HUU NDIO UTOFAUTI WA KOCHA NABI NA MIGUEL GAMOND/TAKWIMU/UFUNDI/MIFUMO/VIONGOZI YANGA WANAJUA....
Вставка
- Опубліковано 15 вер 2024
- Hii ni tathmini ya Ramadhan Mbwaduke "Mzee wa Data" Kumuhusu Kocha Miguel Gamondi takwimu zake pamoja na mafanikio aliyopata kabla ya kuanza kuwatumikia Young Africans.
Aidha ameeleza kuhusu changamoto ambazo Gamondi anaweza kukutana nazo kulingana na Ubora na Rekodi aliyoacha Kocha Nabi kwenye Kikosi hicho.
Ngamondi noma you cam rlom h-bizo
WACHEZAJI WA TIMU WAKIWA BORA NA KOCHA ANAKUWA BORA. MABEKI WA TIMU WAKIWA BORA NA KIPA ANAKUWA BORA. USHAURI TAFUTENI WACHEZAJI BORA CY BORA WACHEAJI.
Yanga sio timu ndogo, hawapaswi hivi sasa wakiwa na level yao hii kuvumilia kocha.
Na hapo ajaanza kazi 4:03
Nice
Vzr sana kumbe nimweupe wamepigwa
Tunaimani na Miguel gamond tusiwe na hofu kabisa wananchi
Uyo anaesema yanga imepigwa akatafute kocha wake ambay anamuona yupo vzr kuliko gamond
Wambie ukweli
Hatanayeye anaweza akafanikisha mana timu ina garama za mechi mana garamazamechi zimemsaidiasana nabi.
Mtazamo wake
More usi liganishe ligi yahapo na kule alipotoka GAMOND
YANGA tumepigwa au tusubilie kuona kitakacho jili
TFF wamuajili Nabi kufundisha timu ya taifa. Anawajua wachezaji wa timu nyingi.
Tusubiri
Tupe record za Naby kabla hajakuja Yanga na Gamod
Na mpesa ilikuwa inasaidia pia
Nawe ndo ulipoishia kufikiria
Endeleeni kusema mpesa
@@yusufumwakyambiki8062 mbona inaeleweka hiyo
Katika misimu hiyo miwili hata simba kapokea hiyo m.pesa
@@wazinzatv3152 upo sahihi
Aa
Wachezaji tofauti.
Kocha ni mzur tumpe muda acheni maneno wewe ni simba