Aameen Asante Kwa Kushirikiana Nasi Kwa Kusikiliza Faida Za Kielimu Zinazowekwa Kwenye Channel Yetu Allah Aihifadhi. Endelea Kushirikaiana Nasi kwa Faida Zaid za Ki Elimu Mbali Mbali Zitakazoendelea Kuwekwa Kwenye Channel Yetu Bila Ya Kusahau subscribe na Ku Like. Baaraka Allāhu Fiyk
@@khamisali5978hajapotea popote ila hamtaki tu nyie kukubali kama hamko sawa maana akisema anatowa na ushahidi wa vitabu mbali mbali kwa mnajiona mnajuwa wala hamjui mnaona haya kukubali kushiindwa ndio taabu yenu mnakhiyaru muupoteze umma na kuliko kukubali lilo sahihi
Radi zenu wenyewe wala hazimpati Abuu Idd kwa uwezo wa Allaah
Kwanza nani huko Saudia alisema wawafuate wao kwa mujibu Maulamaa wao wenyewe pia na wao hawawafuati kwengine ukiandama
Allah amuongoze Abuu idd
Aameen
Asante Kwa Kushirikiana Nasi Kwa Kusikiliza Faida Za Kielimu Zinazowekwa Kwenye Channel Yetu Allah Aihifadhi.
Endelea Kushirikaiana Nasi kwa Faida Zaid za Ki Elimu Mbali Mbali Zitakazoendelea Kuwekwa Kwenye Channel Yetu Bila Ya Kusahau subscribe na Ku Like.
Baaraka Allāhu Fiyk
KAPOTEA ABUU IDDI HANA MANENO
Nyie wakaidi msotaka kufahamu ndio wa kuombewa dua kuhiduwa
@@khamisali5978hajapotea popote ila hamtaki tu nyie kukubali kama hamko sawa maana akisema anatowa na ushahidi wa vitabu mbali mbali kwa mnajiona mnajuwa wala hamjui mnaona haya kukubali kushiindwa ndio taabu yenu mnakhiyaru muupoteze umma na kuliko kukubali lilo sahihi
Subhanallah Allaah atuongowe sote Yaarabiy heee kwani Maulamaa wenyewe wa Makkah hawajasema wafuatwe toka Karne na karne
Awaongoze na nyie pia maana hayo maneno hayatowi MFUKONI mwake kayatowa kwenye kitabu
Nimarangapi mawahabi wamefungua nasaudia nawenzao saudia wakalipa Bali mawahabi halipagi nahili waambie wenzako wenye kanzu fupi
Lini? Lete Ushahidi
Toa hoja za kielimu, wacha uongo kijana.
We sufy twarika unabwabwaja