MAZINGE ATAKA MAJIBU YA MASWALI HAYA KWA WAKRISTO

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 5 вер 2024

КОМЕНТАРІ • 103

  • @guyogalora-gl2lu
    @guyogalora-gl2lu 3 місяці тому +3

    mashaallah..barak Allahu feek sheikh masinge

  • @user-gy6xz5xh3f
    @user-gy6xz5xh3f Рік тому +5

    Sote Tuna Kupenda Shekhe Mazinge

  • @Laizer3
    @Laizer3 4 місяці тому +10

    Mimi ni mkristo lakini ninachokipenda kwa waislamu ni nidhamu kwenye dini,sisi wakristo wanawake wanavaa uchi kanisani , kuna makanisa ya mashoga ,mnatetea israeli akati wanauwa watu

    • @Makevo08
      @Makevo08 4 місяці тому +1

      Wewe sio mkristo.....mahogany wengi wako miji ya pwani na wakzi wao ni wengi waislamu so....fatilia vzr vita hivyo vya israel...jiulizee kwanini saudi arabia ni mwarabu lakn sasa anassuport Israel....soma fatilia kbla ujaasi Mungu wet Yesu kristo.

    • @yusufuheri6524
      @yusufuheri6524 3 місяці тому

      ​@@Makevo08We jidanganye utafikiri kwa mungu ni picnic

    • @mapromovichege6997
      @mapromovichege6997 3 місяці тому

      Musigombane hao mayahudi huyo yesu wenu wanasema ni mtoto wa zinna kwanza pili ni marufuku izrael kumtaja yessu

    • @heriabudu3207
      @heriabudu3207 3 місяці тому

      Wacha kumpoteza Kwa kusingizia Islam​@@Makevo08

  • @libanduddeh5595
    @libanduddeh5595 2 місяці тому +1

    Mazinge allah akupe maisha marefu yenye kheri njema

  • @user-gy6xz5xh3f
    @user-gy6xz5xh3f Рік тому +4

    Ww Shekhe Mazinge MASHA ALLAH Ni Profesa Kweli ALLAH Akuzidishie Elimu Na Akupe Umri Mrefu Na Afya Njema Amin Amin Amin

  • @husseinhusein-zj7ez
    @husseinhusein-zj7ez Рік тому +5

    asante sheikh wang mungu akup mwisho mwem katik hi dunia

  • @welldingsikonge7442
    @welldingsikonge7442 Рік тому +4

    Shekhe Mimi nakukubali Sana

  • @user-sm9qi6pk6k
    @user-sm9qi6pk6k 3 місяці тому +1

    Inshalha shekh Mazinge

  • @tozzaalexandar4905
    @tozzaalexandar4905 Рік тому +3

    Isha Allah ya sheikh muhadhill Habib mazinge

  • @AnchaAlide
    @AnchaAlide 3 місяці тому +2

    Mungu akupe uzima mazinge

  • @zulfawaithera5479
    @zulfawaithera5479 Рік тому +3

    Maa shaa Allah Alfmara Allah akufanyie wepesi palipo uzito kwenye kazi hii ya daawa kwa mandungu zetu wasio Kua waisilamu

  • @didamalkia657
    @didamalkia657 Рік тому +3

    Mashaallah shekh mazinge ALLAH akubariki sana

  • @desiremlavumba7361
    @desiremlavumba7361 Рік тому +2

    Allah akutie nguvu uzid kutoa dawa Kwa makafiri ,, mazinge ishi miaka mingi tu

  • @kassimjuma6151
    @kassimjuma6151 3 місяці тому +2

    Sheikh Mazinge fanya utaratibu mufanye debate na Mwamposa pamoja Jedeva anae jita nabii mkuu

  • @KhalimaSaid-hx4tc
    @KhalimaSaid-hx4tc 3 місяці тому

    Sounds good ❤

  • @farmah9685
    @farmah9685 Рік тому +1

    Kama yesu ni mungu nani anae endesha dunia sasa hivi

    • @hadijawara1403
      @hadijawara1403 5 місяців тому

      Wewe una kichaa sasa kama yesu ni mungu, na huyo mungu utamuweka wapi

  • @jumaruhinda9987
    @jumaruhinda9987 3 місяці тому +1

    Wengine. tujjaribu kuskiliza vizuri kiswahili jamani ili tuelewe kinacho zungumzwa

  • @farmah9685
    @farmah9685 Рік тому

    Maswali mazuri lakini hawaelewi mpaka mungu atake washawekwa masikio vizibo hawasikii hawaoni hayo maandiko

  • @ignasmalema8354
    @ignasmalema8354 Рік тому +1

    Umemkejeli sana Yesu kristo ,basi ndugu inatosha omba toba akusamehe, acha hizo drama zitakupeleka motoni, MUNGU anakuhitaji,

    • @halifasaidi117
      @halifasaidi117 Місяць тому

      Sis waislamu tunamtambua yesu kama nabii

    • @halifasaidi117
      @halifasaidi117 Місяць тому

      Jiehesabu ww mwnyw kbla hujahesabiw

  • @EgideNkeshimana-xl2of
    @EgideNkeshimana-xl2of 4 місяці тому

    🙏🙏🙏

  • @JosetadeuChikota-kd7ms
    @JosetadeuChikota-kd7ms 3 місяці тому

    Wewe mazinge tangaza dini yako, sema maneno kwa dini yako, 😊

  • @farmah9685
    @farmah9685 Рік тому

    Wanaitwa kwenye haki maskiin wanabembelezwa lakini bado wameganda kwenye upotevu hawataki kuelewa

  • @mobutu3884
    @mobutu3884 Рік тому +2

    waislam mlishaambiwa na quran ikiwa kuna sehemu hamuelewi waulizeni wenye elimu kabla yenu yani wakristo, sasa badala ya kuwauliza mnataka kupingana nao mtawdza elewa kweli? kuweni wapole Yesu mnaemfahamu nyie ni Yesu baada ya kuzaliwa na Mariamu ila kabla hajazaliwa na Mariam (kabl ya kufanyika mwili) hamumjui na hamtamjua sababu hamuongozwi na roho mtakatifu. Tulieni hivohivo

    • @MhashaMussa-bl1ls
      @MhashaMussa-bl1ls 4 місяці тому

      Pumbavu huna akl' MUNGU hana sifa ya kubadilika badilika ww, yan nyuma awe MUNGU alaf badae aje kuwa YESU , hizi akil mnazitoa wapi nyie axe?? jufunze kwa waislamu upate kupona,

    • @mobutu3884
      @mobutu3884 4 місяці тому

      @@MhashaMussa-bl1ls sasa unalilia nini au ndio kupaniki, tulia dawa ikuingie 🤣🤣🤣

    • @user-rc7oi2hp8l
      @user-rc7oi2hp8l 4 місяці тому

      Mungu si mtu Wala hakuzaliwa Wala hakuzaa n yesu n Mtume wa Mungu.ushahidi kw kitabu chako

    • @mobutu3884
      @mobutu3884 4 місяці тому

      @@user-rc7oi2hp8l Sasa nitakupingaje na ndio uwezo wako wa kuelewa ulipoishia 😀

    • @mobutu3884
      @mobutu3884 4 місяці тому

      @@MhashaMussa-bl1ls kama Mungu wenu hana uwezo wa kubadilika basi poleni sana 😀

  • @isaaabdala7016
    @isaaabdala7016 4 місяці тому

    Nyinyi ndio kuni za.moto wa jahanam wakristo polenisana

  • @marobaraka
    @marobaraka 4 місяці тому

    Kunakauli tata katika Quran. Sikuwaumba wanadamu na majini. Hakuna Mungu ila Allah.

    • @jabirkasunzu6841
      @jabirkasunzu6841 4 місяці тому

      Sio tata, uliza ufahamishwe, upewe elimu, ujinga ukutoke.
      Hiyo kauli inasisitiza tuu, Wanadamu na majini wote ni viumbe wa Mungu, tunatakiwa tumuabudu mwenyezimungu. Hata wanyama ni viumbe wa Mungu ila Mungu hakuwapa akili na utashi ndio maana Mungu hajawataja.
      Pia, Mungu ana majina mengi 99 likiwemo la Allah, na ndilo tukufu zaidi. Kwahiyo, ukijibunia Mungu au Miungu wako mingi wako ambao si mwenye jina la Allah, utapotea. Kwa mfano sisi wote ni binadamu lakini wewe una jina lako la Baraka.
      Wajuu wabaya sana watakuambia huwezi kuelewa bila ya roho makatifu ili uendelee kutoa sadaka, waendeshe maisha yao...sisi wachini ndio tuambiane ukweli, tushitukue ndugu yangu.

    • @marobaraka
      @marobaraka 4 місяці тому

      @@jabirkasunzu6841 sikuwaumba wanadamu na majini wapate kuniabudu. Sikuwaumba lakn ni kwel mungu wa Quran sio muumbaji.
      Lakini pia shahada inaanza kwa kusema hakuna Mungu. Hahahahahaha

    • @fatimajumaa2867
      @fatimajumaa2867 4 місяці тому

      @@marobaraka Hakuna Mungu isipo kuwa Allah kwa sababu miungu ni mingi Ndio mana akasema hakuna Yani hao miungu mingine ni ya uongo umeelewa

    • @fatimajumaa2867
      @fatimajumaa2867 4 місяці тому

      sikuwaumba binaadam na majini ila kuniabudu hivi hujaelewa nini hapo lengo la kuumba watu na majini ni kumuabudu MUNGU sijui umeelewa

    • @marobaraka
      @marobaraka 4 місяці тому

      @@fatimajumaa2867 sikuwaumba wanadamu imekaaje

  • @user-ht2dl4ft6n
    @user-ht2dl4ft6n 4 місяці тому

    Kwanza Sisi atumujuwi mtume wenu kwasababu ajatabiriwa na yesu n'a ajatajwa atakwenye bibilia mahali popote ajatajwa njo mana Sisi atumuamini na dini yenye alileta atuwezi tukaiyamini ju kwanza ata kwenye qu'aran Mungu wenu ajamutaja kama amemutuma Mungu ajasema

    • @chullymastertv5778
      @chullymastertv5778 4 місяці тому

      Umeisoma kweli Qur'ani ndug yang soma kwanza alafu ndio utoe comment

    • @user-tm7qy2fl1t
      @user-tm7qy2fl1t 4 місяці тому

      bibilia yenyewe haijui ataweza kujua kur-an

    • @user-tm7qy2fl1t
      @user-tm7qy2fl1t 4 місяці тому

      Soma bibilia yohana 16 mtari 7 halafu kasome. Na KUR-AN sura ya 61 suratu swaffi aya 6

    • @chikuiddy9946
      @chikuiddy9946 3 місяці тому

      Biblia yenyew husomi mpaka ukahubiriwe kanisani

  • @Laizer3
    @Laizer3 4 місяці тому

    Sisi wakristo watu tunakwenda kanisani kwaajili ya kuringisha nguo na kama muumini hana nguo hataenda kanisani maana ataonekana wa ajabu lakini waislamu kanzu tu inatosha

    • @user-ys2gn1nd4q
      @user-ys2gn1nd4q 4 місяці тому

      labda niwewe namamaako ndomwaend ringisha nguo wevp

    • @Laizer3
      @Laizer3 4 місяці тому

      Mamaako ndo anarngisha hadi bikini church

  • @user-ht2dl4ft6n
    @user-ht2dl4ft6n 4 місяці тому

    Haaaaaa Yani mashwali yenu mepesi sana sana Nikama kusukuma mlevi, Sasa yesu kuitwa ilo jina kwanza ujuwe jina ya Mungu nisifa ya Mungu wetu sisi Mungu wetu anajina anaitwa Johova tena anaitwa yahawe Sasa mazinge Niku ulize wapi kwenye yesu Ali itwa yohova AO yahawe akuna ila kuitwa Mungu ilo nisifa ya Mungu wetu mwenye anaitwa Johova, yesu katika mathayo ameitwa Mungu na uyo MTU akumukataza Sasa mze Kwanini yesu anaitwa ilo jina kwanza wakati unaposoma Katika mathayo 3:15 kuendeleya inasema nawakati yesu alibadizwa mbingu zikafunguka natazama ikatokeya sauti ya Mungu baba inasema uyu nimwanangu mupendwa wangu ninaye pendezwa naye musikilizeni yeye nakisema kama yesu alituma kwa waisraeli ilo siyo kweli yesu alituma kwaulimwengu nzima kwani wewe auko kwenye ulimwengu huu nani mambo yakuongeya nimengi sana ila ayo nimadogo tu

  • @JosetadeuChikota-kd7ms
    @JosetadeuChikota-kd7ms 3 місяці тому

    Wewe mazinge tangaza dini yako, sema maneno kwa dini yako,

  • @user-xr8dq3sp9e
    @user-xr8dq3sp9e 3 місяці тому

    Mmmm yaani yiyiwakirst kazi kutukana tu didiyenu div inav wafudish yaani akili zenu zinamafuta ya gulue tu diomana mmatukana

  • @FrankAloyce-ic6rq
    @FrankAloyce-ic6rq 4 місяці тому +1

    Hamna kitu ww ndacha kakugaalagaza

    • @user-ip4me1zl5k
      @user-ip4me1zl5k 3 місяці тому

      Ndacha ni muongo afu ss hazungumzi kitu kipo anapamba pamba na kuufny uongo kua ukwel kwa masiray ya wat furni na shida yenu msahzaliwa ivo na mtaki kusoma mnasbri msomewe

  • @nestarnestar4520
    @nestarnestar4520 5 місяців тому

    We mazinge hunaga akili, koroani yako 3:55 MUNGU anaesma atamuua YESU KRISTO na atamfufua lkn ww unapinga, amakweli ugari huu ni mtamu sana komaa lizee la ovyo

  • @saiddgsmg
    @saiddgsmg 4 місяці тому

    bonge la swali tarehe 25 mungu yesu kazaliwa je.tarehe 24 watu walikuwepo je hao watu waliumbwa na nani?!😅😅😅😅😅😅

  • @clecam1
    @clecam1 4 місяці тому

    Nipo buzy nawafuatilia Arab ex- muslims wana madini balaa!
    Mazinge na waganga wenzie tutakurudia baadae.

  • @user-ys2gn1nd4q
    @user-ys2gn1nd4q 4 місяці тому

    kwend yesu ndonabb wamwisho alisema yeye ndio alfa naomega nawtatokea manabii wauongo wevp

    • @shabanimtulya4718
      @shabanimtulya4718 3 місяці тому

      Kasome vizur. Yusu anawaambia Wana wa Israel. Tuambie wewe baada ya yesu nabii gani alikuja kwa Wana wa Israel.

  • @farmah9685
    @farmah9685 Рік тому

    Kweli akili ni mali

  • @user-ys2gn1nd4q
    @user-ys2gn1nd4q 4 місяці тому

    kwanza ww umalizi mistar yabiblia waishia katkat falaww ndacha kakushind utaongea nn

  • @favoritebrayo
    @favoritebrayo 3 місяці тому

    akili yako kumbe ndogo na unajiitanga profesar

  • @marobaraka
    @marobaraka 4 місяці тому

    Mungu wa waislam anajua utapata kibano kutoka kwa Mungu wa kweli wa Biblia. Ndio anasema sikuwaumba wanadamu. 😂😂😂

    • @fatimajumaa2867
      @fatimajumaa2867 4 місяці тому

      sikuwaumba ila kuniabudu mbona unaishia nusu si umalizie kijana na miungu yenu mitatu aloiteua mfalme costantino biblia kaamua yeye iweje nasio Mungu kaweka upagani kibao ndani ya biblia nandio mana wachungaji hawakiogopi wala kukiheshim kitabu hicho mana wanaujua ukweli ni kitabu kina mambo mengi ya upagani

    • @marobaraka
      @marobaraka 4 місяці тому

      @@fatimajumaa2867 wewe hahahha hyo ni biblia? Ushawahi kuisoma??

    • @marobaraka
      @marobaraka 4 місяці тому

      @@fatimajumaa2867 unahadithiwa aujawah kusoma na unakipondea kinoma hahahah Soma kwanza ndio useme utakavyo

  • @joycerichard9274
    @joycerichard9274 4 місяці тому

    Mbona kipindi Cha magufuli hupayukipayuki

  • @josephwilliam5813
    @josephwilliam5813 Рік тому

    Ayo majibu anayotaka aende kwa Muhammad Makkah akamjibu wakristo hatuna huo Mda mchafu

    • @farhatothman5329
      @farhatothman5329 Рік тому

      Innalillah wainnailaih rajiun

    • @josephwilliam5813
      @josephwilliam5813 Рік тому +1

      @@farhatothman5329 kama anajifunza kutoka kwa Muhammad ndio kwa umbea huo? Ku deal na ukristo? Halafu ndio wa kwanza kusema hawatakua radhi mayahudi na manasala mpaka mfuate Mila zao,,uyu mzee anachokomoa hajibiwe,,,aende Makkah akamfufue Muhammad amjibu wakristo YESU wetu Yu hai,,,ndio ushindi wetu na sio umbea wenu

    • @saidsuleiman9018
      @saidsuleiman9018 Рік тому

      Ndio nyie wapinga kiristo

    • @josephwilliam5813
      @josephwilliam5813 Рік тому

      @@saidsuleiman9018 sio wapinga Mudi😁😁

    • @juvenalymwanalyela202
      @juvenalymwanalyela202 4 місяці тому +1

      wewe mchawi unajuwa kilichomuu muhammad nakwanini alilogwa kama alikuwa ni mtumewa mungu kuna nabii gani alixhawahi kulogwa na kupasuliwa na kifuwa mala saba

  • @JosetadeuChikota-kd7ms
    @JosetadeuChikota-kd7ms 3 місяці тому

    Dr, Sule na Ndacha, wanatoa elimu, ila wewe mazinge ni mzigo tu.