KING'ONGO SDA CHOIR - NIACHENI NISEME 6K (Official video) Dir.Crix_ |NEF

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 27 сер 2024
  • KING'ONGO SDA CHOIR - NIACHENI NISEME 6K (Official video) Dir.Crix_ |NEF

КОМЕНТАРІ • 470

  • @annamndeme1116
    @annamndeme1116 Рік тому +22

    wimbo mzuri unanibariki sana binafsi mm sio msabato lkn nabarikiwa sana na uimbaji wa wasabato kwa ujumla, Mungu azidi kuwatumia vyema kwa viwango vya juu

  • @mosessabena17
    @mosessabena17 2 роки тому +17

    Nataman kwaya zote zingekuwa kama hii kwaya tatzo kwaya zingne zimejaza nywele bandia kichwani midomo Yao kucha zao zote zimekaa kikahaba tu Mungu atusaidie waimbaji

    • @happymasha4318
      @happymasha4318 7 місяців тому +2

      jamani mungu haangalii nywele

    • @richardotieno2692
      @richardotieno2692 7 місяців тому +2

      Napenda ulivyosema.. ubarikiwe sana

    • @stellastella2151
      @stellastella2151 5 місяців тому +2

      Never judge someone let God to judge them

    • @yohanamhagama8975
      @yohanamhagama8975 5 місяців тому

      Amen tunamuomba Mungu atuongeze zaidi ya hapa tulupo

    • @user-kw4yn3vq2v
      @user-kw4yn3vq2v 4 місяці тому

      Uliyesema mungu haangalii mavazi Ila anaangalia nini?mwonekano wa mavazi ni mahubiri tosha je?wangevaa nguo za ajabu ungeelewa walichokiimba au ungeishia kuangalia mavazi

  • @emanuellnyamanda6872
    @emanuellnyamanda6872 2 роки тому +6

    Hakika mnamtukuza MUNGU, nawatia moyo endeleeni kuimba hadi YESU akija awakute mkiimba, amen.

  • @eng.singo.m.a8653
    @eng.singo.m.a8653 2 роки тому +8

    Waoo!! Nyimbo imetulia, Kikristo zaidi 🤝. Shikilieni hapohapo

  • @davidsimonkofi3647
    @davidsimonkofi3647 2 роки тому +4

    There are those who waiting the coming of Jesus ...welldone. all the way from Mozambique.

  • @piliezra4657
    @piliezra4657 2 роки тому +5

    Napenda Sana huu wimbo jamani mjemnigawie Yani mnitumiye🥰🥰🥰

    • @KapetaSamsoni
      @KapetaSamsoni 9 місяців тому

      🌝be blassed🤗God is great

  • @bonifaceoodhiambo1083
    @bonifaceoodhiambo1083 2 роки тому +3

    AMINA AMINA NA AMINA !!!! Nabarikiwa nikiwa Kenya

  • @ruthmwasomola655
    @ruthmwasomola655 2 роки тому +3

    Woo wimbo mzuli sana hakika Mungu ajitwalie utukufu barikiweni sana🔥🔥🔥🔥💞💞💞💞❤️❤️🥰🥰😍😍😍🥰🥰❤️🙏🙏❤️❤️❤️🙏🙏🙏

  • @themiranyisfamily
    @themiranyisfamily 2 роки тому +4

    Wimbo mtaaam sana tunabarikiwa kwa pamoja

  • @wickmakori9747
    @wickmakori9747 3 місяці тому +1

    I like choirs from Tanzania. All are the best.God bless you❤🙏

  • @MedalYohana-pq2ye
    @MedalYohana-pq2ye 6 місяців тому +2

    Nina balikiwa na nyimbo zenu kikiwa Dar es salaam mungu awabaliki❤❤🎉

  • @vincentvitalius9346
    @vincentvitalius9346 2 роки тому +5

    Kazi nzuri, “acha niseme” nimewapata vilivyo haswahaswa!

  • @yohanamhagama8975
    @yohanamhagama8975 2 роки тому +3

    Hakika hii kazi ninzuri, mbarikiwe sana kwaya ya king'ongo

  • @ArnoldArgertta
    @ArnoldArgertta 2 роки тому +2

    Huu wimbo ni mtamu sana na wa mibaraka...ujumbe mwafaka kwetu sisi

  • @kanyikamasika3628
    @kanyikamasika3628 2 роки тому +4

    Tunaobarikiwa kwa nyimbo Zurich kama hizi tijuana hapa

  • @mamakayla6697
    @mamakayla6697 6 днів тому

    Nimebarikiwa sana, nimeponywa sana kupitia wimbo huu.Namtukuza Mungu sana kupitia wimbo huu.22 August 2024

  • @bertha8670
    @bertha8670 Рік тому +2

    Wimbo huuu unanibaliki sana mungu aendelee kuwainua Zaid katika huduma hii

  • @aniseth14cyprian80
    @aniseth14cyprian80 2 роки тому +3

    Hongerenii Saana Kwa mbaraka wa Wimbo mzurii saaana. Hakika Mungu aibariki Kazi ya mikono yenu.

  • @lawrencemacabadeh2736
    @lawrencemacabadeh2736 2 роки тому +4

    Nyimbo Kali thumb's up,!

  • @emmychris333
    @emmychris333 Рік тому +2

    Waooooo. Nawapenda. Sana. Kazi. Nzuli. Sana. Mungu. Awabaliki. Sana.

  • @jemafesto5410
    @jemafesto5410 2 роки тому +3

    Mungu azidi kuwainua katika kazi yake,,,,, mbarikiwe kwa kazi nzur

  • @eugenianaftali2706
    @eugenianaftali2706 2 роки тому +5

    Huyo mwalimu yuko vizuri anakipaji mshikilieni muombeeni mungu ampe maonoo zaidi dar rahaaaaa hadi basi

  • @aniseth14cyprian80
    @aniseth14cyprian80 2 роки тому +2

    Aseee,Huu Wimbo mzurii saaana. Nilikuwa nautafuta saana. Nakumbukaa mliuimba makambi ya mtaa wa MAZIMBU mwaka Jana.

  • @wilfredjohn4829
    @wilfredjohn4829 Місяць тому +1

    Hongereni majirani zangu nafurahi kumwona vai mam ness na mumewe na wengine Mungu awabariki sana

  • @phzhenry666
    @phzhenry666 2 роки тому +2

    Mmeimba vizuri sana na ujumbe pia nzuri.
    🎶Endeleeni kumtumikia bwana kwa njia ya nyimbo🤝

  • @furahambughi4977
    @furahambughi4977 2 роки тому +2

    Kwakweli mnatamtangaza Kristu kwa uzuri. Mbarikiwe🙏

  • @samwelgwitaba6454
    @samwelgwitaba6454 2 роки тому +7

    had rahaa nice song jaman nliisubr kwa ham sanaa hatmae leo nmeipata mubarkiwe sanaa watumish MUNGU azd kuwainua msonge mbele mkmutukuza muumba🙏🙏

  • @gracedaniel8115
    @gracedaniel8115 2 роки тому +4

    Mungu wa Ibrahim,,Isaka na Yakobo ndiye Mungu wetu pia,,hakika awabariki mnooooo,,,, nimebarikiwa sana na wimbo huu hakika nitakwenda kwa nguvu za Mungu

  • @isayambega8600
    @isayambega8600 2 роки тому +2

    Mbarikiwe sana watu wa Mungu ujumbe mzuri sana

  • @josiahorwoba1872
    @josiahorwoba1872 4 дні тому

    Mungu Awabariki Wana Kingongo ,wimbo mtamu sana

  • @asooraaasooraa4816
    @asooraaasooraa4816 2 роки тому +5

    Haleluya wimbo umetulia sana na MUNGU AWABARIKI MZIDI KWENDA MBALI ZAIDI

  • @johnsonjuliusmassaka5519
    @johnsonjuliusmassaka5519 2 роки тому +1

    Huu wimbo jana nmeuweka kwa radio kutwa nzima majirani hawakuchoka kuusikiliza.hongereni sana kwa kazi nzuri wana king'hongh'o,directer mp4,producer mp3.

  • @azizymwaviko1575
    @azizymwaviko1575 2 роки тому +1

    Mpo vizuri,SaSa mwombeni Mungu ili awapiganie hadi Ikulu ya mbinguni.

  • @EliaminiRafaeli
    @EliaminiRafaeli Місяць тому

    Hakika mungu hatawapungukia katika mipango yenu yote kwanamna mnavomtukuza,mbarikuwe xana

  • @floralyimo8268
    @floralyimo8268 2 роки тому +1

    Mbarikiwe mno wimbo umenibarki mnoo ,najikuta kila nikiwa free na usikiliza huu wimbo ,nimebarikiwa Sana

  • @davidsimonkofi3647
    @davidsimonkofi3647 2 роки тому +5

    Humm brothers & sisters ONLY THE DEVIL WHO IS NOT HAPPY THIS💝💝💝SO TOUCHING, DRESSING MATCHING WELL ORGANIZED. THIS THE RIGHT WAY TO JESUS, I WISH TO BE WITH YOU SAINTS. GOD BE WITH US AT THIS END OF TIMES. SWEET SWEET SWEET. AMEN.

  • @raymondjoachim8865
    @raymondjoachim8865 Рік тому +1

    Bwana awe nanyi King'ongo. Mnanibariki sana tena sana. Sina namna ya kueleza. Huu wimbo naurudia mara nyingi wala sichoki. Nitawatembelea sabato moja. Karibuni Mbezi Luis

  • @nyakwarnyarbritishevents6144
    @nyakwarnyarbritishevents6144 2 роки тому +3

    Amina.
    Blessings from Habari njema

  • @kanyikamasika3628
    @kanyikamasika3628 2 роки тому +1

    Hakika Mungu yupo tuwe na hofu ya Mungu nimewasikiliza kwa makini sana wabalikiwa kifungu kwako kifungu hakika nimebariwa sana kea wimbo huu
    Nataka nitangaze habari njema aaaa jamani mnanifanya mwezenu nijinsky nipo peponi Eee mw/ Mungu wape uwezo hawa want wake waendelee kutubariki sie wengine ni madereva kazi yetu kuwafikisha waendako na tunabarikiwa kupitia wao

  • @annazanzibar6487
    @annazanzibar6487 2 роки тому +2

    Amen mungu awabariki kwauimbaji wenu

  • @davidbundegemuganda7942
    @davidbundegemuganda7942 2 роки тому +2

    Vizuri songeni mbele na baraka za Bwana

  • @nyarondiajames4999
    @nyarondiajames4999 Місяць тому

    God bless you beyond limit ,you are the great Kings in gospel music in Africa and beyond. Not only in the signing but much more in proper dressing and and good hair styles no coloured or bloody nails and mouth. You are our best unlike here in kenya

  • @magrethndambo7684
    @magrethndambo7684 2 роки тому +3

    Mungu awabariki ujumbe mnzuri

  • @Momanyisimon123
    @Momanyisimon123 2 роки тому +6

    Amen Amen amen .....let me have space to announce good news in 2022

  • @pendodickson8920
    @pendodickson8920 2 роки тому +2

    Hii tamu Sanaa, mmetishaaaaaaaaa

  • @bevoaggy4192
    @bevoaggy4192 2 роки тому +1

    Ee mungu uko wapi bwana tazama wana wako wabavyokuimbia wakumbuke bwana yes ujapo tukumbuke sote

  • @ambakisyemwakifyogo2144
    @ambakisyemwakifyogo2144 Рік тому

    Hongera mmeutendea haki wimbo mmeshambulia na ujumbe mzuri

  • @MichaelZedekia-nc5fw
    @MichaelZedekia-nc5fw Рік тому +1

    Mungu awabariki San mnapozidi kutangaza ujumbe kwa walimwengu kwa njia ya nyimbo

  • @sumamwakalago4439
    @sumamwakalago4439 Рік тому

    Nawapenda Sana King'ong'o Choir na Uu wimbo Mwaka Huu Sichok Kuuweka Mwenzenu.

  • @debrahnzisa8193
    @debrahnzisa8193 Рік тому

    Amen amen.huu wimbo huwa unanibariki sana. God bless you

  • @ebenezerfreight3309
    @ebenezerfreight3309 2 роки тому +2

    Hongera Dogo naona Lumix imechambua picha

  • @adventistsoul
    @adventistsoul Рік тому +2

    Keep it up. Nice one

  • @monicamwasi9961
    @monicamwasi9961 Рік тому

    Nimebarikiwa sana ,huyo solo na sauti ya nne wamenibariki sana. kazi yenu ni njema Mungu wa mbinguni awabariki.

  • @sharonwaceke7226
    @sharonwaceke7226 Рік тому +11

    The soloist is just perfect in her vocals good job to the choir so uplifting

    • @PriyaGodfrey-qt7it
      @PriyaGodfrey-qt7it Рік тому

      Mungu Awabariki sana waimbaji🙏

    • @barakadishon9256
      @barakadishon9256 7 місяців тому

      Kwaya hii mungu awabariki muimbe mkimaanisha msije mkaingie kwenye tabia za uzinzi km kwaya zingine yaani bulale ya mza

  • @maserogisunte5549
    @maserogisunte5549 Рік тому +2

    I'm really blessed by your song,
    May God bless you for Proclaiming the GOOD NEWS of JESUS.
    Mungu awabariki sana waimbaji wa King'ongo SDA Choir.

  • @damianymkungu
    @damianymkungu 9 місяців тому

    Daah hii nyimbo leo ndo nimeiskiliza vizuri nyimbo ni tamu nitamu ni 🔥🔥🔥 duuh hapa mmeua 🙌🙌🙌

  • @honorathajoseph2992
    @honorathajoseph2992 Рік тому +1

    Wimbo unanibariki sana sana 🎉❤😊

  • @EdwinKapinga-o7s
    @EdwinKapinga-o7s Місяць тому

    Tutangaze habari njema ya Bwana Yesu

  • @henrysilubonde5945
    @henrysilubonde5945 15 днів тому

    Mungu awatangulie katika uimbaj wenu🎉🎉🎉

  • @scolarichard3960
    @scolarichard3960 Рік тому

    Nawapend kama bwana mung alivyotupenda wot mung azid kuinua vipaj vyen mtangaze neno lake Amina 🙏🙏🙏

  • @yehoshafatimwenura
    @yehoshafatimwenura Рік тому

    Bwana awatie nguvu mmenibark wimbo wenu mtamu aisee

  • @Mosesjango265
    @Mosesjango265 2 роки тому +2

    Amen Mungu awabariki,wimbo mtamu mno

  • @cyprianongeri887
    @cyprianongeri887 2 роки тому +2

    Apowerful gospel combination 🙌 indeed kingwood SDA chior bravo the sky is the limit 👏 may #God make you more attractive than the others

  • @lpsmediakenya4909
    @lpsmediakenya4909 Рік тому

    Kweli mmbarikiwe Sana, nimependa hii sana

  • @judithnamuwaya121
    @judithnamuwaya121 2 роки тому +2

    Judith from uganda oh, nice sound, be blessed,

  • @dominicosoro4992
    @dominicosoro4992 Рік тому +4

    What a wonderful song that has made my evening may the almighty God bless you abundantly for the work that you are doing to proclaim the word of God

  • @intameds2652
    @intameds2652 2 роки тому +3

    Baraka tele. May your names be in the book of life

  • @maelezokitabwire8855
    @maelezokitabwire8855 2 роки тому +3

    Tuna shukuru sana kwazi ambayo munayo itenda.mungu wetu azidi kuwatia nguvu ili mwisho wa kazi mupate kupokea malipo mema.mubarikiwe.nawa penda.

  • @changwamazimba5027
    @changwamazimba5027 2 роки тому +2

    Wonderful song...watching from Zambia

  • @LeahEdwin
    @LeahEdwin Рік тому

    MUNGU azid kuwatumia zaid na zaid ,nyimbo ni nzr ya kuturudisha miguun pa MUNGU ,mbarikiwe pamoja katika shamba la bwana

  • @KepherOmari
    @KepherOmari 14 днів тому

    Naomba waimbaji awa waje kwa makambi yetu mwaka huu

  • @denishodero.4290
    @denishodero.4290 2 місяці тому

    So so nice with a powerful massage, watching from Nairobi Kenya 🔥🔥🔥🔥

  • @zinogalgreater8604
    @zinogalgreater8604 Рік тому

    I like solo part uuuuuuhhhhh,nitanazeeeeee,,,so nicr

  • @SaimoniStephen
    @SaimoniStephen 8 місяців тому

    Nitakwenda Mahalia popote pale bwana anapo niagiza natakanitangaze Habari njema Habari za yesu mwana wa daudi nataka nitangaze Habari njemaaaaaa❤

  • @simonmahozi777
    @simonmahozi777 2 роки тому +2

    Mbarikiwe sana king'ong'o SDA. Nimewakumbuka sana.

  • @YohanaMtivike
    @YohanaMtivike 19 днів тому

    Ameeeeen kubwa sanaaaa SDA ni noma sana

  • @rashidijanga2679
    @rashidijanga2679 2 роки тому +1

    nyimb nzuri kwa jina la yesu mubalikiwe

  • @dadarehema
    @dadarehema 2 роки тому +3

    Huyu mwalimu wa huu wimbo msimuwache yupo vizuri.Barikiweni.

  • @guelordmulongo7961
    @guelordmulongo7961 Рік тому

    Kigongo mubarikiwe sasa na mungu mimi naketi congo drc sasa ninaombi moja ni kunisaidiya ni save u wimbo

  • @FaithMwendwa-sw6fy
    @FaithMwendwa-sw6fy 2 місяці тому

    Napenda huu wimbo❤

  • @josephyona6541
    @josephyona6541 2 роки тому +2

    Tunashukuru kwa huduma yenu makambi njoro 2022 SDA sauti ya tatu safi

  • @agifermudenda1594
    @agifermudenda1594 2 роки тому +5

    Amen thank you so much for the song ,ts so touching ,, watching from Zimbabwe

  • @CLIVEMNYASA
    @CLIVEMNYASA 5 місяців тому +1

    🥰🥰One of the Best.....

  • @daudimhoha320
    @daudimhoha320 Рік тому +1

    Ameni.songa.mbele.nakutangaza.habari.njema.yayesu.ili.tukaketi.na.Bwana.wetu.yesu.kristo

  • @ednaeddie2293
    @ednaeddie2293 2 роки тому +6

    so powerful song, gd work ...from Kenya...eldoret

  • @AniaSawaki
    @AniaSawaki 8 місяців тому

    Asiaaa hii sauti Jesus 🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @neemawilson8881
    @neemawilson8881 Рік тому

    Nakatangaze habari njema Mbarikiwe sana❤

  • @chriskavunja2951
    @chriskavunja2951 Рік тому

    Nsimire Hébron ni ko panzi nabarikiwa nanyibwo zenu mubarikiwe ameen

  • @MagrethAbel
    @MagrethAbel 7 місяців тому

    Amen 🙏 mungu awabariki san

  • @atienonyarkisa1771
    @atienonyarkisa1771 2 роки тому +2

    My lovely people
    Nami naomba nisisalie Nyuma,nkutangaza dhum kaliech💕💪🔥🙏🙏🙏

  • @goodnesgeorgemshana369
    @goodnesgeorgemshana369 2 роки тому +2

    Wimbo mzuri sana,Mbarikiwe

  • @shedomumbere2044
    @shedomumbere2044 Рік тому

    mbarikiwe zaidi.from DRC congo 🇨🇩

  • @user-lr7jy7pj3s
    @user-lr7jy7pj3s Рік тому

    Mungu awabariki sana lakini mimi naombeni ule wimbo wa vitu SITA kwenye album yenu ya kwanza ya vitu SITA nilisikiliza toka mwaka 2017 toka hapo sijausikia tena

  • @judithodhiambo7469
    @judithodhiambo7469 Рік тому +2

    Am proud to be an Adventist. Asanteni Sana.

  • @josephsilas1657
    @josephsilas1657 2 роки тому +4

    Mmetisha sana ujumbe umesimama, style mliyotumia iko poa na mmeonyesha kwa vitendo kama kutangaza neno la MUNGU jambo la kufanya kwa furaha na kwa bashasha pia.

  • @tumainigeofrey604
    @tumainigeofrey604 Рік тому

    Hongereni Sana Sana, wimbo umejaa Utukufu. Siachi kuusikiliza..niwe kwenye milima, mabondeni siachi...uuuhuuuhhh

  • @chrisshonga
    @chrisshonga 2 роки тому +2

    Whaoooo! What a powerful song and vocals!
    MUNGU awabariki sana

  • @BenardMangongo
    @BenardMangongo Місяць тому

    Nyumba tamu kama asali, palikiwa

  • @tyaliphakama43
    @tyaliphakama43 Рік тому +1

    I can't understand the language bt the retheme kills me.. Am an S A in cape Town.. Keep it up guys

  • @alicemsuya2304
    @alicemsuya2304 2 роки тому +1

    Hongereni sana, mlitubariki sana kwenye Makambi hapa Mazimbu Morogoro mwaka 2021.