Kumshinda Mlinzi wa Mlango | Pastor Gidion Kanyairita | Juni 2024
Вставка
- Опубліковано 7 лют 2025
- Mlango ni sehemu ya kuingilia au kutokea. Mlango upo kusudi umsaidie mmoja kuingia na umzuie mwingine kuingia. Ukizuiwa usipite mlangoni basi umezuiwa usipate kilicho ndani.
Kupitia somo hili utajua namna ya kumshinda adui wa mlango anayekuzuia kuingia katika maisha ambayo Mungu amekupangia.
amen
Amen Baba Somo Hili. Imenikumbusha Sana. Malango Ya Maisha Niliyopitia.....
Ameen baba
🙏🙏🙏
Amen