Asante Gilbert kwa wazo la Maombi, lakini katika kuwaombea, tuanze Kwanza na nchi za Afrika ambazo wanapitia hali hiyo hiyo. Pia zipo nchi za kiafrika ambazo hamna vita ila zina hali ngumu kuliko nchi za ngambo zenye vita. Ibada njema huanzia nyumbani. Naomba kuwasilisha.
Aijaisha mpaka iishe
Vijana safi sana
uraaaaaaaaaaaaa
Asante Gilbert kwa wazo la Maombi, lakini katika kuwaombea, tuanze Kwanza na nchi za Afrika ambazo wanapitia hali hiyo hiyo. Pia zipo nchi za kiafrika ambazo hamna vita ila zina hali ngumu kuliko nchi za ngambo zenye vita. Ibada njema huanzia nyumbani. Naomba kuwasilisha.
Tuwaombee nchi hizi waache vita isije ikaadhi uchumi na familia nyingi kupata mashaka ovu na mashaka ya kuishi na kumkosea mungu
Tulia kiporo haijaingia WADUDU bado kinaweza ktumika ,URUSI nitaifa lenye uwezo wakivita ,kwani vitayake haiwapi wasi wasi raia wa Ukraine lakini kipigo nikizito nawao wanakiona
Tunashukuru dunia imejua wangazaji,média munatumiki kudanganya watu na propaganda.
Wazungu ndio wanaleta m 23