Shangwe la Wanakwaya Mwanza Kwa Askofu Musomba,Wasimamisha Kanisa Zima, Askofu Aimba Nao kwa Furaha
Вставка
- Опубліковано 21 жов 2024
- 𝐖𝐄𝐙𝐄𝐒𝐇𝐀 𝐔𝐓𝐔𝐌𝐄 𝐖𝐀 𝐉𝐔𝐆𝐎 𝐌𝐄𝐃𝐈𝐀 𝐊𝐔𝐏𝐈𝐓𝐈𝐀 𝐌-𝐏𝐄𝐒𝐀 𝐋𝐈𝐏𝐀 𝐍𝐀𝐌𝐁𝐀 𝟓𝟎𝟓𝟒𝟔𝟑𝟓 𝐉𝐈𝐍𝐀 𝐉𝐔𝐆𝐎 𝐌𝐄𝐃𝐈𝐀 𝐍𝐄𝐓𝐖𝐎𝐑𝐊
Follow this link to join my WhatsApp group: chat.whatsapp....
Tumsifu Yesu Kristo, Napenda Kukushukuru kwa Kuwa Mdau Mpendwa wa Jugo Media. Tunapenda kukutaarifu kuwa Tumeandaa Group Maalum kwa Ajili ya Kupokea Taarifa Mbalimbali za Kanisa, Misa Live, Vipindi vya Kanisa nk kutoka Jugo Media. Kama ungependa Kuungana Nasi Tunaomba Ujiunge kwa Hiari Kupitia Link Hiyo Juu. Mungu Akubariki Daima
KAMA UNGEPENDA KUPATA TAARIFA KUHUSU KANISA KWA NJIA YA WHATSAPP TAFADHARI TUMA UJUMBE KWA WHATSAPP UKISEMA NIUNGE KISHA JINA LAKO KWENDA NAMBA +255757560764 au BONYEZA LINK HII wa.me/+2557575...) (SAVE HII NAMBA KWANZA, ANDIKA JUGO MEDIA) UBARIKIWE SAMA
KAMA UNA HABARI NA UNGEPENDA KUSHIRIKI PAMOJA NASI TAFADHARI WASILISHA KUPITIA WHATSAPP NO +255757560764 AU BONYEZA wa.me/+2557575...)
Tafadhali Subscribe, Like, Comment na Share tone hili la upendo kwa ndugu jamaa na marafiki.
𝐉𝐮𝐦𝐮𝐢𝐤𝐚 𝐧𝐚𝐬𝐢 𝐤𝐚𝐭𝐢𝐤𝐚 𝐦𝐢𝐭𝐚𝐧𝐝𝐚𝐨 𝐦𝐢𝐧𝐠𝐢𝐧𝐞 𝐲𝐚 𝐊𝐢𝐣𝐚𝐦𝐢𝐢:
Instagram: / jugo_media
Facebook: / jugomedia2019
𝕄𝕒𝕨𝕒𝕤𝕚𝕝𝕚𝕒𝕟𝕠:
JUGO MEDIA,
Sokoine Drive, Posta
P. O. BOX 34014,
Dar es Salaam.
For Bookings and other Enquiries
Phone Number +255757560764/657790405
#jugomedia #kanisakatoliki #familiatakatifu #wawata #uwaka #viwawa #australia #unitedstates #canada #america
Catholic choirs are nowadays the best at singing and dancing.Something that was unheard of in the 70s. Things change indeed 👏
Safi sana kondaksta na mpga kinanda hongeleni
Asante wanakwaya wakatoliki.. hapo ndio nasikiaga na kuona uzuri wa katoliki. Mbarikiwe sana
Waoooo kua mkatoriki Raha sana
Safi sana
Safii nimeinjoy kwakweliii
Yes
Good job 👏 👍
🛐🙏❤️
Catholicism and indeed evangelisation at its zenith
Wonderful mass much blessed
Lovely 🤩
Benedict wako vzr sn nawakubali sn hasa huyo kwaya master anajua kuwaongoza vzr wenzake
mt benedict kwaya bugando hooyee
Nashukursana kanisakatoriki limenitoambali
Mungu hana kanisa ndg Mungu anaangalia moyo unao mtukuza na usio tenda dhambi,tujifunze sana hili hasa sisi tunao dhani kuwa dini zetu ni za kweli,
No comments,
viongozi wa Kiroho Maskofu na mapadri niwaombe kusimamia vigelegele kucheza kusiko kuwa na afya ndani ya kusali mara mbili kupitia wimbo mimi nafikiri ni bora kama huimbi kaa kimya utafakari wimbo kuliko kupiga makelele hasiyo isha wakati wimbo unapoimbwa.Tuombe sana sana Roho Mtakatifu aweze kutuongoza katika hili
Huu ni wimbo wa kushukulu so furaha zaidi na vigelegele. We sio mkatoriki nini!!? Nyimbo za roho mtakatifu zipo na za ukimwa zipo pia
Soma vizuri biblia usitoe hoja Kama hujui biblia ukisoma isaya inakwambia piga kelele usiache na upaze sauti Kama,na zaburi ya 47:7 inakwambia imbeni kwa akili na zaburi 150 inakwambia kila mwenye pumzi na amsifu Bwana,.acha watu wamfurahie Bwana mbinguni hakuna tafakari au kukaa kimya nikumsifu Bwana mda wote,usiwe mtu wa mapokeo aliyo yakataa paul
Kweli kabisa umenena vema,, nashangaa mtu anasema vigeregere sio!! Huyo sio mkatoriki inaonyesha.
Nzuri ila nilicho fundishwa ukiona ekarist inaenda taberinqkul innabidi upige magoti au mi ndo nimekalili vibaya
Wapi hapo
Best
Najivunia sn ukatorik wangu
Nimeamini kama na pona