Safiiiii! Nimezaliwa katika Familia ya Ccm ila nimetokea kuichukia sana kwa moyo wangu wote, kimekua chama cha ajabu sana, hamna utu. Nimehimiza with a serious order watu wote under my roof hamna kupiga kura hata moja kwa mwana ccm
Sativa awekewe ulinzi hawa jamaa wanaweza kuja kumalizia kazi yao ili wapoteze ushahidi na polisi wasiruhusiwe karibu nae alindwe na watu wengine masaa 24
Pingu zinamilikiwa na vyombo vya usalama ! Polisi. Magereza.. Usalama waTaifa..! Ni kielelezo kwamba kuhusika kwa wamiliki wa pingu kunaashiria kuhusika na matumizi ya pingu kwa mkamatwaji nk
Kuna ombwe kubwa kwenye uongozi wetu. Mama kaupiga mwingi hata kudhulumu uhai ni kuupiga mwingi. Ni dhahiri wana wake kuongoza Taifa bado sana. Binafsi sintompigia kura mwanamke yeyote aniongoze
Sio vibaya wakitawala hadi kiama lkn baada ya kiama nawao watatawaliwa milele na ibilisi muovu shetani milele kwenye jehanam 👹👈🏼 ya moto🔥🔥🔥 hapo ndio watajua dawa ya moto 🔥 ni moto 🔥🥵🥵🥵
@@tanzanite9944yaan watu wanatekwa na kuuwawa unasema unasikiliza porojo, ila haishangazi maana mshasema ni mambo yote ni drama. Majambazi wakubwa ninyi
Wao wana uwezo wa kuteka na sisi MUNGU ametupa uwezo wakujua kinacho endelea ktk inchi,yote haya MUNGU amenyamaza Kama hayaoni,mjue hizo ni laana juu yenu pamoja na familia zenu, mnazo zihangaikia.
Kwa ujasiri huu, mficheni Sativa ikiwezekana, hata Nje ya Nchi maana hao wasiojulikana wanaweza kumuua ili kupoteza ushahidi, msijiamini Sativa si salama Tena fanyeni haraka.
Wewe ni nani unasema nini na ni ni unakusuudia eti (SATIVA AFICHWE) hatuwezi kushika ilo wazo kama ni ujinga ndio na kama upumbavu ndo namba moja ataabaki hapa na itakua ni Kielelezo cha kuwatia hatiani watesi wake
Heeee nimepumua maana kifua changu kilijaa hasira kwamaelezo haya yamejitosheleza bila kupepesa macho kweri hapo pana utatu wa uharibifu na hawa ndio watekaji halisia kwa maelezo haya chadema mmenitibu jeraha tuone serikali itasemaje hili ,,kwasasa ninaimani na chadema 100%
Safi sana Kamanda Kigaila. Waanze kumkamata na kumchunguza yule kijana wa ccm Kagera aliyetamba mbele ya MKUTANO wa uvccm, na kuwaambia polisi wasiwatafute watu wanaopotezwa na wao uviccm!!
Wapo na intelejensia tu wanapotaka kuwahujumu Chadema. Ila kwa mengine wanahitaji uchaguzi wa raia ndio utashangaa wanalipwa kwa nini ?.Walipompa Mbowe kesi walijuaje ?kama walijua yote yale basi wanataka ushahidi wa raia kivipi
Waziri wa Mambo ya Ndani jiudhuru tu kama hayati Ally Hassan alivyojiudhuru kipindi cha Mwalimu Nyerere Baba huyu hakuwa na makosa kamwe alikuwa Muungwana
mama au baba mzuri wa familia ni yule anayejua wajibu wake kwa familia yake,ikiwepo kuhakikisha shibe, afya njema,malazi na usalama wa familia, vinginevyo atakuwa mzazi wa aina gani?nasi watoto tukishagundua tabia ya wazazi wetu ni jukumu letu kumuomba Mungu atupe marifa na kujipanga jinsi ya kujiongoza na kujenga msingi imara wa kesho ilikuhakikisha kizazi tunacho kijenga kinakuwa bora natutapata wazazi wazuri kesho,tukizubaa imekula kwetu, tukutane 2025 tuijenge kesho yetu for the benefit of present and future generations
@@tanzanite9944wewe ndiyo huna akili na elimu kiongozi kujiuzulu ni kuonyesha kutofurahiwa na utendaji wa walio chini yake mfano ni Hayati Ally Hassan Mwinyi alipokuwa waziri wa mambo ya ndani kwa mauaji ya Shinyanga Lowasa alijiuzulu kwa swala la Richmond nk
polisi wasicheze mchezo wa kuigiza, kisa cha sativa hata ukimpatia mtu asiye na elimu ya uchunguzi atajua nani alihusika na nani mhusika wa matukio ya namna hiyo.
Tufanye maandamano kupinga utekaji, laa sivyo kwenye uongoz wa samia tutakwisha, hata watalii wameshaanza kuhamia kenya, watanzania hatuna amani, bali tunaishi kwa uvumilivu.
Mauaji ya Kibiti/Rufiji yalivyokithiri hayati Magufuli alimtengua IGP Mangu.Lakini mama anashindwa kumtengua huyu IGP kuendelea kulipwa mshahara na posho zinazotokana na kodi za wananchi,wakati IGP kashindwa kudhibiti uhalifu wa utekaji wa Wananchi hao ndo wanataabika kwa kutekwa na kuuwawa.Hii ni dharau na fedheha kwa taifa.
Chadema nyinyi ni wakali kwenye kuongea lakini hamutendi kweli wao wanaua wanaumiza na kuteka wananchi wanachama wa chaddema kisha munacheka naoooooo vp PEOPLE POWER haionekani kwenye utekelezaji
Lakini yote haya ni matokeo ya SAMIA kukubali kuwa Raisi kikatiba, sasa GENGE alilolibwaga likiongozwa na KOMREDI mzoefuuuuu kabsa sasa watamfanya aonekane hafai ,,,💯 na hii itamla mpka achie ngazi wanahela hao
Kama kweli polisi wanachunguza suala la Sativa mimi natarajia Polisi waliokuwa zamu pale Oysterbay wanapaswa kuwa wako ndani watekaji watajulikana tu kwa kuwahoji hao walioķuwa zamu hapo Oysterbay.Hawawezi kufanya hivyo basi wanaficha jambo na Rais Samia hatapewa taarifa yoyote ya maana.Polisi hawawezi kujichunguza .Wao ni watuhumiwa.
Amesema ukweli, Rais alisema, wachunguze na matukio mengine kama hayo, ni vyema waanze na hao waliotekwa kipindi Cha nyuma AMBAO maelezo Yao Yako wazi waliitwa na nani mpaka wakatekwa huko, Ina maana wanatumia kauli za mitego, wakimuita mtu kupitia mtego kumbe ndio njia ya kumkamata, waanzie hapo kabisa
Kwa mtu mwenye akili huu mkakati ni watu wanaupanga kutuaribia nchi polisi kuweni makini hayo yote kayasababisha rais kuachia mamikutano watu hawafanyi kazibkazi ni kyandamana tu
wana chadema tunaomba maandamano ya kila mkoa kwa kila alie potelewa na ndugu yake atoke na picha nchi nzima muone tatizo lilivyo kubwa na watu watawaunga mkono rejea mikutano ya makonda kila mkoa watu wamepotea sio chini ya watu watano
Au nasisi tuteke watoto wawo ili waone maumivu jamani mimi nawona vita mbele ccm hawataki kutoka na wanasema kila siku watamaliza wasemaji ili watu wazofike
Anaweza kuwa alikata ticket lakini LABDA hakuandika jina lake halali. Sidhani kama mabasi wanahakiki na vitambulisho wakati wa kukata ticket. So aliyejeti Nyuma ya Mzee Kibao anaweza asijulikane LABDA Sasa mabasi yawe na camera.
Hemu chadema sikilizeni mumelala sana amkeni ni vip mtu anakamatwa na vijana wa ccm kijiwe cha boda halafu aoo watu walio hapo boda wenzake Wan aangalia tuuuu n ivip kama ivo inatokea hemu watangazieni MGUU SUPU ao ccm
KUMBUKENI TUKIO LA ZACHARIA MWEMYE MABUS KASKAZINI. WALIOMKAMATA. WALIPOZIDIWA NA BODABODA WALIJISALIMISHA NA KUTHIBITISHA NI KINA NANI. ALLAH SHUSHA DUWA YA UFAHAMU KWA WA TANZANIA ZAIDI.
Je wewe kama pia kwa vile huwaamini jeshi la polisi utaajiri wakwako wafanye upelelezi.hutoshi ndio maana chadema kuchukua nchi nivigumu tuonane kwenye majukwaa ccm oyee subiri😅
Jamani ccm ndo selikaliyenyewe na wasiyojulikana wapo ndani ya selikali jamani ninani anae miliki bunduki kama siyo waoo ! Siyo swala la kujiuliza jibu tunalo wote
Eti viongozi kama hawa ndo wapewe waongoze nchi chadema hawana viongozi wenye sifa ya kuongoza nchi wana watu wenye vichwa vibovu kama hili zezeta kigaila
ALLAH Hutenda aonavyo inafaa. RAIS WETU KUMBUKA MANENO YA MHE. GETRUDE MONGELA. JUU YAKO. BINAFSI YAKO ULIWAAMBIA WALIOKUWA WAKIITWA MABEBERU KUWA : HAIKUWA KAZI RAHISI KUFANYA KAZI NA MTANGULIZI WAKO. MWISHO MSIKILIZE KIGAILA WA CHADEMA.
Muogopeni Mtu anayejifanya mpenda Watu kumbe nikiumbe Mbaya sana. Tumezoea kusifu nakuwa wanyonge. Waaminifu Hakuna ktk Nchi yetu Ule usemi wa Ndugu umekufa Sasa ni kujiadhari yoyote haaminiki ni adui Wako
😂 pia kama watu wanakuja kumchukua mbele za watu nakuondoka nae na slaha wanajiamini nn Ina maana hiyo picha haito Sadia lolote kama hata mjadala tu bungeni spika aliona hauna tija huku ukweli unaonekana watu wanatekwa ili wanaichafua sana hii nchi mwisho tutaingiliwa na watu wabaya kwa kisingizio hicho hicho
Wanakuwekea mitutu kichwani utapigaje picha mfano kibao ndani ya basi mchana kweupe watu wanaona abiria wengine na wahudumu wa basi walishuhudia halafu mmmh
Ushauri wangu tujkite kuchunguz kwann polis wanatek wat ama kuwaua kabisa? Hpo suluhu itapakana, huend wtu ndan ya Chama chochote wanachuki zao wanatek hku wakjua ccm ndo itachafuliwa ( serikali)
Mm sitaki kuamini watu wote tz kwamba hatuwafaham hawa watu na tunaishi nao, kwan pale gar lilipocmama hakuna camera yeyote wakavujisha video tuanze kuzoom
Nashauri Taasisi za Dini na Taasisi zinazohusika na Haki za Binadamu ziunde Tume Huru Maalum ya Uchinguzi wa Masuala yote haya ya Watu kutekwa,kupotezwa, na kuuawa.Tume ya aina hii ndio tuna Imani nayo ,Lakini Tume ya Police Watanzania hatuiamini.
Safiiiii! Nimezaliwa katika Familia ya Ccm ila nimetokea kuichukia sana kwa moyo wangu wote, kimekua chama cha ajabu sana, hamna utu. Nimehimiza with a serious order watu wote under my roof hamna kupiga kura hata moja kwa mwana ccm
Ndugu yangu nani kakuambia kura zetu zitaamua mustakabali wetu? Katiba mpya tu ndio itatukomboa la sivyo tutatawaliwa na ccm hadi kiama.
Iyo ni sahihi chama hicho kimepoteza sifa
Sativa awekewe ulinzi hawa jamaa wanaweza kuja kumalizia kazi yao ili wapoteze ushahidi na polisi wasiruhusiwe karibu nae alindwe na watu wengine masaa 24
Kweli kabisa
Sahihi aekeww uulinzi mkali
Fumbo mfumbe MJINGA mwerevu atang'amua!! WATANZANIA wameelimika!! Sio kama zamani!!!
Qq
Naombeni samia achunguze kuhusu elimu yake
100%
Mpuuzi tu fulani
Pingu zinamilikiwa na vyombo vya usalama ! Polisi. Magereza.. Usalama waTaifa..! Ni kielelezo kwamba kuhusika kwa wamiliki wa pingu kunaashiria kuhusika na matumizi ya pingu kwa mkamatwaji nk
Mungu keshawapa jibu la utekaji baada ya kumnusuru saliva,
Serikali inahusika na utekaji maana Kila anaye ikosowa serikali anapewa vitisho mwisho kutekwa
Msipate shida, aliechora ramani yote ni PETER MSGWA,huyu ndie mhusika
Kasema nani kama yeye ni muhusika kiuchunguuzi
Subiri uchunguzi. Msigwa anamjua nani ili wapange issue hii lakini pia ili iwe nini.
SAHIHI KABISA ULIYOYASEMA BENSONI .
Wamutekeni kwanza abdul mtoto wa samia
ivi kwa nn ety wasimbebe na yey
😂😂😂 haya maisha bhana!!
Ben mshipa wa uoga umekatika hapo namuelewa sana😂 hakuugua maleria 😢
Ongea baba
Huyo hakimu anapewa maelekezo na polisi inchi ya ajabu sana
Kuna ombwe kubwa kwenye uongozi wetu. Mama kaupiga mwingi hata kudhulumu uhai ni kuupiga mwingi. Ni dhahiri wana wake kuongoza Taifa bado sana. Binafsi sintompigia kura mwanamke yeyote aniongoze
Mfumo dume
Mfumo dume
Sio vibaya wakitawala hadi kiama lkn baada ya kiama nawao watatawaliwa milele na ibilisi muovu shetani milele kwenye jehanam 👹👈🏼 ya moto🔥🔥🔥 hapo ndio watajua dawa ya moto 🔥 ni moto 🔥🥵🥵🥵
Mtu alieshuka na mzee kibao kwenye bus,inasemekana alikuwa MSIGWA
Inasemekana sio lauli ya Ushahid wa kutosha
Nchi hii kibokoooooo haki hakuna kabisa Tanzania Polisi inauwa wananchi wake kiaa Vyama vya Siasa
Una ushahidi au unasikiliza Porojo na kulishwa matango Pori na ukaingia line.
@@tanzanite9944yaan watu wanatekwa na kuuwawa unasema unasikiliza porojo, ila haishangazi maana mshasema ni mambo yote ni drama. Majambazi wakubwa ninyi
@@tanzanite9944chizi wewe chawa roporopo
Wewe unaona porojo
@@tanzanite9944Wewe una ushahidi kwamba hawahusiki? unataka ushahidi gani ujue kwamba wanahusika?
Wao wana uwezo wa kuteka na sisi MUNGU ametupa uwezo wakujua kinacho endelea ktk inchi,yote haya MUNGU amenyamaza Kama hayaoni,mjue hizo ni laana juu yenu pamoja na familia zenu, mnazo zihangaikia.
Mzee wetu KIBAO aliemuuza ni PETER MSIGWA
Mungu amependa kuwaonyesha hili jambo liwe hadharani....
Kwa ujasiri huu, mficheni Sativa ikiwezekana, hata Nje ya Nchi maana hao wasiojulikana wanaweza kumuua ili kupoteza ushahidi, msijiamini Sativa si salama Tena fanyeni haraka.
Wewe ni nani unasema nini na ni ni unakusuudia eti (SATIVA AFICHWE) hatuwezi kushika ilo wazo kama ni ujinga ndio na kama upumbavu ndo namba moja ataabaki hapa na itakua ni Kielelezo cha kuwatia hatiani watesi wake
Mungu tusaidie viongoz wametugeuza Sisi wananchi wake niwakutolewa kafara mungu ingilia kati wanao tumekosa wapi
Heeee nimepumua maana kifua changu kilijaa hasira kwamaelezo haya yamejitosheleza bila kupepesa macho kweri hapo pana utatu wa uharibifu na hawa ndio watekaji halisia kwa maelezo haya chadema mmenitibu jeraha tuone serikali itasemaje hili ,,kwasasa ninaimani na chadema 100%
Safi sana Kamanda Kigaila.
Waanze kumkamata na kumchunguza yule kijana wa ccm Kagera aliyetamba mbele ya MKUTANO wa uvccm, na kuwaambia polisi wasiwatafute watu wanaopotezwa na wao uviccm!!
Basi jeshi la polisi sio professional mpaka inafikia sisi wanainchi tunawafundisha.
Wapo na intelejensia tu wanapotaka kuwahujumu Chadema. Ila kwa mengine wanahitaji uchaguzi wa raia ndio utashangaa wanalipwa kwa nini ?.Walipompa Mbowe kesi walijuaje ?kama walijua yote yale basi wanataka ushahidi wa raia kivipi
Inaumiza sana,watekaji wakibainika wafukuzwe misikitini na makanisani.
Nchi inahitaji kubadilishwa mfumo wa Uongozi.
Hii nchi amani hakuna tena kila mtu hana uhakika na kesho yake,mioyo ipo juu juu tu,,kifupi Rais tuzingatie tunaumia sana tunaposikia haya matukio😢😢
ila msisahau mama amenunua silaha mpya za kivita 😅😅
Waziri wa Mambo ya Ndani jiudhuru tu kama hayati Ally Hassan alivyojiudhuru kipindi cha Mwalimu Nyerere Baba huyu hakuwa na makosa kamwe alikuwa Muungwana
Acha Ujinga.. Waziri anahusika nini na majambazi? Sema achukue hatua na sio kujiuzulu.
hatua gani ndugu na kila cku hatua kiukweli km hatutaki matatizo wacheni mambo haya siasa
Ajiuzuru, mpaka Sasa kashindwa kuchukua hatua zinazoeleweka,hadi utekaji umekithiri.
Kuna lisenge. La fisiemu lifisi limsukule linatukana
Watanzania tumeanza kuuwana wenyewe kwa wenyewe inaa maana Tanzania hakuna amani kama watu wana tekwa na ku uwawa
Hkuna uchunguzi utakafanyika na mapolisi wa ccm, hiyo ndio kazi zao kutesa wananchi, nchi inahitaji KATIBA Mpya na Sheria mpya.
Dah ukweli ni kwamba chadema ni mkombozi wa nchi hii inawatu wenye akili nyingi sana
mama au baba mzuri wa familia ni yule anayejua wajibu wake kwa familia yake,ikiwepo kuhakikisha shibe, afya njema,malazi na usalama wa familia, vinginevyo atakuwa mzazi wa aina gani?nasi watoto tukishagundua tabia ya wazazi wetu ni jukumu letu kumuomba Mungu atupe marifa na kujipanga jinsi ya kujiongoza na kujenga msingi imara wa kesho ilikuhakikisha kizazi tunacho kijenga kinakuwa bora natutapata wazazi wazuri kesho,tukizubaa imekula kwetu, tukutane 2025 tuijenge kesho yetu for the benefit of present and future generations
Nakubali sana kigaila
WAZIRI HUSIKA AJIUDHURU TU,NAE NI TATIZO KUBWA.
Waziri amefanya kosa gani? In maana aziri akujiuzulu ndio tatizo limeisha? Huna Akili..
@@tanzanite9944wewe ndiyo huna akili na elimu kiongozi kujiuzulu ni kuonyesha kutofurahiwa na utendaji wa walio chini yake mfano ni Hayati Ally Hassan Mwinyi alipokuwa waziri wa mambo ya ndani kwa mauaji ya Shinyanga Lowasa alijiuzulu kwa swala la Richmond nk
@@tanzanite9944kwahiyo Kwa akili yako nani awajibike katika yote yanayotokea, Rais au waziri
polisi wasicheze mchezo wa kuigiza, kisa cha sativa hata ukimpatia mtu asiye na elimu ya uchunguzi atajua nani alihusika na nani mhusika wa matukio ya namna hiyo.
Tufanye maandamano kupinga utekaji, laa sivyo kwenye uongoz wa samia tutakwisha, hata watalii wameshaanza kuhamia kenya, watanzania hatuna amani, bali tunaishi kwa uvumilivu.
Kwani awajui wanafanya kusudi wauaji wanajitokeza mbakamitandaoni wao wanakaa kimya kiboko Yao kujitoa muanga Kwa maandamano ya mapambano
MAMBO YANAZIDI KUWA MUBASHARS😂😂😂😂😂
Mauaji ya Kibiti/Rufiji yalivyokithiri hayati Magufuli alimtengua IGP Mangu.Lakini mama anashindwa kumtengua huyu IGP kuendelea kulipwa mshahara na posho zinazotokana na kodi za wananchi,wakati IGP kashindwa kudhibiti uhalifu wa utekaji wa Wananchi hao ndo wanataabika kwa kutekwa na kuuwawa.Hii ni dharau na fedheha kwa taifa.
Daaa😭😭😭jaman hii sio sawa ni vile tu cc ma chicken
mm nipo na akili ndogo sn ndio mpk leo nashukuru na ishi kiukweli siasa za tanzania dah noma sn hao bac wachieni watawale cku zote bac
Chadema nyinyi ni wakali kwenye kuongea lakini hamutendi kweli wao wanaua wanaumiza na kuteka wananchi wanachama wa chaddema kisha munacheka naoooooo vp PEOPLE POWER haionekani kwenye utekelezaji
Lakini yote haya ni matokeo ya SAMIA kukubali kuwa Raisi kikatiba, sasa GENGE alilolibwaga likiongozwa na KOMREDI mzoefuuuuu kabsa sasa watamfanya aonekane hafai ,,,💯 na hii itamla mpka achie ngazi wanahela hao
Polisi wanahusika,usalama wa taifa wanahusika, ccm wanahusika.
Nikweli kabisa wanausika
Huu ushaiidi unaukweli asilimia100000000000
Umeongea kwa uchungu sana. Sasa ninachoshangaa eti wewe tena ukaisaidie polisi!!! Wahusika si wapo? Sativa yupo, Mbwana wanae, waanzie hapo.
Kama kweli polisi wanachunguza suala la Sativa mimi natarajia Polisi waliokuwa zamu pale Oysterbay wanapaswa kuwa wako ndani watekaji watajulikana tu kwa kuwahoji hao walioķuwa zamu hapo Oysterbay.Hawawezi kufanya hivyo basi wanaficha jambo na Rais Samia hatapewa taarifa yoyote ya maana.Polisi hawawezi kujichunguza .Wao ni watuhumiwa.
Mimi ninacho kiona hapo ccm ndio wanahusika kwa asilimia 60% kutokana na yale wanayoyasema wenyewe kwenye mitandao chinjachinja vip tusianze nawao
UTEUZI WA IGP NA DCI KWA NIA NJEMA YA RAIS WETU . UTAFANYA WANANCHI WATIE SHAKA. .
Hii wanainchi tumechoka.
Nashukuru umenifundisha kitu Leo baba
👍👊✌️.
Wanajua kira kitu wamezowea kujitoa ufahamu
Dunia inaangamia Mungu utusaidie ktk hali ilivyo kwa sasa ni mbaya
Mimi nafikiri hata Rais Samia Suluhu Hassan anapaswa kuchunguzwa kama ni mtu kweli hata akawa Rais au tunaongozwa kiumbe chenye sura ya mtu tu?
Amesema ukweli, Rais alisema, wachunguze na matukio mengine kama hayo, ni vyema waanze na hao waliotekwa kipindi Cha nyuma AMBAO maelezo Yao Yako wazi waliitwa na nani mpaka wakatekwa huko, Ina maana wanatumia kauli za mitego, wakimuita mtu kupitia mtego kumbe ndio njia ya kumkamata, waanzie hapo kabisa
Wakianza wao nchi itaingia barabarani
Kwa sheria gani mamlaka hiyo police
Mbn kama rais ndo anajua kila kitu afu anajifany mzur
Kwa mtu mwenye akili huu mkakati ni watu wanaupanga kutuaribia nchi polisi kuweni makini hayo yote kayasababisha rais kuachia mamikutano watu hawafanyi kazibkazi ni kyandamana tu
wana chadema tunaomba maandamano ya kila mkoa kwa kila alie potelewa na ndugu yake atoke na picha nchi nzima muone tatizo lilivyo kubwa na watu watawaunga mkono rejea mikutano ya makonda kila mkoa watu wamepotea sio chini ya watu watano
Au nasisi tuteke watoto wawo ili waone maumivu jamani mimi nawona vita mbele ccm hawataki kutoka na wanasema kila siku watamaliza wasemaji ili watu wazofike
Mahakama zenyewe zipi.........?
Anaweza kuwa alikata ticket lakini LABDA hakuandika jina lake halali. Sidhani kama mabasi wanahakiki na vitambulisho wakati wa kukata ticket. So aliyejeti Nyuma ya Mzee Kibao anaweza asijulikane LABDA Sasa mabasi yawe na camera.
Hemu chadema sikilizeni mumelala sana amkeni ni vip mtu anakamatwa na vijana wa ccm kijiwe cha boda halafu aoo watu walio hapo boda wenzake Wan aangalia tuuuu n ivip kama ivo inatokea hemu watangazieni MGUU SUPU ao ccm
Kwa hapa ata mtoto wa darasa la kwanza anaweza kukupa jibu kwa haya matukio
Mama kamtumbua yule hafai
Uyo mama nae ni mshenzy kwa nini aspige kelele
Hawajataka, walitaka siku moja tuu wanawakamata watekaji na wauwaji.
Na vitambulisho wanavyo onyesha vya polisi wamevitowa wapi vitambulisho vyakazi jamani niwawo tupige kampeni wanatuteka ili tuwe wawoga
Hata kifo cha Magufuli tulipohoji juu ya kifo chake na kutaka uchunguzi ufanyike, si tuliulizwa na Samia mwenyewe kama tuna ushahidi?
KUMBUKENI TUKIO LA ZACHARIA MWEMYE MABUS KASKAZINI. WALIOMKAMATA. WALIPOZIDIWA NA BODABODA WALIJISALIMISHA NA KUTHIBITISHA NI KINA NANI. ALLAH SHUSHA DUWA YA UFAHAMU KWA WA TANZANIA ZAIDI.
Je wewe kama pia kwa vile huwaamini jeshi la polisi utaajiri wakwako wafanye upelelezi.hutoshi ndio maana chadema kuchukua nchi nivigumu tuonane kwenye majukwaa ccm oyee subiri😅
Jamani ccm ndo selikaliyenyewe na wasiyojulikana wapo ndani ya selikali jamani ninani anae miliki bunduki kama siyo waoo ! Siyo swala la kujiuliza jibu tunalo wote
Eti viongozi kama hawa ndo wapewe waongoze nchi chadema hawana viongozi wenye sifa ya kuongoza nchi wana watu wenye vichwa vibovu kama hili zezeta kigaila
Msenge tu wewe kafie huko
ALLAH Hutenda aonavyo inafaa. RAIS WETU KUMBUKA MANENO YA MHE. GETRUDE MONGELA. JUU YAKO. BINAFSI YAKO ULIWAAMBIA WALIOKUWA WAKIITWA MABEBERU KUWA : HAIKUWA KAZI RAHISI KUFANYA KAZI NA MTANGULIZI WAKO. MWISHO MSIKILIZE KIGAILA WA CHADEMA.
Tuandamane tu tanzania yote
Mark my words: Kombo Mbwana hawatamuachia akiwa hai. They are just making a delay of time to hide evidence.
tatizo chadema hamsomi maoni
Muogopeni Mtu anayejifanya mpenda Watu kumbe nikiumbe Mbaya sana. Tumezoea kusifu nakuwa wanyonge.
Waaminifu Hakuna ktk Nchi yetu Ule usemi wa Ndugu umekufa Sasa ni kujiadhari yoyote haaminiki ni adui Wako
Askofu alisema unapokamatwa piga picha lakini hatuelewi, kibao kakamatwa hakuna aliyejishughulisha
Huo muda wa kuwasha simu unaupata wapi? Wewe unafahamu mtutu?????? Kumbuka huwa ni tukio la ghafula
😂 pia kama watu wanakuja kumchukua mbele za watu nakuondoka nae na slaha wanajiamini nn Ina maana hiyo picha haito Sadia lolote kama hata mjadala tu bungeni spika aliona hauna tija huku ukweli unaonekana watu wanatekwa ili wanaichafua sana hii nchi mwisho tutaingiliwa na watu wabaya kwa kisingizio hicho hicho
Wanakuwekea mitutu kichwani utapigaje picha mfano kibao ndani ya basi mchana kweupe watu wanaona abiria wengine na wahudumu wa basi walishuhudia halafu mmmh
Ni majira ya kuiombea Nchi yetu
Km kombo aliambiw kajeng eneo la mtu . CCM ndo imenunua hlo eneo au ? Mbna mnahusisha vtu wkt jibu mnalo .c ugomv wa ardhi huo?
Raisi samia washauri wake wote wanamdanganya,wao wanataka aharibikiwe.
Mfumo wa KIDIKTETA wa magufuli unaendelezwa.
Ushauri wangu tujkite kuchunguz kwann polis wanatek wat ama kuwaua kabisa? Hpo suluhu itapakana, huend wtu ndan ya Chama chochote wanachuki zao wanatek hku wakjua ccm ndo itachafuliwa ( serikali)
Sio kosalako kusama hivyo subiri Baba yako Mama yako Mtto wako watekwe ndo akili itakupanda pumbavu sana wwe
Jamani uwo unaoneka Ni mpango mkakati , chadema tembeeni kwa makundi na muwe na chochote chakulida kuweni makini Sana,
Uchunguzi uanzie kwenu kwa mujibu doctor sla nanuku huyo mze sla chadema tunatekana
anae simamia account zote za chadema hasomi comment na ajibu
Mm sitaki kuamini watu wote tz kwamba hatuwafaham hawa watu na tunaishi nao, kwan pale gar lilipocmama hakuna camera yeyote wakavujisha video tuanze kuzoom
Una ulinzi??
Sativa c aseme nan alimtoa Ostabay hd katavi? Mbn simple tu jmn c ypo hai !!
Humu you tube Sativa kasema yote tafuta utaona
Chadema wamemtoa kafara alli kubao alaf wanakuja kutudanganya mbele ya spika pumbav sana hawa kenge!!
Wao wapo above the Goverment hawakamatiki ?si wakamatwe
Sawa. Mungu anakuona ishi miaka1000
Naomba gata msingwa achunguzwe
Chadema jmn kwann hzo hatua zinazotarajiw kuchukuliw ktk tukio la kibao ,zisianze kwa wakin soka kwanz il tuwaokoe
Benson
Nakunakiongoz mwngne wa ccm aliesema kua tukiwapoteza msiwatafute,kwnn hawajamkamata mpaka Leo????
Nashauri Taasisi za Dini na Taasisi zinazohusika na Haki za Binadamu ziunde Tume Huru Maalum ya Uchinguzi wa Masuala yote haya ya Watu kutekwa,kupotezwa, na kuuawa.Tume ya aina hii ndio tuna Imani nayo ,Lakini Tume ya Police Watanzania hatuiamini.