Jinsi ya kutumia Tampons wakati ukiwa kwenye siku zako (hedhi),kwa mara ya kwanza!
Вставка
- Опубліковано 27 жов 2024
- Wapenzi kwenye hii video nimeongelea na kuelekeza vizuri kuhusu tampons( pendi)
Jinsi ya kuzitumia na vitu mbali mbali.
Video ya kufanya usafi 👇🏽👇🏽
• Jinsi ya kutumia Tampo...
🌸instagram:bariki.k
Usisahau kuuliza kama una swali lolote 💕💕
Je ukiwa unatak a uchafu chn unawez tumia Tampax..???
Hapana kwakweli mie naogop huo uzi🤔acha nitumie kitambaa tu🤗but asante sana kwa kutufundisha😍
Sawa dear ni kweli mtu unaogopa mara ya kwanza ila badae unazoea ila ni vizuri tu kila mtu kutumia kitu anajisikia kutumia 😘
Hahaaa, muoga wewe 🤣🤣🤣
But all in all aisee don't skip a week without video pulziiii darling 😘
Asante dear saa hivi kila week tuna video mpya
Nazipenda cz surface ya juu haipati damu kabisa na pia huwez sikia harufu ya damu kabisa ni nzur sana sana,
Je ikijaa umechelewa kuitoa damu inatoka nje kama kawaida
Ni mzuri mno...pads nilishazisahau
👏🏽👏🏽💕
😅unaikuta mlangoni lol kwa kweli
Umenkumbusha mbal kwel dear.
Yaan io ktu 4 the first time nlkiona kwa shangaz angu ckujua sasa matumiz ake yaan nciende nayo kwny daladala nkatoa nkaanza safshia mackio🤣🤣 nkajiona me wakshua kwel 😆😆 aisee cjui nlkuw nawaza nn
Ntajuaje imejaa
Jamani nimecheka mpaka basi dear 😂
Unaisikia mwenyewe au baada ya masaa matatu
Nauliza unaeza Eka pendi aje usijulikane umeeka?
Naezakojoa ikiwa ndani?
omg lol I hate tampons, I hate how it feels down there 🤣 zilinishandaga izi aki , ngoja niendelee kuangalia video
Mimi situmii muda wote kwasababu kweli unakuwa ujisikii vizuri ukizitumia muda wote
@@barikikaroli6088 yeah, kweli bora times maalum kama ulivo elezea
Tampoon mi Nazipenda sana haswa nikiwa na mizunguko ya nje ila nikiwa ndani napenda nivae pad
Hata mimi
Kwangu naona afadhali nitumie tampons kuliko pads...nachopendea hizo tampons ukivaa nguo ya kubana haonekani kama pads
Yea ni nzuri sana hata mimi siku hizi napenda sana kuzitumia
Zinauzwa wap dear
Angalia kwenye supermarket
Jamani wengne damu kutoka nyngi sana cjui kama kitaimili
Jamani pole ulishaenda hospital kuuliza
Jaman mm naogopa kwani huu uzi unaobaki huwezi kuingia ndani asante lakin kwakutufuza mm mwenyewe nilikua sijuii ni nn
Hapana unabaki nje ni mrefu 😀
Sijawahi kuiona inapatikana sehemu gan
Tangu nianze kuitumia sijawahi kurudi nyuma
Ndiyo Kwanza naijua leo
Okay ukipata muda jaribu
Ukisikia mkojo unafanyaje
Naomba namba zako
Ndo naiona leo
Wa kwanza leo jamani …
My dear Asante sana 😘