This movie makes me feel so much think about how people play games in life of peoples feelings. Kakoso you the master of the game bro😂😂🎉🎉🎉 mach love from mombasa
Mbona kwenye filam yetu nzuri tunahanza kupoteza watu muhimu mapema sana,hamjui Vanela nimtu ambaye alikuwa akiweka laza nzuri sana nakuipa filamu yetu laza yakutizamwa sana,oyaaa jirekebisheni basi
This movie makes me feel so much think about how people play games in life of peoples feelings. Kakoso you the master of the game bro😂😂🎉🎉🎉 mach love from mombasa
We can't respond your comment,cause we don't understand english broh
Uyu jamaa fundi
😂😂😂😂😂😂@@NesthKey😂😂😂😂😂😂 ila harmonise nyieeee😂😂😂😂😂😂
@@hamisikamanda9933 Kabisa tena hana haraka
Wapili leo toka nianze kuqngalia hii movie bado sijawai pata like hta kutoka kenya❤
Napenda sana munavio act movement za scene ❤nawapenda sana kutoka Burundi 🇧🇮
Kakoso you are always smart . It's flowing 🔥🔥🔥
Kazi nzuli nampenda vanila❤
Kaz nzuri San kakoso tunasubir episode ya 12
Yaan ninyi watu mutanifanyaa kichaa kwa kweli yaan huwa munanipangaa furahaa sana❤❤❤❤❤
Wao the game nzuri sana nikupigana kwa maneno tu
Really story about this movie of people's of this world
Bado nasikitikia SNAKE BOY season two... 😢 kwahiyo inamaana tusubirie season three itatoka
Snake boy imeisha au hiyo snake boy ilivyo fika mwisho hukuona imeandikwa mwisho
@@WinnieWangila hata season one iliandikwa mwisho halafu ikaendelea. Kwamtazamo wangu bado kuna mambo mengi yanayosababisha iendelee.
@@DonMooFILMES_Express sawa wacha tuone kama itaendele pia ikiendelea itakuwa bora zaidi lkn sidhani juu big boss season 2 ndio inakuja sasaa
@@WinnieWangila big boss haizuii season three. Watapost big boss season twoo ikiisha watarud kwa snake boy 3.
Hapo sasa Big boss na snke boy tunaitaka@@DonMooFILMES_Express
Mbona kwenye filam yetu nzuri tunahanza kupoteza watu muhimu mapema sana,hamjui Vanela nimtu ambaye alikuwa akiweka laza nzuri sana nakuipa filamu yetu laza yakutizamwa sana,oyaaa jirekebisheni basi
kiukwel hata Mimi nilikua naicheki kwa sababu ya vanillah I lyk dat gal❤
Huenda anaenda kuripoti chuo maana msimu ndo huu
oooh kwani anasoma?? lakin chuo Hadi mwez wa Kumi mwishonii
Kazi safi toka kwa watu makini sana 👏👏
wanda hajitambuinanamtaka kakoso huku medi 😂😂😂😂 haya sasaaa
Napenda wanda anavyo cheza iyo hii game.kwani hata wewe ukitaka kunusu uhai wako utafanya nn?
Team kakoso mpoooo kazi nzur sana but ipo 💥💥💥💥💥tunapoelekea ni patam sana apana chezea The Game❤❤❤❤
Kz nzur jmn ila leo wa 12 sihaba nimewahi😅😅😅
Ama kweli movie ni tamu sana ama kweli ilipangwa ikapangika
Mmmmh hili gome kweli linatisha ni hatali hebu tuangalie mwendelezo inako elekea..
Hii kwel ni game ina drama hatri asee kakoso saluti bro ❤❤❤❤❤
Nzuri sana ❤🇹🇿🎥
Episode ya 11 nzuri ila kuna vipande mmezingua
😂😂😂😂 honger kakos kaz nzr 🎉🎉🎉 mzenj ap
Kazi nzuri sana
Panaenda aje hapa🤔Kakoso anataka kumuumiza Chibu kwasababu anajua Abinibi ndio mpenzi wake wa pekee?
😂😂😂aloo naona kunakisu kinaelekea kugusa mfupa😅
Kazii nzuri Sana team kakoso
Nzuriiiiii ila Zumba umrmkosea mwenzio
Zumba yupo sahihi ukileta kujua utaumishwa pamba
Super genius director
Sema kimeumana😂😂😂😂😂😂😂😂chib na yey zamu yake kuumia😂
@Kakoso ,movie zako ni nzuri sana.kwani vipi kuhusu Big Boss Season 2??hatutokaa tuipate kweli??tuambie ukweli??nawapenda sana kutoka Burundi 🇧🇮
Eheeee eheeee madamuuu umepigwa na kizito niniiii?😂😂😂😂
😂😂😂
Dah nimelia mpaka mm vanila ameniliza dah 😢😢😢
Kazi mzuli kaka 🎉🎉🎉
I can't wait for the next episode 😍
Nawapenda San jamn ❤❤❤
Nafrahi kumuona sauda
dadadekiiiii.....chibu vs kakoso....nataka nione chibu anataka kufanya nini...ni kweli hawazishwi na mwanamke....!!!!
Kazi nzuri
Watu wanasema Congo mupo? Gonga ❤ apa
Kakosso hanaga baya kwenye kazi
Wanda ni kidemu kizuri na nusu 😂
Mungu awabaliki
Kicheko 😂😂😂%7000000Sio poa yaan
Jmn wa 19 leo ❤❤❤❤
Zumba mmeanza kuangushana wenyewe kwa wenyewe..
Kabla sijamaliza kuitazama nikakimbilia kukoment nime kua wa6 Leo jaman 🤗
Goma la mana hili ila mda ndio mchache
Dakika 20 ni chache? Kuwa silias kijana 😂
Kakosoo❤❤🔥🔥
Safi sana🎉🎉🎉🎉
Sipend Hawa anavoongea bas tuu
God job🎉🎉🎉🎉
Today am first 🎉🎉🎉😅😂
My happiness ❤❤❤😊😊😊
Good🎉
Kazi powa team kakoso
Leo chuma kimekula chuma
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
😊😊😊
❤❤❤🎉🎉🎉😂😂😂🇰🇪🇸🇦🇰🇪🔥🔥🔥
Right on time
Vanilla ❤
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤kipenz
😊😊😊😊😊😊
❤❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🇰🇪🇰🇪❤❤🎉🎉
🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤
❤❤❤❤🎉🎉🎉
🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤❤
🎉🎉🎉
🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
🎉🎉🎉🎉
Kiukweli nimetokeya kumpenda,sana,HAWA jameni ajaolewa
😂😂😂😂😂😂
Too shot
Nipeni like zangu tafadhali naomba kwajili ya kakoso pls
Kakoso
Zumba alipoison chakula yote na yeye akufu surely 😮
Alipoison chipsy....ndio maana yeye alikula kuku akula chips
🎉🎉🎉🎉