Said bin Barghash wa Zanzibar sultan mwenye zaidi ya maajabu duniani.
Вставка
- Опубліковано 28 вер 2024
- Usisahau kutufuatilia katika mitandao yetu ;
Subscribe to our UA-cam Channel : bit.ly/itvtanzania
Facebook : bit.ly/2KeQNl3
Twitter : bit.ly/2XG7aii
Instagram : bit.ly/34KItmg
Dah
Muongo muongo muongo sanasan
UKOLONI NA UTALII ZANZIBAR
Ukoloni wa Tanganyika hutumia Wazanzibara kupotosha nchi ya Zanzibar kwa faida ya Ukiristo na Ukoloni wa Tanganyika.
Munatunga uwongo waongo wakubwa munatunga historia ya uwongo mashetani wakubwa
❤mzee Mbaraka unatagaza uongo. Umepata wapi tarifa hizo? Historia si uongo.
Huyu mbaraka alikua kazaliwa wskati huoo??au anatunga tuu?
KIKULACHO AMETISHA SANA
Waongo wakubwa mnaharibu historia ya zanzibar Sayyed barghash ndo Aloondoa utumwa,akitoa Meli kila mwaka kwa mahujaji tena bure,alimentary nyumba mecca ya mahujaji wa zanzibar wakae bure ,uongo wenu ndo mana mmeiharibu zanzibar
Huyo Temba ni mtu kutoka Bara. Na huyo kijana wa spice anatoka Kenya. Wote wanashindwa kutamka Kiswahili sawa sawa. Wanataka "Saidi Bargashi". Wanashindwa kusema: "Seyyid Barghash bin Said".
Wake 99 walihitaji nafasi kubwa kiasi gani itoshe.
M. Kikulacho hujui kiswahili. M-chai chai. Herufi m- hapo sio kama usemavyo. Mti wo wote unaanza na m- katika kiswahili. Mfano: m-paipai, m-popoo, m-nazi, m-komamanga, m-gomba n.k. Vipi weweee?
Jamani haya maneno ya kwelii??au ni uzushiii?subuhana Allah mtakuja kuulizwa nyiee
Wazushi wa kubwa wapotoshaji wa taarikh yetu hamuezi kuichafua taarikh yetu na sisi tukaa kimya
Hata jina lake hamlifahamu Zanzibar hakukua na mfalme alieitwa Said bin Barghash.
Wahenzi wakubwa nyie
Acha tu ukweli uwaingie.
Astaghafiru Allah ww unasema uongo utakwenda jibu siku kiyama
Eti watu wajinga walevi ndo wanatoa history ya zanzibar inastaajabisha sana
Mimi nimestaajabu kwa MUANDISHI WA CHOMBO KIKUBWA HIVI KTK TASINIA YA HABARI And hana Maarifa hata Kidogo ya SOMO LA HISTORIA.
Maelezo ni kwamba BARGHASHI Ni Mtoto wa SULTAN Said; Then How come aitwe "SAID BARGHASH"
NA UZUSHI WA HABARII YA KUFANYA MACHAFU NDANI YA PALACE; That Is Just SIASA CHAFU!. Na Sababu zake Tunazifahamu,
THE REST OF THIS VIDEO CLIP IS VERY INFORMATIVE●
You can never rewrite the golden history of Zanzibar by assumptions and personal desire for specific satanic alterations
Sultanate Zanziba Is Somalis Djibouti Eritrea
Si dani kama yanauhakika hayo
Mateja na walev ndio waongoza utalii swaga nying