Kweli hekima ni muhimu ukimuona MUNGU .huwezi kusema vyote .watu hawataamini watafukuru .kuna pastor hutokea pahali pengine kama phillip .MUNGU humtumia zaidi kwa kimiujiza wala haelezi zaidi sababu ya unbelief za watu .nakuelewa
Is it your story to tell? kama jacob faught with God,what makes it impossible for one to see God? especially now that jesus has made it possible 🤔 Many have been taken to heaven and hell too.They've seen God and Lucifer pia so let Him testify what he saw, how you take it is totally upto you🤗
Hilo la kumwona Mungu! Umetudanganya! Kama Musa alikaa sana mlimani na hakumwona mungu! Watu akina Elia au yakobo hawakumwona! Wewe ndo umwone kweli? Hapana! Wala kwenda mawinguni hujaenda! Hio ndoto ilikudanganya!
Lakumuona mungu hapo dogo unatydanganya uwezi ukamuona mungu ukaishi Musa tu alipandiswa mlima sinai wingu likashuka ili asione uso wa mungu na mungu alimwambia ukiniona uso wangu hutaishi dah jaman samahanini Lakin niuelewa wangu tu
Wewe kuwa na adabu na MTU anayeitwa prophet kitu amekibeba cha kiungu ambacho hakionekani Kwa macho so usione ujana na vile anaongea ukamchukulia powa watu kama hawa Wana ipande WA pili hutatamani kuona co jifunze kuwaheshimu watumish WA Mungu hivyo ndivyo anavyongea ndo alivyo ni Baba yangu wa kiroho na tunamheshimu Sana Yuko very simple na upendo sana
Takbiriiiiii tangu nimepata akili sijawahi kumsikia mtumishi wa kweli km huyu nikweli Mungu 1 tu hakuzaliwa na hafanani na umbo lolote hapa duniani yaani sisi tunavyo muheshimu Muhammad ndo wao wanavyo muabudu lssa ila kwetu lssa ni nabii tu Allah Akbar
Duh we jamaaa umezidi umemuona mungu iyo mitume wenyewe hawakumuona ungemuona wewe usidanganye watu wewe ulioteshwa na majini uko sasa unadanganya watu tushushe tumefika dunia hii watu mnajitoa ufahamu ee unaona vitu va mungu kama unaenda dukani usitukufurie hapa
Muulize nabii kama hakuwa na mwili wakuhisi ule upepo mkali alipataje miguu ya kutembea alivyo ambiwa come,na pia ulimi wakuonja iyo sampuli ya asali.?
Nabii naomba umsaidie rwanda magere kirohoo yule jamaa kamrudia mungu lakini sehem anayoabudu sabado awanaga nguvu sana kwa maoni yangu lakin hila naimani akija kwenye makanisa ya kilolole atakuwa imara zaid
Hahaha we jamaa unajua kukufuru kwa hiyo malaika ni blonde hahaha ni mzungu haa 😂 😅 😆 kwanza malaika hana jinsia usitudanganye si mwanamke wala si mwqnamme hali wala hanywi dah wadanganye awo awo usikufuru siwezi sikiliza hii naona namie nakufuru sorry davista 👎
Bora uongee kila kitu Cha kutia nguvu hata kama ni kwa watu wawili kunjanza imani zao,kwa sabbu hata sasa hivi unavyoongea wengi wanokuona muongo TU ILA wengine twafirhia kukuskinza
People here are so sickening I’m having a feeling nobody learn from any of this story, y’all have hear many stories but y’all having a hard time believing him every his saying is supported by previous stories of many people from this Chanel
Prophet MUNGU akubariki sana tuombee neema na amani ya MUNGU itutawale milele na milele ndani yetu..
Kweli hekima ni muhimu ukimuona MUNGU .huwezi kusema vyote .watu hawataamini watafukuru .kuna pastor hutokea pahali pengine kama phillip .MUNGU humtumia zaidi kwa kimiujiza wala haelezi zaidi sababu ya unbelief za watu .nakuelewa
Twende binguni kwa jina la yesu
Eti kamuona Mungu jaman🤣🤣🤣🤣 hapo c kweli jaman Musa mwenyewe alitaka kumuona Mungu lakini ilishindikana loooh dunia ina mengi hii jaman🤔
Musa alikua kwa mwili sio roho.hiyo ndio tofauti
Is it your story to tell? kama jacob faught with God,what makes it impossible for one to see God? especially now that jesus has made it possible 🤔 Many have been taken to heaven and hell too.They've seen God and Lucifer pia so let Him testify what he saw, how you take it is totally upto you🤗
Unaweza kumuona sasa sababu ya neema ilioko katika damu ya YESU .ROHO MTAKATIFU pia anatu shield .tunaona kwa macho ya kiroho LIVE kwani MUNGU NI ROHO
Hilo la kumwona Mungu! Umetudanganya! Kama Musa alikaa sana mlimani na hakumwona mungu! Watu akina Elia au yakobo hawakumwona! Wewe ndo umwone kweli? Hapana! Wala kwenda mawinguni hujaenda! Hio ndoto ilikudanganya!
Kabisa mimwenyew siamin
Kweli muongo bana duuh! Hawa ndio wanaotangaza ufalme wa lucifer
ndan kuzuri,prophet nae mzuri kweli Mungu ni mzuri
Yesu asifiwe
Story nzuri sana ✨
ni nzuri sana na kuhusu malaika wenye mbao mfano upo hapa duniani pia angalia maisha ya sisimizi, mchwa, nyuki utajifunza mengi
Eeeh mwenyezi mungu nisaidie nami nitoke kwenye mateso ya kidunia
Lakumuona mungu hapo dogo unatydanganya uwezi ukamuona mungu ukaishi Musa tu alipandiswa mlima sinai wingu likashuka ili asione uso wa mungu na mungu alimwambia ukiniona uso wangu hutaishi dah jaman samahanini Lakin niuelewa wangu tu
Amina, tusiosoma Bible sis tutajuta maan kila kitu tunakubali
Stor ya yule shekh mbn atuiyoni
Mr facts unafikiri ukiwambia ya kwuamba unachukliwa msukule utangojea? lazima utafute mungu kwua unyenyekevu
Alhamdulillah w kwanzaaa😂😂💃💃🇪🇭🇪🇭
Hongera wangu
@@philipoluzege3200 Asante wngu❤❤❤❤❤
Story nzuri hii SEMA mashauz ya prophet mh yanaharibu mambo
Wewe kuwa na adabu na MTU anayeitwa prophet kitu amekibeba cha kiungu ambacho hakionekani Kwa macho so usione ujana na vile anaongea ukamchukulia powa watu kama hawa Wana ipande WA pili hutatamani kuona co jifunze kuwaheshimu watumish WA Mungu hivyo ndivyo anavyongea ndo alivyo ni Baba yangu wa kiroho na tunamheshimu Sana Yuko very simple na upendo sana
@@glorynguma3593 kwaiy untk kusemaje ,km adabu ni kitu Cha maan San shika yako sisomi comments ndefu mim muda huo Sina😏
@@deelissa2746 unapanic nn sasa😂😂😂😂
@@glorynguma3593 sin huo muda😏
@@deelissa2746 muda unao bi Shoga ndo maana bado Una reply 😂😂😂🔥🔥🔥
Nakuelewa sana
Takbiriiiiii tangu nimepata akili sijawahi kumsikia mtumishi wa kweli km huyu nikweli Mungu 1 tu hakuzaliwa na hafanani na umbo lolote hapa duniani yaani sisi tunavyo muheshimu Muhammad ndo wao wanavyo muabudu lssa ila kwetu lssa ni nabii tu Allah Akbar
Hichi ni kipande cha pili ila bado sijamwelewa hata kidogo,
Bado ZABRONI ni namaba moja kwangu
Rwanda Magere ma Mnyeshani no.2
Jah bls u bro
M mungu atakufungue akili mrudi kwenyenjia ya haki.
Il chek ya jamaaa ni hatar 🤩🤩🤩
Baba mchungaji anaswaga sana
Nampendanga davistar sana sasa hapa nachanganyikiwa 🙆🙆🙆I see twins 🥰confused🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Davister hebu tuache bwana na Nguru wa hadhi yako....yaan unawaza hadi kuchukua dhahabu ya YESU🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Tukumbuke ata mnyeshani nae alisema alipelekwa mbinguni na furkum😏😅
Hahahaha..huyo alienda angani tu.....kukutana na Jini....huyu naye mmmmmh sisemi kitu
Duu chezea kuregeshwaa msukulee yani ulijikubalii ukaamua kumtumikia Mungu😂😂😂😂kila kitu ukaachaa
Duh we jamaaa umezidi umemuona mungu iyo mitume wenyewe hawakumuona ungemuona wewe usidanganye watu wewe ulioteshwa na majini uko sasa unadanganya watu tushushe tumefika dunia hii watu mnajitoa ufahamu ee unaona vitu va mungu kama unaenda dukani usitukufurie hapa
Prophet tuombe tupate pesa nina shida nazo sana😜😜
*Tupo pamoja mtumishi naombaa namba zako nimekuelewaa.. 😘😘😘😘❤️❤️❤️*
zuu uchelewi
😂😂😂Ushambwaga Sheby Alawi au unaunga mnyororo 😁😁
Anhtji maomb apew nmb
tuliesikia "takaanza kujuan..." tukutane hapa hahahahaaaaa
SANA
Watu wangu njooon mambo tayar😘😘🇪🇭🇪🇭
Nishakujaaaaaaa
@@shamilakalinga437 Nmefurai kukuona wngu❤❤❤❤
@@shamilakalinga437 za mdaa huuu wngu❤❤
Nimefika
@@fatmamucha4419 Nmefurai kukuona wngu❤❤❤❤❤❤
Nangojea hizo pesa za kununua vinjwaje atakayezipata anijulishe🤸♀️🤸♀️🤣
Tatizo anaonekana anajiskia Sana anaongea kwa madoido
Davidstar umuache atupe story. Maulizo imepita kiasi. Umemkata-kata saaana ...
😂😂😂 mpaka davista anaona aybu
Manyangemaa njooni kuna bishoo mwenzetu alifika mbinguni akamuona mungu 😂😂😂😂 jamanii munguu kabisaa yesu mwenyewe akumuona mungu ila wabongo wamemuona
😂😂😂
Babaa usichekee cc ndio wabongo
Itakuwa ulikunywa Tramadol zaidi ya moja, hata mimi ilinitokea ,yani hata mkono uwezi nyanyua,
Muulize nabii kama hakuwa na mwili wakuhisi ule upepo mkali alipataje miguu ya kutembea alivyo ambiwa come,na pia ulimi wakuonja iyo sampuli ya asali.?
Kaja kuvujisha mtihani wa mbiguni😂😂😂 ety alimuona mungu🤪🤪
Yani kama padri wanavyovaa
Hata wazungu wanasema Malaika weusi wapo na wao wanashuhudia walioenda mbiguni wanatoa ushuhuda mkubwa sanaa
DAVISTA STOR NZUR ILA UNAICHELEWESHA SANA IA UPROAD MAPEMA MTUMISHI YUPO SAHIHI NA MI NABARIKIWA KUMSIKILIZA SANA
Subhanaallah
Story sio ya kweli mambo ya mungu tena subhanallah
Ila kwenye kumuona Mungu mh hapana
Nabii naomba umsaidie rwanda magere kirohoo yule jamaa kamrudia mungu lakini sehem anayoabudu sabado awanaga nguvu sana kwa maoni yangu lakin hila naimani akija kwenye makanisa ya kilolole atakuwa imara zaid
Dunia iko ukingoni kweli
Huyu jamaa anonekana ni mtumish wa mungu wa kweli
Ila huyu Nabii mdebwedo sanaa khaa! amelegea katika kuongea had kero
huyu na Aposto Maziwa ni ndugu, wana fix hata shetani anawashangaaaa..
fimbo ya bm maziwa
2
Pamoja mr. Dm
Nasubili kwenye kipengele alicho muona mungu cjui aliongea nini na mungu mwenzetu alivo bahatika, nataka kujua alitumiaje bahati yake iyo
Hakuna wa kumuona Mungu akaishi
Hahaha we jamaa unajua kukufuru kwa hiyo malaika ni blonde hahaha ni mzungu haa 😂 😅 😆 kwanza malaika hana jinsia usitudanganye si mwanamke wala si mwqnamme hali wala hanywi dah wadanganye awo awo usikufuru siwezi sikiliza hii naona namie nakufuru sorry davista 👎
Acha kudanganya na kupoteza watu , Malaika hawana jinsia sio wakiume wala wakike , mbona wakristo mnadanganywa Sana 😂
Wazee Wa energy tupo hapa twawait
Mambos safi
Pamoja
Huu ni msiba
Alafu davistar bwana ety ucludi kitandani kwanza baki mbinguni😊😊😊
Mhhhh
Tahadhalin namajabu Yama Shetan/ Majin ..... Be careful everything is in written in scriptures ...Majin Yako nambawa piya wanapenda Zahabu saana ..
wa 6
Together 💪🇹🇿💪🔥 dm
Pa energy hapo jaman davista msinikose
Team davister njooni sasa
Ndan ❤❤💃💃💃
Ila Davistar bana unavituko🤣🤣🤣🤣
Uyu kijana nimuongo sana haoni ata aybu wewe uyakua ulienda gamboshi yakongo acha kutumalizia mb 😂
Mpe nafasi ajieleze....mwachie awaelimishe walioamini Mola ...usimkashifu
Mikoa mitano inayoongoza kwa wachawi wengi singida ipo.
mchungaj young kma golden boy
bandika bandua hoyeeee kujeni mambo tayari msije chelewa kwenda mbinguni
Nakuombea upate ctor za kibaalia, kimkakat, ivyo
Leo nimekuwa wa 9
Alienda kuzimu😷
Tuwekee za kutisha
Tutaota😀😀
🙉🙉🙉🙉🙋♀️
Natamani kuhishi karibu na huyo mtumishi wamuli ili neweze kujifunza mambo mengi ya mungu 🙏🙏🇨🇩 nita kuja TZ
Bora uongee kila kitu Cha kutia nguvu hata kama ni kwa watu wawili kunjanza imani zao,kwa sabbu hata sasa hivi unavyoongea wengi wanokuona muongo TU ILA wengine twafirhia kukuskinza
D hiyo kamba sikubaliani nayo
Yani davista unawaza dhahabu 😂😂😂😂tu
😂😂😂😂😂
People here are so sickening I’m having a feeling nobody learn from any of this story, y’all have hear many stories but y’all having a hard time believing him every his saying is supported by previous stories of many people from this Chanel