Це відео не доступне.
Перепрошуємо.

Ust. juma Faki (Aqaz) -Ndoa ni Baraka 2021

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 27 лис 2021
  • Usisahau kusubscribe nakushare kwa wengine link hii

КОМЕНТАРІ • 254

  • @nusraharuna
    @nusraharuna 13 днів тому

    Na mimi nataka unitungie kaswida ila iwe Audi inshallah inawezkana wezekana nipe muongozo tena sio moja

  • @zainabhassan3456
    @zainabhassan3456 2 роки тому +4

    Mashallah Walaah kaswida zako ni nzuri sana kaka angu Allah akujarie kila ufanyaro liwe lepesi kwako Inshaallah broo 🥰🥰🥰♥️♥️♥️♥️🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏

  • @haydarhamad6532
    @haydarhamad6532 2 роки тому +9

    Masha'Allah, Hujawahi kuimba Qaswida nzuri kushinda,hii😂😃kwanza hizi sauti ulizozitumia humu na miujiza hasaa,nakukubali Sana Maalim Juma.Allah akupe umri mrefu wenye kheir na ww😃😁

  • @UmmiMuhammad-hg2pe
    @UmmiMuhammad-hg2pe 2 місяці тому

    Mashallah fakih uko vema🎉

  • @MouniraMangilile
    @MouniraMangilile Місяць тому

    Kun FAYAKUUN, hakuna wa kuzuia kilichotolewa na Allah 💯

  • @princehalawa_official7980
    @princehalawa_official7980 2 роки тому +3

    Mwalim hujawahi kusoea Ni SIIKA flani ivi🔥🔥🔥🔥

  • @zaydmohamed-vn1ef
    @zaydmohamed-vn1ef 2 місяці тому

    mwalimu tutolee nyingine burudan inatufurahisha sana mungu akikuze kipaj chako uonekane dunia nzima 😎😎😎

  • @user-ef7mw5hj9p
    @user-ef7mw5hj9p 9 місяців тому

    Mashaalaah nzuur cn

  • @binamubinamu1151
    @binamubinamu1151 2 роки тому +6

    Mashallah hufananishwi na mtu wa nchii hii kwa uboraa wako mwalim juma hongeraa bwana weeeee

  • @binallyamuz6895
    @binallyamuz6895 2 роки тому +1

    Mwalim Juma Asante mzigo uko juu naupa 99% Ila Mawadah dah 20000% 😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀

    • @jumafaki1697
      @jumafaki1697  2 роки тому

      😄😄😄😄😄😄😄
      Mawadda iko juu

  • @watibf5731
    @watibf5731 2 роки тому +3

    Mashallah Sh.Juma kwa kweli Allah kakupa kipaji cha aina yake ktk hii fani hujawahi kutoa kazi yako ikawa haina ubora wa hali ya juu

  • @abdallahjahoor193
    @abdallahjahoor193 2 роки тому +3

    We juma mh!!!
    Htr hii💥🔥

  • @athmankhatibu7976
    @athmankhatibu7976 10 місяців тому

    Rejesha pacha Zango binafse

  • @rashidhamad9193
    @rashidhamad9193 2 роки тому +3

    Kaz kakee hiyo

  • @allyninja7082
    @allyninja7082 6 місяців тому

    Kiukweli sijawahi kusikia mtu akisoma Siikaa kwa zanzibar hii lakin ndio kwanzaa nimekuskia ww na hii kazi khattar sanna wallah

  • @aminadjuma7555
    @aminadjuma7555 Рік тому

    Ni kaka omari na Dada ilihamu

    • @ilhamsaid3809
      @ilhamsaid3809 Місяць тому

      Na ilham ndio mie omary wngu yuwapi sasa😊

  • @user-dy5eo2cy4m
    @user-dy5eo2cy4m Рік тому

    Ki kweli nakukubali sana ktk qasida zako zote. Na naipenda sana sauti yako dhahabu. ALLAH akuhifadhi na kila shari za dunia

  • @allyismail3927
    @allyismail3927 2 роки тому +1

    Mwalim juma weeeeeee bac bac bac wewe nifundi wamengi

  • @mabujuma9355
    @mabujuma9355 Рік тому

    Safi xana

  • @omarshirazy8946
    @omarshirazy8946 Рік тому

    💥kunfayakun💥💥

  • @khamisshehe1955
    @khamisshehe1955 2 роки тому +1

    Bismillah Ma Sha Allah sichoki kuiskiliza Allah akuzidishie kipaji uzidi kutupa burdani ya Qaswida

  • @idatally3846
    @idatally3846 2 роки тому

    Aisee Mungu fundi wallah yani ukiamua kuhuzunisha had machoz ukiamua kufrai hadi tabassam linaonekana ww au bas acha tu mungu akulinde sana yani una kipaji cha pekee ktk znz hiii na hakuna wa kufanan nae ondoa wsws kbsaaaaa hakuna ....Nakpenda bure

  • @yaseenyaasir1772
    @yaseenyaasir1772 2 роки тому +1

    Mashaallah Ustadh juma fakk unanifanya nilie kabsaa😚😚😚😋

  • @fatmanassor1504
    @fatmanassor1504 Рік тому

    Nakoment kwa hasira mashaaallh unjuwa mpk unajuwa tna hujawahi kukosea allh mpe afya njema kiongozi wetu tunkupnda sanaaaaaaaa

    • @jumafaki1697
      @jumafaki1697  Рік тому

      Ahsante punguza Hasira 😄😄 shukran sana sana

  • @AbdallahAbeid-c3r
    @AbdallahAbeid-c3r 7 годин тому

    Barakallah

  • @alhajrahassan89
    @alhajrahassan89 Рік тому

    Mashallah sheikh juma wajua sana Allah akubariki sana kwenye kazi zako amiin

  • @mzurzamzam1877
    @mzurzamzam1877 2 роки тому +6

    صوتك خلوة مشاري 📚🖊

  • @mwanatumujuma4973
    @mwanatumujuma4973 2 роки тому +1

    Masha Allah tabaraka Allah naomba no ya Muimbaji nahitaji kaswida kutungiwa Shukran

  • @dawaamour1351
    @dawaamour1351 Рік тому

    Kaliiii

  • @yussramussaame1401
    @yussramussaame1401 Рік тому +1

    Allah akupe kila la kheir kwa kweli unatuburudisha ust jumaa💗💗

  • @user-ph7yg2wp2e
    @user-ph7yg2wp2e Рік тому

    Mashaallh

  • @khamisshehe1955
    @khamisshehe1955 2 роки тому

    Wallah mashaallah hii qaswida nzuri sauti na mnanda ipo poa sn naiskiliza mara 5 kwa siku Mungu akizidishie kipaji

  • @mariamramadhan4296
    @mariamramadhan4296 Рік тому +1

    Mashallah allah 🙏 akufanyie wepesi kila penye uzito

  • @ilhamsaid3809
    @ilhamsaid3809 Місяць тому

    Hii kaswid nzur sn

  • @MahirRashid-ih1nz
    @MahirRashid-ih1nz Рік тому

    Masha allah QASDA Tamuuuuuuuuuuu👋👍👍 then imebeba ujumbe mzito.....Big-Up

  • @jamilahjuma9273
    @jamilahjuma9273 2 роки тому +4

    Bismillah mashaallah 🔥🔥🔥 Hadi mwili wasisimka kwa mashairi tulivu ndani yake dah Kaka unajua Tena unajua sana

  • @stivualoycegwau6141
    @stivualoycegwau6141 2 роки тому +2

    Mashaallah...Allah aendelee kukikuza vyema kipaji chako kaka faki

  • @abdul-malikothman5837
    @abdul-malikothman5837 Рік тому

    Masha Allah kaswida nzuri sana
    Allah akubarik katika kazi yako

  • @idatally3846
    @idatally3846 2 роки тому

    Mashallah juma faki ...Naona unendelea kuibembeleza tasnia ya qaswida znz hongera

    • @jumafaki1697
      @jumafaki1697  2 роки тому

      Asant Sana kwa kutusapoti tuko pa1

    • @idatally3846
      @idatally3846 2 роки тому

      Usjl hakika ww kwetu huna baya endelea kutufrahisha ila ww fundi wa tasnia ya qaswida yani hii qaswida htr na nusu aisee allah akupe umri mrf aaammmiin

  • @jumaajambiamusa8214
    @jumaajambiamusa8214 Рік тому

    Waaallah nime simama na kucheza mwenyewe maaan safiiiiîi sn tuuuu

  • @UmmiMuhammad-hg2pe
    @UmmiMuhammad-hg2pe 3 місяці тому

    Mashaalah

  • @sarmbadmkali6150
    @sarmbadmkali6150 Рік тому

    Sikaah hatari

  • @zaitunimustapha9718
    @zaitunimustapha9718 2 роки тому

    Kiukweli hujawai kuteleza hata siku moja ktk usomaj wako wa qasda Alla azindi kukupa nguvu izid kufanikiwa akufungulie milango ya kheri Allah akupe umri mrefu usidi kuelimisha jamii kuitia Kaz zako Allah akunusuru na mabalaa akulinde na husda za walimwengu hongera Sana Kaka juma 🙏🙏

  • @user-if4dc1ig9w
    @user-if4dc1ig9w 8 місяців тому

    Unajuwa kutuburudisha kijan ishi tu kadri mungu alivyo kupangia

  • @aminadjuma7555
    @aminadjuma7555 Рік тому

    Madhaalla

  • @khaliddadi2063
    @khaliddadi2063 2 роки тому +3

    My favorite❤ singer

  • @NasmaMohammed-px4qs
    @NasmaMohammed-px4qs 2 місяці тому

    Mashaallah jamn nakupenda san jumaa big up

  • @hadhiriddy2275
    @hadhiriddy2275 Рік тому

    Mwamba namkubali mpk namkubali na tena wallah.. maa shaa Allah ❣️❣️❣️

  • @MakameJuma-nz8gd
    @MakameJuma-nz8gd 7 місяців тому

    Mashallah

  • @zakiaali79
    @zakiaali79 2 роки тому

    Unajua nn fundi Wang....unajua half unajua tena half unajua sanaaaaaaaaa mashaallah 😍 pamja kindaki ndakiii

  • @hamisimjaka8664
    @hamisimjaka8664 2 роки тому

    hongera brother faki qasida nzuri👍👍👍👍👍💞💞🌹🌹❣️🙏

  • @HawaKusaga-vv3lu
    @HawaKusaga-vv3lu Рік тому

    Mashaaallah upo juu wangu hakika wewe ni mwamba mungu akuweke ishaallaha

  • @saramohd8534
    @saramohd8534 2 роки тому +1

    Allah Allah Allah maasha Allah hongera Sana qaswida nzur

  • @pikanaauntzuu1466
    @pikanaauntzuu1466 Рік тому

    Qasida nzuri lkn sijui kwann mnapenda lutaja majina ya watu sasa hii mtu ana harisi yake hawezi kuipiga maana hii mahususi kwa hao uliowataja

  • @mulasdigitaltv131
    @mulasdigitaltv131 2 роки тому

    Maaalim wangu nisalimie guruguru mstaafu mwambie atapata soda yke kuna uchaw flani umo ndani kautia hatarrry mnooooo

    • @jumafaki1697
      @jumafaki1697  2 роки тому +1

      Duh 😃😃😃 Suma Salam zimefika saivi wewe Ndio guruguru ulobakia kupigwa mawe

  • @smilefaty2093
    @smilefaty2093 2 роки тому

    Maashallah hapaaa napataaaa burdani wenyeweeeee hasaaaaa naghmaaa zimepitaaaaa pengeweeee zikapenyaaaa kwenye Siqqa hasaaaaa kwakweliiii hapaaa salute nakupaaaaa Baba Muayyad 👌

    • @jumafaki1697
      @jumafaki1697  2 роки тому

      Duh 😃😃 Bado hujazisahau wewe kweli nizaidi ya dada

  • @abdulihakimu3816
    @abdulihakimu3816 2 роки тому +1

    Safi babu una tisha

  • @DirectorOne.t
    @DirectorOne.t 2 роки тому

    Masha'ALLAH 🔥🔥🔥♥️ kaz matataaaaaaaaaaaaaaa HONGERA boss wa wengi TZ kwa ladha madhbuuuuuut

    • @jumafaki1697
      @jumafaki1697  2 роки тому

      Asant Sana boss wangu One T wewe unabalaa

  • @haydarhamad6532
    @haydarhamad6532 2 роки тому +1

    Maalim Juma Qaswida yako tangu asubuh mpaka sasa nishaisikiliza zaidi ya 15, wee si wakawaida, you're the most talented one😂

    • @jumafaki1697
      @jumafaki1697  2 роки тому +1

      Boss wangu unanifurahisha Asant kwaiyo cjawahi kusoma nzuri Kama hiyo 😄

    • @IBRAHIMALI-isal
      @IBRAHIMALI-isal 2 роки тому

      Haijashinda mayatima

  • @franknobre3485
    @franknobre3485 Рік тому

    Juma Faki, your music and your serene spirit convey a sense of peace. May you live for many years and know old age so that you can reap all the blessings of your destiny.

  • @aminadjuma7555
    @aminadjuma7555 Рік тому

    Hii kaswida nasikilizaga lakinihamu haiishi

  • @sheikhsharifmaduatz2871
    @sheikhsharifmaduatz2871 2 роки тому

    Vitaaa kubwa mwamba sema nahitaji mawasiliano Yako ndugu Nina Jambo langu nahitaji kwa show shughurini kwangu Nijibu Tafadhali

  • @allyninja7082
    @allyninja7082 6 місяців тому

    Maalim hii siikaa hatari sanna wallah mashaallah

  • @ahmaditara8535
    @ahmaditara8535 2 роки тому

    Hakika hii ni qaswida khaswa naomba utuletee km hizi tu hatariii sana sana

  • @muhsiniddi5174
    @muhsiniddi5174 2 роки тому

    Mkuu maashaallah uko vizur sana yaani ktk kumbukumbu zangu hajuwahi kufeli, hiyo ni siqa ikishirikana na Nah-wandi na kiitikio kimeishia na bayati. Pamoja sana maalim wangu

  • @shadidamossy5217
    @shadidamossy5217 2 роки тому +3

    Mashallah juma faky 😍❤

  • @omarabdalla165
    @omarabdalla165 2 роки тому

    Mashaallah yan ustadh mungu akupe umr mrefu mpk kufika kwenye ndoa yang ili ujekupg show,,,

  • @HamyarMohd-vb1qv
    @HamyarMohd-vb1qv Рік тому

    Hii qaswida na alosomewa kiukweli hawaendan hizo sifa lbda kwa wasowajuwa J nakukubal saana mashallah lkn huyo jamaa dah mneshindwa kuvumilia sory

  • @yusrayusra8328
    @yusrayusra8328 Рік тому

    Namukubali Sana bro💓💓

  • @sheikhsabaya7234
    @sheikhsabaya7234 2 роки тому

    Wallah tunakuombea kwa m/mungu akuongoze na akuzidishie. Hii qaswida na kitu cha kufungia mwaka

    • @jumafaki1697
      @jumafaki1697  2 роки тому

      Shukran sana Mwalimu wangu

    • @timeabdi6116
      @timeabdi6116 2 роки тому

      @@jumafaki1697 nahitaji kutungiwa sijui inakuaje gharama

  • @mwanapilikaiama4013
    @mwanapilikaiama4013 2 роки тому +1

    Hongera juma fiki Allah akuzidishie ishaallah 🙏 🙏

  • @fahadayoub850
    @fahadayoub850 Рік тому

    Mwamba me nicoment nini mana majina yote ushaitwa

  • @salehkhamis8653
    @salehkhamis8653 2 роки тому +2

    ماشاءاللہ جزاك اللهُ‎ لخیر

  • @farasimothman8528
    @farasimothman8528 Рік тому

    Mashallah ustadh

  • @kasimkombo1937
    @kasimkombo1937 2 роки тому

    Maalim juma hii ndinga kali sana mashallah hadi rahaaa

  • @omarabdalla165
    @omarabdalla165 2 роки тому

    Yan nazid kutoa lang neno kwa hii qaswida mashaallah

  • @ZubedaAlly-uc4fg
    @ZubedaAlly-uc4fg 3 місяці тому

    Mashaallah mna qasweda nzuri

  • @nurasalimu2403
    @nurasalimu2403 Рік тому

    Mwamba shekhe juma upo vizury

  • @wahidaame3779
    @wahidaame3779 2 роки тому

    Huna mpinzan jivunie maalim Juma 🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰

  • @rukiaregeya5649
    @rukiaregeya5649 2 роки тому +4

    Masha Allah Tabaraak Allah ❤️💖💗

  • @mansourmwadini7939
    @mansourmwadini7939 2 роки тому

    Cjawahi jutia kukusikiliza cose unajuwa fundi wa mafundi Allah akubariki.

  • @alijabu6226
    @alijabu6226 2 роки тому

    Ustaz juma fakih omar mm ww nakuita fundiiiiii

  • @sabrinasaid2294
    @sabrinasaid2294 Рік тому

    Mashaallah

  • @safiarashid8444
    @safiarashid8444 Рік тому

    Ata sichoki kuisikiliza hii qaswida wallah😍

  • @yasirmtumwa4490
    @yasirmtumwa4490 2 роки тому

    Huwa unakula nini kiongoz mbona sauti sio ya kawaida hii 🎵🎵 wewe fuundi bhaana

  • @allyismail3927
    @allyismail3927 2 роки тому

    Narud tena kusema wewe unajuwa sana Mashallah

  • @user-si2mp2io9t
    @user-si2mp2io9t 9 місяців тому

    Aslm alykm Juma kunakaswida yenu ile ya udugu wetu na tuushike famili zetu tusizikate nimeitafuta UA-cam sijaipata au sijui nimeandika sivo ndio maana haikuja😭😭😭

  • @khamisridhwan934
    @khamisridhwan934 2 роки тому

    Mashallaaaaaaaaaaaaaaaaah da yani www huna mpizanu tznia hiiii

  • @maimunarobba2725
    @maimunarobba2725 Рік тому

    Mashallah naipenda sn hii qaswida

  • @ashurasaidy6568
    @ashurasaidy6568 Рік тому +1

    Maashaanlaah 💗💗

  • @fahadayoub850
    @fahadayoub850 Рік тому

    Hapa cjui jini la fimbo lilikua limeshuka mana sio poa

  • @ahmadjuma6083
    @ahmadjuma6083 2 роки тому

    Hii qaswida nimeikubali (bayat ya kibabe mno)

  • @fahmialhatmyonline6093
    @fahmialhatmyonline6093 2 роки тому +3

    Bismillah Maa shaa Allaah

  • @allykhamis1677
    @allykhamis1677 2 роки тому

    Mashallah kipaji hichi nakubali kaka

  • @munhanaamuhdhar8030
    @munhanaamuhdhar8030 2 роки тому

    Masha allah ajjab sanaaa wllhy

  • @mudkhamis3078
    @mudkhamis3078 2 роки тому +2

    Ww ni fundi

    • @jumafaki1697
      @jumafaki1697  2 роки тому +1

      Asante sana kiongozi Wang

    • @hawamakiya8476
      @hawamakiya8476 2 роки тому

      MaashaAllah
      Wallah kaka Juma ww ni fundi tenaa wajua kutuelimisha na kutuburudisha Allah azid kukupa umri mrefu Inshaallah

  • @kulthumabass9616
    @kulthumabass9616 2 роки тому

    MashAllah Kila la kheri ustadh jms

  • @mariamhamisi3294
    @mariamhamisi3294 Рік тому

    Nakukubal Sana ustadh juma

  • @rahmakhamis3300
    @rahmakhamis3300 2 роки тому

    Hongera kwa Qaswidah wewe huna mbaya

  • @khamisally6924
    @khamisally6924 2 роки тому

    Mashaallah hongera kiongozi ww ni fundi wa AQz

    • @jumafaki1697
      @jumafaki1697  2 роки тому

      Shukran Alhabib usisahau kusubscribe