Bodo ni kijiji jirani tunnanfunzi pia lakini tatizo m metumia haya majina na hata ufuo mazingira yote ni ya bodo na funzi lakini hakuna mtu wa hapo hata m moja yuko kwa hii filam wote wa.bogo moving sio vizuri kabisa kutumia maeneo ya watu na wati wenywe awafaidi mimi ni majirani zangu bodo funzi na wajua wote hamjawatendea haki
Aah bana mwatuonjesha tu,refusheni twalipia kuiona east Africa trending programme...but long time waiting
Hii move mashaala nzuli sana
Sema sudi huyo mtt mashaallah
Nice pete
Nzuri
Yani tamu kweli iwendefu kiasi basi
Next episode plz
Bodo ni kijiji jirani tunnanfunzi pia lakini tatizo m metumia haya majina na hata ufuo mazingira yote ni ya bodo na funzi lakini hakuna mtu wa hapo hata m moja yuko kwa hii filam wote wa.bogo moving sio vizuri kabisa kutumia maeneo ya watu na wati wenywe awafaidi mimi ni majirani zangu bodo funzi na wajua wote hamjawatendea haki
Mbn muendelezo hamna jamn.Hata haiko Moto Kama zamani.
Nuru Jamani Umepotea Sasa,Penzi Kwa Sabasi wa Mtaa Kweli,Jasiri naye afata jini.
Jamani Pete muendelezo lini
Litakalokuw naliwe mie niko tayar hat kukaa eda meipenda hi ni MIMI unajua kukomesha😅😅😅😅😅😅😅
Mnatuonjesha bwana
Tuekeeni full
Mbn amtuonesh episode zengne kwni kwaendaje????
Nuru layini na sudi love love
sudy ,tafadhali umechukua heartbeat ya Jasiri,,,,,,umeweza anyway!!!!!!!!
Kizaaaa 😅😘
Sudi
Waaaah,,, hapa nuru umechomaaa..... Jasiri ndie wa kwako mwache sudii😂😂😂
Sudi anahashuooo😃😃😃
😂😂😂😂Litakalo kua na liwe mm niko tayari kukaa EdaSudi kulikoni tena na Nuru
We Sudi ww
Taharuki kweli bikiongozi yupo tayari kukaa eda
Sudi aota Huyu yupo Na nuru
😂 😂 😂 Sudi wacha chocha
🤣🤣🤣🤣 jmnii sudiiiiiih duuuh
Nuru na Sudi wapenzi
Sudi we mapenz na nuru 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Nisaidieni jina la wimbo ulokuwa ukiimbwa sudi akicheza na Nuru...
Isije kisha mlinzi chuwa akapinduwa serikali ya kiongozi.....
Tuseme anakula asali ya kiogozi
Sudi umezidi umbeya😃😃
sudi ww tena!!🤣🤣
Loop
Huyu Nyanya na uchawi zake atafanya Niru amukose Jasiri jamani, sasa onaaa...
Ashamkosa tayari kwa huyu mmbea
Sudy umbeya si kz, kz nikusutwa🤣🤣🤣😋😋😋
Sudi wewe tena
Mbona nusunusu jamaniii..🤦
Tumen muendelezo jaman mpaka tuwakatae cyo
Hey fans ukiview fanya ku subscribe @breezmedia
Yako ya mtoto 😆😆😆😆
CHENELIHIKININZURI
😂😂😂😂
jmn mwataja kwetu mngejua nnavyo kumiss huko bodo 🤔
Muendelezo tafadhal
😂😂😂😂😂😂
Sema sudi huyo mtt mashaallah