MZEE WA UPAKO ATAADHALISHA VIKALI WATANZANIA BAADA YA KUSAINI DP WORLD
Вставка
- Опубліковано 26 вер 2024
- Askofu Antony Lusekelo ni kiongozi wa kiroho mwenye ushawishi na maono. Yeye ndiye mwanzilishi na mchungaji mwandamizi wa kanisa la Tutashinda.
Watazamaji zaidi ya million 5 hutazama jumbe zake za kutia moyo kila wiki kupitia runinga ya channel ten na zaidi ya watu milioni 1.7 wanaungana na Mzee wa upako kupitia majukwaa yake ya mitandao ya kijamii ulimwenguni.
Mzee wa upako anaweza kusikika 24/7 kwenye channel zake za UA-cam Mzee wa upako na TUTASHINDA CHURCH. Ungana na Askofu Antony Lusekelo kwenye Instagram Mzeewaupakotz.
Ahsante sana baba Mungu akupe hekima na ujasili wakuwa muwazi kwa kile unacho amini
KATIKA CHAWA WAHARIBIFU WA TANZANIA HII WEWE MZEE WA UPAKO NI MOJA YA CHAWA HATARI SANA KWA MAANA UNAUJUA UKWELI LAKINI UMECHAGUA UONGO,😭😭😭😭😭😭😭😭😭💚
Pambaf ulishindwa kumzika hata mamakp,lichawa likubwa
Wewe ndiye chawa usiyejitambua. Wenzio wanalipwa wanasafiri nje , hata wengine wamefugwa huko. Unabwabwaja hata Passport ya kutorokea nje huna. Nyambafuu. Gaidi sasa ameshatoroka anahubiri akiwa nje. Yaani hata hujui kwamba Bwana zenu huwa wanasafirisha vita nje. Ili waibe kirahisi. Wewe jichanganye tu chawa mkubwa weeee.
Ukweli mtupu mungu akuhifadhi mzee wangu
Nakukubali mzee.
Hujui kitu nyamaza ule sadaka,tuachie tanzania yetu
Comment zamatusi zinatoka upande wambeya,wambeya wanaroho kama zawatu wamalawi za ubaguzi,waulize wa Malawi waishije huko mnaropoka ropokatu bila sababu zakueleweka
Fanya utafiti kabla ya kusema au kutoa maoni yako kwakuwa matusi hayatoki Mbeya bali hata kwenu pia
Sikuelewi sijui unazungumzia nn si uache tu
Kama inchi iliukataa Sasa serikali imeusaini wa Nini?
Tupo juu kwa uwelevu tunafahaamu kinacho endelea ukiupinga ufai uulizwi unaingia kwenye matatizo mkataba kwa mtutu wa bunduki.
IGA ipo palepale. Hakuna kilichobadilika. Kilichosainiwa ni HGA ambayo ni mwanzo wa utekelezaji wa IGA.
Mwongo. Alishawahi kusema usicheze na jina la mmtu aliyejenga kwa miaka mingi umaarufu.alikuwa mkali.HALAFU LEO ANASEMA UMAARUFU HAUNA MAANA
Huyu mpuuzi tu. IGA siyo HGA. Malalamiko yaliyotolewa na kurekebishwa kwenye IGA moja tu ni lipi?
This is 100% politika.
Ukomo wa mkataba wa miaka 30 nao ni politika kwani mkataba ni fiche.
Ushauri kwako::
Achana kabisa na hii kitu kwani kila mtz anajua Sababu ya unachofanya.
Huna washauri????
Konyagii
Wewe ni mtumishi wa shetani shetani piya anaitwa mungu kwa wale wanao mwabudu ujiamini mtumishi wa Mungu ktk kristo Yesu awezi kuongea ujinga kama wako
Ni kweli chief
NDAGHA LUSEKELO, UMESEMA KWELI, TUWE NA AKIBA YA MANENO, HEKIMA ITUONGOZE.
Cheif Kama Chief KATIKA ubora Wake Wacha Chief atupie Mchango wake nipo nakusikiliza Hapa Mtemi wangu CHIEF MWAN- TEBE
We jingamoja tu kama majinga mengine hatjakwelewa chochote zaidi yakkuona unajizalilisha kowe ndounaakiri kuliko maskofu nawasomi wetu mijitu mingine mnakera mpaka basi
Anthony wewe siyo mwanasheri acha kupotosha watu jipendekeze kwa mengine. Msikilize wakili Madeleka anachokisema ni mwanasheria nenda kalewe huko.
Jambo la kisheria zaidi
Mzee umejifunza nn Sasa baada ya mawazo yako yote kukataliwa?
Naraya mkubwa wewe sema tu mlibahatika mkaoata vidonge vya kupunguza ukari wa virusi vinginevyo ungelikuwa umenpotelea mbari