Mikubwa wasipoe wachezaji wanaboa Sana pale wanapo zubaa halafu Mohamed Hussein aambiwe asipande kushambulia yeye ndiye magoli mengi tunayofungwa na hasa tunapotolewa wapinzani wanapita kwake hata krosi zinazotuadhibu zinatokea kwake apunguze mzuka wa kushambulia kwenye mechi muhimu hizo na kapombe pia watulie wakabe na wafanye making ya mwilini Kama walivyo mdhibiti kisinda waache mapepe ya kushambulia kabisa
Simba sc tanzania is the best 👌 among teams in Africa football club 👏
Nakupenda Simba ukiwa kimataifa tu ila ukiwa huku nyumbani mi yangaaa
Hoja zote zilizoongelewa pambe saaaaaan.hongeren.nguvu MOJAAAAAAA.
Hongera sana shabiki wa yanga ninayekuona hapo. Najua unajifunza.
Simba nguvu moja
One team one dream
Simba mnyama hatali saaàaaaaana
Simba Nyinyi ni Wakubwa Sana Africa Hilo Hakuna ubisha kabisa
Mungu awabariki wooooooote hapo pichani mwaaaaaaaaaaaa
UMENIFURAHISHA BABA
Mzee unatisha unajua sana
Very nice
Ngumu kumeza lakini dawa💪🏽
Uyu yanga vp tena apo♥️♥️♥️♥️😂😂😂😂😂😂😂
Dawa iwaingie wagonjwa vizur,,
Kweli kabisa wachezaji wanne wa kimataifa 'WATATUTA SIMBA.'....Kweli WATATUTA hamna shaka..!
MTANI HUYO MPENI OFA AKAONE MECHI.
Kesho tuu manara na bumbuli wanaitisha press 😁😁😁
Mzeee wambie hahoo mtopolo
Ongeeni ya kwenu....mbona mda mwingi mnaongea na semaji la dunia..
Watatuta ndo nn sasa? Huyu aliyeandika kichwa cha habari
kuna ukwel
Nguvu moja
Tumekusoma mwenyekiti
Elezeni ya kwenu jamaniii, mbona mapovu mapovu, tuuu??? Kurudisha kwa jamii cyo hivyo,, kutoa tiketi ndiyo kurudisha kwa jamii, labda kucheza ngoma...
Utajuwa hujuw
Mikubwa wasipoe wachezaji wanaboa Sana pale wanapo zubaa halafu Mohamed Hussein aambiwe asipande kushambulia yeye ndiye magoli mengi tunayofungwa na hasa tunapotolewa wapinzani wanapita kwake hata krosi zinazotuadhibu zinatokea kwake apunguze mzuka wa kushambulia kwenye mechi muhimu hizo na kapombe pia watulie wakabe na wafanye making ya mwilini Kama walivyo mdhibiti kisinda waache mapepe ya kushambulia kabisa
Simba nguvu moja