HUYU KIJANA WA CHADEMA CHINI YA LISSU BALAA, ATEMA CHECHE "BILA REFOM HAKUNA UCHAGUZI UTAKAOFANYIKA"

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 9 лют 2025
  • Fuatilia Mwanzo TV Plus
    SUBSCRIBE UA-cam Channel yetu
    Follow us on X, Facebook and Instagram

КОМЕНТАРІ • 10

  • @daudimaembe3360
    @daudimaembe3360 6 днів тому +1

    Ni kweli kabisa "no reforms no elections".Lakini kwa mitutu hii ya bunduki,tutafanyaje ndugu zangu?

  • @nakalikyumile3234
    @nakalikyumile3234 7 днів тому +1

    Bila kuunda m23 yetu watanzania,hawa ccm watatutesa milele,maana majeshi yoooote yaitwayo ya umma,yako kwaajili ya kuilinda ccm tu,kwahio tusipochukua hatua kali na ngumu,tutaishia kusema tu humu mitandaoni,nipo hapa

  • @malackedson7706
    @malackedson7706 7 днів тому

    Wakati nisasa.

  • @salummohamed2689
    @salummohamed2689 7 днів тому +1

    Kupuuza kauli kama hizi ni kuzalisha mauti, maana hizi hisia zimejaa katika mioyo ya watanzania waliowengi na kusubiri kuja kuzizima kipindi hicho ni kurutubisha nyukilia ambayo ilitegwa siku nyingi pasipo kujua.

  • @GodwinIssack
    @GodwinIssack 5 днів тому

    Bira shaka, kile kilicho zungumzwa na wana press hii kina ukweli na 100% tuna watu wanaitwa polisiccm ambao nao ni sehemu ya chama b kwa ajiri ya ccm.

  • @shangwehubert5838
    @shangwehubert5838 7 днів тому +1

    Makelele bure front hawaonekani

  • @geofreyhayola2221
    @geofreyhayola2221 7 днів тому

    Hii ni live