Mimi mwenyewe nakuja kufanya hayo magendo sawa¿kwa sababu nyinyi wenyewe m'mefanya magendo kupokonya Serekali ya Wazanzibar sawa¿nyi Laana ya Allah iwe juu yenu...
Ni ngumu kwa wananchi kutoa ushirikiano kwa serikali kwa sababu serikali yenyewe haitendi haki kwa wananchi mlituekea mazombi wakatuua na kututia vilema na mkiulizwa mnasema hamjawatuma ss kivipi tutoe ushirikiano
Punguzeni tozo wekeni tozo za kawaida nyie hivovifaida vya wafanya biashara mwavicgua vyote mtu anawatoto mke wazee wote wanamtegemea punguzeni kodi ili wananchi nao wawe waadilofu inshaallah
Lakini haya yote munayataka nyinyi wenyewe wazanzibari ni wanafiki ngoja muonyeshwe kwasababu zanzibar ni zanzibar na bara ni bara kwanini sasa munakubali kunyanyaswa nchi yenu wenyewe et serekali imefanikiwa kuwakamata wahujumu uchumi et watu wa magendo kisa nn vitenge wangapi wanaingia unga ndani yaserekali muna wajuwa kwasababu eti nimuheshimiwa hawawezi kumtaja munaonea watu sibora basi aji obama aongoze nchi wallah nadani ya mwaka moja tu inaka sawa nchi inaongozwa na mtu mweupe bwana asikudanganye mtu wesi tushukuruni tu sisi niwatumwa ekeni u ccm pembeni huu simuda wakuwa naditikadi za kichama nimuda wa kukubaliana mukaunda Zanzibar yenu bombo claaa
Hii dunia sio mbaya ila sisi binadam ndio wabaya hatuhitaji kumuona gulani kafanikiwa ndio maana na hiyo tozo serikali haitaki kumuona mnyonge kafanikiwa maana wanyonge ndio tunao umia pesa unaweka kwenyesim kuhogia nyumbani kibubu wala unga vibaka watakipitia huku serikari nao wanawaza hiyo iwetozo kwao kubakia asee hii dunia sio mbaya sisi binadam ndio wabaya ila Alhamdulilahi nikinga tosha tusemeni alhamdulilahi
Mumezid tozo bandalimi zanz, nililipa,80alfu, nafika bandali ya dar naambiwa ,laki2, box hizohizo10 hata huruma na maskin Hanna uliuliza, mama anataka kodi, ndo Tunavyojibiwa,
kw tulipofikia stoshirikiana na police mpaka wajirekebishe dhidi ya raia.....
Wapeni mzigo wao vibayani hivyo mbavyofanya si wawalipe tu muwaachie mzigo wao
Hv hayo marobota mutayachoma moto au tugawane
Mimi mwenyewe nakuja kufanya hayo magendo sawa¿kwa sababu nyinyi wenyewe m'mefanya magendo kupokonya Serekali ya Wazanzibar sawa¿nyi Laana ya Allah iwe juu yenu...
Kabisa
Ukimwombea mtu laana unarudi kwako hakuna mkamilifu
Itaanzaa kwakoo
Ni ngumu kwa wananchi kutoa ushirikiano kwa serikali kwa sababu serikali yenyewe haitendi haki kwa wananchi mlituekea mazombi wakatuua na kututia vilema na mkiulizwa mnasema hamjawatuma ss kivipi tutoe ushirikiano
Sasa hii yote ni Tanzania magendo hayo yanatokea wapi
Punguzeni tozo wekeni tozo za kawaida nyie hivovifaida vya wafanya biashara mwavicgua vyote mtu anawatoto mke wazee wote wanamtegemea punguzeni kodi ili wananchi nao wawe waadilofu inshaallah
Sasa kumbe vitenge mi nadhani bangi unga no muna watoza ushuru mkubwa ndio mana
Lakini haya yote munayataka nyinyi wenyewe wazanzibari ni wanafiki ngoja muonyeshwe kwasababu zanzibar ni zanzibar na bara ni bara kwanini sasa munakubali kunyanyaswa nchi yenu wenyewe et serekali imefanikiwa kuwakamata wahujumu uchumi et watu wa magendo kisa nn vitenge wangapi wanaingia unga ndani yaserekali muna wajuwa kwasababu eti nimuheshimiwa hawawezi kumtaja munaonea watu sibora basi aji obama aongoze nchi wallah nadani ya mwaka moja tu inaka sawa nchi inaongozwa na mtu mweupe bwana asikudanganye mtu wesi tushukuruni tu sisi niwatumwa ekeni u ccm pembeni huu simuda wakuwa naditikadi za kichama nimuda wa kukubaliana mukaunda Zanzibar yenu bombo claaa
Wallah aibu serekali ya Zanzibar kutowa kitu Zanzibar kwenda dar muna daiwa ushuru fuck
dah msingi umekwenda na maji
Hamuna kazi nyinyi, tafuteni kazi za kufanya
Kumbe Kutoka Kutoka znz Kwenda Bara Kwatakiwa Ushuru
Ulikuwa hujuwi
Uadilifu mnaujua nyie wapeni vitenge vyao wakatafute riski mnaridhika mkiwaona watu vijiweni wala unga?? Nchi moja hii
Mungewakamata Wale wanaoiba Kura.munaroho mbaya
SI tunasikia nchi hii ni moja hayo magendo ni ya aina gani hayo
Tatizo Zanzibar mnafanya tuzo kubwa
Ww mwenyewe mhalifu
Serikali ya dhulma
Doria gani iyo mpaka kamanda yuko doria? Mmepewa tarifa ndio mmejitoa
Hii dunia sio mbaya ila sisi binadam ndio wabaya hatuhitaji kumuona gulani kafanikiwa ndio maana na hiyo tozo serikali haitaki kumuona mnyonge kafanikiwa maana wanyonge ndio tunao umia pesa unaweka kwenyesim kuhogia nyumbani kibubu wala unga vibaka watakipitia huku serikari nao wanawaza hiyo iwetozo kwao kubakia asee hii dunia sio mbaya sisi binadam ndio wabaya ila Alhamdulilahi nikinga tosha tusemeni alhamdulilahi
Mumezid tozo bandalimi zanz, nililipa,80alfu, nafika bandali ya dar naambiwa ,laki2, box hizohizo10 hata huruma na maskin Hanna uliuliza, mama anataka kodi, ndo Tunavyojibiwa,
Tokeni apa mbona kura mulizo ziiba hamukuzikamata unafiki tu sasa ondoweni ushuru mkubwa basi
Stak
Haahahahaha
Unasema nn ww mashavu km Mimba ya panya
Hhhhhh!
Kuna mtu kachoma apo
Yawezekana hao wenye wivu na roho mbaya sababu hapo hapo yote tz kwa nini ushuru uwe juu?