Yani wana redemption ministers mungu hakika anawaongoza bila ya wasi wasi.. i like how you guys have done the reformation in music. May God bless you guys and continue guiding you. Dressing iko sawa, mziki iko sawa, vikanyangi mmekataa,, yani kila kitu mfano wa mziki wa kibingu👏💯
I pray with alot of trembling that our God may sustain you in his ministry. we look up to you. You have given music the reformation that's lacking in our choirs. We love you, our knew Kurasini.
(Stanza 1) Sikia nikueleze yalo moyoni mwangu, upo wakati katika safari yangu, nilifuata njia njia ya upotovu, japo ilikuwa pana tena na kupendeza, ulimbo ukaninasa, shetani akatamalaki na kunicheka, nikasikia sauti ya upole na upendo, yaniita kunipa tumaini (Chorus) Neema iliyoshuka wokovu tukapewa bure, jiwe lilokataliwa limekuwa jiwe la pembeni, kweli mti uliokatwa unaweza chipuka tena, Ni kwa neema ya Bwana bado twaishi (Stanza 2) Kumbe ni sauti ya neema yake Mwokozi, akininyoshea mkono wa samaha na kuniokoa kutoka ulimboni, ikanilaza penye salama nitulie, akanisafi Mwokozi, kaondosha kiu yangu na kunituliza, nitaimba neema yake milele sitachoka, hadi nitue nyumbani salama.
Redemption, your rendition of ‘NEEMA’ was nothing short of heavenly. Your harmonies wove together like threads of grace itself. Thank you for reminding us of the profound gift we’ve received.
Amen.. music for eternal glory. God bless you so much fellow ministers of the gospel. We were together in uriri camp in 2019. Bahati SDA choir Nairobi is humbled to be associated with you. Blessings galore
Indeed Grace descended, salvation was given to us freely, the rejected stone has become the cornerstone, truly a cut-down tree can sprout again, It is by the grace of the Lord that we still live.
What a beautiful sentiment. Trusting in the guidance and wisdom of God can provide strength and resilience during challenging times. The message of perseverance and faith is indeed inspiring.
"Jiwe lilokataliwa limekuwa jiwe la pembeni!" This is incredibly touching. Stay blessed, Redemption. May the Lord continue to use you mightily in this ministry.
Yani wana redemption ministers mungu hakika anawaongoza bila ya wasi wasi.. i like how you guys have done the reformation in music. May God bless you guys and continue guiding you. Dressing iko sawa, mziki iko sawa, vikanyangi mmekataa,, yani kila kitu mfano wa mziki wa kibingu👏💯
Amina we are humbled 🙏🙏
I pray with alot of trembling that our God may sustain you in his ministry. we look up to you. You have given music the reformation that's lacking in our choirs. We love you, our knew Kurasini.
Watching all the way from zambia ❤
(Stanza 1)
Sikia nikueleze yalo moyoni mwangu, upo wakati katika safari yangu, nilifuata njia njia ya upotovu, japo ilikuwa pana tena na kupendeza, ulimbo ukaninasa, shetani akatamalaki na kunicheka, nikasikia sauti ya upole na upendo, yaniita kunipa tumaini
(Chorus)
Neema iliyoshuka wokovu tukapewa bure, jiwe lilokataliwa limekuwa jiwe la pembeni, kweli mti uliokatwa unaweza chipuka tena, Ni kwa neema ya Bwana bado twaishi
(Stanza 2)
Kumbe ni sauti ya neema yake Mwokozi, akininyoshea mkono wa samaha na kuniokoa kutoka ulimboni, ikanilaza penye salama nitulie, akanisafi Mwokozi, kaondosha kiu yangu na kunituliza, nitaimba neema yake milele sitachoka, hadi nitue nyumbani salama.
A niece piece indeed
Amen and Amen Nehema iliyoshuka Wokovu tukapewa bure.
Huu mziki yamepangwa na yananipa matumaini😢... feelings blessed 🙏
Ni kwa neema Bado tunaishi ❤may God lead us through
Amina
Amen and amen 🙏. Neema ya Bwana kweli yatosha
Amen
Welcome back redemption, the kenyan Kurasini
Neema iliyoshuka wokovu tumepewa bure🎉🎉🎉❤
Tamu🔥🔥🔥🔥🎶🎶
Kisii 🔥🔥🔥
Hakika ni neema bure
Mungu atukuzwe milele kwa sababu ya neema yake
Be blessed wana kwaya for the beautiful song
Ni kw Neema ya Bwana bado tunaishii....
Missed you guys but finally❤❤❤❤❤
Now this is an SDA beat😃
A nice piece. Stay blessed, the Redemption ministers.
jiwe lilokataliwa🥰🥰
Wow amazing song keep going ❤❤❤
Very powerful piece amina
Good song again your pianist is the best
Mwenyezi Muumba apewa sifa.Neema kuu hili tumepata❤❤
Ni kwa neema!!
Very powerful
Redemption, your rendition of ‘NEEMA’ was nothing short of heavenly. Your harmonies wove together like threads of grace itself. Thank you for reminding us of the profound gift we’ve received.
Amen.. music for eternal glory. God bless you so much fellow ministers of the gospel. We were together in uriri camp in 2019. Bahati SDA choir Nairobi is humbled to be associated with you. Blessings galore
the rejected stone has become a cornerstone
Sure
Amen amen, message clearly passed. Neema iliyoshuka
A very blessing item ❤❤
Amina. Ni kwa neema tu
Hugusa,amin the piece sooths
Redemption ministers you are 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥can't get enough of you guys,,, but where are the legends ladies wa group? I miss them
Qaaaq
I love your pianist skills..and am waiting for this to be recorded live ,may God bless you guys
Tr. Innocent pure talent.
I have missed very many members i can only see Lydia and the other lady that i don't know her name kwani wengine walienda wapi i miss them so much!!!
A wonderful piece. Though i feel it wasn't well expressed in the facial expression. Kindly check on that
Indeed Grace descended, salvation was given to us freely, the rejected stone has become the cornerstone, truly a cut-down tree can sprout again, It is by the grace of the Lord that we still live.
What a beautiful sentiment. Trusting in the guidance and wisdom of God can provide strength and resilience during challenging times. The message of perseverance and faith is indeed inspiring.
Amen 🙏
❤ am in love with your songs. How can I download them, they really really bless me especially when overwhelmed. Please advise..
Redemption always ❤❤❤❤. Nafuatilia uganda
Asante sana.Karibu tubarikiwe pamoja
Amen blessed
I can see my school mate Fidel clain ngoya
May God bless each one of you very mightily.
Amen 🙏
Much blessings 🙏🙏🙏🙏
Thank you 🙏
"Jiwe lilokataliwa limekuwa jiwe la pembeni!"
This is incredibly touching. Stay blessed, Redemption. May the Lord continue to use you mightily in this ministry.
Amen 🙏
Awww I really like the way you sing be blessed Redemption
Amen 🙏
Early breakfast ❤. Had started my day on a bad note but this has definitely blessed me
Amen be blessed
Redemption ministers akiiii your songs blesses me so much
Amen!
Amen amen🎉
Wonderful song, I'm blessed
Wimbo Swafi Sana Duu!
We want to download and watch it offline 😢😢
Aminaaaa. Wokovu tunapata bure
Hallelujah... Where are the other ladies?
Hadi Mimi nashangaa penye waliendanga
Hii njia ya upotovu unayo sotojo.... Moyo wangu yafuate yaliyo mema
Wimbo wa kubariki aliyepoteza matumaini,,
I am blessed.🙏
Aminaa
Neema🙏
Big up guys
What a nice rendition, glory be to God.
If someone plays 100 SDAs song and ask me to Identify the voice or sound of redemption yes I can,blessed
Ni kwa neema bado twaishi
Amina
The reformation and consistency..
Make a difference as always.. amen
please help me how can i contact Mwalimu Innocent Okero
Yes very possible check on the numbers on your screen from our videos.
Breakfast served early 😂
God blessing you
Amen ,,Mti uliyokatwa unaweza chipuka tena Ni Neema. Kindly allow us to download the videos
🙏🙏🙏
Amen!! Powerful piece. May God bless your ministry. Ni kwa neema ya Bwana Bado twaishi
Amen
Amen be blessed
Amen
Amen
Amen