BURNA BOY kweli ni African Giant! Watu 80,000 wahudhuria tamasha lake London Stadium

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 27 жов 2024

КОМЕНТАРІ • 148

  • @FredrickMatiku-xf2uk
    @FredrickMatiku-xf2uk 3 місяці тому +1

    Yaaani huyu burnaboy ni li dude li kubwa sana anampa sana stresss diamond platinum anachanganyikiwaaaaa anakuwa kama kichaaaa adi anavaaaa vitu vya ajabu anakuwa kitukooooooo burnaboy ni Moto mwingine harmonize anamheshimu kama baba yake simba ataweza kushindana na burnaboy

  • @RomanMwinyi
    @RomanMwinyi 4 місяці тому +10

    alaf Kuna bundi Wana SEMA hooo daimondi anamuezaa bunboy iyo Dunia sio ayoo mavi yenuuu

  • @DissahPlusson-jp2qj
    @DissahPlusson-jp2qj 3 місяці тому

    Burna boy I will see you my artist, champions

  • @Brunotarimo10
    @Brunotarimo10 4 місяці тому +7

    Big up Burna boy❤

  • @michaeljuma254
    @michaeljuma254 4 місяці тому +2

    Diamond ni msanii mkubwa ila hajafikia ukubwa huu, diamond platnumz ana safari ndefu zaidi

    • @wekezauchumi7440
      @wekezauchumi7440 4 місяці тому

      Ni mkubwa na amefikia huo ukubwa kwa sana tu

  • @samuelmwatsuma4462
    @samuelmwatsuma4462 4 місяці тому +3

    Jamaa za tswala bam wanafurahia goma lao kubigwa live... alafu mnasema wangefanya na Asake wa tandale

  • @Michealfarah-n1w
    @Michealfarah-n1w 4 місяці тому +6

    Anaitwa burna moto,🔥🔥🔥🔥

  • @josephndunguru6290
    @josephndunguru6290 4 місяці тому +3

    Duhhh huyuu mwamba ni atali Sanaa,

  • @theresekwizerimana4044
    @theresekwizerimana4044 4 місяці тому +1

    Nyinyi wajingasana mukose kumupongeza mu tanzania wetu mupongeze mwenye hanahatasamanikwenu

  • @mtzhalisi2232
    @mtzhalisi2232 4 місяці тому +3

    Noma sana

  • @EdsonyMashaka
    @EdsonyMashaka 4 місяці тому +7

    Uwezo wa mxanii Taifa lugha vinawabeba xana

    • @Symoob5c
      @Symoob5c 3 місяці тому

      Kumaanisha wenu hawajui kiingereza ama😂😂

  • @Justin-y1x
    @Justin-y1x 4 місяці тому +3

    Burna Boy ni NAMBA 1

  • @kshayofurniture2941
    @kshayofurniture2941 4 місяці тому +10

    Akitoka hapo anaenda kununuaa private jet na chenji inabaki ya kutosha kabisa pesa ni ndefu mnoo hiyo

  • @johnsonzuma4932
    @johnsonzuma4932 4 місяці тому +2

    Haliye kuwa Norway kasema ali wakomesha 😃😃😃 bado sana kwake huyo ni kinda😄😄😄😄

  • @MakameJumaa-f2y
    @MakameJumaa-f2y 4 місяці тому +5

    Juzi tu kunamtangazaji kasema wabongo tumewakomesha wa Nigeria akiwemo banaboy😂😂😂

  • @شيخالروحانيسيدميططرون

    Allah amembariki mondi si shetan Iko siku atapita hio level ❤❤❤❤❤

    • @mustaphakhamisikhamisi
      @mustaphakhamisikhamisi 4 місяці тому +1

      Mungu kahusika tena 😢😢😢?

    • @mustaphakhamisikhamisi
      @mustaphakhamisikhamisi 4 місяці тому

      وَلَيَحْمِلُنَّ أَثْقَالَهُمْ وَأَثْقَالًا مَّعَ أَثْقَالِهِمْ وَلَيُسْتَلُنَّ يَوْمَ
      الْقِيَامَةِ عَمَّا كَانُوا يَفْتَرُونَ )

    • @GreysonMdee-wm8tn
      @GreysonMdee-wm8tn 4 місяці тому +1

      Hivi huoni hata aibu kumtaja Allah kwenye vitu vya namna hii?

  • @FredrickMatiku-xf2uk
    @FredrickMatiku-xf2uk 3 місяці тому

    Wale wasaniii wa zamanı wakina chid benz, A.y Mr nice wanaosema eti zamani kulikuwa hakuna mitandao ya kijamiiii kamera 🎥 na walishawahi kujaza nje ya tanzania maelfu ya watu kwenye viwanja aya wafanye tena tuone mitandao ya kijamiiii ipo kamera tuwape heshima zao

  • @wekezauchumi7440
    @wekezauchumi7440 4 місяці тому

    Hiyo pesa kwa huku ni sawa elf 10 ya kibongo...uwe A3 ndo uelewe nililichomaanisha

  • @MajutoElliasi
    @MajutoElliasi 4 місяці тому +1

    Mond arijaza kuriko bana boy kweri vituko na vichekesho kuwafikia hawa kizazi kitakacho kuja

  • @lisawilliam2491
    @lisawilliam2491 4 місяці тому

    Hatar

  • @HASSANBAKARI-q9c
    @HASSANBAKARI-q9c 4 місяці тому +4

    MNAWAPAISHA WENYEWE KUMBE,,,AFU BADAE PYOKO PYOKO

  • @FrankSamson-r6s
    @FrankSamson-r6s 4 місяці тому +3

    Mwanenu asingekuwaga kiredio tungekuwa nae sako kwa bako tatizo mdomo😅😅😅😅

  • @bryanzeconfesor5476
    @bryanzeconfesor5476 4 місяці тому +1

    Wabongo bana... Mnapenda kusimanga vya kwenu

    • @albertkadyanji9722
      @albertkadyanji9722 4 місяці тому

      Umeona yani tatizo wabongo wengi wana maisha magumu sana chumba kimoja kajitahidi sana chumba nasebule ivyo wakiona mtu anaejipambania kajipata badala ya kumsupport wao hutamani harudi chini hahahaha ndio mana fanya research wanaomponda Mondi asilimia 80 wana maisha magumu sana komenti zao ni za kimaskini maskini na chuki nyingiiiiiiii

    • @abedarakaza9017
      @abedarakaza9017 4 місяці тому

      ​@@albertkadyanji9722akuna bana huwezi kupinga uwasilia. Kwani kivyako na wewe unaweza kukubali kama mondi anaweza kushindana na wanaigeria ao siyo🤣 daah iyo nikuringanisha mbingu n'a ardhi bro

    • @albertkadyanji9722
      @albertkadyanji9722 4 місяці тому

      @@abedarakaza9017 ukiwa na mawazo hayo hasi utabaki ivyo ivyo na mafaniko kwako utayasikia kwenye bomba tu kabla ya uyo b boy kulikuwa na wizkd davido huyo tukawa hatumjui ss ameanza na kuja kufanya collable na Mondi na harmonize tz alikuwa wakawaida tu ila kwakuwa alikuwa na strategy zake za kufika mbali kapambana na pdidy akamshika mkono na kumtambulisha na yeye ninafsi katia nguvu zake kafika apo pamoja na wananchi wao wamempiga support kafika apo alipo na kumbuka awaimbi kinaigeria hao wanaimba lugha inayotambulika duniani kote sasa kwanini Mondi asifike uko siku moja pamoja na kwamba watanzania wenyewe ndio kama nyinyi wenye akili za kufeli kimaisha hahahaha Mondi atatoboa tu japo wachawi nyie ni wengi ila kwa uwezo wa MUNGU atatoboa

    • @wekezauchumi7440
      @wekezauchumi7440 4 місяці тому

      ​@@abedarakaza9017akili zako ndogo sana

  • @kshayofurniture2941
    @kshayofurniture2941 4 місяці тому +6

    Hawa jamaa hatuwawezi bana we better join them

  • @DewGroupTech
    @DewGroupTech 4 місяці тому +2

    Nimependa stage walivyo design it's burna boy opposite Double B stands for "BurnaBoy"

  • @athumaniamani9905
    @athumaniamani9905 4 місяці тому +1

    Mpen Salam Mr mwambino

  • @dannysengata2298
    @dannysengata2298 4 місяці тому +36

    Kuna mtu juzi kasema amewakomesha 😂😂😂😂

  • @SelemaniEmail
    @SelemaniEmail 4 місяці тому +4

    Atambe pande zake pande zetu atambi

  • @philipotieno9996
    @philipotieno9996 4 місяці тому

    Achaa leo niwaambie ukwelii huyoo😂😂 😢 mzee wa Komasavaaa hata afanyee nini haweeeziii fikia hizi levels Burnaa sio riiika yake tena kwa chochotee kilee.

  • @youthmediatv1
    @youthmediatv1 4 місяці тому +1

    Kuigizia maisha mbaya mno

  • @MOREDI2024
    @MOREDI2024 4 місяці тому +1

    Yeye anapewa ngapi?

  • @salehally-y8p
    @salehally-y8p 4 місяці тому +9

    Hii tabia ya kusema tumewakomesha wanaijeria tuache kusema wenzetu wako mbali sana tena wanaimba hawapigi kelele.

    • @albertkadyanji9722
      @albertkadyanji9722 4 місяці тому

      Watu kama nyie kwenye maisha halisia huwa maskini sana uo ndio ukweli hahahaha

  • @MohammedBwanga
    @MohammedBwanga 4 місяці тому +1

    Hapana watu wengi hawaelewi ukiacha bahati na kipaji lkn kubwa Zaidi ili ukubalike kimataifa ni kuimba kw kutumia lugha za kigeni km English,,french,Spanish NK burnaboy ni muimbaji wa kawaida Tu ila Zaidi ni namna ya kuwasilisha ujumbe wa nyimbo kw lugha zao ivi km huyo mondi angelikuwa nondo zake anaziwasilisha kw lugha za ulaya ingelikuaje?ivi km anakuja kutumbuiza East Africa unadhaani wengi watamuelewa Nani?

    • @albertkadyanji9722
      @albertkadyanji9722 4 місяці тому

      Bora wewe umeliona ilo wao kama ni wakubwa waimbe kinaigeria ndio watajua hawajui ivi unazani lugha yetu ingekuwa kingereza mbona pasingetosha wabongo wengi ubongo wa kufikiria na kuwazua mambo ni mdogo sana

    • @MohammedBwanga
      @MohammedBwanga 4 місяці тому

      @@albertkadyanji9722 kabisa

    • @shongatv1224
      @shongatv1224 4 місяці тому

      Kwan diamond hajaimba nyimbo za kingereza jaman ​@@albertkadyanji9722

  • @emmanuelmmbaga5209
    @emmanuelmmbaga5209 4 місяці тому +4

    Diamond, analia na nyerere,
    🤣😭😂😂 Kiswahili ni kizuri lakini inakost sana
    Hiyo ilikuwa ni kwa diamond km na sisi tungekuwa tunazungumza kingereza.

    • @FahadAbubakari
      @FahadAbubakari 4 місяці тому +1

      Izo ni idea za kijinga mnooo kama ishu ni English Kenya, Uganda, Malawi, Zimbabwe kote Kuna wanamuziki na wanatumia English kuimba nyimbo zao haya msanii gani kutoka izo nchi anaweza jaza uwanja kisa tu anatumia English? Ni zaidi ya hayo mnayodhani jamani Kuna sababu lukuki kwanza icho kizungu wanachoimba wanigeria hata hao kina mondi wanaweza kuimba ila mbona hawajajaza sehemu kama hiyo fikirini nje ya boksi sio kuganda na hoja ndogondogo tu izo

    • @albertkadyanji9722
      @albertkadyanji9722 4 місяці тому

      ​@@FahadAbubakariAcha kuongea pumba wewe unatumia ubongo kweli kwenye kutafakari Kiswahili kina impact gani Kiswahili lugha ndogo sana kuna nchi unaenda hawajui icho Kiswahili kinatoka nchi gani utafananisha na kingereza kimetapakaa duniani kote punguza chuki na mihemuko

    • @FahadAbubakari
      @FahadAbubakari 4 місяці тому

      @@albertkadyanji9722 sawa muongea point , narudi palepale Kenya, Uganda, zambia, Zimbabwe Hawana wanamziki? Coz wao wanajua kiingereza na wanaweza imba kwa kiingereza, kingine Nigeria 98% wanatumia pidgin English ambayo pretty much mtu mwingine ambaye si mnigeria kuelewa it's damn hard

    • @FahadAbubakari
      @FahadAbubakari 4 місяці тому

      @@albertkadyanji9722 mnashindwa kujua strategy wanayotumia winegeria kabla ya kuanza kuongea icho kiingereza sisi huko wanakojaza hivyo viwanja tupo na ndo tunapoishi , mkianza haraka na fikra zenu hizo mmeshiba Mchicha n kusema eti ishu is only English that is absurd

    • @albertkadyanji9722
      @albertkadyanji9722 4 місяці тому

      @@FahadAbubakari choko wewe huna point yoyote ya maana hahahaha eti upo sasa ukiwepo nifanye nini unaongea non sense k mkubwa wewe pambana na hari yako

  • @hamishatibu699
    @hamishatibu699 4 місяці тому +4

    Yule alieimbishwa mchana na watu 64 tu, anajisikiaje akiona hii video 😅😅😅

  • @selemanirashidi-sc3pp
    @selemanirashidi-sc3pp 4 місяці тому

    Nipo ndani hapa 80% yawaliyo humu ndani niwa Nigeria kweli wanasapotiyana sana leo ndo nimehamini nipo hapa ndani nihari

  • @aboudasilver6541
    @aboudasilver6541 4 місяці тому +18

    Mwambieni Simba aache mdomo 😂😂😂

  • @neltone
    @neltone 4 місяці тому

    Tanzania tuko vzr mfn n huy burna

  • @samiusiraj4587
    @samiusiraj4587 4 місяці тому

    Anaitwa barn shona domo,ndy

  • @godfreysudi7264
    @godfreysudi7264 3 місяці тому

    Safari hii tunaomba aende Mond mzee wa kuwanyosha 😁

  • @hamisibakari342
    @hamisibakari342 4 місяці тому +10

    MOND,MOND,MOND NAKWITA MARA 3 NJOO UTAMBE HUKU MASHALIKI.UKIVAA HAYO MACHENI NA MABWANGA UNAJIKUTA WADUNIA😂😂😂😂😂

    • @albertkadyanji9722
      @albertkadyanji9722 4 місяці тому

      Katafute hela ya ugali wewe acha kelele za umaskini hizo unamwita Mondi ukute ata hela ya kula mlo mmoja ni mzozo hahahaha mwenzako kashatoboa choko wewe

    • @Symoob5c
      @Symoob5c 3 місяці тому

      😂😂😂

  • @Oficialkb
    @Oficialkb 4 місяці тому

    Kuna mtu kase wameingia kwenye mfumo😂😂😂😂

  • @chiragahmbura9523
    @chiragahmbura9523 4 місяці тому +10

    Ingekua Msanii wenu hapo Tanzania🇹🇿 amefanya hivyo Dunia na Mass na Pluto zingejua 😂😂 Anyway acha nifate mambo yangu

  • @zubeaslay6566
    @zubeaslay6566 4 місяці тому +10

    Alafu Asake wa Tandale na Komasava yake eti atamuweza huyu😂😂😂

  • @simbaedouardo8499
    @simbaedouardo8499 4 місяці тому +1

    Lakini kama naona ni mchana apo

    • @Oldskulgemini9991
      @Oldskulgemini9991 4 місяці тому +1

      Hiyo ni shoo yake mwenyewe hajaalikwa Mzee, jua kutofautisha😅

  • @BenjaminMetanyau
    @BenjaminMetanyau 4 місяці тому

    Huku mashabiki viazi wakiona chirs brown amecheza komasava😏 wanakaza makalio🤣🤣 utasikia diamond ameshindikana afrika💀 wakati akienda ugaibun anafanya shoo kwenye vilabu vya pombe mashabiki 150 tena kiingilio cha dola1 mamae 🙆 tanzania nchi ujinga maladhi umasikini kweri ndo janga letu

  • @MikidadiKimilike
    @MikidadiKimilike 4 місяці тому

    Kwa mnaijeria kujaza hivyo sio ajabu sababu zinaeleweka wengi mnaokoment humu hamuijui nigeria na historia yake dhidi ya nchi za ulaya

  • @rehemajuma6008
    @rehemajuma6008 4 місяці тому +1

    Hahaaa ety kawakomesha

  • @FredrickMatiku-xf2uk
    @FredrickMatiku-xf2uk 3 місяці тому

    Huyu jamaaa ndio maana ananunua magari ya kifahari kama pipi kifuaaaaa tu

  • @MichaelAlimasi-jz1wi
    @MichaelAlimasi-jz1wi 4 місяці тому

    Awo wajamaa mondy hawawez peke yake,ata afanyej.

    • @albertkadyanji9722
      @albertkadyanji9722 4 місяці тому

      Nilichogundua apa Mondi ni mkubwa sana kwa level za wanamziki wa kibongo Mondi ndio Baba lao pamoja na wabongo machoko wana msifia uyo choko mwenzao boy nani sijui Mondi angekuwa mdogo basi wangemfananisha na msanii mwingine big up Diamond Platnumz

  • @asawoasawo517
    @asawoasawo517 4 місяці тому +5

    Simba anajiita mkubwa afrika ajaze kama burna boy basi

  • @Burner_Acc
    @Burner_Acc 3 місяці тому

    Hizo show wanajaa wanigeria wenyewe nyie bongo hata passport kupewa ni ishu. Hamna cha ajabu hapo.

  • @othmanibnabdullah
    @othmanibnabdullah 4 місяці тому

    Eti wamejaa kwenye mfumo wamejaa kwenye mfumo na matusi juu kawatukana wanaija haya kikowapi sasa....

  • @BakariAlly-dm1vf
    @BakariAlly-dm1vf 4 місяці тому +1

    Mond au😂

  • @RomanMwinyi
    @RomanMwinyi 4 місяці тому +1

    Watanzania tujitambue sio wasanii wetu kazii kupiga kelele2 kumamake wameingia kwenye mfumo kwa kukata viuno sitejiini watu awaelewii unachooo imbaaa au kupagawa kucheza chalengee kirsibrowni sasa je uyo muuni bonboy kirsi kachee ndo ujue tz atujielewiiiiiii wenge jingiii kuimba lugaaa zilooo etiooo koma sava wanaelewa bunjuuu pekeake Amna ki2

  • @EtieniRama
    @EtieniRama 4 місяці тому

    alafu uyu mondi wenu eti ni mewakome sha😂😂❤

  • @kadito-music
    @kadito-music 4 місяці тому

    Hata Diamond namuona huku

  • @selemanifaikii1276
    @selemanifaikii1276 4 місяці тому

    Hao wanaijeria wameingia kwenye mfumo 😂 alisikika mtu mmoja anasema

  • @collinndabi1914
    @collinndabi1914 4 місяці тому +3

    Ooh wameingia kwenye mfumo 😂😂😂😂 Shenzi kafanye homework

  • @nzitogondwe9976
    @nzitogondwe9976 4 місяці тому

    Shida wanapanga muda mapema mond angejaza

  • @mdedsm5522
    @mdedsm5522 4 місяці тому

    Diddy made it😂

  • @rashidingole1588
    @rashidingole1588 4 місяці тому

    Huwez linganisha Wa nageria na Watanzania, wenzetu wapo weng pia wametengeneza soko mapema ulaya! Kwa iyo tuache kufananisha na wasanii wetu hapa bongo😊

  • @ghettolandentertainment7701
    @ghettolandentertainment7701 4 місяці тому +2

    Hivi burnaboy Chris brown amewahi cheza wimbo wake kwenye TikTok 😂

    • @Zanzibar2023Zanzibarzanzibar
      @Zanzibar2023Zanzibarzanzibar 4 місяці тому

      Burn Mziki wake unachezwa na Ma legendary kina Shikira Mwaka Jana Snop Doggy aliulizwa Msanii yupi ungelipenda kufanyanae Collaboration akasema Burn boy ni Kama Bob Marley wa Africa ni Maneno ya Snoop hayo

    • @Asamtz360
      @Asamtz360 4 місяці тому +1

      Chris kacheza on the low ya burna kaitafute

    • @NemesMasawe
      @NemesMasawe 4 місяці тому +1

      On the low na Anamuombaa cokabo

    • @wabackali2494
      @wabackali2494 4 місяці тому

      3:35 ​@@Zanzibar2023Zanzibarzanzibar

  • @ghettolandentertainment7701
    @ghettolandentertainment7701 4 місяці тому +5

    Kuna mtu eti amewakamata wanaijeria 😂😂

  • @collinndabi1914
    @collinndabi1914 4 місяці тому +6

    Show za mchana na kelele kibao

  • @eliud21savage48
    @eliud21savage48 4 місяці тому

    Diamond anakomesha kivp sasa

  • @HeriRamadan-qx2hk
    @HeriRamadan-qx2hk 4 місяці тому

    Hata wajaze bado tutapambanao TU , IPO cku Moja Simba atatukomboa.

  • @kirengemnandi
    @kirengemnandi 4 місяці тому

    SNS hamlali

  • @princedrama7
    @princedrama7 4 місяці тому +4

    kutangulizwa mchana tu, usiku aaah aaah 😂

  • @aboudasilver6541
    @aboudasilver6541 4 місяці тому +2

    😂😂😂

  • @mrenobishoo1118
    @mrenobishoo1118 4 місяці тому +1

    Wameingia kwenye mfumo !!!!

  • @aishabrondi236
    @aishabrondi236 4 місяці тому

    Sns mwambieni boss wenu kuwa yéyé bado sana😂😂😂 yani domo akiwa bongo hujiona mkubwa 😂😂wa Nigeria wanakunyoosha bila kelele😂😂😂

  • @nilufaallyhussein7678
    @nilufaallyhussein7678 4 місяці тому +1

    Komasava 😂🤣🤣

  • @vibetz9991
    @vibetz9991 4 місяці тому +2

    Mwanetu kapiga show ya nyongeza kwenye show za watu lakini wapi 😂😂😂😂af anajiita giant

  • @salimhassan3369
    @salimhassan3369 4 місяці тому

    Kwani bado atuja amin kwamba wanigeria awana drama kaz kaz😂😅

  • @bakarimakomola
    @bakarimakomola 4 місяці тому

    Tofauti ya diamond na burna boy ni language tu, diamond angezaliwa Nigeria nawaambia angekua msanii mmoja hajawai tokea duniani.
    Kiswahili ndo kinamuangusha pamoja sio mbaya sana... ila wengi walio mbele marekani na nchi zengine za ulaya wanatumia Kimombo( English)

    • @zaidyabed
      @zaidyabed 4 місяці тому

      😅😅😅😅

    • @LouisianaRiri
      @LouisianaRiri 4 місяці тому +1

      Kwani amekatazwa kuimba English?

  • @MamboSuper
    @MamboSuper 4 місяці тому +1

    Sasa vp mwambino mana Last week mulimupa sifa nyingi Sasa kulikoni masava

  • @mnyampaa_kisasa
    @mnyampaa_kisasa 4 місяці тому +2

    Hawa wajinga ndo maana matakiri duh😢😢😢 laki 3 kwa watu 80,000 sio mxhezo

  • @donizzo9570
    @donizzo9570 4 місяці тому

    Eti kuna msanii alitangaza kuwa ametapeliwa ndege Tanzania nikweli 😂😂😂😂

  • @AkatendaAmbrosio
    @AkatendaAmbrosio 4 місяці тому

    Baadae museme kwamba mondi ndio wa kimataifa,hona kazi ya mwamba iyo

  • @hashimuuhehwa1320
    @hashimuuhehwa1320 4 місяці тому

    Kinachowafanya wasanii wa bongo kushindwa uchawa badala ya kufanya kazi yao waliochagua

  • @MajutoElliasi
    @MajutoElliasi 4 місяці тому

    Wengine eti wajita wakimataifa ivi vituko kweri

  • @sponsor7882
    @sponsor7882 4 місяці тому

    mwambino rudi tandale tu

  • @FredrickMatiku-xf2uk
    @FredrickMatiku-xf2uk 3 місяці тому

    Yaaani huyu burnaboy ni li dude li kubwa sana anampa sana stresss diamond platinum anachanganyikiwaaaaa anakuwa kama kichaaaa adi anavaaaa vitu vya ajabu anakuwa kitukooooooo burnaboy ni Moto mwingine harmonize anamheshimu kama baba yake simba ataweza kushindana na burnaboy

  • @FredrickMatiku-xf2uk
    @FredrickMatiku-xf2uk 3 місяці тому

    Wale wasaniii wa zamanı wakina chid benz, A.y Mr nice wanaosema eti zamani kulikuwa hakuna mitandao ya kijamiiii kamera 🎥 na walishawahi kujaza nje ya tanzania maelfu ya watu kwenye viwanja aya wafanye tena tuone mitandao ya kijamiiii ipo kamera tuwape heshima zao

  • @youthmediatv1
    @youthmediatv1 4 місяці тому

    Kuigizia maisha mbaya mno

  • @FredrickMatiku-xf2uk
    @FredrickMatiku-xf2uk 3 місяці тому

    Huyu jamaaa ndio maana ananunua magari ya kifahari kama pipi kifuaaaaa tu