Duh..sipati picha jamani fanyeni move naiona bongo move iliyo kufa imefufuka nawaona akina kanumba wengi sana miaka ijayo kama unaamini hilo gonga like twende sawa
Kazi ime pata wafanya kazi wachezaji mme vaa uhucka wa tukio ila mme nitoa machoz kwa hii kitu vai ww ni mtu na nusu katika kaz unajua kuuvaa uhucka wa 👏👏👏💯
Mm ni mkosoaji mzuri tu but kwa hii daaah hongereni sanaaa 1 - Vailet 2 - Asma 3 - Mama Asma mlezi ( Muuza maandazi ) 4 - Baba Asma ( Daktar ) 5 - Queen wangu ISHINI KWA PAMOJA MNAWEZA SANAAA NA INSHAALLAH mtafika mbali mnoooo 🤲
Mashallhhh mashallhhh mashallhhh mashallhhh mashallhhh mashallhhh mashallhhh mashallhhh mashallhhh ndugu zangu mumeweza ni bonge la muvi uyo kaka anajuta ss mbuvu zangu mm wataka kuuwa kiumbe na mungu akakuonyesha
I swear to God this girl is one of the best african actresses have;da would be better for her if she knows english because she is gonna be fruitful from her talent!!!!
Jaman huyu vai ana jua mpaka ana jua tena kama na ww una kubali hilo piga like mbwa mm pumbavu zangu🔥🔥🔥
Eeeeee haki yamungu naishi Rwanda that is the first comedian in the world
nakuunga mkono mpuuzi mimi
😅😅😅😅😅
🔥🔥🔥
Anaweza tena mpaka tena
Jamani huyu dada na si Ako vizuri sana 🙏 kama munamkubali vailet msipite bila kulike kwangu leo
Ata uyu dada nae anajua uyu mpy
Duh..sipati picha jamani fanyeni move naiona bongo move iliyo kufa imefufuka nawaona akina kanumba wengi sana miaka ijayo kama unaamini hilo gonga like twende sawa
daah hatari zaidii ya jana kazi bado inasonga like zenuu jaman sijawah fikisha hata 5
Za nn
hawa watu wanajua kiufupi maudhui yao ni mazuri sanaa vai the best actress gonga 👍 kam unamkubal binti vai
Wapendwa kazi nzuri. Part 4 please. Yan najikuta natingwa nkimuona vaileth. Nakupenda saana.
😭😭😭Mmeniacha machozi tupuu jameni😭😭😭😭😭 OMG ,hii movie jameni
Pole
Très intéressant, courage 🇨🇩🇨🇩🇨🇩
Inafundisha sana pls part 4
Tangu nianze kuangalia hii series sijawahi kupata likes, naomba ata likes 5 nami nifurahi kwa kazi mzuri kama hizi.
❤
Story nzurii saaaana wallah inafundisha saaana haki wanaume stop kukataa mimba mujifunze kupitia hii story nzurii saaaana haki
Vailet unaweza kabisa uko Sawa nakukubali kutoka Dr Congo 🇨🇩🇨🇩🇨🇩 #sehemu ya 4 tunaisubiri please
Vailet from Burundi 🇧🇮 nakupenda sana!!
Kazi ime pata wafanya kazi wachezaji mme vaa uhucka wa tukio ila mme nitoa machoz kwa hii kitu vai ww ni mtu na nusu katika kaz unajua kuuvaa uhucka wa 👏👏👏💯
👍
Daaah, kama. Kweli pole dada
Mansha Allah 😉 nzuri kwel msitukawizie bx muendelezo
Yaani uyu mdada anajua anajua mpaka anajua tena wallah uyu Vai atafika mbali
You nailed it sister you are on high level
Super Super hakika mmeweza
Kama mmeweza kunitoa machoz ujue mmetisha good idea
Congratulations. Kazi nzuri sana ebu tunaomba part 4
Wow good job i can't wait part 4 😍😍😍
Assalamualaikum warahmatullahi wabarakatuh dada, yani uko juu TU sana, naukiedelia hivio utakuwa juu sana kuliko wote,
Nampenda sana
Walykumsalm warahamatullh wabarakatuh
Kiukweli unjua kuigiza hongera kwa kazi nzuri 🇰🇪🇰🇪
Waiting part 4 it's amazing congrats
Give us please
Waaah hadi machozi 😭😭 😭 hongeni sana 👏👏👏👏💖💖💖💖 mpo vzr sana
GOOD STORY,GOOD IDEA CONGRATULATIONS
Iendele tafadhali
Very nice
Jaman watu mnajua kuwahi na mm kwa leo tu japo nimechelewa like zenu jaman
Nawakubali sana kwa comedie mnajuwa na mnajuwa tena congrats
sio comedy tena ni serious issue nimeipenda kwa kwel
Kazi nzuri sasa nakubal sana uwezo wenu 🙏🙏🙏🇹🇿🇹🇿
tuleteeni iyoo part04 chap bas hii part03 imechelewa sanaa ,,ikiwezekana iwee series ya kila cku
mumenifanya nilie kwanini 😭😭😭😭 kazinzuli 🔥🔥🔥🔥❤️
Mm mwenyew nmeshindwa kuvumilia
Uyu bro nae anajua kuigiza kinyamaa
Can't wait for part 4
Hii movie ni ghali .mliigiza vizuri sana. Kuna funzo
Mara ya kwanza kumuona asma hana jalbabu
M pia 🤔
Duu kwely mungu mkubwa😳
Doctor laana ya kukataa mimba inamtafuna😆
@Mtoto wa mama 😂😂😂😂😂😂
😢 😭 yaani vailet and this whole crew mwafanya kazi Safi hongera sana
Washikane watupe uhondo every day
Dada we noma unajua mpaka unajua
Asma tulikumisssss jmn😆
DlNO
Asma yamemkuta mbona🤣🤣🤣
Hatariii...Asmah is back 🔥
Jaman nampenda san vain pumbavu zangu naomben like zangu
Next please bana Niko n hamu
Vhailet uko Sawa kabisa piga kazi utafika mbali dadangu
Jamani nampenda sana Vaileth
MashaAllah mnajua na mnajua tena tunasubir part 4
Dahhhh damu mzito
Mapema ndio best
Ayiii ongeza time kbsa na furahi sana kuona kwamba uliza salama
Kwani Atanas hayo machozi huwa unayatoa wapi ya jirani hivyo😀 hongera tu
hii season nimeielewa Sana msichelewe mtupe muendelezo jmn inatoa funzo kubwa sana... Vai ana niinsiper sana
Dah jamani hii move inafundisha kitu fulani kwenye maisha ila fanyeni vipande viwe virefu kidogo
Congratulations 👏 very exciting 👏
Mm ni mkosoaji mzuri tu but kwa hii daaah hongereni sanaaa
1 - Vailet
2 - Asma
3 - Mama Asma mlezi ( Muuza maandazi )
4 - Baba Asma ( Daktar )
5 - Queen wangu
ISHINI KWA PAMOJA MNAWEZA SANAAA NA INSHAALLAH mtafika mbali mnoooo 🤲
Wote mnaweza kwa kweli ongereni
Nice one. Ina mafunzo tele
Move nzur sana jaman iendelee hata leo hongereni sana.
Nitamu sanaa lakn demu yupo vizurii sanaaa kwenyee hii igizooo jamni
🙏🙏🙏🙏🙏🙏🤩🤩🤩🤩🤩🤩🤩 mbn ulimfukuza xaxa
Kazi safi💯💯
Leo nimewahi naomba like hata 1
J'aime trop cette série et la chanson de mokolo.
Mashallhhh mashallhhh mashallhhh mashallhhh mashallhhh mashallhhh mashallhhh mashallhhh mashallhhh ndugu zangu mumeweza ni bonge la muvi uyo kaka anajuta ss mbuvu zangu mm wataka kuuwa kiumbe na mungu akakuonyesha
Jamn mnafanya vizuri saana na mm naomben mniweke kwenye kikundi chenu namm napenda saana kuigiza
When a good direct meets good actors and actresses.....director🙌🙌...huyo sista mlezi kipaji sana naye
Good job waiting part 4
Vai mamaangu we n mnoma sanaa🔥🔥🔥🔥nakupenda cz unajua mpka unakera💖
Naisubir part 4😎😎yaan mnawez kbx il muongezee dakik jmn
Good idea nimependa igusa jami yetu i like it
Una weza kuhingiza vuzuri mupaka umenifuraicha sana ,na Histoiria la ko ni zuri sana ,mimi Niko Congo ,na mimi nimusani kibao
Dah noma sana naona mambo ua kanumba sasa yameanza kurudi
Haraka Sana tunaisubiri Sana part4 shafi from zambia 🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲
Nawakubari kutoka Rwanda Kigali 🇷🇼🇷🇼 rakini part 4 tunawomba 🙏🙏🙏
Nguvu moja twende sawa 💪
I swear to God this girl is one of the best african actresses have;da would be better for her if she knows english because she is gonna be fruitful from her talent!!!!
Courage nawapenda saaana from burundi 🇧🇮
Vailett is the best actor for sure she knows how to act she's talented love you from Burundi
Hyu mdada namuelewa sanaaa
Ila vai unajua sana kuigiza kwenye kipande cha uchungu umeua kbc😅😅😅
Love you from Burundi 🇧🇮
Araka Sana 🙏 na part 4 jamani ❤️❤️❤️🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Khaaa ww kaka unalia kwa hisia had nimejisikia vbays😣
Ongereni sana wapenz kwazi yen zuri sana mubarikiwe wote ❤️❤️❤️,😭😭😭😭
Muna igiza vizuri sema punguzeni kulia maana sio mwanaume wala mwana mke
Nakupenda bure mdada vai we nijasiri
Sio mbaya japo stor mmeirusha sana lakini ipo vizuri
Huyu vai watampoteza hawa anajua sana na vile mrembo watamchukua makampuni makubwa
Dah Hadi machoz yamentoka
Mbona mwachelewa kupeta party jamni navile imefikia patamu 😂😂kibonge
Yaan hapo vyuma viwili vimekutana vai na atanas Ni noumaaaaaaa duh
Yn nyinyi ni viboko mnajw cn yn vipaji haswa👏
Nice one
Yani hakakatoto kanajuwa sana kuigiza mashaallah
Dhuuh nimelia pia mm Vai unaweza dada
Maze mnatisha sana hiikali tatizo nimoja tuu eposodes fupi ndo mna tupatia lakini tamu kweli
Respect san
Jmn mm nawapnd nasubriii😍😍😍
Kazi Mzuri
Morogoro seem ya sanaa aipo skwann
Dah....inaelekea kua tamthilia ...hakika ni yamoto