Heshima kwako ninja nakubali unavyoongea unamaanisha sikupingi saluti sky mwambie nitakuja Kenya kumuomba pambano ila sitaki camera ili ni kipigwa iwe siri
Sikubaliani hapo kwa bouncer,kuna wale ni wakubwa na pia wako fitih martial arts.....ngependa sana nikupate wewe,niko kilo 120 na ni boxer,krav maga na kick box niko sawa sana
This guy is on another level..will start following him, this is.the type of hiphop I enjoy the most.
Congrats kijana wetu wa Sarajevo unatuwakilisha may God bless u forever.
Daaaa kaa la moto nomaa kwenye ngoma mbaka vitasi
Asa wee Jay Karate utanmbia nni, game ilkwa ukichapwa mbya😂😂😂, salute lkn kazi nzr.
Much love our Kaaa La Moto
Mm ni Mtanzanzania lakini na heshimu sanaa ya huyu Mwamba wa Mombasa Sensei Juma(Kaa La Moto Kiumbe)
Duh huyu jamaa mkali sanaaa 🔥🔥
Interesting interview Mr Sky Walker , big up yourself 🙌🙌🙌
Our own kaa la moto kiumbe❤❤❤he is my favorite 😊
😂😂😂ati kaa la moto ana ngumi ya chuma 🇰🇪🇰🇪.....
😂😂🔥🔥
😂😂😂😂🙌🏽🙌🏽
That freestyle is dope
Mwanangu kaa la moto upo good sana
Kaka Sky thank you so much for this.
Blessings Sana kaa LA moto
Big up kaa la moto karate is the best Shihan Mustapha salute love that self defence is the best
Kaa La Moto unaumahiri sana kwenye lugha watu kama nyinyi kupatikana ni adhimu
home boy from malindi
Rapper matata 🔥🔥🔥🙌
Much love broo
Hehe noma broo!
One love la moto
MWANANGU SANA KAA LA MOTO 😅😅😅😅😅JAMAA ANA MIKWARA
Bro wewe noma
Bloody sana nakutambua Kaa lamoto
KAA LA MOTO NI BALAA LINGINE KABISA
Nun chuck training is what i want my bro 🔥🔥🔥
Heshima kwako ninja nakubali unavyoongea unamaanisha sikupingi saluti sky mwambie nitakuja Kenya kumuomba pambano ila sitaki camera ili ni kipigwa iwe siri
🤣
😆😆😆😆camera ndo nzuri ili ukiki kama mandonga
@@mdachiog5211😂😂😂😂 jamani
@@ahz6907 atari sana
@@mdachiog5211 mchizi anaonekana yupo vizuri ukileta umandoga unaweza kufa mwenyewe unamuona vip ka kaza kinoma tukiwa peke yetu ni poa zaidi labda awepo sky tu
Kaa la moto kiumbe I just like the way is hummble congrat my bro much love from kisauni county 001
Noma sana hutopata mtu kama huyu
Sikubaliani hapo kwa bouncer,kuna wale ni wakubwa na pia wako fitih martial arts.....ngependa sana nikupate wewe,niko kilo 120 na ni boxer,krav maga na kick box niko sawa sana
Jaribuni vita huwa sana😂
Kongole Sana wakhwehu
Huyu jamaa anayoongea ya kweli ???😅😂😂😂😂😂😂
Kweli kabisa
Tatzo hampendi kuambiwa vya kwel, mnapenda vya uongo uongo anachokiongea ni u kwel mtupu
@@mfalme254ke ilo tatizo Umelijuaje
Anakwambia umma unatosha kuwamaliza😂
@@Josh_1194 Tatizo lipi
😂😂 kaa la moto 🔥🔥
Vita ni vitamu
wewe huogopi kutaja bombolulu😅
Kaa lamoto kusema ukweli ukilikalia utaungua mata na ko jomba ameibaka biiit 👊🏻👊🏻👊🏻
Jama nimeenda kuona nyimbo zake nimeamini bongo wanajua sana hip hop jama hamna kitu hajui
Acha wivu mtanzania mpuuzi
@@NajibBilal-fk8lk hamna rapa hapo
Wivu itawaua nyinyi illiterates