Wooow....Yani ametajiwa hao wengine wote akasema ni watoto wake lakini alivyotajiwa tu NKANE akasema ni roho yake mpaka alitamani aruke💚💛So touching wallah!!!
Dah unasema ndugu yangu mimi nimetokwa na machozi kbs yaan moyo umejawa na huruma gafla jins anavyojielezea hisia zake juu kijana wake NKANE aisee Mungu acha aitwe Mungu
😭nimejikuta nalia tu Denis hii Dua ya uyu mama aliyekujua na kkupenda kupitia kipaji Chak hakika Allah ni mwepes wa kuskia tunza iyo video Kwa sijili ya kumlipa fadhila zaid ya iyo jezi Kaz njema na mungu akubali the wander kid
Pure love its so touching emotional. ALLAH AKUZIDISHIE WATU WENGI WANAKUAMINI NA KUKUOMBEA THE ONLY TIN YAKUWAREJESHEA SHUKRAN N KITIHADA ZAKO KUWA HAWAKUKOSEA KUKUAMINI KUKUAMINI KUKUPENDA.
Nkane Asante kwa kumpelekea Jezi japo amepata furaha ,Tafuta Muda uende kwake akuone akushike mkono najua atafurahia zaidi na usiache kuwasiliana na huyu mama hata kama mnaenda kucheza akupe baraka zake
Mwenyeez Mungu ni mkubwa sana Wamama kama hawa washikwe mkono kwa chochote kitu ni wachache sana wanavikubal vya kwao Mwenyeez mungu atamripa kwa mahaba yake
this is beyond love ❤❤❤❤❤❤ our mom anastahili apewe VIP seat kwenye game ijayo na apige picha na nkane iwe history nzuri #youngafrican do something 📌📌📌📌📌❌❌
Mama Umeupiga mwingi mpaka unamwagika, wallah umeniliza una upendo mwema wa Kimungu, Barikiwa Mama yetu, Nkane pambana Umtoe huyu Mama yetu Kimasomaso🙏🙏
Upendo wa kweli si kusema unatoka kwa ndugu zako tu ila pia kuna watu wanamapenzi ya kweli wapo mtahani uwajui wala ujawai kuonana nao lakini wanakupenda
Nkane ss kina mm tunawapenda kutoka moyoni mm na mpenda kibwana na job nawapenda kutoka moyo hivi kibwana alivo sema kazini kwangu kuna kazi na muombee duaa kila nikisali mungu amfungulie njia pale anapoona pana uzito na mpenda sana tuu akiwa hanafuraga nn mm nakosa amani
Namsikiliza jamani najikuta nalia kwafuraha tunawapenda sana wachezaji wetu hizo ndo hisia zetu kwa wachezaji wetu Mungu awavushe wafike mbali zaidi inshaAllah 💚💛💚💛🙏🙏
Nkane utafika mbali pambana afu huyu mama mtembelee akuone atafurahi na utabarikiwa sana🙏🙏🙏🙏🇹🇿🇹🇿🙏🇹🇿
Najivunia kuwa mwanafamilia wa Yanga! Hakika upendo ndio nguzo yetu 💛💚🖤. Big up Nkane kwa kumpa furaha mama yetu huyu
Wooow....Yani ametajiwa hao wengine wote akasema ni watoto wake lakini alivyotajiwa tu NKANE akasema ni roho yake mpaka alitamani aruke💚💛So touching wallah!!!
Huyu mama wa watoto mayele na nkane Mungu amzidishi miaka mingi katika maisha yake
Nkane 😢 nimetokwa Mimi machozi. Huu ni zaidi ya upendo. Tunaomba namba timu nkane tumsaidie huyu mama. Tufanye kitu juu ya huyu mama. Please 😢
Kweli
Dah unasema ndugu yangu mimi nimetokwa na machozi kbs yaan moyo umejawa na huruma gafla jins anavyojielezea hisia zake juu kijana wake NKANE aisee Mungu acha aitwe Mungu
Kaah wenye mioyo midogi tupo wengi nimejikuta tuu naliaa
Naunga mkono kaka, mimi pia nimeguswa sana watupe namba tuji organize tufanye kitu kwa huyu mama inawezekana
Umenena vema hebu Nkane popote ulipo fanya jambo tumwezeshe mama
Nkane utafika mbali sana.. si kwa maombi haya ya huyu mama... Naiman Mungu u pamoja nawe utakuwa viwango vya juu mnoo mnoo Amen
MUNGU Ambariki Huyu Mama Na Huu Ndo Ushabiki Halisi...Huyu Afanyiwe Kitu Kikubwa Zaidi 🙏🙏🙏
Najikuta machoz yananitoka mwenyez mungu atupe maisha marefu na afya njema
Huyu Mama amenipa wakati wa furaha sana hata kutokwa machozi.....@denis nkane! MUNGU akubariki pambana
😢mm pia nmelia kwa furaha daah... Mungu ni mwema
Namkubali sana pia nkane na namuomba yanga wasimuuze kwingne Bali wampe nafasi ya kucheza Mara kwa mara
Daaaah usema kwel, hata mim, niliumia sanaaa lile tukio la nkane kule Malawi,,,😭😭😭😭🙏🙏
Safi sana Bg broo Denisi Nkane umefanya jambo zuri sana ❤
Iwish you DENIS NKANE All the best🙏
Hisia zipo live Sanaa Hongera sana Denis na pongezi nyingi kwa mama uwo ndo upendo wa mtaa #hisiazipolive💚
Mama anahitaji kitu kikubwa zaid nataman kusema sisi kama wana Yanga na mashabiki wa nkane tumchangie mama japo ktu kidogo
Kweli ase ikiwezekana tumpe mama chochote wanayanga
Naunga mkono hoja yako mdau kwani anakaa wapi?
Naunga mkono
Kabisaa my friend ❤
Na mm nakuunga mkuno hoja yako tufanye ivyo wana yanga
Yani huwezi kujua unawagusa watu kwa kiasi gani kwa unanchokifanya. Keep doing it wako watu wana appreciate. 🔥🔥🔥🙏🙏
😭nimejikuta nalia tu Denis hii Dua ya uyu mama aliyekujua na kkupenda kupitia kipaji Chak hakika Allah ni mwepes wa kuskia tunza iyo video Kwa sijili ya kumlipa fadhila zaid ya iyo jezi Kaz njema na mungu akubali the wander kid
M/mungu akuzidishie Wonderkid Denis Nkane 🌹🥀❤️
Pure love its so touching emotional. ALLAH AKUZIDISHIE WATU WENGI WANAKUAMINI NA KUKUOMBEA THE ONLY TIN YAKUWAREJESHEA SHUKRAN N KITIHADA ZAKO KUWA HAWAKUKOSEA KUKUAMINI KUKUAMINI KUKUPENDA.
Kwa upendo wa huyo mama juu ya nkane iyo zawadi ya jezi haijatosha ebu mfukilie tena yaan aongea kwa isia sana mpaka mm imenichoma moyoni
Ata Mimi huyo dogo hua na mtafakari sana mungu amubariki kijana
Very emotional and touching
Tumpatie zawadi huyu mama
Aki nimelia kwa upendo wa kweli kutoka kwa hyu Mama💚💛💚💛💚
Nkane Asante kwa kumpelekea Jezi japo amepata furaha ,Tafuta Muda uende kwake akuone akushike mkono najua atafurahia zaidi na usiache kuwasiliana na huyu mama hata kama mnaenda kucheza akupe baraka zake
Upendo wa mashabiki kwa wachezaji na timu yetu ya yanga ni mkubwa sana Mungu ibariki yanga Mungu ibariki Tanzania 💛💛💚💚
Kama na wewe umetokwa na emotional tear nipe like yangu tafadhali
Yeah emotional tears. it's heart touching 💗
Nmelia aisee
Nimelia kusema kweli 😢
Mi mwanaume ila yamenitoka kiukweli
Very emotional
😔heart touch
Nkane ni kijana mwema sana mwenye mapenzi ya kweli kwa mama, hongera kwake
Mimi ningekuwa Nkane basi huyu ni Mama yangu mwingine aisee.Nkane umepta Mama mpende akupendae mdogo wetu much love kwa Mama
touching,, hongera mwamba kwa kupewa mahaba kiasi hicho
Safi Sana Mkani umeonesha upendo wa kweli mdogo wangu Mungu yupo na ww Insha'Allah
Amin Amin Amin
Aka bachuchu Mombasa 001
🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Wewe mama ubarikiwe sana kwa kuwapenda wachezaji hasa Denis nkane
Huu ndo ule upendo unaitwa wa agape 😟😟😟😟😟😟 unconditional love,,, Mungu akubariki we Mama
What an emotional and touching video Mungu amsaidie Nkane apambane vilivyo na kuwa na mafanikio zaidi
😢 Bibi kanitoa 😢mchozi kusemaza ukwel N zaiiiid ya #Upendo 🙏💚💛🌙🌟
Kane wala usicheke huyu mama unadeni kubwa sn kwake coz anamatarajio makubwa sn Toka kwako na shida yen mnaridhika sn
Daaaa cjawai pendwa iv mm'kiukwel ameniliza sana❤❤mung msaidie mam uyu mwenyeupendo wa dhati
Asante sana NKANE Kwaroho uliyo onesha kwa huyu mama. Mola akuongezee upate zaidi.
Dah!!! Nice zaidi ya upendo
😭😭😭 Daaah soo touching.....
😢😢😢😢daah❤
Am from Kenya but I feel these lady much respect 🙏🙏🙏
Asee nimejikuta 😢😢😢 so touching 😭😍🥰
YANGA yangu jamani! nkane unapendwa mdogo wangu! huyu mama tumfanyie chochote wananchi! daima mbele nyuma mwiko!💚💛💚💛💚💛💚💛💚
Touching 💚💚💚
oh my she make me cry the love that she has amaizing guys so lovely❤❤❤❤
Mapenzi ya mungu yamejificha ndani ya watu... Ukiyatambua onesha shukran na mola atakubaiki..🙏🏼🙏🏼💛💚 Be blessed wonder kid👍
Jmn ata mm nampenda xana denis Mungu amsaidie afike mbali
Nampenda sana mdogo wangu Denis hasa muonekano wake wa sasa Mungu ambariki afike mbali zaid
Emotional ✅💚
All the best for you brother Denis nkane ...the wonder kid and all players in YANGA SC😮
Mwenyeez Mungu ni mkubwa sana Wamama kama hawa washikwe mkono kwa chochote kitu ni wachache sana wanavikubal vya kwao Mwenyeez mungu atamripa kwa mahaba yake
I wish you Denis Nkane all the best Inshaallah
Daah huyu mama Mungu ambariki sana
Makofi Kwa nkane 👏👏👏🙌🙌🙌
yaan paka chozi limenitoka wallhy oya nkane kwanzia leo namm nakupenda
ila pambana kaka pambana kaka pambana kak pambnaaaaaaaa
Hongera nkane
Asee waweke kitu tumfrahishe mama etu imeniliza duh! Yes mum udumu daima.
Hii ni kubwa sana upendo wa dhati usio na unafiki hakika ubarikiwe sana mama umenifundisha kitu kikubwa
Mama ameonyesha mapenzi kwa nnkane kama mtotowake. Apewemauwa yake
💘💘💘💘 mama na inatouch hii sanaa hadi machozi yanatoka 🙌🙌
Nataka sana Nkane afanikiwe sana sana YANGA
Nimejikuta nalia aisee mama ametoa upendo 😢😢
this is beyond love ❤❤❤❤❤❤ our mom anastahili apewe VIP seat kwenye game ijayo na apige picha na nkane
iwe history nzuri #youngafrican do something 📌📌📌📌📌❌❌
Yani huyu kijana ata Mimi namkubali, Nawaombea mafanikio mazuri pamoja na Wachezaji wote wa YANGA💛💚💛💚🙏
Soon tutaingia trending wananchi
Dah real love real love .....daima mbele nyuma mwiko ndo timu ya wananchi tupo hivi sio drama
Maskini😭😭😭😭Allah ibaarick Yanga mashabiki wanaipenda for really wallahi na sio for Kick💚💛💚💛❤
😢❤Mwenyezi ampe uhai mrefu ashuhudie maendeleo ya denis nkane
Aamiin
Ameen💛💚
Ameen
Huyu..mama anamapenzi ya dhati..kwa nkane...kama mwanae.... I love Mother 1 🔰🔰🔰🇹🇿🇹🇿🇹🇿💐💐💐🌹🌹🌺🌺🌷🌷🌷
Very emotional upendo wa dhati 💚💛🖤
💛💛💛💚💚💚 ukweli ni kwamba nabi alikuwa anakukubali sana brother pambana brother muonyeshe gamondi una kitu hiyo ndo njia pekee ya kufika mbali
That feelings from mom
Nkane mwenywe mebnampenda sana namuombea kla siku I love❤ nkane MUNGU akulinde siku zote I love you yanga African,
Hata mm nampenda sana Denis mkane mmwaaaa
Love ya ukweli kwa Mama Mayele na Nkane💚💛💚💛ni 🔥🔥
Ubarikiwe mama kwa upendo wako huo na mkane Mungu akujaalie afya njema pia.Daima mbele nyuma mwiko.
So touching😢
Much love❤
Wonder kid.bless sana
Safi saana
Wow
Daaaaaa huyu mama watoto wake nahis wanafaidi sana ana balaaaa huyu
Very touching
Safi sana timu ya wananchi
Ni upendo mkubwa sana ni video iliyo beba hisia sana 💚💚💚
❤❤❤❤ Denis unadenikumwa sana mdg wng mwenye isia zetu isia alizo onyesha uyo mama amesababisha weng tulie ss usilewe sifa kaza.
Mama Umeupiga mwingi mpaka unamwagika, wallah umeniliza una upendo mwema wa Kimungu, Barikiwa Mama yetu, Nkane pambana Umtoe huyu Mama yetu Kimasomaso🙏🙏
❤love respect
Wallah mama huku mwishon umenitoa machozi😭😭😭😭
Upendo wa kweli si kusema unatoka kwa ndugu zako tu ila pia kuna watu wanamapenzi ya kweli wapo mtahani uwajui wala ujawai kuonana nao lakini wanakupenda
Very emotional
Nkane ss kina mm tunawapenda kutoka moyoni mm na mpenda kibwana na job nawapenda kutoka moyo hivi kibwana alivo sema kazini kwangu kuna kazi na muombee duaa kila nikisali mungu amfungulie njia pale anapoona pana uzito na mpenda sana tuu akiwa hanafuraga nn mm nakosa amani
Yuko vzr sana, mama you have pure love 💕
The Number One Follower ❤❤❤
We Love u Nkane
Dah uyu mama anakupenda sn dogo upendo wakweli❤❤❤
Denisy mashabiki wako tuna expectation kubwa juu yako so kazi kwako mdogo wetu
❤❤
🫶🏼Hii ni babkubwa 🙌🏼👏🏻👏🏻
Bi mkubwa apate jezi yenye jina na namba ya Nkane, hiyo sahihi hapo itafutika
Namsikiliza jamani najikuta nalia kwafuraha tunawapenda sana wachezaji wetu hizo ndo hisia zetu kwa wachezaji wetu Mungu awavushe wafike mbali zaidi inshaAllah 💚💛💚💛🙏🙏
Young Africans for life ever
Omg! Whaaat a love 💚💚💚
Good sana nkane pambana mama kasema