#BREAKING
Вставка
- Опубліковано 7 вер 2024
- #BREAKING: KINANA AMUANDIKIA RAIS SAMIA BARUA ya KUJIUZULU UMAKAMU MWENYEKITI CCM - OMBI LAKUBALIWA...
Jishindie Zawadi na Global TV
Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
👉🔥👉forms.gle/aU9z...
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 739 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
Jishindie Zawadi na Global TVJaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
Mzee huyu,Nampenda sana Ni kiongozi Bora,Mungu ampe maisha marefu,
Acha uongo huyo mzee kinana anaroho mbaya sana nimefrahi sana kujiuzulu 😂
Sasa hivi wataanza kumsema sema rais wetu kama walivyofanya kwa magufuli
Bora. Aende. Salaama.
Duuuu ameona jamaaa zake wametolewa
Kinana alijulikana rangi yake enzi za JPM .....alisema anapumzika , lkn JPM alvyopass tu , Kinana akarudi tena na smile 😂 . Hii inaitwaje ?
Kunani ccm mbona kama gizaa nenee
Ila wazuri hawafi😢😢
Wameshachota za kutosha mkija kushtuka kumekucha😂😂
Washaanza kuumbuka wabaya wote na inshaallah watazidi kuumbuka mama piga kazi wote hao utakuja kusikia wanajiuanga kufungua chama Chao
Nanalo ni neno umesema kweli
Kweli
Nyuki wameanza kutoka kwenye mzinga wa bibi. Uhakika wa asali unapungua.
Kinana na nape na jamuary dah . Bora mimi team jaffo
Wezi bado wapo mama kua makini
Du msigwa anafaa kuwa makamu mwe/ kiti ccm🎉🎉🎉
Kuna jambo wanaunda hao mafisadi
Umeona watoto wenu wametolewa na wewe umeamua kujiuzuru, nenda chama ni kikubwa sana.
Piga kazi Rais wetu Hawa wote wanajaribu kukukwamisha ila hawataweza
Yajayo.yanachekesha
Miongoni mwa uchafu uliokuwa CCM ni huyu kinana. Genge la wezi limeanza kuondoka
Mama wezi bado wapo awajaondoka
Hivi lile fagio la chuma bado lipoo??
Kinana, Nape, Makamba. Evil trinity
Rais Samia ajiandae kijinsia, kisakorojia, na kiitakadi.
Hovyoo.. we don’t remember anything good from him..
Nafasi ya kinana apewe mpina au ally kakulwa bashilu
kweli kabsa is sivo ccm bay bay
asanteee sana
Genge linafuatana huyu na mwanzo wa hila mbaya kama walivyo Fanya Kwa JPM
NATABIRI MWENYEKITI MSAIDIZI AJAE, ATAKAECHUKUA NAFASI YA KINANA NI MZEE WA SPANA MHESHIMIWA MAKONDA, NIPO PALE NANGOJEA UTEUZI WAKE KUTANGAZWA......
Washarithika na awastaafu wanataka wakatumie pesazao
Anayefaa kumsaidia vyema sasa ni Bashiru!
Wako naye ikulu, tangu wiki mbili zilizopita
Aendee hana maajabu
Msigwa umeona hiyo siyo kukurupuka kisa wenzio wamekuudhi. Unatoka kuchafu unaenda kuchafu zaidi.
Kumekucha kumekucha..
Mh, Kinana umefanya vizuri kujiudhulu kwako maana wazee hasa wanatakiwa kupumzika wawaachie vijana tu na kama ingewezekana wazee wote wapumzike wawawaachie vijana ambao bado ubongo wao bado unakuwa na kupanga mambo bila kusahau maana uzee marz unaweza mengine unasahau wazee tuamue kama alivyo amua mwenzetu tungatuke vijana wapate ajira.
hii nilijua tu lazma ije
Bora
Mama kwa Sasa amebaki mwenyewe jmn watanzania ni wakati wa kumuunga mkono
Asante mama Kwa kusikiliza kilio changu,Sasa nasubiri utamteua nani ? Maana huyo Mzee anyedai kujiuzuru angekutia aibu kunasehemu watu walijipanga kumzomea na kutoka kwenye mkutano kama angesimama huyo,na Mzee makamba kwani walichokifanya wanajua,kwangu roho kwatu mama pambana
Mama endelea kuwa jasiri waamini vijana
Mama ndio binadamu tulivyo muamini mungu tu sio binadamu mungu ni muweza wa yote amani amani amani amani amani tanzania
Kinana ni mnafiki, kaachia ngazi kwa sababu ya kutumbuliwa kwa January na Nape.
Uko sahihi kabisa.
Aaah! Eti eee! Na kweli kama no ramuli umeijua kwa kuunganisha doti
Wote hawa ndo walewale…Kinana,January,Nnape..na baba zao..Magufuli alivyoeashugulikia hakuwa mjinga…
Nahisi hiki ni chama😂😂😂,magufuli alikuwa na jicho la kuona,
Ccm wote lao moja
Hayayangu macho kwamajirani mtaumbukasana bado mrezi kikwete nababu makamba
Dah group la utatu mtakatifu limeondoka
Wacha mvua inyeshe tuone panavuja
Mmmh kuna namna hapa 😂😂😂
Pumzika Mzee Kinana , wewe Ni mtu mwema Saaana
Hafai huyo
Tusishangae kijacho... PCM anachukua kiti kiulaini.. mtasikilizia muziki wake.. labda amefichwa mahali akipewa training..akiibuka huko patanuka
Hiiiiiiiiiiii aha!!!!
Mama kawatoa timu yake kwenye sistym, asingebaki cheni imekatwa! Tusubiri njama za majungu tena,kama tulioshuhudia huko nyuma!
Ndio kwanza kazi inaanza, mama aendelee kupiga sala tuu
KIMENUKA😂😂 WATAPIGANA MPAKA...
Walewale
Hawataki agombee urais
Tushawachoka kilasikunyinyitu kwanihamnawengine
Sepa 😂😂
Mh!hii sio ile channel ya mataahira kweli!sianini habari zao mpaka nione Ayo au channel zingine za watu wenye akili.
Muuu
Afadhari
Amechelewa sana😂
Hovyo huyu aende salama.
Bada ya kumuuzi RC wa ARUSHA
Uyo knana ndo walewale kna nape makamba .ndungai
Mtoe ndugai hapo, hayuko kwenye hiyo circle