Mashaallah,,, Allah akulipe hili ktk mizani yako ya wema kesho akhera
Mwenyezi mungu akuzidishe
Masha Allah tabarakallah shukran San Allah akupende zaidi na zaidi
Mashaa Allah tabaraka Allah Allah akuzidishie umri furaha Tele uzidi kutujuza
Jazakallah khayran
Waaleikum msalam warahmatullahi wabarakatu shukran jazila ya ukthi
Shukran ustadha kwa darsa nzuri Allah akujalie umri mrefu wenye kheri, akutakabalie amal zako njema, akuzidishe maarifa na ilmu na akubarikie watoto wako na akupe jannah. Na sisi sote ummati Muhammad hivo hivo. Na wasio kua na watoto Allah awajalie watoto wa kheri na tufuate mafunzo tuliopata kwenye hii darsa allahumma amin
Masha Allah, Jazzaka Allah kheri. Darsa zuri
Shukran kw ujumbe mzr ALLAH akujaalie siha n Afya njema
Shukran JazaqAllahu kheir
Shukurani jazakallahkher
Mashallah
Hongera
mashallah mashallah
Hili darsa liwafikie
Wote wenye kudhani
Ya kuwa 40 ni dini
Kumbe si dini watu wametengeneza Ada
Badala ya kumfanyia
Mtoto aqiqah
Zinafanywa gharama
Kubwa za shughuli ya 40
Wengi wao wakidhani
wametimiza Ibada kufanya hivyo . Shukran Ukhty
Allah akulipe kheir
Uzidi kueleimisha umma
Wa kiislam🤲
Assalam alaikum ustadhat. Na Je! kama hakuna uwezo nifanyeje
Mbona hutoi dalili ya hayo unayoyaeleza
Haijuzu muislam mwanamke kuzungumza hadharani mpaka wanaume wakasikia na hicho unachofanya ni haram
Balaka allhu raka
Shukraan
Salaam aleikum warahimathullah wabarakathu,je ni vipi kama imefika siku ya saba na sikupata kichinjoo,je naweza kunya siku nikiwa nimepata,hata kama ni nimiaka kumi au saba?
Ukhuty Fatma Mdidi nakuombeni mzingatie Sitara ya kuvaa Niqa'ab Maana mwakaa uso wazi nyusi zaonekana.
Ni kiungo gani katika Mwili wa Mwanamke hupambwa Sana?
Na nipe ushahidi wa kuwa Niqa'ab si muhimu.
Maahaa Allah. Kam mt hakuwahi kufanya hayo wkt mtot ni mchnga na mtot ashfikia mwak mmoj na nusu afanyeje? ktk kuchinja na sadaka
Hayo mengine yatakuwa yamekupita lakini hili la kumchinjia bado lipo unaweza ukamfanyia mtoto wako lakini vizuri zaidi ni siku ya saba na kama utakosa sabaa ya kwanza unamchinjia sabaa ya pili au yatatu
Sante dada mxuri
Nahii siku ya arobain yamama kutoka nje ipoje hii kuna majambo gan yapaswa kufanya ama ipo tu
Mashallah
Ma sha Allah