MASAU BWIRE; YANGA KESHO ANAENDA KUPIGIKA KIZALENDO / JKT TUMEJIPANGA VYEMA

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 9 лют 2025

КОМЕНТАРІ • 38

  • @Annaonesmo-x5b
    @Annaonesmo-x5b 3 години тому +2

    Mungu asimame na sisi JKT mungu tusaidie tupate ushindi jamani mungu ujawahi kunikataliya maombi yangu ninaimani mungu nimwema tutafungaa

    • @HalunaMajaliwa
      @HalunaMajaliwa 2 години тому

      wewe dada unaijuwa yanga tuta mpiga jkt ana kulatano

    • @HalunaMajaliwa
      @HalunaMajaliwa 2 години тому

      tatizo kamdomo

    • @SuzanIkwabe
      @SuzanIkwabe 51 хвилина тому

      @@Annaonesmo-x5b Yangu macho dada ngoja tuone 🤔

  • @issaomari5297
    @issaomari5297 17 годин тому +6

    Masau bwire apewe usemaji madrid maana anajua kutishia balaaa😂

  • @JosephChrisant
    @JosephChrisant 18 годин тому +3

    hahahaha 😂😂😂 Masau Bwire ana mikwala utafikiri ni msemaji wa Barcelona 😂😂😂

  • @rexgodwill7353
    @rexgodwill7353 17 годин тому +1

    Mtu wa maana kabisa masau bwile 😁👍

  • @alnasmwalingo4670
    @alnasmwalingo4670 17 годин тому +2

    👍🏽kwenye uwanja 👏🏽👏🏽👏🏽💪🏽

  • @DeborahSaitoti-oy7fm
    @DeborahSaitoti-oy7fm 17 годин тому +2

    Utashinda mungu yupo akawe upande wenu mtafunga 2 moja

  • @alfredmlema5928
    @alfredmlema5928 43 хвилини тому

    Tumekuzowea una maneno sana ila leo umeongea pointy sana,,kuwa wachezaji watanzania wakiwezeshwa wanaweza,,asante sana

  • @jascinthakameleki104
    @jascinthakameleki104 14 годин тому

    Kila jema JKT hapo Kesho, Mungu awalinde hakika na hao mahasimu.

  • @rashadymuhamad6293
    @rashadymuhamad6293 16 годин тому +1

    Masau ni mmoja pekee

  • @FrankKaijage
    @FrankKaijage 12 годин тому

    Usitake kujaza uwanja tu kwa kuamasisha Ili watu waje,tunataka matokeo

  • @alfredmlema5928
    @alfredmlema5928 43 хвилини тому

    Umeanza kujitetea tena na uchovu

  • @ShukuTete-wb1fp
    @ShukuTete-wb1fp 5 годин тому

    Nenda kagawe pointi 3 hamunalolote

  • @drallan6879
    @drallan6879 15 годин тому +1

    bwire tumekuzoea kila siku inagongwa hapo hapo nyumbani kwako;hebu kazeni buti nyuma mwiko naye apoteze

    • @StellaKaluwa
      @StellaKaluwa 15 годин тому

      @@drallan6879 yes pamoja sana mwanangu JKT Oyeeee

  • @HamadRamadhanKhatib
    @HamadRamadhanKhatib 15 годин тому

    Ha ha ha huyu mzee anapaswa afatilie record zake KABLA ya kuingia studio

  • @fatoommeraje2133
    @fatoommeraje2133 15 годин тому

    Msau bwiree kichapo cha kizalendo

  • @denisshimela169
    @denisshimela169 13 годин тому

    Kesho baada ya mechi uongee tena

  • @kobajumakuziwa9976
    @kobajumakuziwa9976 16 годин тому

    Bwere mbona maneno mengi sana chunga mdomo wako mwisho wa mchezo yasitoke mate😂

  • @hamadbakar7091
    @hamadbakar7091 13 годин тому

    Huyu masau bwire ogombee uraisi maana kama tundu lisu kabisa kabisa kila la kheri JKT Tanzania Allah wape ushindi JKT Tanzania wa goli mbili bila inshaallah kheri

  • @InnocentMwakyange
    @InnocentMwakyange 10 годин тому

    Ww msenge tu apo unabwabwaja na kuongea utumbo tu wkt ww mwenyewe ni yanga lia lia?

  • @michaelmasalago8068
    @michaelmasalago8068 15 годин тому

    HUYU jamaa tumezoea mikwala yake ya misimu iliyo kibao ni hivihivi tu. Ngoja kesho tulitungue tena.

  • @PhilkevinFelix
    @PhilkevinFelix 15 годин тому

    Masau. Masau. Masau. Nimekuita mara tatu. Hivi unajisikiliza unapoongea? Wewe ni mtu wa Yanga na unajulikana hivyo. Usitudanganye sisi mashabiki wa kweli wa JKT.

  • @InnocentMwakyange
    @InnocentMwakyange 10 годин тому

    Ww sema tu unataka hela za kiingilio ndo maana unaongea mpaka unajamba wkt huna lolote. Nenda zzko uko..

  • @JamalyKolahilly
    @JamalyKolahilly 16 годин тому

    😂et kichapo Cha kizaramo

  • @hamidudigogo5863
    @hamidudigogo5863 16 годин тому

    Kwani masau bwire Sasa amebakiwa na simu ngapi ??
    Huyo shule anafundisha somo Gani ??

  • @AhadiMkuyu-jo1rt
    @AhadiMkuyu-jo1rt 16 годин тому

    Haaaa,saw bwana we linda kibarua chako muda utaongea tu

  • @tumwitikemanda7601
    @tumwitikemanda7601 17 годин тому

    T unakuja kwa kukuheshimu e Ila hatunachakupoteza

  • @sebastiansalamba313
    @sebastiansalamba313 13 годин тому

    Kesho unakula tatu tu wewe masau mguu pande mguu sawa mbele tembea

  • @NEEMANICHOLAUS-qw1ne
    @NEEMANICHOLAUS-qw1ne 17 годин тому

    Unajitahidi baba huna baya

  • @ShomariAthumani
    @ShomariAthumani 18 годин тому

    Wahenga warisema mdomo huponzakichwa

  • @selemanmussa3459
    @selemanmussa3459 14 годин тому

    😂

  • @BWANGAAKIDA
    @BWANGAAKIDA 16 годин тому

    Hiyo mikwara yako kamfanyie mtoto wako Yanga haidharau timu yoyote wachezaji wanajuwa wanachokifanya

  • @abubakarilugina-zw4gt
    @abubakarilugina-zw4gt 17 годин тому

    Kamdomo😂😂😂😂

    • @StellaKaluwa
      @StellaKaluwa 14 годин тому

      Pamoja sana JKT nikweli dharau mjomba

    • @abubakarilugina-zw4gt
      @abubakarilugina-zw4gt 14 годин тому

      @StellaKaluwa Uyu Mzee atadhalilishwa atapigwa Saba wew subiri tu Kwa yanga hii