoëlAmaniDrisse 7 днів тому +2

    Kicheche wewe ni mchapa kazi kweli kweli Mungu akuwezeshe piya na timu lako likusikilize🎉🎉🎉 Joël drise toka congo RDC

  • @Marcus92378
    @Marcus92378 7 днів тому +6

    Mwamba mwenyewe kicheche Noma kweli ❤❤❤🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🥰

  • @JohnManda-v4g
    @JohnManda-v4g 7 днів тому +3

    Baba la baba kicheche tunakukubali San mbwa wewe sema ulitubow san kwa kupotea mda mrefu tupe vitu babu wa mababu❤ kwani ulikuwa wapi mzee

  • @ChaqueIdarJamal-e2j
    @ChaqueIdarJamal-e2j 7 днів тому +4

    🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉 kazi nzuli sana nimeipenda❤

  • @Gequearmando
    @Gequearmando 7 днів тому +5

    🎉🎉🎉 unyama sana mwamba i'm from Moz vamos fazer acontecer em tz 🇲🇿🇲🇿

  • @TonyCristy-j6e
    @TonyCristy-j6e 7 днів тому +18

    Jamani Mimi leo wakwanza kutoka Moçambique 🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿📝✍️🌹💐🔥🍎❤️ naombeni like 👍

  • @Samwelizengo
    @Samwelizengo 7 днів тому +4

    janani mm mcongo pamoja na vita mimi naomba like zenu ata mbilitu

  • @MAZINGEFILMS
    @MAZINGEFILMS 7 днів тому +13

    Lakini mimi kuna kitu sija kielewa mbona joel kapotezwa gafla alafu mlio yaongea yote atujayaona itakua mmemzingua romantic boy wetu

  • @JabirMrsawa
    @JabirMrsawa 7 днів тому +4

    Kazi nzuri baba ila shida unakawiya saana kuachilia épisode

  • @JeanNdasimaBudwaka-p5n
    @JeanNdasimaBudwaka-p5n 7 днів тому +2

    Mungu akuongoze mzee kicheche wendelee kufanya vizuri tuna zidi kukuombea brother

  • @MaryamEdison-y1x
    @MaryamEdison-y1x 7 днів тому +6

    Naitwa Mariam kitoka kigoma mbona Joel ajacheza sana namkubali uyu kaka joeli sana

  • @official_abnproincredible
    @official_abnproincredible 4 дні тому +1

    Tazizo lenu ishameshakuwa moja munagawa nakutosha épisode yakufwata

  • @JohncamiloFrancisco
    @JohncamiloFrancisco 7 днів тому +6

    Nawapenda sana. Moçambique

  • @hamzaIlunga
    @hamzaIlunga 6 днів тому +2

    From zambia lusaka 🇿🇲🇿🇲 unajuwa kazi Kaka mkubwa tupia like zangu apo atakama nimechelewa kidogo team kicheche makoti❤❤❤

  • @PeterKashutu
    @PeterKashutu 7 днів тому +7

    On est avec toi kicheche toujours likolo🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩

  • @saidiabdalahshabani941
    @saidiabdalahshabani941 6 днів тому +3

    Uyo ndo bandidu mtu wakaz chafu😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂🎉🎉🎉🎉

  • @YunuD-i8i
    @YunuD-i8i 7 днів тому +4

    Kicheche nakukubali sana natamani kufaya kaz na ww

  • @KasimuPekos
    @KasimuPekos 7 днів тому +3

    Congratulation mzee makoti kwa kazi

  • @Niyonkurumussa10
    @Niyonkurumussa10 7 днів тому +4

    Jamani kicheche anajua sana ❤❤❤

  • @Paulkessy-j8n
    @Paulkessy-j8n 7 днів тому +2

    Kicheche kwenye ubora wake kazi nzuri mno,,, nazifatilia sana pamoja na movi ya dunia inayotikisa bongo move kwa sasa

  • @ManenoPapalu
    @ManenoPapalu 7 днів тому +5

    Kama kuna mtu mwenye tabia ya malebo basi mungu achukue uhai wake kabla ya mwezi wa pili

  • @khamishaji4553
    @khamishaji4553 7 днів тому +3

    Daah umetisha na ilipo ilishia sas big up san makotiiiiiiii😂😂

  • @SalumRajabu-p6h
    @SalumRajabu-p6h 7 днів тому +5

    malaika naipenda ila kama watabaki kubadili watu mnatuchanganya maana maturubai wanawak watatu mkataka kumuhuwa mama leo joel naye ayupo utamu gani sasa bila joel amna feli sna mbwa makoti

  • @Icecube_71
    @Icecube_71 7 днів тому +4

    Kazi mzuri sana🎉🎉🎉🎉

  • @NyagiroJared
    @NyagiroJared 7 днів тому +4

    Kazi kwa wakati mzee keep it up

  • @emilymukiri2606
    @emilymukiri2606 7 днів тому +3

    Movie tamu sana ❤❤❤❤ila mwachelewesha jameni

  • @didiermusimbipeter
    @didiermusimbipeter 7 днів тому +2

    Malaika ni Saison nzuri sana , mafundisho nimakubwa sana Nacho kiomba mzee kicheche Mujitaidi kuimaliza kazi hii vizuri ili mafundisho haya yapate nguvu naudumu zaidi ndani ya akili ya wasisi tunao wafuatilia kila Siku 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩

  • @TightnotChome-fn2jy
    @TightnotChome-fn2jy 7 днів тому +6

    Malaika dunia imemlemea mrudisheni tu mbinguni😂😂😂🎉🎉🎉

  • @Jkhtvnnh
    @Jkhtvnnh 7 днів тому +8

    Nafuatilia moja kwa moja japo mnachelewa sana

  • @JoshuaSebukomeye
    @JoshuaSebukomeye 7 днів тому +4

    Mimi naitwa Joshua kutokea Uganda nakukubali sana ❤❤❤

  • @RamadhaniMshana-gk6vm
    @RamadhaniMshana-gk6vm 7 днів тому +4

    Waoooh, tuliopenda malaika kukutana na Makoti tujuane

  • @aminaabuubakari35
    @aminaabuubakari35 7 днів тому +7

    Movie nzuri ila wanacheleweshA sana❤❤

  • @AmaniNangerembe
    @AmaniNangerembe 7 днів тому +3

    Nice one story brother makoti 🎉🎉🎉🎉🎉

  • @PrettyMarie81
    @PrettyMarie81 7 днів тому +3

    Yan mnachelewa sio poa mnajisaau sana aiseee apa tumeona hii leo kipande kingne ad tusaau km kuna series ya malaika

  • @oziaslea1754
    @oziaslea1754 7 днів тому +6

    Ogera Sana makoti Sisi tupo tutaku sapoti

  • @MungamanenoPrince
    @MungamanenoPrince 7 днів тому +7

    Naomba n'a mimi

  • @RizikiErson
    @RizikiErson 4 дні тому

    Kicheche mungu awe nawe mzee wangu umeweza kazi mimi naitwa er son taka congo

  • @MagnifiqueTobieli-c1q
    @MagnifiqueTobieli-c1q 7 днів тому +2

    Bwana kicheche ukuwe najikaza ukuwe natumiy kwa haraka, tunapenda movie zako ila unachelewa kuzitow, jitaidi kabis

  • @KapuneNaduo
    @KapuneNaduo 7 днів тому +3

    Jamani Leo nmefika wa 6123 bc nipeni tu ivo ivo izo like...❤❤much lv from Kenya...bt kicheche Huwa unachekewa sana bro...bt big up kazi nzuri 🎉

  • @ASEKADEPRINCE
    @ASEKADEPRINCE 7 днів тому +1

    Kazi nzuri mzee kicheche❤❤❤

  • @WalterKhalitsa-i1g
    @WalterKhalitsa-i1g 7 днів тому +4

    ❤❤❤❤❤🎉🎉Heavenly Father, full of mercy and grace, We lift our hearts in gratitude to You for bringing us into this new year. We pray that it may be a year of blessings, peace, and success. We commit every dream and every plan into Your hands. Amen

  • @jamesbosire-l2f
    @jamesbosire-l2f 7 днів тому +3

    Kazi safi. Ila weka huo wimbo wa malaika UA-cam tafadhali. Wimbo ni mtamu sana

  • @Lucy-t7n
    @Lucy-t7n 7 днів тому +7

    Ee nimewahi laki watu muko wengi aje kwani hua munajua ina postiwa😂😂😂

  • @hibrammohamed
    @hibrammohamed 7 днів тому +5

    uyu mwamb joel anajua mpaka anakera yaani sijui kwa nini aypo azam au dstv ila big up broo

  • @JacksonKasemengo-k3g
    @JacksonKasemengo-k3g 7 днів тому +1

    Kicheche kazi njuri ime tuliya vizuri mnooo 🎉🎉🎉

  • @Ndaro_Family
    @Ndaro_Family 5 днів тому +1

    Mungu akusaidiye mzee kicheche wetu

  • @JumaOthman-on1to
    @JumaOthman-on1to 7 днів тому +2

    Imemalizia sehemu mzuri amessing

  • @guidion.jorgedajudith8592
    @guidion.jorgedajudith8592 7 днів тому +16

    Leo mimi wa Kwanza nãomba like ata 10

  • @VioletteManirakiza-jf2rk
    @VioletteManirakiza-jf2rk 7 днів тому +9

    Leo wakwanza tangu nimeanza kufatilia hiyi movie sijawahi kupewa like hata moja

  • @PrincessNasra-254
    @PrincessNasra-254 7 днів тому +3

    Naona mwajuma komwe amerudi kwa kicheche alf mnachelewa kutuletea mambo mazuri 🎉🎉🎉

    • @saidiabdalahshabani941
      @saidiabdalahshabani941 6 днів тому

      😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂et mwajuma komwe

  • @GeraldoGLJaivahLuis
    @GeraldoGLJaivahLuis 7 днів тому +1

    Kazi mzuri kaka Makoty ila kazi unaichelewecha tufanyie kwa muda bass🎉🇲🇿🇲🇿

  • @PiusRojas
    @PiusRojas 7 днів тому +2

    Tunakunya uku tunasota hatunawi 😂😂😂😂

  • @InnocentSamuelBazungu
    @InnocentSamuelBazungu 7 днів тому +2

    Jamani sisi uku congo hatuoni iyi mv na furaha sababu ya vita uku congo 😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢 ila tunampenda mzee kicheche

  • @Real_ommy
    @Real_ommy 7 днів тому +2

    Naimani tunapoelekea kazi zitatoka mara mbili kwa wiki wote tuseme insha allah

  • @Kelvinmzava
    @Kelvinmzava 7 днів тому +2

    Moja kati ya kazi nzuri jah bless

  • @aisha770
    @aisha770 7 днів тому +5

    Nimewahi leo team strong tujuwane 🎉🎉🎉❤❤

  • @EmmanuelduseigneurEmmanuelduse
    @EmmanuelduseigneurEmmanuelduse 7 днів тому +1

    Kicheche félicitations pour les œuvres je te suit dépuis le Congo Kinshasa malgré la difficulté aussi la Guerre mais on n'est en semble 🤞🤟💪🇹🇿🇨🇩

  • @muhtalent1240
    @muhtalent1240 7 днів тому +2

    🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉❤katika mov 2 Bora ambazo uwa natazam malaika number 1 🎉🎉🎉

  • @ModricMussa-y5y
    @ModricMussa-y5y 7 днів тому +3

    Kichech kaz nzur xan 🎉🎉🎉🎉🎉

  • @GrandePiquiGrande
    @GrandePiquiGrande 7 днів тому +6

    Navyo ipenda hiiii movie yetu ya malaika sizani kama kuna mwengine zaídi yangu bwana naitwa Grande PiQui kutoka Moçambique 🇲🇿🇲🇿🇲🇿👏👏👏

  • @Justin-z1m
    @Justin-z1m 7 днів тому +6

    Hatimae nimewai jmn like zangu basi

  • @gogoloveofficial5666
    @gogoloveofficial5666 4 дні тому +1

    Love from GOGO LOVE OFFICIAL

  • @chops63entertainment
    @chops63entertainment 7 днів тому +28

    Leo nmewahi naomba like zangu nyinyi 😅😅😅😅

    • @Mary-q5d5c
      @Mary-q5d5c 7 днів тому +1

      Chukua mahali ulieka

  • @iddynovo6219
    @iddynovo6219 7 днів тому +4

    Sauti ya maongezi ipo chini sana ila background ipo juuu sanaaaa

  • @officialbhaddierozalia4945
    @officialbhaddierozalia4945 7 днів тому +3

    Hhhm mimi mumewangu hawezi kukubali ni act film niki kisiwa he is very jealous

  • @siamakuli1884
    @siamakuli1884 7 днів тому

    Malaika kazinguaa badala atoe kitambaa amuone mume wakee shit malaikaa..Kazi nzuri kichewizee

  • @Benjamin-o4j4z
    @Benjamin-o4j4z 7 днів тому +4

    Wakwanza from 254

  • @JumaNgao-pc2cw
    @JumaNgao-pc2cw 7 днів тому +1

    Je! Unafikiri kicheche (Makoti) akimpata malaika wataishi maisha ya Raha kama mwanzo walivoishi kijijini.😮

  • @JulesMugina-l1i
    @JulesMugina-l1i 7 днів тому +22

    Mimi wakwanza kutoka Burundi naombeni like ata tano

  • @JaickoKifyasiy
    @JaickoKifyasiy 7 днів тому +1

    Meisubili kwahamu sana kila nikia iangalia naona kimya hati mae ime fika 😊

  • @richardmloha1762
    @richardmloha1762 7 днів тому +3

    Maturubaii qnajuq sanna japo kiuhalsia anakeraa😂😂😂😂😂

  • @philipkiogora536
    @philipkiogora536 7 днів тому +3

    Lakni bana unatufanya tunaboeka , si hii kitu huwe unaleta baanda ya siku ata tatu zikirnda sana. Angalia vile Dunia inavuma bana

  • @JordanMichu
    @JordanMichu 7 днів тому +2

    Mimi wa kwanza kutoka congo 🇨🇩 ila kuna vita watu tunakufaa uku

  • @ModricMussa-y5y
    @ModricMussa-y5y 7 днів тому +3

    Unyama nimwing san kicheche 🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤

  • @NdezeChance
    @NdezeChance 7 днів тому

    Asante Sana kicheche alakini juyanini aumalize iyi théâtre unaifanya série ya ba Indiens yenye aiichake vraiment jikaze umaliza

    • @NdezeChance
      @NdezeChance 7 днів тому

      Mungu akubariki naakupe courage uko natufuraisha Sana

  • @KoreanDramaMoviesKiswahili
    @KoreanDramaMoviesKiswahili 7 днів тому +5

    ❤❤❤

  • @SharifaNgulipa
    @SharifaNgulipa 7 днів тому +2

    bibi naifaty pambee🎉

  • @msaadabihona4759
    @msaadabihona4759 4 дні тому

    Kazi nzuri Kicheche. Mwajuma amfe fanya vizuri kwendeleya na Mzee Makoti