Wambie Mamangu uku wanajidanganya kusema Mungu ahangalii mavazi anahangalia roho😭😭😭 duuu ndio maneno ya waimbaji wakisasa kwani waimbaji wakisasa tukisimama kama uyu mama akika kuna jambo Mungu atalitenda kwetu 😭😭🙏😭😭
AMEN AMEN, mwenyezi Mungu akubariki sana mom ,,,,,, umeni bariki sana na neno nime amini MWENYEZI MUNGU atafunguwa njia zangu nipate mahali paku jenga na promotion pia nitapata ,
Asantee sana Upendo Nkone niko katika kipindi kigumu nimetiwa moyo sanaaa na hii interview hakika nmemuona BWANA limejikuta nalia sanaa naamini MUNGU ananipitisha katika hili jaribu maana kuna mahali pema pameandaliwa kwa ajili yangu🙏
Dadawe sauti yako yaponya mioyo. Mamangu mzazi kafanyiwa opareshion 8 huwa namwona kama muujiza na hilo hunifanya niutafute uso wa Mungu sana. Naomba siku moja nikutane nawe uso kwa uso
Nimepitia majaribu mengi,lakini through Nkone Mimi niliuona mkono wa Bwana,ninapigwa vita katika familia,kutengwa nao,lakini Mungu Ni Nani through Nkone am blessed,life still continuing
Nipo hapa New Jersey U.S.A najifariji na nyimbo zako.Katika huzuni na majaribu wengi tunachanganyikiwa maana wengi wa karibu wanatuacha lakini kumbe Mfalme mwenye uwezo yupo muda wote kufariji.Ubarikiwe sana
Ubarikiwe sana UN.Nakupenda sana kwa ajili ya Utumishi wako.Dada wa ukweli.Unayevaa vizuri .Title Vitenge. Nakukumbuka tangu ulipo solo na Yombo ule wimbo YESU YESU Anaokoa...... BWANA AENDELEE KUKUTUNZA
Upendo nkone nimerudia zaidi ya mara moja kuingalia hii interview ninavyoiangalia hii interview yako MOYO wangu unapitia wakati mgumu sana lakini kwa maombi yako nasikia Amani moyoni mwangu nasikia faraja naona mzigo umenituka,,,, MUNGU akubariki
Aiseee ata mimi nina wakati mgumu sana Bishala haziendi mtaji umekwisha mke wangu anaklibia kujifungua ata nyumban hela ya kula sina pamoja nakujitahid na kuhangaika sifanikiwi ila hapa nimepata moyo ....nguvu mpya ,yupo Mungu msemaji wa mwisho
Nimeyapitia mengi,duniani unakataliwa,unasemwa uongo,unasengenywa,unatusiwa,unachekwa,mamayo ndio huyo na analia,hujui pa kwenda,uliowasaudia wakishavuka daraja kiboko ndio hiyo,furahini
6:20 daaah huyu dada ana sauti... Allah amemjaalia.
MUNGU akuinuwe zaidi kwa huduma yake ❤❤❤
Hatutaaibika mungu ni mwaminifu..
Glory🔥🔥🔥
Machozi mengi, mama Mungu akubaliki sana, nakupenda ntaaka kukuwona macho Kwa macho. Nmetoka Rwanda
Wambie Mamangu uku wanajidanganya kusema Mungu ahangalii mavazi anahangalia roho😭😭😭 duuu ndio maneno ya waimbaji wakisasa kwani waimbaji wakisasa tukisimama kama uyu mama akika kuna jambo Mungu atalitenda kwetu 😭😭🙏😭😭
Wajina Asante kwa faraja Mungu akutunze kwa ajili ya watu wengi
Mungu kubariki sana mom nakupendaga sana mom yangu ❤️❤️❤️🙏🙏🙏
AMEN AMEN, mwenyezi Mungu akubariki sana mom ,,,,,, umeni bariki sana na neno nime amini MWENYEZI MUNGU atafunguwa njia zangu nipate mahali paku jenga na promotion pia nitapata ,
Sjawahi kukutana na interview kama hii it's more than blessing 🙌💖
Asantee sana Upendo Nkone niko katika kipindi kigumu nimetiwa moyo sanaaa na hii interview hakika nmemuona BWANA limejikuta nalia sanaa naamini MUNGU ananipitisha katika hili jaribu maana kuna mahali pema pameandaliwa kwa ajili yangu🙏
Dada upendo huwa unanibariki sana ktk nyimbo zako. Barikiwa sana Dada
Ubalikiwe sana mamangu
Umenibaliki kabisaa
Dadawe sauti yako yaponya mioyo. Mamangu mzazi kafanyiwa opareshion 8 huwa namwona kama muujiza na hilo hunifanya niutafute uso wa Mungu sana. Naomba siku moja nikutane nawe uso kwa uso
Mama yangu kipenzi nakupenda mungu akulinde mama
Nimepitia majaribu mengi,lakini through Nkone Mimi niliuona mkono wa Bwana,ninapigwa vita katika familia,kutengwa nao,lakini Mungu Ni Nani through Nkone am blessed,life still continuing
Ubarikiwe mama yng, ctokusahau kwa uimbaji wako
Mungu akupe nguvu mpya uishi miaka mingi your;; such a encouraging woman ofGod😭😭😭am a upcoming Artist and i am encouraged
Nipo hapa New Jersey U.S.A najifariji na nyimbo zako.Katika huzuni na majaribu wengi tunachanganyikiwa maana wengi wa karibu wanatuacha lakini kumbe Mfalme mwenye uwezo yupo muda wote kufariji.Ubarikiwe sana
Amen Yupo Mungu Msemaji Wa Mwisho 🙏🙏
Mama Mungu akubariki nimependa interview yako, hakika Mungu azidi kukuinua
Ameen,,inatia moyo sana,,b blessed mtu wa Mungu
Yupo Mungu msemaji wa mwisho🙏
Ubarikiwe sana UN.Nakupenda sana kwa ajili ya Utumishi wako.Dada wa ukweli.Unayevaa vizuri .Title Vitenge.
Nakukumbuka tangu ulipo solo na Yombo ule wimbo YESU YESU Anaokoa......
BWANA AENDELEE KUKUTUNZA
Mungu akubaliki mamy upend ♥️♥️
Nakubali sana mtumishi
Nakupenda sana Upendo Nkone, unafanyika baraka sana kwangu,
To many more blessings Upendo nkone..
God bless you woman of God🙏
wow Mungu aendelee kumtunza kwa ajili yetu.
So wanderfully woman; nimekupenda sana kwa huduma yako; be blessed
Jina la Bwana lisifiwe. Umenitia moyo sana Mchungaji Upendo. Mungu akubariki na akuzidishie Kibali na neema
Ume ni himiza tena katika Imani maman nashukuru Mungu kuku tiya nguvu, kutoka Congo 🇨🇩 nazipenda nyimbo zako
upendo ni sawa na kinanda nimefanya naye kazi na Malumbu yaani ye all time kazikazi!!!!
Nitamwabudu mungu wa upendo nkone
Nabarikiwa sana kutoka Kenya
Mungu akubariki sana
Ubarikiwe mama
Ubarikiwe sana mama nyimbo zako zimenitowa mbari
😩😩😩💞 mom nakupenda sanaaaaaa
Mama Mungu. Akubariki kupitia huu ujumbe nimevuka Leo nimevuka Mungu Jameni akubariki sana mama shikia hapo maana zawadi utapewa
Utukufu kwa Bwana
Unanibariki sana mama..MUNGU akutunze sana
Kweli mama mungu akubariki sana ninapo sikiya nyimbo zako kweli zinani fariji moyo wangu sana
Asante sana Mama Fadhili na Zabron.. ninachoweza sema ni MUNGU akubariki sana na akunze sana..
Ubalikiwe sana Mama
I was hopeless but thru this song am feeling encouraged 🙏
Mungu akuinue zaid mama nakupenda
It's well Upendo Nkone
Ubarikiwe Dada angu upendo....Mungu akuinue katika viwango vya juu na vilivyo na kibali mbele za Mungu
Upendo nimebarikiwa Sana zidi kumtumikia Mungu mama next naomba awe angel bernard please Kaka Huruma charles
AMEN 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏 barikiwaa mtumishii wa Mungu
Amen Amen interview inaishi mpaka 2021
Hakika Mungu ni msemaji wa mwisho
Amen dada ubarikiwe sana tena sana.
Powerful 🙌😭umenitia moyo sana
I've been looking for this interview, be blessed woman of God
Mungu akubariki sana mama kwa huduma yako,Kuna sehemu Mungu anakupeleka
una sauti nzuri ubarikiwe sana!
Be blessed mom 💜💜 Mungu akutunze maneno yak yanatia moyo sana
Maa Shaa Allah.. Interview nzuri
Nimebarikiwa
Nimependa sana wimbo huu
Mungu akubariki sana mama🙏🙏
Nmebarikiwa sana na kipindi
Nmebarikiwa sana, Kumskiliza Upendo Nkone
And this woman of God can preach and bless many , upendo u do inspire me alot
interview imejaa uwepo wa Mungu
Indeed ..I thank God it draws me closer to Him..wengine wakiacha yeah Yuko na Mimi
Mama mama mama.umenitoa machoz kwa kweli.yani nimejiona kama nimetua mzigo wangu wooote
Unachosema ni kweli kabisa.Mungu akubariki sana mama.
Da mungu akubarik
Upendo nkone nimerudia zaidi ya mara moja kuingalia hii interview ninavyoiangalia hii interview yako MOYO wangu unapitia wakati mgumu sana lakini kwa maombi yako nasikia Amani moyoni mwangu nasikia faraja naona mzigo umenituka,,,, MUNGU akubariki
Aiseee ata mimi nina wakati mgumu sana Bishala haziendi mtaji umekwisha mke wangu anaklibia kujifungua ata nyumban hela ya kula sina pamoja nakujitahid na kuhangaika sifanikiwi ila hapa nimepata moyo ....nguvu mpya ,yupo Mungu msemaji wa mwisho
My mum nakupenda sana 💞💞
😭😭😭 utabaki na Mimi yesu
Amen asante Maman😭
Amen Amen am blessed
Brown from huye Rwanda nampenda sana huyo mama 🌻
Mungu akubariki sana brother Brown
Nimetoka kenya,mama umeninguza kweli.napitia mangumu lakini naamini mungu atafanya nji
Barikiwa maman yangu
nabarikiwa sana nawe
Upendo nkone unatiamoyo sana
Kama vile nikiimba nikitoka Kwa madhabau watu wanapopinga makofi nami moyoni nasema Mungu upokee sifa..Mungu nisaidie tu
Hawa ndo waimbaji wanaohitajika katik kipindi hiki ,,ila huwa unanyimbo za kuponya mioyo ya watu na kuwainua ukwel nakukubali Sana mama❤️❤️❤️
May God bless for good songs. For the encouragement barikiwa
Sio siri nimekuwa emotional jaman
I'm blessed
Ooh God !! Toka nilivoanza kuangalia ninalia tu,Naona unaongea na Mimi kabisa...
wow..... so sweet
Baraka sana
Best Singer
I LOVE YOU WOMAN OF GOD YOU INSPIRE ME SANA❤❤❤
So inspiring...I like your ministry upendo...May the Lords grace and favor locate you..
Kwa wiki naitazama mara 3
Mama wewe Ni wa aina yake nakuambiaa Mungu akutunze
03/09/2024 utabaki na mimi😊
Amen, very powerful
Jambo Mama Upendo. naomba uniombeye, Mungu akubariki Sana. Kwa fareja kubwa. Asante, Amena!
Amen Amen
NAMPENDA HUYU DADA HATALI.
Haluyaa
Very touching
Amém 😭😭😭🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌
Kweli Mungu diyi msemaji wamwisho
Amen! Amen! Amen! Upendo
Hatutaabika MUNGU ni mwanaminifu
Jmn jmn uyu mama ndo muimbaji sito acha kumpenda kwakweli
Namwomba MUNGU anifanye kama wewe, niombee na uniachie vazi lako kwa jina la YESU niko nyumaa yako.
Omba Mungu akupe vazi lako kwa sababu uwezi jua vazi lake lina changamoto kiasi gani
Nimeyapitia mengi,duniani unakataliwa,unasemwa uongo,unasengenywa,unatusiwa,unachekwa,mamayo ndio huyo na analia,hujui pa kwenda,uliowasaudia wakishavuka daraja kiboko ndio hiyo,furahini