Wewe moha na wewe si utafte bibi yako yote uzae. Usimtake cha nguvu coz itakuramva tu. Uyo tu ndio umeona iyo Nairobi unakuanga😂😂. Ambia God akupee wako.
Alafu moha hyo ya watu kukufa kwenu ini maagano yalifanywa kwa familia yako na wachawi ikifika the appointed time mtu anakufa inafa kuvunga hiyo madhabahu.
Moha please please please tafte senior Davy msaidie baba kafue woieeee😢😢😢
Senior Dave hatumiyi waganga yeye hutumiya serekale na kanisa
SD n madaktari hio no na true k waganga wanini sasa
Senior Dave alisema ataki daktari hao n wanganga bt Wacha wasunguke kw serikali adi wachoke, 😢
Afadhali yesu mara 100 💯, yesu hawezi kusadia na pesa My brother Jesus is everything 🙏
Good job moha, io dio tulikua tunakwabia kw ile kesi y Faustine ingekua raisi ivyo na Faustine arudi job, xx umejionea 😅😅😅 kazi zuri
Moha nipee no ya doctor na mm 😢😢
We have been waiting for this moha, but thanks 🙏 ,usikae sana bro, God bless you
I'm watching u from USA 🇺🇸
Big up Doctor u are Genuine
Thank you so much
Dactari asanye hao wakora wotee😢😢
Nimepumua sasa aki waaah good job Moha and daktari
I hope the documents are original.
Sorry for what you are going through in relationship.
Pole sana moho nakufatilia nikiwa Tanzania jmn
Moha good job 😊Mungu azidi kuwalinda mnafanya kazi mzuri
Gd jb MHA, keep it up..ad I am watching u from kanailo please 😊
Kazi nzuri daktari
Angalau kazi imefanyika, kiburi kimeisha😂
watching from saudi arabia good job moha.
Thank you
I have been waiting this guys God bless u so much
Thank you
Watching from Saudi arabia kazi safi sana mnafanya
Asante
Nice if at all hao goons watalegesha vitu zako za job ...
Huyo amekushow poa
Moha nisaidie na naba ya daktari
good job
Aki mm kuliko niende tukasubuane na police eli nitafute daktari one's mambo iishe
Moha Ug tuko ndani🎉🎉🎉
Thank you
Big up moha bt chunga huyo dem si mzuri anaeza kutumia goons ambia daktari akukinge wewe ni mkamba if you know you know
Aaaah sawaaa
Tuko poa moha labda nyinyi...naona mambo yamekua mazuri wahhhh 😊😊😊
Ndio maana nipo hapa
@@mohaclassicfamily Bravoo 👏 den pole sana kwa yalio kupata pia
Inafaa mwenyewe awe hapo ndoangalie juu yeye mwenyewe ndoanafahamu hizi vitu jamani any way hongera dakitari
Moha uyo kdf alikuwa anafaa kuwa hapo juu yy ndiye anajua vitu zake zote
Anerudi job
Haki daktari Mungu akubarik pamoj na Moha wet Mungu akulinde ❤❤❤❤🙏🙏🙏
Ngai😮
Amen
🎉🎉🎉🎉🎉moha ak kuna vimtu viko na pesa zangu😢😢😢😢
🎉🎉🎉🎉🎉wow naeza kula sasa😂😂😂
😂😂😂kabsaa kula nyamaa
Moho unaweza saidia na no ya doctor please,,,,there are something going wrong ak😢😢
Come inbox
Moha trust God kwa kila kitu na itakua pouwah,,,,,,,salimia doc sana
Sawa I will
Woyeeee hugs moha
Thanks doctor warudishe camera pewe adabu
Kabsaa
Wenye kiburi wapewe andabu warudishe camera yko
Good job 👍
Asante sana
Moha nisaidiye huyo daktari Kuna mtu alikataa kunilipa deni yangu
Finally daktari pongenzi,but kdf angekwa apo coz hujui huyo kahaba kama amepeana doc zote.
Ataconfirm aliitwa kazi kiasi
Daktari anajuanga Kila kitu kama izo documents hasingekua zote angesema 🎉🎉🎉🎉 good job doctor
Wenye waliiba camera warudishe
Good job
Thanks
Moha hayo maongezi na mpenzi wk ungemueleza nje ya camera
sure,,coz ata familia ya the girl wanaweza mlaumu moha kwa story na daktari haiyaa
True hapa hitaji ni camera sio mapenzi
Good job daktari
Twasubili 🇹🇿😁😎
We thank God 🙏
🙏🙏🙏
0000h kumbe atununui dieper za mtoi. Ameogopah kifo
From saudi
Thank you
Waw doctor be blessed babaa ata ss tumefurahia
Very happy
Hello moha , camera inaweza kuwa doo ngapi
Ni kweli moja mushikilie kabisa utasaidia ata your funs, maana tunapitia Sana hapa injee
Kweliii
Moha tafta dame mwingine and believe in God wachana na Mambo mingi
Izi documents wangepeana kdf akiwa cz uyo Dem can dame play yu
Aliitwa kazi gafla atarudi
Mimi ningetaman dakitar anisaidie 😢
Nitafute nkuconnect na yy
Moha that's not the only woman. Get another woman because utalia mwenyewe
Very true
Imagine hata watu wa dimu hawamtaki😮
Naweza pata number ya doctor
Lakini ww moha hii mambo kuhusu huyo msichana haungeweka Infront of camera
Now am feeling gud en relaxed
Thank you
Wow finally
Moha wacha zako na kama huyo mwanamke ako na mimba ingine unaeza Fanya aje ama alishaoleka na kwingine si uachane naye Tu utafute mwingine
True mke wake Mungu amemwandali juu yy ana juwa Mungu aweke tumaini kwake
Moha unipe namba ya daktari
Tuombee namba ya Dactari plzzz
Eti😳😳 tafta yesu dadangu achana na wachawi
Kujia inbox akusaidie
Sasa moha bona utenganishe boma ya mwenyewe naumesema mtoto sio wako jipe shuguli mungu atakupea bibi wako sio wa mwingine
Moha hebu ambia Daktari asaidie melan na Mama yake kwa pL aki amefanyiwa the same thing na boyfriend
Why moha unaweka maneno kama hii ya mapenzi kwa kamera je na wasazi wa huyu dame wakiona
Dactari ni mkali Sana
Waiting
Kijana jipange utafanyiwa vibaya
Sahi wanaeake ni kutengeza ndio wakae moha thats ukweli
Tafuta Dem mwengine moha
Sasa muha kwanini unkankaniye
Wambo,vile mkora labda alipeana fake documents😅
Tutaconfirm na KDF
@@mohaclassicfamily sasa kama ni.fake wuuiii mapacha tena?hehe
Huyu daktari ni mkora
😳😳😳😳😳👌🏽
Guys tupitiane tugrow pamoja ukinipitia nakupitia plz
Hizo documents n original au
Moja nipe namba ya iyo dokta kuna mwarabu ame nizulumu
😂😂😂😂😂 AISHA amekuzulumu aje
😂😂😂sawa inbox me
Moha toa music
Naomba number ya uyu doctor please
Asaidiye focitin
Afadhali document zimeletwa sasa
Moha ebu niulozie dactari kama anaweza kufungia mali yako yaali ata kama auko katibu iwezi ibiwa juu wezi wamekuwa.wengi
Naomba number ya mganga jamani
Ata shetani anajua mambo mwanadamu atajisaidia n nini moha uliamua kufanya job n diviners fanya tu
Huo ufimbe hautaleta shida mtu asi zae ama niaje?
I think like you 😢😢
Huwa dakitari anatengeza kila kitu mtu asipate madhara
Atleast kiburi ya Bobo imeisha
Sasa si angekuwa apo KDF acunguze vitu zake kama zinaenea
Aliitwa kazi gafla
Moha swahali langu ni moja, uezi tafuta dame mngine muzukume nayo maisha.
Moha hii video km unaweza kata hebu kata ju umeongea kuhusu hio familia na huyo mwanamke na wataona den watasemaje surely
Wewe moha na wewe si utafte bibi yako yote uzae. Usimtake cha nguvu coz itakuramva tu. Uyo tu ndio umeona iyo Nairobi unakuanga😂😂. Ambia God akupee wako.
Alafu moha hyo ya watu kukufa kwenu ini maagano yalifanywa kwa familia yako na wachawi ikifika the appointed time mtu anakufa inafa kuvunga hiyo madhabahu.
Huyu daktari na mchuku
Aje
Moha wacha mambo mengi tafuta msichana mwingine
Exactly
Bt moha this was private issue
Ukweli kabisa
Mohac unipee number ya huyu daktari pls
Come inbox nkuconnect na yy
Moha hiyo nigiza..achana nayo mbona nakuona msomi ..lkn unakoelea unaenda kuharibu maisha yako..kupitia hiyo stor..
Ziangalieni kama sio copy
Please help me with the number of the Doctor
Inbox I will connect you
@mohaclassicfamily okay
Moha tafuta mrembo mwingine.
Hope no legit
Young 😂You tubers let's gather here😅
IAM here done it nipitie pia
Nipitie nakupitia plz
@lizanasambu2125 done ✅
Done nipitie
❤❤pitia done fof you
Waangalie kama ni original
Gai moha hi story yako ni chungu walai bt chenye nikuomba ni ujue mali ni vitu via dunia mtegemee munga he has a good plan for you
@moha i want to give this daktari my job but am still scared because alot of people have been eating my money but no work they have done
Number jaman number
Moha. Agusaidie. Kbx
Waiting