Mungu wa huruma ampokee kijana huyu mbinguni. Ageuze mkono wa huruma kwa familia hii. Yaani unampiga mtu risasi kisha anakata majani ya mg'ombe? Kweli? Hii nchi inahitaji viongozi. Huu mchezo umeenda mbali mno. Watanzania tuamke. Tumelala mnoooo. Tuamke. Hili taifa ni letu sote sio la wageni wanakuja kuvuna hewa ya ukaa. Wazee wetu wametunza hii hifadhi kwa uaminifu mkubwa. Iweje leo watu wauwawe huko? Ni muda muafaka sasa kila mtu ajitambue. Tumeonewa kiasi cha kutosha. Octaviani Temba pumzika kwa Amani. Daima watazame watoto wako uliowaacha wangali wadogo mno.
Marehem hana haki 2muachie Mungu
Mungu wa huruma ampokee kijana huyu mbinguni. Ageuze mkono wa huruma kwa familia hii. Yaani unampiga mtu risasi kisha anakata majani ya mg'ombe? Kweli? Hii nchi inahitaji viongozi. Huu mchezo umeenda mbali mno. Watanzania tuamke. Tumelala mnoooo. Tuamke. Hili taifa ni letu sote sio la wageni wanakuja kuvuna hewa ya ukaa. Wazee wetu wametunza hii hifadhi kwa uaminifu mkubwa. Iweje leo watu wauwawe huko? Ni muda muafaka sasa kila mtu ajitambue. Tumeonewa kiasi cha kutosha. Octaviani Temba pumzika kwa Amani. Daima watazame watoto wako uliowaacha wangali wadogo mno.
Sio arusha ni moshi