Yes we have too...in any possible way. Mwenye alikua anamshika mkono hayuko. I hope the director of this show reads this comment and suggest a way that we can assist. This is so sad
The killers may never have peace walaaniwe pamoja na kizazi chao how could you kill a good person for no reason why 😭😭😭 Ilagosa continue dancing with angels 😭😭take heart prince and may the Lord God protect you with those evils 🙏🙏
Salama Ndugu yetu Illangosa 💔😭 MUNGU akukaribishe ulikua na bidii Kwa kazi yake I feel so sad 🤔 njameni killers nanyinyi mliyafanya Kwa Siri lakini yavichuliwa wazi ndiomnjue Kuna MUNGU ambaye yuaona hayo maficho ya ndani Hadi chini ya bahari, rest in peace illangosa we never forget you,
Clyde always stand for the truth and God will be on your side I will always be on my knees to pray for you. Never give up in your art and Incase of support please keep me in touch. Much love from this side. STAY STRONG AND POSITIVE ALWAYS.
No weapon formed against you shall prosper bro umefikisha ujumbe wale ambao wamemuua Ilagosa wa llagosa wasipate Amani rest in peace llagosa wa llagosa 😢😢😢
Mungu akulinde usikubali kuitwa n mtu yeyote ata kama n rafiki yako atatumiwa akumalize be careful brother kula hapa na pale funga hio chapta kunywa soda dukani ama ule kwako
I can't stop crying 😭😭😭 when I listen to your songs dear go well man of God but waliokuuwa wakifunga milabgo na madirisha pitia Kwa paa ya nyumba wakose amani watoke midudu Kila sehemu ya mwili zao Mbaka Siku ya kifo
Na hii case inafuatiliwa kweli ama story ya ilagosa imeisha ivo? 2.Hio simu ya Ilagosa Inafaa itatafutwe Iko wapi ichukuliwe ifuatiliwe hio information yote ya clips zake akiongea mwenyewe na hizo msgs alisema alitumiwa.. Kindly host fuatilia hii Kitu Hadi izae matunda Kenyans are watching & waiting eagerly to see haki imetendeka... You are doing great & we are proud of u sir...
Nikweli waimbaji wanakucheka ukiwa nashida melilia waimbaji wengi sana wakumbwa wanisurpot chakula2 mwigine ati wimbo.ametolea millions mi nalilia 10k mpaka matusi mtu anakutusi kwakuomba msaada mwigine nikambeg anipelekee mtoi hosi alisema akifa atamzika mwigine still nikamuomba msaada yawimb moja alinitusi pia but ukifa najua watakuja nagari kubwa kuzika mwikalisha wachukue self😂😂😂
Big up good job wwe ndio unafanya tujue mengi sna huyo kijana Ako swa kwa kutua ukweli juu hiyo kitu inaweza msumbua sna amefanya vizuri kwa kusema ukweli
So swali kwa huyo mwanamke ni wanawake wangapi hii kenya tunalea watoto zaidi ya 3 na baba zao wako na hawashughuliki then sasa vile Ilagosa amekufa ndio ataenda kwa kaburi ampe mtoto ashughulikie i wish huyo mwanamke angekua karibu yangu ile kitu angeona.....
This conspiracy of silence is a direct way of coluding with criminals!.. Investigative authorities( DCI) should move with speed, pick this threads, tie the loose ends of these glaring facts and nab the killers of ilagosa .
Heartbreaking! Pole. To keep this evidence unaltered, Ilagosa's Phone should be confiscated ASAP by authorities. Clydon should also save screenshots of the messages he received from the suspect lady backed up in his Google account. I hope the murders shall be arrested and dealt with accordingly.
Waliomuua ilagosa nafsi zao zitangetange zikose amani na uzao wao woote wasipate mtu wakuwasaidia milele na milele Ameen MUNGU yuko kazini ucku na mchana PRINCE GOD ALWAYS IS WITH YOU AMEEEN Your free in JESUS
So painful cyldon,,, almighty God that you serve will protect you,he is mighty and will protect you from the evil hands. No weapon 🔪🔪 formed against shall prosper in Jesus might name . Jesus Christ will cover 📔📔 you with his holy word and his blood that he shed on the cross ❌ we are praying for you brother.
Pole Brother. Nimachungu nahakika kikulacho kinguoni mwako, MUngu mwenyewe Atahukumu Wakati Wa hukumu, bt kwa sasa Wacha wachawi waendelee kuchawi siku yao Itafikatuuu
Its well Clyde,i have known u for so long and im sure what u are talking has a sense,may God protect u,praying for u.take heart and b encouraged in the Lord.u are blessed.
Pole sana Clyde mtoto wa nyumbani kwa hayo.Tunaomba Mungu akusaidie na akupiganie.Wengine wetu tulijua very late after yamesha fanyika but tungelijua mapema tungelisaidia penye tungeliwezeshwa.Pole sana Prince 🤴.
May God protect us from evil people that seen to be good but inside they have guilty on others people destiny. May God bless you but in other way be careful because " a killer will be always a killer; and who ever kill this happy man the late ilagosa , may God put eye on them. But the problems is who was this woman 🤔.
I had a sister who is like that, she has been planning to kill me but instead God is great she died laster year instead, so kupata a good family, ni mungu, this is very normal in luhya land
Pole sana prince be strong God is in control,we thank God because God is now reveling prince you are covered the blood of Jesus,my bro no weapon which is thrown against Gods people will prosper,my bro don't respond every call especially private number
Mm mtu wa kwanza ni huyo bb yake vile alisema eti dante Sana kuniletea kusumbu nyumbani na yule pastor alisema enda kabisa usirudi kusumbua watu na wa mwisho ni yule alijukua nguo zake kabla ajakata roho cuz hao watu alionekana wamefurai kifo cha ilagosa ndio maana waliarakisha wasani wamsike haraka this people the have to tell us what did ilagosa did to them thats why they take his life there must pay kinacho kataliwa na watu chapokelea na wengine so mngetuajia pastor wetu jameni cuz kupitia kwa maombi yake nilifanikiwa so the tyme namaliza contract nikuje church nitoa sadaka eti his no more plz plz who ever Did this to man of God the will never have peace
Oh my God! My God, help me to be a holy person above. Everything, you are the one who will give me never to have thoughts of killing people u blessed before me
Dont worry brother mungu yuko pamoja nawe atakutetea ukweli utakuweka huru ongea kila kitu unachojua mimi pia imeniuma nalia kila siku nikimkumbuka nalia kila wakati wacha mungu ailaze roho yake mahali pema prince usijali uko na mungu
Is very painful ilagosa usilale kama kweli ulikufa kifo yenye si Yake na mbona huyo mwanamke hakuleta mtoto kwa matanga ya ilagosa ajiseme vile alipata mtoto na ilagosa the amekufa so atalea mtoto na maiti
Pole san kaka mungu akufinike na damuyake iliuedele na hudumayako hak inamuma sana inanitoa machiz mm lkn achamungu roho ya ilagisa wa ilagosa ailaze mahali.pemapepon
Jambo la kwanza wakati ILAGOSA alipelekwa hospitalini kina nani walimpeleka ?swali la pili ulipo post picha yako na ILAGOSA akiwa hospitalini nkiwa nani hao walikwambia uitoe ?then bona hawakutaka ajulikane ako hospital ilikaa kama anafichwa kina nani hao?kwnni hawakumpeleka kenyatta hospital na ndyo hospital iko na machines za kila aina ya kipimo bona?????walio muua star wetu ILAGOSA Mungu usiwape amani uwalaaniwe hadi kisazi chao cha inne inauma sana
I like the way unajituma na kututafutia habari inayojiri kaka yangu, team gulf we are eagerly waiting for this.
Will be live from the late ilagosa's home tomorrow, what next after his burial. Subscribe
Kabisa
Is this Rebecca agesa sister to lagosa
We need to support this young boy haki....
Yes, he should also report.
Yes we have too...in any possible way. Mwenye alikua anamshika mkono hayuko. I hope the director of this show reads this comment and suggest a way that we can assist. This is so sad
Cyldon mungu akuprotect naomba moto waroho mtakatifu ukuzingire na damu ya yesu ikufunike be blessed
The killers may never have peace walaaniwe pamoja na kizazi chao how could you kill a good person for no reason why 😭😭😭 Ilagosa continue dancing with angels 😭😭take heart prince and may the Lord God protect you with those evils 🙏🙏
I feel your pain prince 💔 May almighty God protect your wherever you go 🙏
I feel your pain cyldon,,, it's good you have said, it comes out of your heart,,,May God protect and strengthen you,,,,
Mi naomba io simu itafutwe
@@Nobela-Luna007wish angefoward hizo vida kwasimu yake 🥺 🥺 🥺 🥺 🥺 🥺 🥺 🥺
Salama Ndugu yetu Illangosa 💔😭 MUNGU akukaribishe ulikua na bidii Kwa kazi yake I feel so sad 🤔 njameni killers nanyinyi mliyafanya Kwa Siri lakini yavichuliwa wazi ndiomnjue Kuna MUNGU ambaye yuaona hayo maficho ya ndani Hadi chini ya bahari, rest in peace illangosa we never forget you,
Eric mukabwa una roho safi sana Mungu azidi kukuangazia mwanga wa kujua mengi God bls you
And bro pliz avoid eating anywhere.take care of yourself and may God sorround you with his Angels
Clyde always stand for the truth and God will be on your side I will always be on my knees to pray for you. Never give up in your art and Incase of support please keep me in touch. Much love from this side. STAY STRONG AND POSITIVE ALWAYS.
Amen 🙏and pls share this video with friends reminding them to subscribe please 🙏❤.
@@abundanceworshipteam7207 okay
No weapon formed against you shall prosper bro umefikisha ujumbe wale ambao wamemuua Ilagosa wa llagosa wasipate Amani rest in peace llagosa wa llagosa 😢😢😢
Amen
Is so pain to have lost ilagosa,,his song sala zangu really touches me,,whoever took his life will never see or have peace...
Amen
True
I feel your pain bro clyde,heri hivo umeongea umekuwa huru wacha Mungu akulinde mahali popote utakapotembea
Too painful 😭😭,may God protect you Clyde and contend with the three people
Q
Mungu akulinde usikubali kuitwa n mtu yeyote ata kama n rafiki yako atatumiwa akumalize be careful brother kula hapa na pale funga hio chapta kunywa soda dukani ama ule kwako
Eric God bless you,may you live longer what you are doing is not easy
I can't stop crying 😭😭😭 when I listen to your songs dear go well man of God but waliokuuwa wakifunga milabgo na madirisha pitia Kwa paa ya nyumba wakose amani watoke midudu Kila sehemu ya mwili zao Mbaka Siku ya kifo
Na hii case inafuatiliwa kweli ama story ya ilagosa imeisha ivo?
2.Hio simu ya Ilagosa Inafaa itatafutwe Iko wapi ichukuliwe ifuatiliwe hio information yote ya clips zake akiongea mwenyewe na hizo msgs alisema alitumiwa..
Kindly host fuatilia hii Kitu Hadi izae matunda Kenyans are watching & waiting eagerly to see haki imetendeka...
You are doing great & we are proud of u sir...
Mukabwa you are doing a great job. God bless you Bro. Msinyamaze hadi waliomuua ilagossa wakamatwe
New here napenda vile your a legit interviewer like your so open and trustworthy and a big ♥ heart pamoja I'll be following 🙏💯
Am still crying😭😭,never sleep ilagosa tembea nao
Tembea nao ilagosa usipumzike mpaka wakiri
Mimi Bado nalia Sina amani kabisa kwa kifo cha ilagosa may his soul rest in peace watu ni wa baya sana.
Me too
Pamoja my sister so painful 😭😭😭
Mm pia😭😭
Nikweli waimbaji wanakucheka ukiwa nashida melilia waimbaji wengi sana wakumbwa wanisurpot chakula2 mwigine ati wimbo.ametolea millions mi nalilia 10k mpaka matusi mtu anakutusi kwakuomba msaada mwigine nikambeg anipelekee mtoi hosi alisema akifa atamzika mwigine still nikamuomba msaada yawimb moja alinitusi pia but ukifa najua watakuja nagari kubwa kuzika mwikalisha wachukue self😂😂😂
By the time you are done na hii mahojian ukweli utakuwa umejulikana.. keep it up brother Erick
Continue following up my brother,,we must get to the Roots of this ✊
Ppl are evil may GOD protect us from evil men
kazi nzuri Erick....poleni sana jameni
Cyldon umeongea kama watu kumi mungu akupanguze machozi na akutie nguvu hata mm niliadhirika sana barikiwa na mungu akufunike na damu yake
Big up good job wwe ndio unafanya tujue mengi sna huyo kijana Ako swa kwa kutua ukweli juu hiyo kitu inaweza msumbua sna amefanya vizuri kwa kusema ukweli
This is so painful,,, Nakuombea Mungu Akulinde pia wewe, maadui wasikuone in jesus name
Mwenyezi mungu akulinde
So swali kwa huyo mwanamke ni wanawake wangapi hii kenya tunalea watoto zaidi ya 3 na baba zao wako na hawashughuliki then sasa vile Ilagosa amekufa ndio ataenda kwa kaburi ampe mtoto ashughulikie i wish huyo mwanamke angekua karibu yangu ile kitu angeona.....
So painful indeed 😭😭😭My God give you strength Prince .Mungu wetu halali. My God protect you .
Waaaaaaaa😭😭😭😭 name them broh,watu waanikwe shame on them kwanza the so called brother nkt
Na pastor
Avoid eating from anywhere.
This conspiracy of silence is a direct way of coluding with criminals!..
Investigative authorities( DCI) should move with speed, pick this threads, tie the loose ends of these glaring facts and nab the killers of ilagosa .
My God protect you brother
Pole sana
Prince I remember we were with you in kawangware when was launching sala zangu album. I feel you brother
Meaning anasema ukweli
@@nancyayesa488 kwani wewe unadoubt
Ilagosa wa ilagosa introduced this guy as his son
Heartbreaking! Pole. To keep this evidence unaltered, Ilagosa's Phone should be confiscated ASAP by authorities. Clydon should also save screenshots of the messages he received from the suspect lady backed up in his Google account. I hope the murders shall be arrested and dealt with accordingly.
Waliomuua ilagosa nafsi zao zitangetange zikose amani na uzao wao woote wasipate mtu wakuwasaidia milele na milele Ameen MUNGU yuko kazini ucku na mchana PRINCE GOD ALWAYS IS WITH YOU AMEEEN Your free in JESUS
So painful cyldon,,, almighty God that you serve will protect you,he is mighty and will protect you from the evil hands. No weapon 🔪🔪 formed against shall prosper in Jesus might name . Jesus Christ will cover 📔📔 you with his holy word and his blood that he shed on the cross ❌ we are praying for you brother.
Pole Brother. Nimachungu nahakika kikulacho kinguoni mwako, MUngu mwenyewe Atahukumu Wakati Wa hukumu, bt kwa sasa Wacha wachawi waendelee kuchawi siku yao Itafikatuuu
Auwaye kwa upanga atauliwa kwa upanga mungu fuatilia neno lako ulitimize kwa anjili ya ndugu yetu kwa maana sisi atuna uwezo
Aki Pole Clydon...I Feel Your Pain..Hao Watu Wakose Amani Maishani Mwao...
Gasia huyo wa kusema pressure
Kama vile alivyo imba kwa wimbo
Mungu wake atampigania
God protect you brother
May lord 🙏 protect n cover this guy with his blood
I feel your pain bro Prince, my father died in such way,but when the truth was to be out Africans did like it out, may the Almighty God protect you 🙏
Jamani blood is never thick anymooooore🙌🏿🙌🏿🙌🏿🙌🏿🙌🏿
Waaaaaah 😭😭😭😭 ndugu unaua bro yko surely.umesahau umaskini wenu badala ya kushukuru bro yko amefanya mnajulikana.
Pole sana kaka.If Sisi twaskia uchungu yet tumemjua juzi kama ameaga,though tulijua nyimbo zake,what about you?May the good lord be your protector .
Its well Clyde,i have known u for so long and im sure what u are talking has a sense,may God protect u,praying for u.take heart and b encouraged in the Lord.u are blessed.
I feel ur pain bro. Illagosa usilala uwarudie wote walio kuuwa
God will protect you bro🙏🙏. Ni nani ako na simu ya Ilagosa so far??????
Hugs Prince everything will be ok I feel your pains.... justice justice justice will be done baba😭
Pole sana Clyde mtoto wa nyumbani kwa hayo.Tunaomba Mungu akusaidie na akupiganie.Wengine wetu tulijua very late after yamesha fanyika but tungelijua mapema tungelisaidia penye tungeliwezeshwa.Pole sana Prince 🤴.
Inaniuma sana sana tena sana,itakuaje mnauwa nabii wa mungu,wachugaji mtaokoka lini surely.illagosa wa illagosa rest in peace,
Bro do not be afraid, God will guide you keep praying 🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾
So painful, pole sana, may God protect you 🙏
May God protect us from evil people that seen to be good but inside they have guilty on others people destiny. May God bless you but in other way be careful because " a killer will be always a killer; and who ever kill this happy man the late ilagosa , may God put eye on them. But the problems is who was this woman 🤔.
I had a sister who is like that, she has been planning to kill me but instead God is great she died laster year instead, so kupata a good family, ni mungu, this is very normal in luhya land
Pole sana prince be strong God is in control,we thank God because God is now reveling prince you are covered the blood of Jesus,my bro no weapon which is thrown against Gods people will prosper,my bro don't respond every call especially private number
I feel pain😭😭😭😭😭
May the killers of illagosa be troubled by the lord illagosa served.. rest well man of God 🙏
Pole Clyde,it is well
😭😭😭😭😭we are still mourning.....The wound is still fresh
So sad 😢😭,, take heart bro,,my God take control 🙏,may his soul R.I P
waaah muhenga hakukosea kusema kikukulacho ki nguoni mwako ok bro mungu akukutetee si kazi rahisi pole pole so sad
Waaaaaaa may God protect you in jesus name 🙏🤲so sad aki
😭😭So painful indeed BROTHER...take heart
# justice for Samuel iragosa watu hawataua tu mtumishi wa Mungu iende ivyo
It's painful bt may God protect you bro
Emen Brother keep it up But the spirit of ilagosa wa illangosa isipumzuke Hadi wa seme ukweli spirit of ilagosa wa illangosa never rest until the End
So sad ndugu? Siwezi ua mtu wetu mungu akulinde brother
Who has Ilagosa phone??? That phone if it gets to the wrong hands then they may delete the evidence
Correct
It must be guarded
People Are So Wicked 😭😭😭😭😭
Mm mtu wa kwanza ni huyo bb yake vile alisema eti dante Sana kuniletea kusumbu nyumbani na yule pastor alisema enda kabisa usirudi kusumbua watu na wa mwisho ni yule alijukua nguo zake kabla ajakata roho cuz hao watu alionekana wamefurai kifo cha ilagosa ndio maana waliarakisha wasani wamsike haraka this people the have to tell us what did ilagosa did to them thats why they take his life there must pay kinacho kataliwa na watu chapokelea na wengine so mngetuajia pastor wetu jameni cuz kupitia kwa maombi yake nilifanikiwa so the tyme namaliza contract nikuje church nitoa sadaka eti his no more plz plz who ever Did this to man of God the will never have peace
Huyo pastor alisema wpi kwa matanga ama
Mungu wa ilagosa atampigania 😭😭sasa vile walimua nini wamepata💔💔
Oh my God! My God, help me to be a holy person above. Everything, you are the one who will give me never to have thoughts of killing people u blessed before me
God strengthen you brother, God will protect you
Gods protection upon you our brother Mungu hajawai kumuacha mwenye haki Wala usiogope kusema ukweli hao madui watapigwa na mungu.
Woooi ngai aky I can feel the pain in this man,
Akii ni uchungu sanaaa 😭😭😭
Mungu ujuaye siri ya mioyo yetu najua unajua ukweli,it shall be well
Good job keep the fire burning
So painful
May God protect you mabaya yasikupate
Dont worry brother mungu yuko pamoja nawe atakutetea ukweli utakuweka huru ongea kila kitu unachojua mimi pia imeniuma nalia kila siku nikimkumbuka nalia kila wakati wacha mungu ailaze roho yake mahali pema prince usijali uko na mungu
Hao hawatapata amani maisha yao yote
Waah ! Painful this may God protect you prince nitasema tuu kama wewe yeyote amehusika na hii kifo cha ilagosa asiwai pata amani maisha yake yote
Bro' be careful,the wicked bado wapo...don't eat ovyo, stay away from them
Am here waiting the whole night no sleep
Adui wa mtu ni wa nyumbani, ndio sababu alikataa kujenga home
Is very painful ilagosa usilale kama kweli ulikufa kifo yenye si Yake na mbona huyo mwanamke hakuleta mtoto kwa matanga ya ilagosa ajiseme vile alipata mtoto na ilagosa the amekufa so atalea mtoto na maiti
Acha apumzike nawe uruhusu Mungu akupe uponyaji he's a just and faithful GOD
Pole san kaka mungu akufinike na damuyake iliuedele na hudumayako hak inamuma sana inanitoa machiz mm lkn achamungu roho ya ilagisa wa ilagosa ailaze mahali.pemapepon
Rip ilagosa wa ilagosa 😔😔😔 wajeni mungu afanye kazi yake
Jesus Christ have mercy our saviour. May God give you peace Prince.
Jambo la kwanza wakati ILAGOSA alipelekwa hospitalini kina nani walimpeleka ?swali la pili ulipo post picha yako na ILAGOSA akiwa hospitalini nkiwa nani hao walikwambia uitoe ?then bona hawakutaka ajulikane ako hospital ilikaa kama anafichwa kina nani hao?kwnni hawakumpeleka kenyatta hospital na ndyo hospital iko na machines za kila aina ya kipimo bona?????walio muua star wetu ILAGOSA Mungu usiwape amani uwalaaniwe hadi kisazi chao cha inne inauma sana
Alipelekwa na Solomon mkubwa was the close friend to ilagosa
God protect u ,no weopon formed against u ,shall prosper
Aki watu hii Kenya, sasa waliuwa Ilagosa ndio wapate nini sasa.
I wonder
Sorry prince I feel your pain may the killers of ilagosa never find peace
Pole Prince
Mukabwa find that fone io simu uangalie