Aya njoon tusemezane asema Bwana. Nakumbuka mbali sana nilivyokuwa mtoto maisha hayakuwa kama sas na Mungu aliwatumia sana wazazi wetu kutukuza katika kumjua Mungu kwa njia mbali mbali ikiwa ni pamoja na nyimbo nzuri kama hizi. Mungu awabariki sana wapendwa 👏#Joshua Mlelwa #KKKT Uinjilisti Kijitonyama!
i love this song alot guys🙌🙌🙌🙌nabarikiwa kuusikiliza ...tangu nipo mdog mama ang mdogo alikua aniimba nikaijua mpka leo🙌🤭❤️❤️mbarikiwe wote 2023🙏
2024 bado tuko pamoja 🙏
2024 NJOONI TUSEMEZANE
Huu wimbo haukauki kichwani mwangu, asanteni kwa kumbukumbu nzuri
Napenda sana hizi nyimbo nabalikiwa sana
Nimeitafuta hiii nyimbooooo mda sanaaa hatimae leo nimeipata
Wimbo mliutendea haki jamani
Napenda sana huu wimbo
Naipenda sana nyimbo hii
2023, Wimbo wangu pendwa ❤️❤️❤️
Yesu mzuri jamani nabarikiwa sana naujmbe huu
31
Nani yuko hapa nami?
Niko huku poa 🙏🙏
Rip mommy😢
Nmebarikiwa sana na huu wimbo
Mmeuimba huu wimbo leo...nimekumbuka back then... Mungu azidi kuwabariki Uinjilisti Kijitonyama.
Nazikubali sana nyimbo za kijitonyama
Nabarikiwa sana ninapo sikiliza huu wimbo, 2020.
Kwanza watu waliomwimbia bwana zamani wako very energetic tazama hata flow yao ipo spiritual saana
De best song I love in ma life.🥰🙏🙌
Asanten kwa kunibariki
Aya njoon tusemezane asema Bwana. Nakumbuka mbali sana nilivyokuwa mtoto maisha hayakuwa kama sas na Mungu aliwatumia sana wazazi wetu kutukuza katika kumjua Mungu kwa njia mbali mbali ikiwa ni pamoja na nyimbo nzuri kama hizi. Mungu awabariki sana wapendwa 👏#Joshua Mlelwa #KKKT Uinjilisti Kijitonyama!
Nakumbuka 2002
Ameni
2020 AM here nice song
Ujumbe ni mahubiri tosha kutunyenyekesha Kwa Baba wa roho zetu
Nilijua tu umepita hukuuu,,, maana hukosi kunako Mambo mazuri Kama hayaa
@@victorsomba867Hahaha😂😂
Huu wimbo unanibariki Sana, Mungu awabariki
❤
22 Jun 2023. 🙏🏽
Hakika Golgotha ilipazaa sauti..
Mwemwemweeeee kila ninapo uskiliza huu mwimbo nakumbuka mwaka2007 sjui nifanyeje
2021 na niliisikia kwa mara ya kwanza 2003 na hadi leo hii naipenda na sijaichoka.
🙏2023
Wimbo umenikaa moyoni huu acha kabisaa
nakumbuka mbali saaanaaa
Geukeni tumludie bwana
2022🙏🏾
💓