MUME WANGU

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 20 жов 2024
  • #clamvevo #mtotoasma

КОМЕНТАРІ • 459

  • @2116-n
    @2116-n 2 роки тому +73

    🤣🤣🤣🤣🤣, hii Kali kuliko comedy zooooote za bongo nilizowahi kuangalia

  • @centodehardnose3107
    @centodehardnose3107 2 роки тому +30

    Nyinyi Watu Mumehitimu kuigiza Aiseeeh!
    HONGERA!

  • @someless
    @someless 7 місяців тому +5

    Nimependa hii, content, so creativity

  • @khadijasaleh898
    @khadijasaleh898 2 роки тому +20

    Comedy wazuri jamani wanachekesha sana🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @barnabasmarsel3876
    @barnabasmarsel3876 7 місяців тому +5

    Ila wanangu bhailum fundi sana😂😂😂😂😂

  • @zulachama1067
    @zulachama1067 Рік тому +7

    Zari la mental kwa çlam mzigo kachapa na zawadi kachukua😂😂😂❤,bailam una bahati.

  • @zebedemirambi3067
    @zebedemirambi3067 Рік тому +7

    Duuuuuh bala munaweza sana🙏🤣🤣🤣🤣

  • @juliusjoseph4889
    @juliusjoseph4889 2 роки тому +21

    😂😂😂😂claaaam baaana unanifurahishaga,sema nampenda Sana huyu Binti uliemgonga ana sura nzuri haswaaaa na lips tamu

    • @tenmafyahuker
      @tenmafyahuker Рік тому +1

      🤣🤣🔥🔥

    • @anthony_genge
      @anthony_genge Рік тому +1

      Imi pia nampenda sana huyu demu ila sasa kipini tu ndiyo kaharibuu, binafc cpendagi vipini mimi😢

    • @ميريم-ط1س
      @ميريم-ط1س 9 місяців тому

      Kicheche unacheka nn ​@@tenmafyahuker

  • @prayphilimoni1859
    @prayphilimoni1859 Рік тому +8

    😂😂😂 bwan clam yeye full kujichanganya et hodi hodi😂😂😂😂😂

  • @patricktegea1430
    @patricktegea1430 Рік тому +7

    Daaaah Clam ninomaaa jmn 🤣🤣🤣🤣🤣

  • @ucjvvjcjjvih9934
    @ucjvvjcjjvih9934 2 роки тому +9

    🇹🇿❤💯😅😅😅😅😅😅🔥clam unaweza tena sana

  • @faridahabubakar3589
    @faridahabubakar3589 2 роки тому +3

    Jamani huyu clam mzima kweli?yaani nimecheka sana ah naipenda hii.

  • @cutesuu7255
    @cutesuu7255 2 роки тому +26

    Clam nakupenda bure 💗

  • @erickyrs7443
    @erickyrs7443 Рік тому +8

    Clam yani mungu azidi kukuchunga we nimchezaji bora kabisa

  • @kephaboy_tz
    @kephaboy_tz Рік тому +4

    Kwajilo nimekukubar ndomana nakufatiliaha Sana brother respect sana blooo🙏🙏

  • @kenjimalqari5810
    @kenjimalqari5810 9 місяців тому

    DaaàhJaman kwakweli nimecheka mpaka mbavu znauma clam noma sana❤❤❤❤❤❤

  • @alimussa2655
    @alimussa2655 2 роки тому +7

    Kumamake nimecheka mnooo 😂😂😂

  • @jacqueskitungacelestin4784
    @jacqueskitungacelestin4784 2 роки тому +32

    Asante Sana Clam;
    ulicheza vizuriii sana, hivyo-ndivyo vanatakiwa, uliwakomesha kabisa.
    Tunasubiri sehemu ya pili?
    Mimi nikutoka Congo butembo

  • @amosshija5305
    @amosshija5305 2 роки тому +9

    nimecheka kama sina akili zako 100% mjomba umeuw sana
    Kwanza comerd zote nilikuw sijacheka kifala kama ivi aiseeh nimecheka sir yang tu!! sarut' kaka

  • @youngblack6917
    @youngblack6917 2 роки тому +4

    Kazi nzur...
    Nani ameimba huo wimbo unao pigwa mwishoni

    • @JahyoTz_
      @JahyoTz_ 7 місяців тому

      Bonyeza account yangu hiyo ndo nyimbo ipo hapo isisahau kusubcr,ibe

  • @aronpaul2331
    @aronpaul2331 Рік тому +3

    Kupatwa kwa ndoigeee🤣🤣🤣🤣

  • @dkm.o.h1098
    @dkm.o.h1098 Рік тому +1

    kweli imeweza,, uigizaji bila mcheza, director ako sawa. pia napenda lugha, haina madoadoa ya kingereza.. shwari kabsa

  • @tumajunior6080
    @tumajunior6080 2 роки тому +4

    Clam wabully wenzako🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣umpata mke wa bure

  • @leonmalanga79
    @leonmalanga79 Рік тому +1

    Miaka 1000000000 Hakuna comedy kama hii dunia nzima ulaya Afrikamashariki nakati ongereni 😅

    • @mttwamama0036
      @mttwamama0036 Рік тому

      Ushasema brooooooooo hawa jamaa NAWAPENDA sanaaaaa❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉😂😂😂😂😂😂

  • @VicentSamwel-xy1vg
    @VicentSamwel-xy1vg 11 місяців тому +2

    Brother clam unajua sana 🫡

  • @alisaida4080
    @alisaida4080 Рік тому +1

    Malikes mob jamani hii Kali😂😂😂😂😂

  • @Mpakauseme
    @Mpakauseme 2 роки тому +3

    Hawajama wamewafunika wachekeshaji wengi aisee

  • @SophiaIssa-n6t
    @SophiaIssa-n6t 7 місяців тому +5

    Ata mimi nimeitazama mara nyingisana naipenda kweli❤❤❤❤

  • @rukiamwinyi4120
    @rukiamwinyi4120 2 роки тому +10

    🤣🤣🤣🤣 Ii nimecheka kifala ,mume mtu anajiongeza

  • @MariamSaidy-c1y
    @MariamSaidy-c1y Рік тому

    Cram cram jmn nimecheka mpaka machozi god bless you

  • @shaddydrammer-48
    @shaddydrammer-48 Рік тому

    Mzh unanimalizish bandoh mzh yanih nakubali h sanah aseh clam vevoh actor

  • @pascasieitangishaka4755
    @pascasieitangishaka4755 Рік тому +1

    Kiukwel nimeceka kwasauti 🤣🤣🤣🤣mbavuzang mieeeeee

  • @kennedykipngetich7523
    @kennedykipngetich7523 Рік тому +4

    Kazi nzuri wabongo hii kali.

  • @Bobkid77
    @Bobkid77 11 місяців тому

    😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 daaaaah.. bongo siami❤❤

  • @FaziliSelemani
    @FaziliSelemani 8 місяців тому

    Ndio utapata laiki nyingi sana clam mnapendana nauyo mwanamke

  • @shabanimbenu2163
    @shabanimbenu2163 2 роки тому +14

    SIYO MBOVUUUU....😂😂😂😂

  • @elijahclassicboy8228
    @elijahclassicboy8228 3 місяці тому +1

    Msangazi ikiwa kibaobao❤😅

  • @AncyMerci-un2nu
    @AncyMerci-un2nu Рік тому

    MUNGU Wangu mutaniuwaga mimi kwa kweli kkkkkkk kinakupata leo we Baba

  • @mwajumamonze8792
    @mwajumamonze8792 Рік тому

    Woooooi aki nmebaki hoi😅😅😅😅😅 nyie watu nawapenda bure

  • @amanishiughaaa6345
    @amanishiughaaa6345 2 роки тому +1

    Ira Cram unajua kuumiza wenzako daah nmecheka mpka machoz

  • @miss.kazuri7150
    @miss.kazuri7150 2 роки тому +11

    Duh clam your 🔥🤣🤣😭👐

  • @Alkibosstz
    @Alkibosstz 2 роки тому +4

    Iyo kali sana 😢🤣🤣🤣🤣🤣 tunataka izo bro 🙏

  • @DEMSMANOTTIPava-li3hj
    @DEMSMANOTTIPava-li3hj Рік тому +15

    Clam mwamba kama una mkubali tiya like moja😂😂

  • @DoricasWawire-ff9os
    @DoricasWawire-ff9os 11 місяців тому

    Nawapenda wote bila wivu mko talented😂😂😂

  • @yogwemwakulola1634
    @yogwemwakulola1634 Рік тому

    😃😃😃😃😃😃😃😃😄😄Jamaa kachukua tv na simu du

  • @irinemmasy8387
    @irinemmasy8387 2 роки тому +2

    Da mpka tv na cm unaondoka nayo na dem umeshamla we ninoma

  • @AmaniRazalo
    @AmaniRazalo Місяць тому

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣 kweli mume wake mbele ya kula!

  • @Lunesavage-vu8yv
    @Lunesavage-vu8yv 2 місяці тому

    Yani hawawababu wawili wNaweza aiseeee😂😂😂😅😅😅

  • @jameskilawa7585
    @jameskilawa7585 Рік тому +1

    Nimecheka kama fala😂😁😁

  • @ramadhanialmasi2779
    @ramadhanialmasi2779 Рік тому +3

    Mmefanya zote ila hii imeuaaaaaa🤣🤣🤣🤣

    • @witneyemas1736
      @witneyemas1736 Рік тому

      🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 kwelii kabsa

  • @user-kimwana
    @user-kimwana Рік тому

    Mbona kama unalia bro😂😂😂😂 wallah hii haichoshi kuangalia 👏👏👏

  • @zonzoozonz2565
    @zonzoozonz2565 Рік тому

    Oya co poa nimecheka Sanaa kipaji sanaa

  • @nishuuuameee8695
    @nishuuuameee8695 2 роки тому +4

    😂😂😂😂😂😂😂mtihani kweli

  • @collyjones2656
    @collyjones2656 2 роки тому +4

    😂😂😂daah Clam akili hauna wewe🤣😆😆

  • @FaziliSelemani
    @FaziliSelemani 8 місяців тому +1

    Mtoto umeuwa sana

  • @silviananjala7941
    @silviananjala7941 Рік тому

    Pole Bhailam kimekuramba TV imeenda hasira zinakupanda zikishuka😂😂😂😂😂

  • @issazinu2294
    @issazinu2294 2 роки тому +3

    Jamaa kajiongeza 🤗🤗🤗🤗🥰

  • @tumaxaad
    @tumaxaad Рік тому

    Bailam nakupend zaid kweny kuigiz unaitendea haki 😘

  • @engrbethkapinga4327
    @engrbethkapinga4327 Рік тому +2

    Nimeipendaiyoo🤣🤣🤣🤣

  • @japhethelijah4252
    @japhethelijah4252 Рік тому

    Dah Ilo Kofi sio poa
    Jamaa kala kweli

  • @allyadamu-iy5gj
    @allyadamu-iy5gj Рік тому

    Dah aisee cram nimekunyanyulia mikono asee

  • @sarahnafulanafula5537
    @sarahnafulanafula5537 Рік тому

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣waah mwaniuwa na kicheko

  • @angelgirl1602
    @angelgirl1602 2 роки тому +7

    😂😂😂😂aise clam Hapana

  • @user-kizota12
    @user-kizota12 10 місяців тому

    Hahaha iyo kali respect

  • @SEFFUALI-gy1qq
    @SEFFUALI-gy1qq 2 місяці тому

    Huyu ni mkeo kwelii😮😮😮😂😂😂😂😂😂

  • @polynewafula1258
    @polynewafula1258 Рік тому +1

    🤣🤣🤣🤣 noma sana ..eti kwanuka

  • @elizaddy5806
    @elizaddy5806 Рік тому +3

    Jamaa zangu wako vizuri aisee, ubunifu wa hali ya juu,naenjoy sana.

  • @dieumesamuel9128
    @dieumesamuel9128 2 роки тому +6

    Mume wamutu niatari sana kbs

  • @aishayvonne1540
    @aishayvonne1540 Рік тому +2

    Napenda Hawa wakina shadow wanafanya kazi nvema

  • @hylinenyariki2149
    @hylinenyariki2149 Рік тому +1

    😂😂😂😂 jamani nmecheka kishenzi❤️🔥

  • @kevinmokayakhaemba7713
    @kevinmokayakhaemba7713 Рік тому +3

    😂😂😂😂😂😂😂😂😂 uwongo huleta madhara mara zingine afu dhambi pia but nawakubali clam pamoja na team yake nawafatilia tu sana big up tu sana na pia congratulations kwa nzuri mnayoifanya

    • @GodfreyGody-w9k
      @GodfreyGody-w9k Рік тому

      😂😂😂😂😂😂😂😂 uwongo huleta madharau mara zingine afu dhamani pia but namkubali cla
      m pamoja na team yako nawafatilia tu sana big up tu sana congratulation kwa nzuri mnayoifanya

  • @bensonmwangudza4764
    @bensonmwangudza4764 Рік тому +1

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣naishaaa🤣🤣🤣🤣

  • @herongwikwi1021
    @herongwikwi1021 Рік тому +1

    Aiseee, weeh ni noma sana 🔥🔥🔥🇹🇿

  • @dororoclaude8483
    @dororoclaude8483 Рік тому +5

    Naipenda sana iyo bwana clam, njo dawa ya wanaume malaya

  • @omarmkali3610
    @omarmkali3610 Рік тому +1

    Walai sichoki kuirudia... namkubali sana Clam

  • @JackJackmakamu
    @JackJackmakamu 4 місяці тому

    Plaza hiyo ni hatari😂😂

  • @onesmotendega5304
    @onesmotendega5304 Рік тому

    Kimeumanaaaa 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @aishaallyaishaally3220
    @aishaallyaishaally3220 11 місяців тому

    ,😂😂😂😂😂😂😂nimecheka bwanaaee

  • @samnadasutayi408
    @samnadasutayi408 2 роки тому +4

    Nimeipenda hiyo kazi nzuri sana

  • @GillyKaran-rr7xi
    @GillyKaran-rr7xi Рік тому

    ,🔥🔥🔥🔥🔥🔥💯 wonderful I'm looking for another part

  • @aishashomali2716
    @aishashomali2716 Рік тому +3

    Nimecheka eti stress 😂😂😂😂

  • @Fatmasaidinassoro
    @Fatmasaidinassoro 11 місяців тому

    😂😂❤❤❤❤hatariii

  • @adijaaddy6357
    @adijaaddy6357 11 місяців тому

    Jameni nimechekaaaaa🇧🇮🇧🇮

  • @EsauDaniel-nq6ol
    @EsauDaniel-nq6ol 10 місяців тому +1

    Pamoja ndugu

  • @RajabIssa-vx4rv
    @RajabIssa-vx4rv Рік тому

    😂😂😂 duh clam namkbal sanaa

  • @ShaShamila-i1d
    @ShaShamila-i1d 8 місяців тому

    Iyu kaKa ana nicheke chaka sanaaaa

  • @ComfortMakere
    @ComfortMakere 9 місяців тому

    Nakukubali San clam

  • @محمدالعطوي-ش5ه
    @محمدالعطوي-ش5ه 10 місяців тому

    😂😂😂😂😂😂😂😂😂bhailam kimemramba😂😂😅😅

  • @marthajohn9120
    @marthajohn9120 Рік тому

    Khaaaaaaaaaa mbavu zangu jamani 🤣🤣🤣🤣umejua kuwakomesha

  • @EricNdihokubwayo-p3r
    @EricNdihokubwayo-p3r Рік тому

    😂😂😂😂😂 munguwanguweeee ba wume was myaka hiii

  • @khadijahamisi6558
    @khadijahamisi6558 Рік тому

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣mbavu zang jmn🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @kingjohaness
    @kingjohaness 9 місяців тому

    😂😂😂😂 alitumia opportunity

  • @abdulnuliat-ny7nf
    @abdulnuliat-ny7nf Рік тому

    😂😂😂😂😂😂
    Hakiamama ALLAH awalipe kila rakheli nimchozo tunafurahia ila kunamafunzo tena makubua Sana kabisa❤

  • @SophiaIssa-n6t
    @SophiaIssa-n6t 7 місяців тому

    😂😂😂😂 sanaaa mimi ningekuwa clam ningelala nitoke asubuhi😂

  • @tashakamage2004
    @tashakamage2004 Рік тому

    Haki nimecheka kwa sautiiii🥱😀😁😂🤣😃😄😅😆😉😊😋

  • @shivaNasoro-or7gg
    @shivaNasoro-or7gg 3 місяці тому +3

    Nakubali

  • @dayanakimaro
    @dayanakimaro Рік тому +3

    Yaaan nimecheka mpaka mbavuzinaauma umetishaa clam

  • @RayaniTuwa
    @RayaniTuwa Рік тому

    Mnaupiga mwingi kazi nzuri

  • @nduhuramugisho2413
    @nduhuramugisho2413 Рік тому

    Hatari sana chemeki😂😂 mbavu zangu mimi

  • @ASUKULUNYASSA-hf6wk
    @ASUKULUNYASSA-hf6wk Рік тому

    Clam na bailam muko poa sana yaani mmechekesha kwa sauti.