Kabisa gea haileti maana eti mwajili amchukue mtoto ampeleke ustawi wa jamii wakati ndugu wa huyo mama mtoto wapo kwani alimpata huyo msichana kutoka huko alikomtoa aliwasiliana na nani alishindwa vipi kuwasiliana na aliyemletea msichana
Huyo mama alikua anataka mtoto akalelewe kituo cha yatima mama abakie akimuuzia bia zake na kumuuza yeye piaa... Hapo ndo utaelewa adui wa mwanamke ni mwanamke... 🙌
Mungu akutie nguvu. waandishi wa habari wanatusaidia sana. Mungu wawape wepesi waandishi wa habari wote tunawapenda. Akamatwe huyo ni mwizi wa kuaminiwa.
Pole Sana mitihani kweli Dada zetu mna kutana Nayo Sana 😢😢uyo boss wake mshenzi Sana Ana hubina Damu kabisa ukisikiliza maerezo tou uyo boss msumbufu Kwa nn alipo pata Pesa ya kudanga ukachukua Wakati Ame kuaga Anataka kuludi home uka hanza masha uli
Pole sana binti. Mi natamani nipate binti nikaenae kwangu mpaka aolewe na harusi yake ni isimamie mimi kama mwana familia. Ila naona tu serikali izuie watu kujifana matajili wanahela za kuwaajili mabinti mana sasa naona matukio yamezidi sana hasa hapo dar nishida sana
Huo mdada mpeleke polic wamtrack na hapo alipompeleka police usiogope dada huo mdada anataka kukuingiza ktk matatizo makubwa mdada Geah jitahidi Sana akirudishe huo mdada mtoto akapimwe
Jameni geah nakuomba tu umusaidie huyu dada apate mtoto wake na pia umupeleke hosipitali hili apimwe Kama ameambukizwa maradthi ndio hasije kumnyonyesha huyo mtoto.Huyo tajiri inafaa achukuliwe hatua za kisheria pamoja na mume wake@Kenya🌞🙏.
Kweli we nimpumbavu mjinga kabisa na uyo mtt alitaka amuzee utamng'ang'aniaje mtt wa mtu inamana we unauchungu kuliko mwenye mtt mjinga sana uyo kinyago
Mimi ni mpumavu dada mm mpumbavu nimeona MTT wenu malaya hahahahaa uyo dada mwizi alimuiba uyo MTT labda kamuuza Mana watu wa dar awaeleweki maisha magumu wanawauzia watu wagumba mungu amsaidie jaman nimeumia Sana duuuh😭😭
Huyo boss atoe mtt ache ubabaifu wake amtoe mtt watu au amepewa pesa akipeleka mtt ustawi wa jamii ningekuwa mie ninge mpiga huyo boss makofi amtoe mtt
Jamani huyu mama achukuliwe hatua haiwezekani amnyanyase hivi huyu binti mtoto wa myezi 8 kweli unamuachisha ziwa ili akufanyiekazi ya bar kweli jamani hii sisawa kwakweli.
Laki Saba zakujifungua n'a mimba Ina mwezi moja 🤔ila wewe hunahuruma kbsa maana ilikua lengo lako huyo binti ajiuuzi wewe ili upate faida kutoka kwake maana alikuja kwako n'a mtoto
Mbona hawakumsaidia binti hadi akaenda kwenye u-house girl?? Akaenda kuhangaika na kitoto chake kichanga??? Binadamu hawanaga wema!! Tujenge mazingira ya kuwasaidia watoto wetu kabla hawajapata matatizo. Mama Boss pole kwa wema uloufanya.
Sasa wew mdogo wangu unamtoto mdogo bana unaenda kufanya kazi za ndani na mtoto wakat mama ako mzazi yupo na bibi yako acheni jaman kurubuniwa na wanaume mhhh
Ooh mungu wangu jamani kwakweli watoto wetu huwa wanapitia shida tafadhali geah msaidie huyu binti apate mwanae alafu utupe mregesho utuonyeshe na huyo boss akamatwe, kwann huyu boss kamfanya hivi jamani mungu wangu huyu binti akapimwe ajulikane hali yake.
Huyo dada angechapwa kofi moja tu wala asingeendelea kunyanyua domo lake na angenyoosha maneno mapema wapi kampeleka mtoto. Gea please fatilia mpka mwisho ampate mwanae..na Picha ya huyo kigaganizi.
Pole sana mdongo wangu pambana upate mtoto wako ndiyo muhimu achana na wanaume tafuta maisha mengine
Boss mjinga sana alikua anamfosi aendena wanaume kwanguvu alafu anasema alikua malaya wakati yeyendio alikuaana mfosi😪😭😭ampe mwanae
jaman jaman dada Gea fatilia hii isseu mpaka huyu dada ampate mwanae... Mungu atakulipa dada
Kabisa gea haileti maana eti mwajili amchukue mtoto ampeleke ustawi wa jamii wakati ndugu wa huyo mama mtoto wapo kwani alimpata huyo msichana kutoka huko alikomtoa aliwasiliana na nani alishindwa vipi kuwasiliana na aliyemletea msichana
Kuna watu wanapenda kuona machoz yawengine jaman
@@vailetjulius4782
Huyo mama alikua anataka mtoto akalelewe kituo cha yatima mama abakie akimuuzia bia zake na kumuuza yeye piaa... Hapo ndo utaelewa adui wa mwanamke ni mwanamke... 🙌
Mmmh,hii dhulma ya hali ya juu,hata mwehu analea mwanawe mwenyewe😭😭jamani daa geah msaidiye Huyu bint apate mtoto wake
😭😭😭jamani ameniliza sana huyu bint.ila Mungu ni mwingi wa Rehema atakuvusha katika jaribu lako.
Subhannahllah Allah amfanyie wepesi. apate mwanae
Kwakweli anatia huruma
Mungu akutie nguvu. waandishi wa habari wanatusaidia sana. Mungu wawape wepesi waandishi wa habari wote tunawapenda. Akamatwe huyo ni mwizi wa kuaminiwa.
Mungu amfanyie wepesi apate mtoto wake salama uyo mama alie mwandika kazi simtu mzuri
Pole mdogo wangu, mungu nimwema utapata mtoto wako,dada gea fatilia hii mbaka mtoto apatikane
Huyu binti mzuri sana. Na kama ameanza kulala na wanaume masikini siatapata magonjwa masikini. Bado mdogo masikini . Hizi shida hizi.
Kesho na kesho kutwa baba aje kudai mtoto jamani wakina mama tunapitia magumu
Akuna kesho wala nn ampe mtoto wake taper uyu ampe mtoto wake kama Mwiz. Akapimwe DNA
Duh ani tunakoelekea jamn
Ama kwel akina mama tunapitia magumu mungu atatulipa
Umalaya wenu ndo unasababisha wakati mwingine sio kulaum wanaume tu.
@@texastexas2545 nyooooo! Kati ya cc na nyie nan Malaya? Kwendraaaaa! Labda mama ako na Dada zako ndo malaya
Pole Sana mitihani kweli Dada zetu mna kutana Nayo Sana 😢😢uyo boss wake mshenzi Sana Ana hubina Damu kabisa ukisikiliza maerezo tou uyo boss msumbufu Kwa nn alipo pata Pesa ya kudanga ukachukua Wakati Ame kuaga Anataka kuludi home uka hanza masha uli
Pole sana binti. Mi natamani nipate binti nikaenae kwangu mpaka aolewe na harusi yake ni isimamie mimi kama mwana familia. Ila naona tu serikali izuie watu kujifana matajili wanahela za kuwaajili mabinti mana sasa naona matukio yamezidi sana hasa hapo dar nishida sana
Pole kipenz maisha haya mtihani kwakweli
Asabambaze picha y huyo tajiri wake mtoto sio nguo mtoto anauma jamani
Uchungu wa mwana aujuaye mzazi pole sana mdgo wangu tumuombe MUNGU mtoto wako apatikane
P
Boss huyo anastahili kufungwa
Maana yeye ndiye alisababisha huyo binti anapitia hiyo kuzurura😒😒😒
Uchungu wa mwana aujuae mzazi apewe mtotowake, mtoto afanani na cm wala na mamilioni ya shilingi
Pole mdogo wangu najua shida ndio imekufikisha hapo
Inauma sana jaman
Masikini pole mdogo wangu usilie mwenyezi mungu atakusaidia da gear msaidie
Huo mdada mpeleke polic wamtrack na hapo alipompeleka police usiogope dada huo mdada anataka kukuingiza ktk matatizo makubwa mdada Geah jitahidi Sana akirudishe huo mdada mtoto akapimwe
Inauma sana kwakweli mungu mkubwa apewe to mtoto wake anataka kumtoa kafali au
Jameni geah nakuomba tu umusaidie huyu dada apate mtoto wake na pia umupeleke hosipitali hili apimwe Kama ameambukizwa maradthi ndio hasije kumnyonyesha huyo mtoto.Huyo tajiri inafaa achukuliwe hatua za kisheria pamoja na mume wake@Kenya🌞🙏.
Mmh kwa siku zote izo haifai tena kumyonyesha maziwa yashaharibika
Eti nilimuona mtoto wenu malaya wakat umalaya amemfundisha yeye .
Aiseee inauma sana,uchungu wa mwana aijuaye mzazi,huyu binti apewe mwanae na ikishindikana anawazazi na ndugu,huyo bosswake sio kituo cha kulea watoto.
Huyu boss akapimwe ugonjwa waakili. Haki ifanyike kwa huyu bint apewe mwanae.
Subuhanallah inalillah wainailahi rajuun 😭😭😭😭😭😭inauma jamani selikali msaidieni piamtupe mlejesho roho zetu zitulie Mungu mwema lnshallah🙏
Mungu ni mwema atakuvusha
Kweli we nimpumbavu mjinga kabisa na uyo mtt alitaka amuzee utamng'ang'aniaje mtt wa mtu inamana we unauchungu kuliko mwenye mtt mjinga sana uyo kinyago
Yani binti mzuri sana
Maisha mhh!sikia 2mtu anasimulia omba yasikukute ,!vile mwanamke unapitia mengi unatukanwa unasemwa unaonekana taila daaaa!!mungu pekee ndo ajuae!
Mimi ni mpumavu dada mm mpumbavu nimeona MTT wenu malaya hahahahaa uyo dada mwizi alimuiba uyo MTT labda kamuuza Mana watu wa dar awaeleweki maisha magumu wanawauzia watu wagumba mungu amsaidie jaman nimeumia Sana duuuh😭😭
Duuuh hatupumui jamani
Dada geah fatilia mpaka upatee huyo dada apate mtoto wakeee
Huyo boss atoe mtt ache ubabaifu wake amtoe mtt watu au amepewa pesa akipeleka mtt ustawi wa jamii ningekuwa mie ninge mpiga huyo boss makofi amtoe mtt
@@rhodajoseph9043 yan mm.ningemuumiza mana boss anaonekana hana akil kabisaa
Natetemeka wallah
Pole sana mdogo wangu Mungu alisimamie mtoto hapatikane, bibi unaongea pont
Dhambi sana binadam cye,pole mdg wang yalokufka na umr wako n tafaut kabsa
Huyo boss ni mwizi wa mtt alikuwa anashida na mtt jaman pole sana
Uyo mama mwizi WA mtoto atafutwe akatoe maelezo police
Kweli akamatwe
@@angelageofrey9756 7776
Dada Geah please tunaomba umsaidie huyu bint apate mtoto wake.
Ni kumuomba tuu Mungu huyo mtoto atapatika
Mwizi huyo alikua anataka kuiba mtoto
Nimehisi uchungu wallah kuna watu wana roho ngumu jmn
Bibi nakupenda sana unafaa kuwa mama
Poleni Hapa Haija Eleweka Muongo Na Mkweli,ila We Boss Peana Mtoto Yaishe.Si Ungeita Familia Yake Waje Wachukue Mtoto.Mbona Ukimbilie Ustawi Wa Jamii.
Allah asaidie spewe mwanawe 🤔🤗🤗
@@ayshamahariq6665 Àamiin
Atoe mtoto bhana.... Mtoto anaumaa etii.... Atoe mtoto plz...kama hatoi mtoto apelekwe polisi shenzi yeye...... Anajua uchungu huyo;
Mungu anawaona mnaowatesa watoto wa wenzenu!!!
Jamani huyu mama achukuliwe hatua haiwezekani amnyanyase hivi huyu binti mtoto wa myezi 8 kweli unamuachisha ziwa ili akufanyiekazi ya bar kweli jamani hii sisawa kwakweli.
Rudisha mtoto mshenzi..unataja mambo ya mimba yako yanahusiana nini na mtoto wa mwenzio...
Aaah daaa
Imeniliza,,,,Atafutwe arudishe mtoto...JAMANI MTOTO ANAUMWA
Wema huponza mtoto alimwachia alifikiri watamtunzia bure hata kama ni mimi nitampeleka police mwisho ni ustawi wajamii
Jamanii tuache roho mbaya..aisee binaadamu hatuna hofu ya Mungu hata chembe
Uyo Dawa kumroga tu atarudisha mwenyewe
Kuna vitu vinatia asila aiseeeeee mtoto wangu utakula petrol moja takatifu mpaka utatoa mwanangu aiseeee
Dada dah ple sna jamni naumia xna nikiwa mzazi mtoto ana uma jamani mfwatilien ampo mtot wake
Hadi nimelia jamani inasikitisha 😪
Bibi umeongea haswaa... Mwana kulitafuta mwana kulipata...dada bosi jiandae...na uandae na haki za huyu binti
Kwa nini AMUHUSISHI POLISI KWANZAAA
Jamani nawezaje kupata namba ya Geah habibu??
Yaarib mola wetu msimamie huyu mdada jmn inauma sana 😢😢😢😢😢😢
Mmh kaz kwel kwel chui hawez kulala na mbuz chumba kimoj, bint n mzr msimlaum sana anaemhfadh kikubw apate mwanaye na wakapime maradh
Pole sana mama boss tenda wema nenda zako wanandamu hawanaga wema.
Wema gani kumuuza mwenzie au
Hongera kwa Nazi nzuri gea
Huyo boss arejeshe mtoto asilete ujinga wake hapo tena akamatwe akanyee debe kenge mkubwa
Jaman huyo mama vip!? Mwenda wazim ama!? Jera inamhusu
Tuletee marejesho da gea
Laki Saba zakujifungua n'a mimba Ina mwezi moja 🤔ila wewe hunahuruma kbsa maana ilikua lengo lako huyo binti ajiuuzi wewe ili upate faida kutoka kwake maana alikuja kwako n'a mtoto
Mrejesho dada Gea
Ee! Nipokenya naombeni kujua huyumtoto alipatikana?! Huyu Dada anatoahabari hadiraha
Pole mdogo wangu
Hii nchi sasa kuna mijitu mingi sana ikijua Kiswahili tu inajifanya wa Tz kumbe imetoka mainchi mengne inayo kuwa na roho mbaya
Why are you guys hiding that ladies face.. let us shame the devil.. she will continue to do that to others innocent young mothers..🥲🥲🥲 pole Sana
Kwann wanawake tunawanyanyasa watoto wa kike jamani tunajisahau Sana tumuogope Mungu
mpuuzi sana huyo dada
Ndomkome maisha hata kijijini mtu unajitafutiatuu...mkickia mjini mnaona ndiopakukimbililia..huo mtihani sasa pengine hata ugonjwa umepata..
pole daar😥😥😥😥😥
Jaman
Jamani
Duh izi kesi za kuchukuliwa watoto ni nyingi Tanzania na watoto walivyo wagumu kupatikana ,Mungu amsadie hampate mwanae
pole sana dadangu
Mimi naona huyuu boss upande mwingine Hana kosa kapeleka sehemu salama sema tu ukishaonekana mbaya ni mbaya tuu pole boss
Mjini kz sana jamani
Mimba ya mwezi mmoja ndo nini?🙄🙄 mzazi mwenyewe ndio aliekupa ruhusa kumpeleka mwanae orphanage? Wewe ndio unamjua Mungu kumtesa mtoto wa watu ivo??
Masela noma sana
😭😭😭duu jaman mbona huyo mama anajiamlia mtoto sio wanduguye ashikwe huyo tapeli
Uyo boss tapeli
Pole dear jamani wanawake mbona hutupendani
au amemnyonga?
Uwiiiii! Jamani mpeni mwanae uchungu wa mwana aujua mzazi
Mtoto anauma aisee.afungwe kabisa.
Mhh katoboa pua apo Kuna namna uyu nae wakuhojiwaaa vizuriiii
Mwanangu nawezamuwacha afazariunaniuwa
God have mercy
Polesana mdogo wangu
Mbona hawakumsaidia binti hadi akaenda kwenye u-house girl?? Akaenda kuhangaika na kitoto chake kichanga??? Binadamu hawanaga wema!! Tujenge mazingira ya kuwasaidia watoto wetu kabla hawajapata matatizo. Mama Boss pole kwa wema uloufanya.
Wema gani kumuuza mwenzie ndio wema
daa yaan mtot wangu anipelekee kwa yatima akalelew duuu
Sasa wew mdogo wangu unamtoto mdogo bana unaenda kufanya kazi za ndani na mtoto wakat mama ako mzazi yupo na bibi yako acheni jaman kurubuniwa na wanaume mhhh
Ukute mtoto kazaa hapo na mume wa boss
Maan hapo kasem mtoto kazaa hapo hapo kazin
Ooh mungu wangu jamani kwakweli watoto wetu huwa wanapitia shida tafadhali geah msaidie huyu binti apate mwanae alafu utupe mregesho utuonyeshe na huyo boss akamatwe, kwann huyu boss kamfanya hivi jamani mungu wangu huyu binti akapimwe ajulikane hali yake.
Huyo dada angechapwa kofi moja tu wala asingeendelea kunyanyua domo lake na angenyoosha maneno mapema wapi kampeleka mtoto. Gea please fatilia mpka mwisho ampate mwanae..na Picha ya huyo kigaganizi.
Marejesho please
Huyo boss akamatwe.
Pole sana
Huyo mwanamke afungwe atafutwe
Uyo mama ni mwizi wa mtoto. Muwe MACHOO SANA
Allah tunaomba mwisho mwema
Allahumma amiin
AMIIN..hakika hali ya cc binaadam ni mbayaa sanaa hatuna utu wala hatuna hofu ya Allah
Maelezo mengi nyoosha maneno mtt yuko wapi kuna wamama makatili humu