DOCTOR MO SIMBA AMCHAMBUA KELVIN KIJILI NI ZAIDI YA CHAMA PALE SIMBA ILA ALIKUWA HANA JINA TU

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 11 лип 2024
  • Спорт

КОМЕНТАРІ • 15

  • @user-wk2bg8zf3l
    @user-wk2bg8zf3l 25 днів тому

    SIMBA NGUVU MOJA 🎉🎉🎉🎉❤❤❤

  • @ZAMZUNZAMIRU
    @ZAMZUNZAMIRU 25 днів тому +1

    Kweli chama mbona mchezaji wa kawaida chama chama why chama?

  • @user-bt6ep3yb2h
    @user-bt6ep3yb2h 25 днів тому +1

    Huyo ndiyo maana amefungiwa kujihusisha na mambo ya simba, huwa nafikiri hajitambui kwenye football.

  • @user-wb9pj7do6i
    @user-wb9pj7do6i 25 днів тому

    Chama sio wetu tena siz tumuombee Charles na ujio wa Elie mpanzu

  • @kassimkingu5512
    @kassimkingu5512 25 днів тому

    Wanasimba hembu tuachane kumkumbuka chama tumsahau huyo chama

  • @lawlencekalenga4212
    @lawlencekalenga4212 25 днів тому

    Ifike mahala watz tuvikubal vyakwetu hata kama havijitoshelez kwa mahitaj 100% ,,kila ck tunawasemea vizur wageni tu jaman tubadlke

  • @kassimkingu5512
    @kassimkingu5512 25 днів тому

    Were vipo MO kila kitu unafananisha na chama kwa nini

  • @MgeniSaid-fp3wg
    @MgeniSaid-fp3wg 25 днів тому

    Msubiri dawa iingie mwilini

  • @ZachariaMwita-bu7rw
    @ZachariaMwita-bu7rw 25 днів тому

    Huu uchambuz ni kupotez tu muda uwezo utaonekana uwanjan

  • @user-bt6ep3yb2h
    @user-bt6ep3yb2h 25 днів тому

    Kama chama ni mchezaji wa kawaida ya nini mda wote kumlinganisha na wachezaji wengine? Huo ni udhaifu wa wivu kwa vile kaenda upande wa pili, muwe mnajitambua kwenye football. Mchezaji yeyote akihama timu ni bora kuachana naye kuliko kila siku mnalialia kwa nini amewaacha. Mlikuwa mnamtaka azi K mkashindwa, kwa nini msiwe mnamlinganisha na wachezaji wenu?.

  • @AdoniasManyama
    @AdoniasManyama 25 днів тому

    Ni bonge la mchezaj

  • @osiahlupa1605
    @osiahlupa1605 25 днів тому

    Huu sasa ni ujinga kila mchezaji anaesajiliwa simba mnasema ni zaidi ya chama. Why?

    • @Sanjey-vp1fm
      @Sanjey-vp1fm 25 днів тому

      Hata yanga walivyokuwa wakisajili kila mchezaji miaka ya nyuma walikuwa wanasema zaidi ya chama, mbona ulikaa kimya?

  • @ZAMZUNZAMIRU
    @ZAMZUNZAMIRU 25 днів тому

    Kweli chama mbona mchezaji wa kawaida chama chama why chama?