Asante sana kwa mchango wako dear, Unaweza kuweka ukurasa wako wa Instagram hapa ili watu wakutembelee na kuona na kuhakiki biashara yako ili wakivutiwa basi wahamasike Katika hili.
Yaan sasa hiv biashara ya kula tu ndiyo inatoka maana ni laima kula.lkn ati rasta?!ni ngumu sana dadangu watu tumeshazunguka mpk tumeishia kuvivaa wenyewe
Thanks dada angu ❤
Asante mpenzi kwa maarifa na ujuzi..hizi biashara ni best hulali njaa kabisaaa sabuni za maji zinasave life🤗🤗🥰
Hiyo ya kuuza lasta jmn
Significantly to take byurvurs ost talentlyH
Yaan dadangu labda biashara ya maji na vinywaji.lkn ingine ni uongo watu wana hali ngumu vinakudodea mwenyewe.
Ni kweli hali ngumu sana usawa huu,unapambana ivo ivo tu kipenzi,
👍👍Nimekubali biashar ya mitumba nipambe
Asante nimejufunza ,naomba kuuliz biashara yashuka zile shuka za kukata kitambaa alaf unashona kwa dar dula liko wap
Tandika dear ukiwa asubuhi unakuta mashuka mazuri namakubw kias kwamba shuka Moja unaweza toa shuka mbili palepale Kuna kua na fundi cherehan
naipenda sana biashala ya rasta lakin sihelew napataje mizingo nisaidie dada na mtaji ni nao
Upo wapi??na unataka rasta kiasi gani? Mtaji kiasi gani??
Nicheki insta,keki plus tujadiliane vizuri
Nakupenda sana we dada,you're so open.
Ahsante dada ,basi kua supplier wangu wa leso na dera kutoka Tanzania ,mimi niko kenya
Hellow kama mtu anataka kuwa supplier wako ni shngap???
Jaman nipe na mm hy Kaz niwe supplier wako
Hellow Nataka Kuwa Supplier Wako
Thank you
Mie hii yamwisho namba kum ndio ndoto yangu
Asante sana kwa mchango wako dear,
Unaweza kuweka ukurasa wako wa Instagram hapa ili watu wakutembelee na kuona na kuhakiki biashara yako ili wakivutiwa basi wahamasike Katika hili.
Yaan sasa hiv biashara ya kula tu ndiyo inatoka maana ni laima kula.lkn ati rasta?!ni ngumu sana dadangu watu tumeshazunguka mpk tumeishia kuvivaa wenyewe
Thanks you so much my sister
Thanks you so much my sister
Asante sana
Thank u
You're welcome