Shangwe la Wanakwaya Mwanza Kwa Askofu Musomba,Wasimamisha Kanisa Zima, Askofu Aimba Nao kwa Furaha

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 21 жов 2024
  • 𝐖𝐄𝐙𝐄𝐒𝐇𝐀 𝐔𝐓𝐔𝐌𝐄 𝐖𝐀 𝐉𝐔𝐆𝐎 𝐌𝐄𝐃𝐈𝐀 𝐊𝐔𝐏𝐈𝐓𝐈𝐀 𝐌-𝐏𝐄𝐒𝐀 𝐋𝐈𝐏𝐀 𝐍𝐀𝐌𝐁𝐀 𝟓𝟎𝟓𝟒𝟔𝟑𝟓 𝐉𝐈𝐍𝐀 𝐉𝐔𝐆𝐎 𝐌𝐄𝐃𝐈𝐀 𝐍𝐄𝐓𝐖𝐎𝐑𝐊
    Follow this link to join my WhatsApp group: chat.whatsapp....
    Tumsifu Yesu Kristo, Napenda Kukushukuru kwa Kuwa Mdau Mpendwa wa Jugo Media. Tunapenda kukutaarifu kuwa Tumeandaa Group Maalum kwa Ajili ya Kupokea Taarifa Mbalimbali za Kanisa, Misa Live, Vipindi vya Kanisa nk kutoka Jugo Media. Kama ungependa Kuungana Nasi Tunaomba Ujiunge kwa Hiari Kupitia Link Hiyo Juu. Mungu Akubariki Daima
    KAMA UNGEPENDA KUPATA TAARIFA KUHUSU KANISA KWA NJIA YA WHATSAPP TAFADHARI TUMA UJUMBE KWA WHATSAPP UKISEMA NIUNGE KISHA JINA LAKO KWENDA NAMBA +255757560764 au BONYEZA LINK HII wa.me/+2557575...) (SAVE HII NAMBA KWANZA, ANDIKA JUGO MEDIA) UBARIKIWE SAMA
    KAMA UNA HABARI NA UNGEPENDA KUSHIRIKI PAMOJA NASI TAFADHARI WASILISHA KUPITIA WHATSAPP NO +255757560764 AU BONYEZA wa.me/+2557575...)
    Tafadhali Subscribe, Like, Comment na Share tone hili la upendo kwa ndugu jamaa na marafiki.
    𝐉𝐮𝐦𝐮𝐢𝐤𝐚 𝐧𝐚𝐬𝐢 𝐤𝐚𝐭𝐢𝐤𝐚 𝐦𝐢𝐭𝐚𝐧𝐝𝐚𝐨 𝐦𝐢𝐧𝐠𝐢𝐧𝐞 𝐲𝐚 𝐊𝐢𝐣𝐚𝐦𝐢𝐢:
    Instagram: / jugo_media
    Facebook: / jugomedia2019
    𝕄𝕒𝕨𝕒𝕤𝕚𝕝𝕚𝕒𝕟𝕠:
    JUGO MEDIA,
    Sokoine Drive, Posta
    P. O. BOX 34014,
    Dar es Salaam.
    For Bookings and other Enquiries
    Phone Number +255757560764/657790405
    #jugomedia #kanisakatoliki #familiatakatifu #wawata #uwaka #viwawa #australia #unitedstates #canada #america

КОМЕНТАРІ • 26

  • @joyceamakobewameyo9195
    @joyceamakobewameyo9195 2 роки тому +2

    Catholic choirs are nowadays the best at singing and dancing.Something that was unheard of in the 70s. Things change indeed 👏

  • @athanassylas7469
    @athanassylas7469 2 роки тому +1

    Safi sana kondaksta na mpga kinanda hongeleni

  • @jovituskyagara7121
    @jovituskyagara7121 2 роки тому

    Asante wanakwaya wakatoliki.. hapo ndio nasikiaga na kuona uzuri wa katoliki. Mbarikiwe sana

  • @dianamahendekamahendeka1344
    @dianamahendekamahendeka1344 2 роки тому +1

    Waoooo kua mkatoriki Raha sana

  • @yohanambano872
    @yohanambano872 Рік тому

    Safi sana

  • @lusiyuskinikuli9989
    @lusiyuskinikuli9989 2 роки тому +1

    Safii nimeinjoy kwakweliii

  • @alexbenedict5378
    @alexbenedict5378 2 роки тому

    Yes

  • @brunotinda4810
    @brunotinda4810 2 роки тому +1

    Good job 👏 👍

  • @mariyamsalalah8204
    @mariyamsalalah8204 2 роки тому +1

    🛐🙏❤️

  • @thewhisperske883
    @thewhisperske883 2 роки тому +1

    Catholicism and indeed evangelisation at its zenith

  • @christinemutindi7624
    @christinemutindi7624 2 роки тому +1

    Wonderful mass much blessed

  • @vassy1976
    @vassy1976 2 роки тому +2

    Lovely 🤩

  • @gonzalob7774
    @gonzalob7774 2 роки тому

    Benedict wako vzr sn nawakubali sn hasa huyo kwaya master anajua kuwaongoza vzr wenzake

  • @johndaniel9367
    @johndaniel9367 2 роки тому

    mt benedict kwaya bugando hooyee

  • @kastulihayshi2703
    @kastulihayshi2703 2 роки тому

    Nashukursana kanisakatoriki limenitoambali

    • @clementpeter1607
      @clementpeter1607 2 роки тому

      Mungu hana kanisa ndg Mungu anaangalia moyo unao mtukuza na usio tenda dhambi,tujifunze sana hili hasa sisi tunao dhani kuwa dini zetu ni za kweli,

    • @mugophilip4480
      @mugophilip4480 2 роки тому

      No comments,

  • @joseeandrew7343
    @joseeandrew7343 2 роки тому

    viongozi wa Kiroho Maskofu na mapadri niwaombe kusimamia vigelegele kucheza kusiko kuwa na afya ndani ya kusali mara mbili kupitia wimbo mimi nafikiri ni bora kama huimbi kaa kimya utafakari wimbo kuliko kupiga makelele hasiyo isha wakati wimbo unapoimbwa.Tuombe sana sana Roho Mtakatifu aweze kutuongoza katika hili

    • @jovituskyagara7121
      @jovituskyagara7121 2 роки тому

      Huu ni wimbo wa kushukulu so furaha zaidi na vigelegele. We sio mkatoriki nini!!? Nyimbo za roho mtakatifu zipo na za ukimwa zipo pia

    • @clementpeter1607
      @clementpeter1607 2 роки тому +2

      Soma vizuri biblia usitoe hoja Kama hujui biblia ukisoma isaya inakwambia piga kelele usiache na upaze sauti Kama,na zaburi ya 47:7 inakwambia imbeni kwa akili na zaburi 150 inakwambia kila mwenye pumzi na amsifu Bwana,.acha watu wamfurahie Bwana mbinguni hakuna tafakari au kukaa kimya nikumsifu Bwana mda wote,usiwe mtu wa mapokeo aliyo yakataa paul

    • @jovituskyagara7121
      @jovituskyagara7121 2 роки тому

      Kweli kabisa umenena vema,, nashangaa mtu anasema vigeregere sio!! Huyo sio mkatoriki inaonyesha.

  • @timothyjulius5615
    @timothyjulius5615 2 роки тому

    Nzuri ila nilicho fundishwa ukiona ekarist inaenda taberinqkul innabidi upige magoti au mi ndo nimekalili vibaya

  • @kazimilkazimil8615
    @kazimilkazimil8615 2 роки тому

    Wapi hapo

  • @mathiasmageni8568
    @mathiasmageni8568 2 роки тому

    Best

  • @divisamassengo9293
    @divisamassengo9293 2 роки тому

    Nimeamini kama na pona