Kama chama ni mchezaji wa kawaida ya nini mda wote kumlinganisha na wachezaji wengine? Huo ni udhaifu wa wivu kwa vile kaenda upande wa pili, muwe mnajitambua kwenye football. Mchezaji yeyote akihama timu ni bora kuachana naye kuliko kila siku mnalialia kwa nini amewaacha. Mlikuwa mnamtaka azi K mkashindwa, kwa nini msiwe mnamlinganisha na wachezaji wenu?.
SIMBA NGUVU MOJA 🎉🎉🎉🎉❤❤❤
Kweli chama mbona mchezaji wa kawaida chama chama why chama?
Huyo ndiyo maana amefungiwa kujihusisha na mambo ya simba, huwa nafikiri hajitambui kwenye football.
Chama sio wetu tena siz tumuombee Charles na ujio wa Elie mpanzu
Wanasimba hembu tuachane kumkumbuka chama tumsahau huyo chama
Ifike mahala watz tuvikubal vyakwetu hata kama havijitoshelez kwa mahitaj 100% ,,kila ck tunawasemea vizur wageni tu jaman tubadlke
Were vipo MO kila kitu unafananisha na chama kwa nini
Msubiri dawa iingie mwilini
Huu uchambuz ni kupotez tu muda uwezo utaonekana uwanjan
Kama chama ni mchezaji wa kawaida ya nini mda wote kumlinganisha na wachezaji wengine? Huo ni udhaifu wa wivu kwa vile kaenda upande wa pili, muwe mnajitambua kwenye football. Mchezaji yeyote akihama timu ni bora kuachana naye kuliko kila siku mnalialia kwa nini amewaacha. Mlikuwa mnamtaka azi K mkashindwa, kwa nini msiwe mnamlinganisha na wachezaji wenu?.
Ni bonge la mchezaj
Huu sasa ni ujinga kila mchezaji anaesajiliwa simba mnasema ni zaidi ya chama. Why?
Hata yanga walivyokuwa wakisajili kila mchezaji miaka ya nyuma walikuwa wanasema zaidi ya chama, mbona ulikaa kimya?
Kweli chama mbona mchezaji wa kawaida chama chama why chama?