NAIBU KATIBU MKUU BARA MHE BENSON KIGAILA KULISAIDIA JESHI LA POLISI

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 16 вер 2024

КОМЕНТАРІ • 174

  • @akramissa3393
    @akramissa3393 6 днів тому +6

    Safiiiii! Nimezaliwa katika Familia ya Ccm ila nimetokea kuichukia sana kwa moyo wangu wote, kimekua chama cha ajabu sana, hamna utu. Nimehimiza with a serious order watu wote under my roof hamna kupiga kura hata moja kwa mwana ccm

    • @godfreydavid6996
      @godfreydavid6996 6 днів тому +1

      Ndugu yangu nani kakuambia kura zetu zitaamua mustakabali wetu? Katiba mpya tu ndio itatukomboa la sivyo tutatawaliwa na ccm hadi kiama.

    • @MohdIkra-d7s
      @MohdIkra-d7s 6 днів тому

      Iyo ni sahihi chama hicho kimepoteza sifa

  • @JoshuaJulius-m5w
    @JoshuaJulius-m5w 6 днів тому +13

    Sativa awekewe ulinzi hawa jamaa wanaweza kuja kumalizia kazi yao ili wapoteze ushahidi na polisi wasiruhusiwe karibu nae alindwe na watu wengine masaa 24

  • @thadeovitus3435
    @thadeovitus3435 6 днів тому +12

    Fumbo mfumbe MJINGA mwerevu atang'amua!! WATANZANIA wameelimika!! Sio kama zamani!!!

  • @AlouiseNgenDanDumwe
    @AlouiseNgenDanDumwe 6 днів тому +15

    Naombeni samia achunguze kuhusu elimu yake

  • @richardnganya2311
    @richardnganya2311 6 днів тому +8

    Pingu zinamilikiwa na vyombo vya usalama ! Polisi. Magereza.. Usalama waTaifa..! Ni kielelezo kwamba kuhusika kwa wamiliki wa pingu kunaashiria kuhusika na matumizi ya pingu kwa mkamatwaji nk

  • @justardzelphine6526
    @justardzelphine6526 6 днів тому +8

    Mungu keshawapa jibu la utekaji baada ya kumnusuru saliva,

  • @SundaySteven-bz4yq
    @SundaySteven-bz4yq 6 днів тому +4

    Serikali inahusika na utekaji maana Kila anaye ikosowa serikali anapewa vitisho mwisho kutekwa

  • @user-yw3qh6qj8g
    @user-yw3qh6qj8g 6 днів тому +8

    Msipate shida, aliechora ramani yote ni PETER MSGWA,huyu ndie mhusika

    • @MohdIkra-d7s
      @MohdIkra-d7s 6 днів тому

      Kasema nani kama yeye ni muhusika kiuchunguuzi

    • @hajihassan5433
      @hajihassan5433 2 дні тому

      Subiri uchunguzi. Msigwa anamjua nani ili wapange issue hii lakini pia ili iwe nini.

  • @phillipmasungwa7365
    @phillipmasungwa7365 6 днів тому +3

    SAHIHI KABISA ULIYOYASEMA BENSONI .

  • @AlouiseNgenDanDumwe
    @AlouiseNgenDanDumwe 6 днів тому +9

    Wamutekeni kwanza abdul mtoto wa samia

  • @mpendamema3694
    @mpendamema3694 6 днів тому +2

    Ben mshipa wa uoga umekatika hapo namuelewa sana😂 hakuugua maleria 😢

  • @JumaMkiji
    @JumaMkiji 6 днів тому +4

    Ongea baba

  • @FurahaNelson-z6c
    @FurahaNelson-z6c 5 днів тому +1

    Huyo hakimu anapewa maelekezo na polisi inchi ya ajabu sana

  • @thadeusmateru1356
    @thadeusmateru1356 6 днів тому +4

    Kuna ombwe kubwa kwenye uongozi wetu. Mama kaupiga mwingi hata kudhulumu uhai ni kuupiga mwingi. Ni dhahiri wana wake kuongoza Taifa bado sana. Binafsi sintompigia kura mwanamke yeyote aniongoze

    • @godwinshoo5032
      @godwinshoo5032 6 днів тому

      Mfumo dume

    • @godwinshoo5032
      @godwinshoo5032 6 днів тому

      Mfumo dume

    • @f.a6043
      @f.a6043 6 днів тому

      Sio vibaya wakitawala hadi kiama lkn baada ya kiama nawao watatawaliwa milele na ibilisi muovu shetani milele kwenye jehanam 👹👈🏼 ya moto🔥🔥🔥 hapo ndio watajua dawa ya moto 🔥 ni moto 🔥🥵🥵🥵

  • @user-yw3qh6qj8g
    @user-yw3qh6qj8g 6 днів тому +4

    Mtu alieshuka na mzee kibao kwenye bus,inasemekana alikuwa MSIGWA

    • @MohdIkra-d7s
      @MohdIkra-d7s 6 днів тому

      Inasemekana sio lauli ya Ushahid wa kutosha

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 6 днів тому +5

    Nchi hii kibokoooooo haki hakuna kabisa Tanzania Polisi inauwa wananchi wake kiaa Vyama vya Siasa

    • @tanzanite9944
      @tanzanite9944 6 днів тому

      Una ushahidi au unasikiliza Porojo na kulishwa matango Pori na ukaingia line.

    • @Mosmwampa
      @Mosmwampa 6 днів тому

      ​@@tanzanite9944yaan watu wanatekwa na kuuwawa unasema unasikiliza porojo, ila haishangazi maana mshasema ni mambo yote ni drama. Majambazi wakubwa ninyi

    • @mbwanahasan2971
      @mbwanahasan2971 6 днів тому

      ​@@tanzanite9944chizi wewe chawa roporopo

    • @JohnManyilizu-rl5bm
      @JohnManyilizu-rl5bm 6 днів тому

      Wewe unaona porojo

    • @godfreydavid6996
      @godfreydavid6996 6 днів тому +2

      ​@@tanzanite9944Wewe una ushahidi kwamba hawahusiki? unataka ushahidi gani ujue kwamba wanahusika?

  • @user-ky8ux9yu7f
    @user-ky8ux9yu7f 6 днів тому +2

    Wao wana uwezo wa kuteka na sisi MUNGU ametupa uwezo wakujua kinacho endelea ktk inchi,yote haya MUNGU amenyamaza Kama hayaoni,mjue hizo ni laana juu yenu pamoja na familia zenu, mnazo zihangaikia.

  • @user-yw3qh6qj8g
    @user-yw3qh6qj8g 6 днів тому +8

    Mzee wetu KIBAO aliemuuza ni PETER MSIGWA

  • @aliyageorge6794
    @aliyageorge6794 6 днів тому +2

    Mungu amependa kuwaonyesha hili jambo liwe hadharani....

  • @msadikijustinekimaro8073
    @msadikijustinekimaro8073 6 днів тому +2

    Kwa ujasiri huu, mficheni Sativa ikiwezekana, hata Nje ya Nchi maana hao wasiojulikana wanaweza kumuua ili kupoteza ushahidi, msijiamini Sativa si salama Tena fanyeni haraka.

    • @MohdIkra-d7s
      @MohdIkra-d7s 6 днів тому

      Wewe ni nani unasema nini na ni ni unakusuudia eti (SATIVA AFICHWE) hatuwezi kushika ilo wazo kama ni ujinga ndio na kama upumbavu ndo namba moja ataabaki hapa na itakua ni Kielelezo cha kuwatia hatiani watesi wake

  • @TomasiklistophaMwinuka
    @TomasiklistophaMwinuka 6 днів тому +1

    Mungu tusaidie viongoz wametugeuza Sisi wananchi wake niwakutolewa kafara mungu ingilia kati wanao tumekosa wapi

  • @ObadiahMutambo
    @ObadiahMutambo 6 днів тому +2

    Heeee nimepumua maana kifua changu kilijaa hasira kwamaelezo haya yamejitosheleza bila kupepesa macho kweri hapo pana utatu wa uharibifu na hawa ndio watekaji halisia kwa maelezo haya chadema mmenitibu jeraha tuone serikali itasemaje hili ,,kwasasa ninaimani na chadema 100%

  • @LamaLama-rf6xu
    @LamaLama-rf6xu 6 днів тому +3

    Safi sana Kamanda Kigaila.
    Waanze kumkamata na kumchunguza yule kijana wa ccm Kagera aliyetamba mbele ya MKUTANO wa uvccm, na kuwaambia polisi wasiwatafute watu wanaopotezwa na wao uviccm!!

  • @user-ky8ux9yu7f
    @user-ky8ux9yu7f 6 днів тому +5

    Basi jeshi la polisi sio professional mpaka inafikia sisi wanainchi tunawafundisha.

    • @leokamil6284
      @leokamil6284 6 днів тому

      Wapo na intelejensia tu wanapotaka kuwahujumu Chadema. Ila kwa mengine wanahitaji uchaguzi wa raia ndio utashangaa wanalipwa kwa nini ?.Walipompa Mbowe kesi walijuaje ?kama walijua yote yale basi wanataka ushahidi wa raia kivipi

  • @daudimaembe3360
    @daudimaembe3360 4 дні тому

    Inaumiza sana,watekaji wakibainika wafukuzwe misikitini na makanisani.

  • @ndimimaskati3641
    @ndimimaskati3641 5 днів тому +1

    Nchi inahitaji kubadilishwa mfumo wa Uongozi.

  • @emmanuelmayunga1518
    @emmanuelmayunga1518 6 днів тому +1

    Hii nchi amani hakuna tena kila mtu hana uhakika na kesho yake,mioyo ipo juu juu tu,,kifupi Rais tuzingatie tunaumia sana tunaposikia haya matukio😢😢

  • @DayanaSuphian
    @DayanaSuphian 6 днів тому +1

    ila msisahau mama amenunua silaha mpya za kivita 😅😅

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 6 днів тому +3

    Waziri wa Mambo ya Ndani jiudhuru tu kama hayati Ally Hassan alivyojiudhuru kipindi cha Mwalimu Nyerere Baba huyu hakuwa na makosa kamwe alikuwa Muungwana

    • @tanzanite9944
      @tanzanite9944 6 днів тому

      Acha Ujinga.. Waziri anahusika nini na majambazi? Sema achukue hatua na sio kujiuzulu.

    • @user-zo9ti2xe1z
      @user-zo9ti2xe1z 6 днів тому +1

      hatua gani ndugu na kila cku hatua kiukweli km hatutaki matatizo wacheni mambo haya siasa

    • @lukomanomaliki5442
      @lukomanomaliki5442 6 днів тому

      Ajiuzuru, mpaka Sasa kashindwa kuchukua hatua zinazoeleweka,hadi utekaji umekithiri.

  • @rebekakulwa6159
    @rebekakulwa6159 6 днів тому +2

    Kuna lisenge. La fisiemu lifisi limsukule linatukana

  • @GoodluckNjau-km3ym
    @GoodluckNjau-km3ym День тому

    Watanzania tumeanza kuuwana wenyewe kwa wenyewe inaa maana Tanzania hakuna amani kama watu wana tekwa na ku uwawa

  • @ndimimaskati3641
    @ndimimaskati3641 5 днів тому

    Hkuna uchunguzi utakafanyika na mapolisi wa ccm, hiyo ndio kazi zao kutesa wananchi, nchi inahitaji KATIBA Mpya na Sheria mpya.

  • @travellahmsafirihiphop5325
    @travellahmsafirihiphop5325 6 днів тому +2

    Dah ukweli ni kwamba chadema ni mkombozi wa nchi hii inawatu wenye akili nyingi sana

  • @RESTITUTAMOLLED-mp3pp
    @RESTITUTAMOLLED-mp3pp 6 днів тому +1

    mama au baba mzuri wa familia ni yule anayejua wajibu wake kwa familia yake,ikiwepo kuhakikisha shibe, afya njema,malazi na usalama wa familia, vinginevyo atakuwa mzazi wa aina gani?nasi watoto tukishagundua tabia ya wazazi wetu ni jukumu letu kumuomba Mungu atupe marifa na kujipanga jinsi ya kujiongoza na kujenga msingi imara wa kesho ilikuhakikisha kizazi tunacho kijenga kinakuwa bora natutapata wazazi wazuri kesho,tukizubaa imekula kwetu, tukutane 2025 tuijenge kesho yetu for the benefit of present and future generations

  • @SedekiaIsrael
    @SedekiaIsrael 3 дні тому

    Nakubali sana kigaila

  • @JoelRichard-hj3bi
    @JoelRichard-hj3bi 6 днів тому +5

    WAZIRI HUSIKA AJIUDHURU TU,NAE NI TATIZO KUBWA.

    • @tanzanite9944
      @tanzanite9944 6 днів тому

      Waziri amefanya kosa gani? In maana aziri akujiuzulu ndio tatizo limeisha? Huna Akili..

    • @Kwelihukuwekahuru
      @Kwelihukuwekahuru 6 днів тому

      ​@@tanzanite9944wewe ndiyo huna akili na elimu kiongozi kujiuzulu ni kuonyesha kutofurahiwa na utendaji wa walio chini yake mfano ni Hayati Ally Hassan Mwinyi alipokuwa waziri wa mambo ya ndani kwa mauaji ya Shinyanga Lowasa alijiuzulu kwa swala la Richmond nk

    • @Mosmwampa
      @Mosmwampa 6 днів тому

      ​@@tanzanite9944kwahiyo Kwa akili yako nani awajibike katika yote yanayotokea, Rais au waziri

  • @eunho9529
    @eunho9529 6 днів тому +1

    polisi wasicheze mchezo wa kuigiza, kisa cha sativa hata ukimpatia mtu asiye na elimu ya uchunguzi atajua nani alihusika na nani mhusika wa matukio ya namna hiyo.

  • @mayrfrimi4759
    @mayrfrimi4759 6 днів тому +1

    Tufanye maandamano kupinga utekaji, laa sivyo kwenye uongoz wa samia tutakwisha, hata watalii wameshaanza kuhamia kenya, watanzania hatuna amani, bali tunaishi kwa uvumilivu.

  • @JumaMkiji
    @JumaMkiji 6 днів тому +1

    Kwani awajui wanafanya kusudi wauaji wanajitokeza mbakamitandaoni wao wanakaa kimya kiboko Yao kujitoa muanga Kwa maandamano ya mapambano

  • @thomaskiponda6079
    @thomaskiponda6079 6 днів тому +1

    MAMBO YANAZIDI KUWA MUBASHARS😂😂😂😂😂

  • @lukomanomaliki5442
    @lukomanomaliki5442 6 днів тому

    Mauaji ya Kibiti/Rufiji yalivyokithiri hayati Magufuli alimtengua IGP Mangu.Lakini mama anashindwa kumtengua huyu IGP kuendelea kulipwa mshahara na posho zinazotokana na kodi za wananchi,wakati IGP kashindwa kudhibiti uhalifu wa utekaji wa Wananchi hao ndo wanataabika kwa kutekwa na kuuwawa.Hii ni dharau na fedheha kwa taifa.

  • @GerrardLaizzer
    @GerrardLaizzer 6 днів тому +1

    Daaa😭😭😭jaman hii sio sawa ni vile tu cc ma chicken

  • @user-zo9ti2xe1z
    @user-zo9ti2xe1z 6 днів тому +1

    mm nipo na akili ndogo sn ndio mpk leo nashukuru na ishi kiukweli siasa za tanzania dah noma sn hao bac wachieni watawale cku zote bac

  • @MohdIkra-d7s
    @MohdIkra-d7s 6 днів тому

    Chadema nyinyi ni wakali kwenye kuongea lakini hamutendi kweli wao wanaua wanaumiza na kuteka wananchi wanachama wa chaddema kisha munacheka naoooooo vp PEOPLE POWER haionekani kwenye utekelezaji

  • @jumannemsengi2195
    @jumannemsengi2195 4 дні тому

    Lakini yote haya ni matokeo ya SAMIA kukubali kuwa Raisi kikatiba, sasa GENGE alilolibwaga likiongozwa na KOMREDI mzoefuuuuu kabsa sasa watamfanya aonekane hafai ,,,💯 na hii itamla mpka achie ngazi wanahela hao

  • @estambuya3901
    @estambuya3901 6 днів тому +1

    Polisi wanahusika,usalama wa taifa wanahusika, ccm wanahusika.

    • @JumaMkiji
      @JumaMkiji 6 днів тому

      Nikweli kabisa wanausika

  • @ErastoNzibonera
    @ErastoNzibonera 6 днів тому

    Huu ushaiidi unaukweli asilimia100000000000

  • @ceciliamagalabajimmy4391
    @ceciliamagalabajimmy4391 6 днів тому +1

    Umeongea kwa uchungu sana. Sasa ninachoshangaa eti wewe tena ukaisaidie polisi!!! Wahusika si wapo? Sativa yupo, Mbwana wanae, waanzie hapo.

  • @samsonrusagira5168
    @samsonrusagira5168 6 днів тому

    Kama kweli polisi wanachunguza suala la Sativa mimi natarajia Polisi waliokuwa zamu pale Oysterbay wanapaswa kuwa wako ndani watekaji watajulikana tu kwa kuwahoji hao walioķuwa zamu hapo Oysterbay.Hawawezi kufanya hivyo basi wanaficha jambo na Rais Samia hatapewa taarifa yoyote ya maana.Polisi hawawezi kujichunguza .Wao ni watuhumiwa.

  • @MohdIkra-d7s
    @MohdIkra-d7s 6 днів тому

    Mimi ninacho kiona hapo ccm ndio wanahusika kwa asilimia 60% kutokana na yale wanayoyasema wenyewe kwenye mitandao chinjachinja vip tusianze nawao

  • @henerichmombury2682
    @henerichmombury2682 6 днів тому

    UTEUZI WA IGP NA DCI KWA NIA NJEMA YA RAIS WETU . UTAFANYA WANANCHI WATIE SHAKA. .

  • @user-ky8ux9yu7f
    @user-ky8ux9yu7f 6 днів тому +2

    Hii wanainchi tumechoka.

  • @hijasaid7606
    @hijasaid7606 6 днів тому

    Nashukuru umenifundisha kitu Leo baba

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything 6 днів тому +1

    👍👊✌️.

  • @BadiFakibadi
    @BadiFakibadi 6 днів тому +1

    Wanajua kira kitu wamezowea kujitoa ufahamu

  • @essaumapunda5766
    @essaumapunda5766 6 днів тому

    Dunia inaangamia Mungu utusaidie ktk hali ilivyo kwa sasa ni mbaya

  • @The1979bornagain
    @The1979bornagain 6 днів тому

    Mimi nafikiri hata Rais Samia Suluhu Hassan anapaswa kuchunguzwa kama ni mtu kweli hata akawa Rais au tunaongozwa kiumbe chenye sura ya mtu tu?

  • @user-oh4vs2fs2v
    @user-oh4vs2fs2v 3 дні тому

    Amesema ukweli, Rais alisema, wachunguze na matukio mengine kama hayo, ni vyema waanze na hao waliotekwa kipindi Cha nyuma AMBAO maelezo Yao Yako wazi waliitwa na nani mpaka wakatekwa huko, Ina maana wanatumia kauli za mitego, wakimuita mtu kupitia mtego kumbe ndio njia ya kumkamata, waanzie hapo kabisa

  • @TumahSaid
    @TumahSaid 6 днів тому

    Wakianza wao nchi itaingia barabarani

  • @EliaHiluka
    @EliaHiluka 3 дні тому

    Kwa sheria gani mamlaka hiyo police

  • @paulombay6884
    @paulombay6884 6 днів тому +1

    Mbn kama rais ndo anajua kila kitu afu anajifany mzur

  • @mbikamtanganaki
    @mbikamtanganaki 4 дні тому

    Kwa mtu mwenye akili huu mkakati ni watu wanaupanga kutuaribia nchi polisi kuweni makini hayo yote kayasababisha rais kuachia mamikutano watu hawafanyi kazibkazi ni kyandamana tu

  • @kaaakwakutuliaa5179
    @kaaakwakutuliaa5179 5 днів тому

    wana chadema tunaomba maandamano ya kila mkoa kwa kila alie potelewa na ndugu yake atoke na picha nchi nzima muone tatizo lilivyo kubwa na watu watawaunga mkono rejea mikutano ya makonda kila mkoa watu wamepotea sio chini ya watu watano

  • @AnnaFelix-p1z
    @AnnaFelix-p1z 6 днів тому

    Au nasisi tuteke watoto wawo ili waone maumivu jamani mimi nawona vita mbele ccm hawataki kutoka na wanasema kila siku watamaliza wasemaji ili watu wazofike

  • @dorothyminja8523
    @dorothyminja8523 6 днів тому

    Mahakama zenyewe zipi.........?

  • @dorothyminja8523
    @dorothyminja8523 6 днів тому

    Anaweza kuwa alikata ticket lakini LABDA hakuandika jina lake halali. Sidhani kama mabasi wanahakiki na vitambulisho wakati wa kukata ticket. So aliyejeti Nyuma ya Mzee Kibao anaweza asijulikane LABDA Sasa mabasi yawe na camera.

  • @MohdIkra-d7s
    @MohdIkra-d7s 6 днів тому

    Hemu chadema sikilizeni mumelala sana amkeni ni vip mtu anakamatwa na vijana wa ccm kijiwe cha boda halafu aoo watu walio hapo boda wenzake Wan aangalia tuuuu n ivip kama ivo inatokea hemu watangazieni MGUU SUPU ao ccm

  • @Stevenmwanisawa-dt5vb
    @Stevenmwanisawa-dt5vb 6 днів тому

    Kwa hapa ata mtoto wa darasa la kwanza anaweza kukupa jibu kwa haya matukio

  • @hijasaid7606
    @hijasaid7606 6 днів тому

    Mama kamtumbua yule hafai

  • @mbikamtanganaki
    @mbikamtanganaki 4 дні тому

    Uyo mama nae ni mshenzy kwa nini aspige kelele

  • @dorothyminja8523
    @dorothyminja8523 6 днів тому

    Hawajataka, walitaka siku moja tuu wanawakamata watekaji na wauwaji.

  • @AnnaFelix-p1z
    @AnnaFelix-p1z 6 днів тому

    Na vitambulisho wanavyo onyesha vya polisi wamevitowa wapi vitambulisho vyakazi jamani niwawo tupige kampeni wanatuteka ili tuwe wawoga

  • @egdldm4981
    @egdldm4981 6 днів тому

    Hata kifo cha Magufuli tulipohoji juu ya kifo chake na kutaka uchunguzi ufanyike, si tuliulizwa na Samia mwenyewe kama tuna ushahidi?

  • @henerichmombury2682
    @henerichmombury2682 6 днів тому

    KUMBUKENI TUKIO LA ZACHARIA MWEMYE MABUS KASKAZINI. WALIOMKAMATA. WALIPOZIDIWA NA BODABODA WALIJISALIMISHA NA KUTHIBITISHA NI KINA NANI. ALLAH SHUSHA DUWA YA UFAHAMU KWA WA TANZANIA ZAIDI.

  • @RajabuSeify
    @RajabuSeify 6 днів тому

    Je wewe kama pia kwa vile huwaamini jeshi la polisi utaajiri wakwako wafanye upelelezi.hutoshi ndio maana chadema kuchukua nchi nivigumu tuonane kwenye majukwaa ccm oyee subiri😅

  • @AnnaFelix-p1z
    @AnnaFelix-p1z 6 днів тому

    Jamani ccm ndo selikaliyenyewe na wasiyojulikana wapo ndani ya selikali jamani ninani anae miliki bunduki kama siyo waoo ! Siyo swala la kujiuliza jibu tunalo wote

  • @SaidAlly-uh4qw
    @SaidAlly-uh4qw 6 днів тому

    Eti viongozi kama hawa ndo wapewe waongoze nchi chadema hawana viongozi wenye sifa ya kuongoza nchi wana watu wenye vichwa vibovu kama hili zezeta kigaila

  • @henerichmombury2682
    @henerichmombury2682 6 днів тому

    ALLAH Hutenda aonavyo inafaa. RAIS WETU KUMBUKA MANENO YA MHE. GETRUDE MONGELA. JUU YAKO. BINAFSI YAKO ULIWAAMBIA WALIOKUWA WAKIITWA MABEBERU KUWA : HAIKUWA KAZI RAHISI KUFANYA KAZI NA MTANGULIZI WAKO. MWISHO MSIKILIZE KIGAILA WA CHADEMA.

  • @paulombay6884
    @paulombay6884 6 днів тому +1

    Tuandamane tu tanzania yote

  • @fr.edgarngowiosa6599
    @fr.edgarngowiosa6599 6 днів тому

    Mark my words: Kombo Mbwana hawatamuachia akiwa hai. They are just making a delay of time to hide evidence.

  • @kaaakwakutuliaa5179
    @kaaakwakutuliaa5179 5 днів тому

    tatizo chadema hamsomi maoni

  • @simonndunguru1629
    @simonndunguru1629 6 днів тому

    Muogopeni Mtu anayejifanya mpenda Watu kumbe nikiumbe Mbaya sana. Tumezoea kusifu nakuwa wanyonge.
    Waaminifu Hakuna ktk Nchi yetu Ule usemi wa Ndugu umekufa Sasa ni kujiadhari yoyote haaminiki ni adui Wako

  • @Veni584
    @Veni584 6 днів тому +1

    Askofu alisema unapokamatwa piga picha lakini hatuelewi, kibao kakamatwa hakuna aliyejishughulisha

    • @ubunifu113
      @ubunifu113 6 днів тому +2

      Huo muda wa kuwasha simu unaupata wapi? Wewe unafahamu mtutu?????? Kumbuka huwa ni tukio la ghafula

    • @MedsonUlendo
      @MedsonUlendo 6 днів тому +2

      😂 pia kama watu wanakuja kumchukua mbele za watu nakuondoka nae na slaha wanajiamini nn Ina maana hiyo picha haito Sadia lolote kama hata mjadala tu bungeni spika aliona hauna tija huku ukweli unaonekana watu wanatekwa ili wanaichafua sana hii nchi mwisho tutaingiliwa na watu wabaya kwa kisingizio hicho hicho

    • @JohnSelelii
      @JohnSelelii 6 днів тому

      Wanakuwekea mitutu kichwani utapigaje picha mfano kibao ndani ya basi mchana kweupe watu wanaona abiria wengine na wahudumu wa basi walishuhudia halafu mmmh

  • @AlexMkwama
    @AlexMkwama 6 днів тому

    Ni majira ya kuiombea Nchi yetu

  • @aronmilinga7303
    @aronmilinga7303 6 днів тому

    Km kombo aliambiw kajeng eneo la mtu . CCM ndo imenunua hlo eneo au ? Mbna mnahusisha vtu wkt jibu mnalo .c ugomv wa ardhi huo?

  • @user-ky8ux9yu7f
    @user-ky8ux9yu7f 6 днів тому +2

    Raisi samia washauri wake wote wanamdanganya,wao wanataka aharibikiwe.

  • @ndimimaskati3641
    @ndimimaskati3641 5 днів тому

    Mfumo wa KIDIKTETA wa magufuli unaendelezwa.

  • @aronmilinga7303
    @aronmilinga7303 6 днів тому

    Ushauri wangu tujkite kuchunguz kwann polis wanatek wat ama kuwaua kabisa? Hpo suluhu itapakana, huend wtu ndan ya Chama chochote wanachuki zao wanatek hku wakjua ccm ndo itachafuliwa ( serikali)

    • @AmisiLulacha
      @AmisiLulacha 6 днів тому

      Sio kosalako kusama hivyo subiri Baba yako Mama yako Mtto wako watekwe ndo akili itakupanda pumbavu sana wwe

  • @widimaelimushi
    @widimaelimushi 6 днів тому

    Jamani uwo unaoneka Ni mpango mkakati , chadema tembeeni kwa makundi na muwe na chochote chakulida kuweni makini Sana,

  • @RamadhanMohamedi-j3d
    @RamadhanMohamedi-j3d 6 днів тому

    Uchunguzi uanzie kwenu kwa mujibu doctor sla nanuku huyo mze sla chadema tunatekana

  • @kaaakwakutuliaa5179
    @kaaakwakutuliaa5179 5 днів тому

    anae simamia account zote za chadema hasomi comment na ajibu

  • @MarryCharles-rc6ei
    @MarryCharles-rc6ei 6 днів тому

    Mm sitaki kuamini watu wote tz kwamba hatuwafaham hawa watu na tunaishi nao, kwan pale gar lilipocmama hakuna camera yeyote wakavujisha video tuanze kuzoom

  • @dorothyminja8523
    @dorothyminja8523 6 днів тому

    Una ulinzi??

  • @aronmilinga7303
    @aronmilinga7303 6 днів тому

    Sativa c aseme nan alimtoa Ostabay hd katavi? Mbn simple tu jmn c ypo hai !!

    • @leokamil6284
      @leokamil6284 6 днів тому

      Humu you tube Sativa kasema yote tafuta utaona

  • @SaidAlly-uh4qw
    @SaidAlly-uh4qw 6 днів тому

    Chadema wamemtoa kafara alli kubao alaf wanakuja kutudanganya mbele ya spika pumbav sana hawa kenge!!

  • @AlouiseNgenDanDumwe
    @AlouiseNgenDanDumwe 6 днів тому

    Naomba gata msingwa achunguzwe

  • @aronmilinga7303
    @aronmilinga7303 6 днів тому

    Chadema jmn kwann hzo hatua zinazotarajiw kuchukuliw ktk tukio la kibao ,zisianze kwa wakin soka kwanz il tuwaokoe

  • @yahayaolomi1057
    @yahayaolomi1057 6 днів тому

    Benson

  • @agustinoandrea6030
    @agustinoandrea6030 6 днів тому

    Nakunakiongoz mwngne wa ccm aliesema kua tukiwapoteza msiwatafute,kwnn hawajamkamata mpaka Leo????

  • @StephenMpallange
    @StephenMpallange 6 днів тому

    Nashauri Taasisi za Dini na Taasisi zinazohusika na Haki za Binadamu ziunde Tume Huru Maalum ya Uchinguzi wa Masuala yote haya ya Watu kutekwa,kupotezwa, na kuuawa.Tume ya aina hii ndio tuna Imani nayo ,Lakini Tume ya Police Watanzania hatuiamini.