Eeh dunia simama nishuke ulimwengu na walimwengu jamani dunia ina vituko tuliyo yajua nimadogo kunao wanayo yajua makubwa Allah warejeshe kwa ulimwengu wa haki na mwangaza
Davister kakangu ..uko kazi kweli lakini na wee usisahau kua unaomba mara kwa mara wajua wachawi wengi pia wanaangalia kipindi chako na huezi jua malengo yao ..wanawzwa.chukia vile watu wanatoa siri zao..plz jua kufunga sana na kuomba
Davistar naomba atufahamishe huko wanakoenda nje kuna wachawi wanatoka nchi mbalimbali mawasiliano yanakuwa kwa lugha ipi? Sababu kila nchi ina lugha yake.
Mm ninavyosikia kupanda cheo huko mpaka uwe chinja chinja, nyonga nyonga na ua ua huyo Dada naonekana alikuwa katili sana Kwenye uchaw ndo maana akapanda cheo tena davix uwe makini anaweza akakufinyanga huku umekaa nae hapo unaxhangaa unajampa jampa ovyo kumbe yeye kabonyeza batani on, hahahaaaaaa
Hahaha Davista ulivyosikia uume unaelea umecheka Mimi huku mbavu Sina daah 😂😂😂😂
😂😂
@@happyoshea mambo happy
@@butondodavid2105 Poa tu
😀😀😀
I like the fact that davistar you are professional, you know the questions that needs to be asked
Tumuokope mungu jamani daaaah kutoka Burundi 🇧🇮 🇧🇮 🇧🇮 tujuwane
Mtu Makini unapenda vitu deepest ✌️😁. Pamoja kaka
Eeh dunia simama nishuke ulimwengu na walimwengu jamani dunia ina vituko tuliyo yajua nimadogo kunao wanayo yajua makubwa Allah warejeshe kwa ulimwengu wa haki na mwangaza
Davister kakangu ..uko kazi kweli lakini na wee usisahau kua unaomba mara kwa mara wajua wachawi wengi pia wanaangalia kipindi chako na huezi jua malengo yao ..wanawzwa.chukia vile watu wanatoa siri zao..plz jua kufunga sana na kuomba
Davidstar...Tafadhali naomba kuongea na uyu bintu. Anaongea vizuri saaana. Unipe jibu rafiki yangu.
Jamani wapendwa mm nimeshindwa kuvumilia plz naomba nitowe ya moyoni nampenda sanaa sanaaa Davistar anae weza kumwambia plz anisaidie
Mme wamtu uyo
🤔🤔🤔 nivyema kumcha MWENYEZIMUNG.
ni MWENYEZIMUNGU
Davistar kijan wako hpa mtu mwenyew utu wng respect 👊
😂😂😂😂 Mr Facts uneshindwa kujizuia Naona umekutana na Vitu vya ajabu Dunia ina mengi Hii Mungu atulinde Kwa nguvu Zake amen 🙏
Mie niulize huwa mnalipwa pesa su ucheza uchi tu na kupanda ungo
Mna mishahara au
Duh namsifu mwandishi hongera kwa kupekenyua
Uko vzr big up, ushauli kdg mwambie fundi mitambo upepo ktk clip nyingine zinatuumiza maskio.
Mungu amsaidie sana mjawa wake
Kuna maisha watu wanayaishi ukiyalkisia ni kama unaota.ni zaidi ya maajabu.
Mungu wangu doo Tunusuru na ya dunia Aisseh
Hey Kaka I hope asubuh utaendelea na hii stor tunaweka notification on maana ni noma
Uuume unadunda dunda kama kitenesi aisee hii xtory Nmecheka xana kumbe wachaw nao wana kikao cha SADEC
Asante kwa story mpya wacha tujifunze kitu hapa
Subhannallah ulipata uraisi duh mwashindana na mungu
Davista umecheka ukishangaa vitu vinadundadunda angani..hata mimi nimejipata nakodoa macho
Khaaaa makubwa ya dunia , devister kuwa makini maana .mnatoa siri za wachawi
Makubwaaa!!
Jamani QIYAMA kuna kaziiii kwe2 cc wanaadamu yaani ucku kumbe 2kilala huku kuna waja ndo wanajifanya wao ndo waungu wa2uu!!!!!!..
hahahahaaa...Davistar kavumiliaa mwisho kacheka @12:55
Hii kalii . Amekuwa na ume kama wotee
Mtihani kwa kweli duniani kuna mambo dooh wachawi hawa wanatutesa sana
Just landed here 🇰🇪 🇰🇪
Mungu akubariki 🙏🙏
Juma 17 UTUPE MREJESHO
Ndio kumbe unamkumbuka Juma eh asante
😲😲😲🙌🙌 wachawi na mufeeee
Brother unafanya kanz nzuli sna kututafutia matokeo kama haya yakweli katika jami natunajifunza sna kupitia habali hiv kupitia kwako shukuran sna
Ati ulienda na viberiti?,🤣🤣🤣🤣🤣,Davista leo kapatikana paka uso kaubadisha,Chezea wachawi ww🤣🤣
Hahahahaa davister ety ulienda na viberiti 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Mmh mtihani mungu atunusuru
Mungu tu amtume huyo mwanae mara ya pili maana watu wanaumizwa sana na WACHAWI! Wanasiasa na wezi
Tanzania hadi ijikomboe toka hili janga la uchawi, itachukua muda jamani😭😭😭
Kweri eeee😭😭😭😭🙆♂️
🤣🤣🤣🤣 kwa hiyo Naniliu zilikuwa zinaelea duh mie ningecheka mpk haja zikanitoka
😀😀😀😀😀wachawi mlirogwa na nani jameni mtu anakua uume tupu 🙆♀️🙆♀️
Mhh jamani hadi naogopa kuja kuliwa na wachawi ,hivi nyie wachawi mnashindana na Mungu kweli jamani,hivi wanavyofanya uchawi wanajijua?
Mshike Mungu ndo pekee kiboko ya wachawi wote na evil 😈
Kaka namba yako naipataje
Davista nakuona Kama una chunusi kubwa kwenye paji la uso linang'aa sana
Mh we kuon chunus upo vizuri
Kuna mtu anampenda ila anaogopa kumwambia,akiambiwa tu chunusi itaisha 😂
@@witneyjerry1293 😅😅😅
Mnakesha youtube jamani?????1mint six coments waah😁🤔Davii wape zawadi👏🏻👏🏻🌹
Jamani mbona uchawi mwingi Tanzania
Wa kwanza
Part 2,hii kali sana 🤣🤣🤣🤣
Violine
Hii mait au mwili wa marehem kupanda juu ya kaburi nakumbuka story ya yule mtt hawa michezo yao bhna
Dada alikuwa kiboko duh!! 🤣🤣🤣
🤣🤣🤣duh uume una dunda dunda walah jmn hawa viumbe kha,hii kali ya mwaka aseee.
🤣😂😂😂😂😂😂😂 hapo umecheka sana
Na lugha wananyozungumza ni ipi wakifika huko naija ☺
Davistar ee Nitumie hiyo picha Ya huyo dada nimuone
Wa kwanza
Nabii Musa aliwashinda wachawi kwa miujiza ya Allah
Davista leo umepatikana hadi sura imebadilika
Duuuh hii kar davista mata ww cheka brooo hahah part 2
We kaka mbona inakatisha story. Mwache aeleze kwanini aliamua kuacha
Makubwa heeeeee😳🤭🤭🙆♂️🙆♂️🙆♂️🙆♂️
Davista sio mambo ya Giza kidogo sema alikua mchawi kkk
Jitupu hewani duh Dunia ina mambo inabid tu siamin watu nam Kuna dem kanita bongo balaa..
TZ ya viwanda sijui kama itafanikiwa.Yaani watu fastaaa wamewahi duuu!Nilizani mi wa kwanza?
Jomoni umeshindwa kujiziwa mm mwenyew mbavu zimetak kunikauk eti unaelea 🤣🤣😂wachawi yani ndo malofa wakwanza 😂🤔
Mi sijui wa ngapi
Hajaacha bado kuweni makini wote mnaocomment😀😀
😃😃😃😃😃😃😃😃😃
Mpaka naogopa..waah ..walimwengu
Hahahaaaa mtu anawaxha moto af anaujampia unazima aaah davx uwe makini hahaaaa
Hehee munakula maiti😂 hio maitii ikiwa ina corona sii mutashikwa na nyinyi hio virus😆😆
Nacheka kama mazuri yaani nakuhisi mtangazaji kama unataka kusita aiseee
Davistar naomba atufahamishe huko wanakoenda nje kuna wachawi wanatoka nchi mbalimbali mawasiliano yanakuwa kwa lugha ipi? Sababu kila nchi ina lugha yake.
1 Time
Davistar mpka umecheka aaaaahaaa
Hii sauti kama yule dada aliyekuwa anahojiwa akiwa na miwan ila sijui
Shukatukuone mungu wetu😪😪😪😪
Jamani hamna kazi za kufanya??????????????najitaidi kuwa hata top 10 ila nashindwa
Duh nmecheka sana
Davistar mrejesho wa juma
kwa hiyo TZ mabibi ni wachawi mno??
Kweli wachawi hawana akili unaweza kula wazazi wako na unaona uko sahihi kweli wachawi hawajitambui
Anataka kufirwar tu huyu ... kauzima moto kwa makalio inamaanisha anawashwa kikunduz
Mara nyingi wadada Wana chunvi sana
Wachawii ukiwaona äta uwazanii
Anatisha sana balaaa
Part 2 please 254
Leo nimekua Team kuwai wa 11
Geita kwa uchawi hatar na bariad
😂😂 Yaani .
Happy
Mungu awaraan wachawi wote dadeki zako ww
🙄🙄🙄🙄weeeh hapana eee mungu
Nani amecheka kama mm na kuirudia mara tano seemu ya jinsia kudundadunda🤣
Hahah miiii
Tutanusurika kweli. 🤔
Huyo alikuwa mchawi wa daraja la chini.
Umenchkesha kumuuliza ulienda n vibiriti
Davista umecheka balaaa
Subhanallah
Sasa hao wanaigeria na wamalawi.waghana. alikuwa anazungumza nao kwa lugha gani wakati hakusoma.
Mungu wangu 😂😃
Ungo haswa ni nini??
Na kwanini serikali wasi ifanye illegal
Mm ninavyosikia kupanda cheo huko mpaka uwe chinja chinja, nyonga nyonga na ua ua huyo Dada naonekana alikuwa katili sana Kwenye uchaw ndo maana akapanda cheo tena davix uwe makini anaweza akakufinyanga huku umekaa nae hapo unaxhangaa unajampa jampa ovyo kumbe yeye kabonyeza batani on, hahahaaaaaa
Haahaaaahaaaa🤣🤣🤣🤣🤣🤣nyonganyonga, chinjachinja na uwauwa Haahaaaahaaaaa🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Duu tena tena unasema hiyo kazi uliipenda kaxi gani hiyo yakula nyama zabinadamu kama sio laana hiyo
Iviii huwaogopii watu kama hao. Na hauotagi usiku
Mumenishinda Tabia,sijui hamshulikii ndoa zenu ama vp,yani dakika tisa na comment pia ni tisa, Ama Davista ulituendea kwa babu?,mana npaka nashangaa
Hii nayo kali