the way ur singing i cant stop my tears walah😢😢😢😢 mungu ayafute na machozi yangu Insh'Allah kama alivyofuta yako madam flora🙏🙏🙏 kila jambo na wakati wake tuzidi kumuomba mungu Insh'Allah 😢😢😢😢🙏🙏🙏🙏
Nice Madam Flora. Congratulation kwa kufunga ndoa. Binadamu always wao ni kuongea 2 ila ukwel wa maisha yako anaujua Mungu na wewe mwenyewe. Keep it up na nimebarikiwa sana na nyimbo ulizoimba kwenye harusi yako.
wanawake tutapendana lini.walijua wanaishi pamoja hatujui waliishi je huko ndani.hata kama alizaa nje huwezi jua nini kilimsukuma juzaa nje ya ndoa yake.angekua mwanaume hapo anaoa ndoa ya pili ni sawa tuu na kuna wanawake wangeshabikia kibao.gooo madame flora.umepata faraja ya moyo wako.MUNGU akutangulie katika maisha yako mapya.
Najua hakuna mkamilifu chini ya jua lakini si kwa Inafiki huu..msitudangaye mnayajua maandiko Frola na Pastor wako hata unaimba kwa hisia,,bora ungelaa kimya ukafunga ndoa kimya kimya eti you ar happy!.ww ni mwanamke gani usiejua kuvumilia ni kuitamamia familia yako..Umenishangaza,,umeniaikitisha na unatia aibu..Mbasha alikuomba msamaha mpka akawa analia hovyo ila ukamuona yy gar taka!.na aliomba msamaha kwa kesi uliombambikia..eeh eti Frorance!makubwa
hongera flora. nashangaa watu wanaokuukumu kama vil wao ndo watakatifu, kumbuka hata biblia imeandika usimhukum mwenzio ucje kuhukumiwa, kama alitenda dhambi una uhakika gani kama alitub dhambi zake. we nan hadi umuhukumu, kazi ya hukumu mwachien aliemuumba.
pole dada nyimbo yako ina mahana kumbwa moyoni mwako ata kupiti kwa mahana aombae msamaha usamehewa na una jutia moyoni ukweli mnapedana sana wewe na mbayia ila shetani aliamwa kuvurunga doa yoko ya kwaza mungu ata kupa ujasiri na mbayia unaijua siri ya yote mungu die akim wenu amina ila aipedezi machoni mwa mungu atakae kuowa mke alie wachua na kufunga doa basi anazini na atakae oa mke alie wachua ana zini yote wayajua doa yako ni mangungu bele ya mungu bali machoni mwa wanadam ni sawa
Hana tofauti na Lucifa kwakuwa ameenda kinyume namaandiko usimuaache mume wa Jana wacko,na amelaaniwa yeye aolewaye na mume mwingine wakati wa kwanza yuhai hii ndoa Ni ya kizinzi maarusi watatumikia tanuli la moto Hata wewe uliemuoa utaachwa kama alivo achwa mwenzio usage auaye kwa upaanga naye atakuwa kwa upanga mtumishi gani wa mungu unafanya mambo ya ajabu mnafiki mkubwa unamdhihaki mungu!bora uache utumishi
+Keifa Tuke ndoa nn basi,ndoa n makubaliano ya mume na mke ina maana mnapokubaliana kuoana kwamba mnafahamiana vzr, kwa wakristo wanajua ndoa n kifungo cha maisha ndo maana inahitajka busara sana ktk hil maana ukipotea kuoa au kuolewa ndo maisha yk yt... Kuna msemo wanasema kosea vyote ila sio mke au mume
+Keifa Tuke n kweli lkn...kabla yakuoa au kuolewa kuna taratibu zakufuata .... Ni lazma umjue mtu vzr japo huwez kujua yt but kwa machache unaweza ukapata mwanga wakujua n mtu wa aina gan... Kabla ya stage ya uchumba n lazima uanze urafik na katka urafik nadhan hapo ndo pakujuana vzr kulko katka uchumba sababu mnapokuwa marafk sio rahis kufchana siri zenu tofaut na uchumba...km kwel ukiptia stage zote huwez kuona tofaut ya mtu mkiwa katk ndoa
Wakuache bidada fanya vile ambavyo ww wapenda achan na maneno ya binadamu kwn hawakos ya kusema ni ww uliyeamua kutoka kweny ya kwanz na kuingia kwngne hatuwez jua kwan sir ua mtung aijuae kata mm kam mm nakupa hongera sana kwa kufunga ndoa penda sana madam flora
Wanadamu tuangalie jinsi ya kuishi na kutenda malengo ya mwenyezi mungu sio eti watu wanafurahia , hakika dada ameamua ila kwa mwenyezi mungu haimo tabia hili kabisa tusidanganyane ,kuachana ipo ila bibilia ina sema ingelikua sawa mukirudiana ,Mbasha angali hai kwa hivyo angegoja kwanza ,yakin ni uamuzi wake na mwenye maamuzi wa mwisho ni mola sina mengi ila kwangu ni malimwengu tu
Hiyo ni ndoa fake, ukristo hauna ndoa mara mbili mpaka mmoja wenu afe. Yesu alisema "amini nawambia mtu hatamwacha mkewe isipokua kwa habari ya uasherati, naye atakayemwoa yule aliyeachwa azini"
Wewe umejuaje kama hapakua na uzinzi? Na kama hivyo ukimchoka mkeo unazini ili upate kibari cha kumwacha...naongea haya maana najua ndoa za kikristo zimekosa reflection ya hayo unayoyasema.....ni shida na mateso matupu. Naomba niwaambie ukweli kabla na baada ya ndoa kinachokosekana ni knowledge.....understanding juu ya habari ya ndoa. Sasa mkiingia kwenye ndoa mnaanza kuishi maisha imaginary ambayo ndio chanzo cha matatizo.......jifunzeni kwanza kabla ya ndoa.
Ongera sana frola furahaa ya moyo ndio mambo yote.Kila jambo na wakati wake.Maisha yako yakiwa na rahaa au mateso siku zote yatabaki kuwa ya kwako.mungu akupiganie.
Mm binafsi nakupa hongeraa saanaa wala usimsikilize mtu yeyote Kula honey moon yako kwa raha zako mdogo wangu we we songa mbeleee achana na kelele za madebe kwani hiyo anayekupigia domo siku ungemwomba akuazime mume wake kwa siku moja je angekuwa tayariii au angeona unamtukana Sasa kwa nini uendelee kuishi bila mume ikiwa ndoa imeharibika na hatujuwi yaliyokukuta walitaka ufe kwa streets achana nao mungu Ndio mwenye mamlaka ya kukuhukumuuuu
frola mbasha acha kumuabisha mungu,, mungu so wa sport sport kama hivyo, na wewe mchungaji , uliyefungisha hii harusi mungu anakuona ujinga wako wote ulioufanya,,
Guys no one is perfect under the sun!! ila yampasa kuomba toba kwa Mungu maana atawasamehe wasiojua walitendalo ila c wale waijuayo kweli na wakapuuza!! nimesikitika na kuumia.....
Watu waweza kumponda Madam Flora lakini Jamhuri(Nchi) itamlinda na Mungu atamlinda vilevile.Nadhani madam Flora sio wa kwanza na hata kuwa wa mwisho kufanya kitendo hiki...Kuna vitu vinafanyika nyuma ya pazia hatuwezi kuona kwa macho ya nyama tunabaki kulalamika na kulaumu..Ikiwa changamoto za ndoa ya Flora "ya kwanza" zilijulikana publically tangu mwanzo ni nani aliyepiga mbio ya imani kwa kuiombea ndoa yake isivunjike? Kuna jambo la kujifunza hapa!!!!! UPENDO!!!!!!
Lakini hata kama anasema hasikilizi maneno ya watu, ni dini gan ya kikristo inayoruhusu mtu kufunga ndoa kabla mwenzake hajafanya, Mungu anisamehe kwa kuhukumu ila duh!!!!
Ni ngumu but ndio imeshakuwa hvyo..pole Mbasha.biblia inasema ndoa inavunjika Kwa habari ya uasherati.Mbacha alifanya uasherati..na Flora alifanya uasherati..hata km wangeendealea..Mungu haoni ndoa yao.anaona uasherati.Mungu awasamehe wote na kuwapa haja za mioyo yao.Ndugu mawazo ya Mungu sii ya mwanadamu.
Kwa mara ya kwanza ninashuhudia waliostahili kuliinua jina la bwana leo wamelitia aibu kanisa.Ninamshangaa sana huyu mpendwa anayejifanya kuwa mwimbaji wa injili akienda kinyume na kiapo alichoapa mbele ya Mungu na kanisa lakini zaidi ninamshangaa huyo mchungaji ambaye kalitia aibu kanisa kwa kufungisha ndoa mke wa mtu. Mungu anawaona
Nimesikia eti bora kuolewa kuliko kuzini inje mwenye hila ana hila tu alishindwa kusameh na badae akazaa inje hata huko alipo enda sioni kizuizi cha kuchepuka kikubwa tumuombee mungu ampe msimamo wa ndoa
unajua nini siku Daudi akigombana na flora atasikia hivi usiniletee ujinga nitakuacha kama nilivyo mbasha nanikikuacha tu naolewa tena ,tena najutia kuolewa na wewe pimbi,na huyu naye flora akimzingua utasikia Mimi siyo mbasha nakuchafua sura alafu namwoa mwingine tena nimejua kwanin mmeshindwana na mbasha kwa hyo kukubali kuolewa Mara ya pili ni kuriziki maisha.
Nimetetemeka jamani Sijawahi kuona ila niliwahi kusikia! Ndowa iliofungwa kikristo ikirudiliwa na wahusika mmoja wao akiwa bado yupo!OOh kipenzi changu Flora.Mimi nimesikitika wala sija furahi.Wachungaji Mnatupeleka wapi jamani?au mimi ni mdogo katka maandiko? Anyway kila la heri.Mbalikiwe.kwani Mungu ndiye anayejuwa zaidi kuhusu ukweli wa maisha yetu.
Yote tisa, lakini hakuna kitu kinaniudhi kama kuona hizi shela zikivaliwa na wazee wenye watoto. Wachieni bikira hizo tuache kumdhihaki Mungu. Mungu hadhihakiwi.
Herieth Bangi kwa uelewa wangu shela zimeanza kutumika mwaka 1840 baasa ya Queen Victoria wa Uingereza kuvaa shela kwa mara ya kwanza kwenye ndoa akiwa ana funga ndoa na Albert of Saxe-Coburg, ndipo sehemu kubwa ya ulimwengu wakaanza ma bibi harusi wakaanza tumia gauni jeupe, kuvaa shela sio taratibu Mungu aliweka ila ni mwanadamu tu, na si kwamba ndoa hazikuwepo zilikuwepo hata kabla ya mwaka 1840...
Dada imetia aibu wanawake woote wameumwa kuvumilia na kuziatamia familia zao ila shost we hujui unajua kubadili kama nguo..sawa basi kama unaona uvumilivu wa ndoa huuwez usiolewe we kua chama la wana tujue Moja kuliko kujidai unamjua Mungu ilhali yoote ulioyafanya hayapo ktk Biblia takatifu..Umekuja na maandiko yako,,muombe Mungu toba na Mbasha maana!wat goes around camz around...Umechefua
jaman nipo naangaika natafuta wapi maandiko yanasema wakristo kufunga ndoa mara mbili tena ya kikristo. kweli mnaipeleka wapi injili? yaani huyo mchngaji cjui kwakweli?
unajua nimeangalia hii harusi zaidi ya mara 3 nimegundua kuwa huyu dada kuachana na mbasha sio ujinga kwani hakuna mtu anapalilia magugu shamba na kulima kupanda mbegu akatia mbolea na kuhudumia vzr shamba lake eti wakati wa mavuno aseme ataki kuvuna inakuja kweli mm nakuombea maisha mema tu makazi mapya
huyu dada asilaumiwe cc hatuwez jua mambo ya ndan huenda jamaaa alikua @/&$@ sasa dada ameshinda.mwili wenyewe huu wa nyama huenda alichoka peke yake asingeweza.
Nyie mnasema tu mpaka mtu anaamua kuiacha ndoa yake na kwenda kuolewa kwingine ujue kuna shida. Msiukumu jamani mambo ya ndani ya ndoa anayajua mke mpaka kasema basi ujue kachoka. Mwache aangalie furaha ya moyo wake.
yaan anatoka Kwa Mme sekunde mbili anafunga ndoa na mwingine Mimi hapa sina hata mpenzi miaka mingi lol! Mungu wangu unapozuru wengine usinipite sasa!Amina
hongera sanaa flora hakuna ajuayee maumivu yako wanaudhi sanaa hawa viumbe hata umbebe mgongoni atanyoosha kidole kama kabebwa maumivu ya mapenzi nayajua hongera ndoa yenu idumu daima kukosea ndio kujifunza
mungu anakuona flora,ndoa ni moja tu kwetu ss wakristo, hii ya pili umeitoa wapi?na huyo pastor ni feki wa kwanza,hata kanisa lake siwez ingia,nisije nikatoka na mapepo.
Flora ujui maandiko kama ungejua maandiko ungefunga ndoa tena ndoa ni maramoja tu alafu hata pastor aliyekufungisha ndoa huyo pia ajui maandiko na kama anafanya hivyo amefanya kwa mjibu wa sheria ya nchi siosheria ya MUNGU
Big congratulations to you flora ...may God bring happiness en joy in ur life ,don't listen to what people say but focus in your life coz de only person who can judge you is the Almighty God also he understands you well than anyone .wish you happy beginning of your new marriage😘😘
Hongera sn Flora 👆🏼, na mungu anakujalia wanaume handsome. Akujalie pia wawe na mapenzi ya dhati. Maana wanaume wengi Ni pretenders hasa ukiwa na dolali watakukiimbiza km nyuki.
Katika dini yetu ya kiislam hicho ni kitu cha kawaida ongera madame frola ila pole sana mbasha mungu atakupa mke mwema na usiuzunike sana uwezi jua mungu kakuepushia nn mbele yako.
Nadia Hussein. Kwa sisi Wakristo, Ndoa unatakiwa ubaki na mumeo hadi kifo kitakapo watenganisha. Hii ni kwa sababu Ndoa si Mkataba kati ya Mume na Mke. Mkataba unaweza ukaubadilisha au kuuvunja. Ndoa Takatifu ya Kikristo ni Agano kati ya Mume na Mke. Agano halibadilishwi wala kuvunjwa na mwanadamu - hakuna mwanadamu awaye yote mwenye mamlaka ya kuvunja Agano la Ndoa Takatifu iliyofungwa kihalali na kwa baraka zote mbele ya Mungu na mbele ya Kanisa/Wakristo. Kwa maana anayewaunganisha Mume na Mke kwenye Agano la Ndoa Takatifu siyo Afisa wa Serikali wala Mchungaji au Askofu Mkuu, bali ni Mungu mwenyewe. Alichokiunganisha Mungu, mwanadamu hana mamlaka ya kukitenganisha. Ni Mwanandoa aliyefiwa na mwenzi wake tu ndiye anaruhusiwa kufunga ndoa tena kama atataka.
lakn haya c maajab haya!! lmani yangu kaka mbasha we unabusara kubwa sana huenda kuna moto umekwepeshwa nao na pengne baada ya ktambo kdg hutojutia na furaha itarejea tena
the way ur singing i cant stop my tears walah😢😢😢😢 mungu ayafute na machozi yangu Insh'Allah kama alivyofuta yako madam flora🙏🙏🙏 kila jambo na wakati wake tuzidi kumuomba mungu Insh'Allah 😢😢😢😢🙏🙏🙏🙏
mbona kwenye harusi watu niwacheche sana
+said machaka watu ni wengi mno hujaangalia vizur tu
Nice Madam Flora. Congratulation kwa kufunga ndoa. Binadamu always wao ni kuongea 2 ila ukwel wa maisha yako anaujua Mungu na wewe mwenyewe. Keep it up na nimebarikiwa sana na nyimbo ulizoimba kwenye harusi yako.
hongera sana mungu akusaidie katika ndoa yako . umependeza maisha yako ndo muhimu zaidi kuliko midomo ya watu
hongera sana Flora mungu akusaidiye iyi ndoa idumu isiwe kama ya zamani na uwe na furaha
Saaafi saaana...
maneno yakitoka yana recordia for the world to retrieve in the future..
upo smart saana Florance..
me naona kama kajisumbu tu
Eeee
shameless girl ndoa ya beach ogopa mungu we kafir Subir hukumu yako we tapel
Utaolewa sana hii laana haita kuacha Salama una roho ya usingiziaji mwanamke Mungu anachukia kuachana ole wako hutafika mbali
wanawake tutapendana lini.walijua wanaishi pamoja hatujui waliishi je huko ndani.hata kama alizaa nje huwezi jua nini kilimsukuma juzaa nje ya ndoa yake.angekua mwanaume hapo anaoa ndoa ya pili ni sawa tuu na kuna wanawake wangeshabikia kibao.gooo madame flora.umepata faraja ya moyo wako.MUNGU akutangulie katika maisha yako mapya.
siyo vizuri sister labda urudi ukasome biblia vzr umeudharirisha ukristo
Hongera sana dada wangap wametoa mimba kabla hawajaolewa itakua wew kuzaa nche ya ndoa kawaida hao wakamilifu waje mbele ambao hawajawai kufanya hayo
naesoma comments za watu akicheka kama mimi gonga like hapa
Jac XY hahaahahah halloooooooo
Najua hakuna mkamilifu chini ya jua lakini si kwa Inafiki huu..msitudangaye mnayajua maandiko Frola na Pastor wako hata unaimba kwa hisia,,bora ungelaa kimya ukafunga ndoa kimya kimya eti you ar happy!.ww ni mwanamke gani usiejua kuvumilia ni kuitamamia familia yako..Umenishangaza,,umeniaikitisha na unatia aibu..Mbasha alikuomba msamaha mpka akawa analia hovyo ila ukamuona yy gar taka!.na aliomba msamaha kwa kesi uliombambikia..eeh eti Frorance!makubwa
NELLY SINGANO umesema wewe ndoa n uvumilivu
Ndio ndoa ni uvumilivu..kama hakiweza kuvumilia kwa Mbasha huku kwa Daudi ataweza!?
Jac XY mm apaa hadi mbavu zinaniuma
Jamani nimerudi tena happy 5 years of anniversary ❤ Mungu ni mwema sana
hongera flora. nashangaa watu wanaokuukumu kama vil wao ndo watakatifu, kumbuka hata biblia imeandika usimhukum mwenzio ucje kuhukumiwa, kama alitenda dhambi una uhakika gani kama alitub dhambi zake. we nan hadi umuhukumu, kazi ya hukumu mwachien aliemuumba.
pole dada nyimbo yako ina mahana kumbwa moyoni mwako ata kupiti kwa mahana aombae msamaha usamehewa na una jutia moyoni ukweli mnapedana sana wewe na mbayia ila shetani aliamwa kuvurunga doa yoko ya kwaza mungu ata kupa ujasiri na mbayia unaijua siri ya yote mungu die akim wenu amina ila aipedezi machoni mwa mungu atakae kuowa mke alie wachua na kufunga doa basi anazini na atakae oa mke alie wachua ana zini yote wayajua doa yako ni mangungu bele ya mungu bali machoni mwa wanadam ni sawa
naona ile sehemu ya kusema " mpaka kifo kitutenganishe " wameiruka
hahahaha
duuuuuh duuuuuh duuuuuh duuuuuh duuuuuh duuuuuh !!pepo la ngono
hahahaha kweli aisee, jamaa ameruka hicho kifungu akatumia tafsida :-)
gidion dulle hahaha
umetisha
Hongera dada ang
Hongera kipenz wanakuhukumu utafikiri hawana makosa anayehukumu ni Mungu pekee nakupenda
beautiful voice congratulation Ms Flora Almighty bless your marriage who are we to judge
Which God habadilishangi neno lake mbinguni haendi ng'o
Hana tofauti na Lucifa kwakuwa ameenda kinyume namaandiko usimuaache mume wa Jana wacko,na amelaaniwa yeye aolewaye na mume mwingine wakati wa kwanza yuhai hii ndoa Ni ya kizinzi maarusi watatumikia tanuli la moto
Hata wewe uliemuoa utaachwa kama alivo achwa mwenzio usage auaye kwa upaanga naye atakuwa kwa upanga mtumishi gani wa mungu unafanya mambo ya ajabu mnafiki mkubwa unamdhihaki mungu!bora uache utumishi
Biblia Yangu inanambia mwanamke akiolewa haruhusiw kuolewa tena except mumewe awe amekufa,kwan atakaye muoa huyo mwanamke azini nae...mathayo 5..... Mungu anajua lkn
octavian hellen amen
octavian hellen kama uateswa na mume utafanyaje?
+Keifa Tuke ndoa nn basi,ndoa n makubaliano ya mume na mke ina maana mnapokubaliana kuoana kwamba mnafahamiana vzr, kwa wakristo wanajua ndoa n kifungo cha maisha ndo maana inahitajka busara sana ktk hil maana ukipotea kuoa au kuolewa ndo maisha yk yt... Kuna msemo wanasema kosea vyote ila sio mke au mume
octavian hellen kumbuka mwanadam undani wake hautoujua mpaka uishi naye
+Keifa Tuke n kweli lkn...kabla yakuoa au kuolewa kuna taratibu zakufuata .... Ni lazma umjue mtu vzr japo huwez kujua yt but kwa machache unaweza ukapata mwanga wakujua n mtu wa aina gan... Kabla ya stage ya uchumba n lazima uanze urafik na katka urafik nadhan hapo ndo pakujuana vzr kulko katka uchumba sababu mnapokuwa marafk sio rahis kufchana siri zenu tofaut na uchumba...km kwel ukiptia stage zote huwez kuona tofaut ya mtu mkiwa katk ndoa
Mungu aibariki ndoa Yako da Frora. wimbo huo was hapana usiku umeniguza Sana. Asante Sana
sawa unafanya utakavyo ili kuilinda amani ya nafsi yako na je kuhusu kuulinda uhusiano wako na Mungu Mungu akusamehe kwakulivunja agano La ndoa yako
mfupa umeshindwa na fisi wewe panya utauweza pole dauda
hh
hongera my mungu akubariki udumu ktk ndoa yako nakupenda sana,wew ni mwanamke wa mfano wa kuigwa safi sana
Wakuache bidada fanya vile ambavyo ww wapenda achan na maneno ya binadamu kwn hawakos ya kusema ni ww uliyeamua kutoka kweny ya kwanz na kuingia kwngne hatuwez jua kwan sir ua mtung aijuae kata mm kam mm nakupa hongera sana kwa kufunga ndoa penda sana madam flora
Wanadamu tuangalie jinsi ya kuishi na kutenda malengo ya mwenyezi mungu sio eti watu wanafurahia , hakika dada ameamua ila kwa mwenyezi mungu haimo tabia hili kabisa tusidanganyane ,kuachana ipo ila bibilia ina sema ingelikua sawa mukirudiana ,Mbasha angali hai kwa hivyo angegoja kwanza ,yakin ni uamuzi wake na mwenye maamuzi wa mwisho ni mola sina mengi ila kwangu ni malimwengu tu
Hiyo ni ndoa fake, ukristo hauna ndoa mara mbili mpaka mmoja wenu afe. Yesu alisema "amini nawambia mtu hatamwacha mkewe isipokua kwa habari ya uasherati, naye atakayemwoa yule aliyeachwa azini"
mmh
Sangole Machungi
amina
Amekataa kuzini ndio maana kaamua kuolewa mm nampongezatu dd huyo kwa uamuz,
Yes
Wewe umejuaje kama hapakua na uzinzi? Na kama hivyo ukimchoka mkeo unazini ili upate kibari cha kumwacha...naongea haya maana najua ndoa za kikristo zimekosa reflection ya hayo unayoyasema.....ni shida na mateso matupu. Naomba niwaambie ukweli kabla na baada ya ndoa kinachokosekana ni knowledge.....understanding juu ya habari ya ndoa. Sasa mkiingia kwenye ndoa mnaanza kuishi maisha imaginary ambayo ndio chanzo cha matatizo.......jifunzeni kwanza kabla ya ndoa.
Ww cyo mjinga mpk ukamuacha,hongera mwaya wanaume wazinzi tupa kule
Hongera mengine tusijurge mungu ndie ajuae nasi binaadamu
Frolah mungu anakuona
Mama Erick ila dunia simama mm nishuke,ckuwez dunia
mhhhhhhhhh hujafa haujaumbika ebuuuu tumwachieniii mungu ndo mtoa hukumu peke yake sio binadamu
Mama mshezi we we
Hongera saaana madame I wish u a happy life
Ongera sana frola furahaa ya moyo ndio mambo yote.Kila jambo na wakati wake.Maisha yako yakiwa na rahaa au mateso siku zote yatabaki kuwa ya kwako.mungu akupiganie.
Mungu ndie mtoa hukumu sio ss wanadamu jaman Mungu awatangulie ktk maisha yenu
Mm binafsi nakupa hongeraa saanaa wala usimsikilize mtu yeyote Kula honey moon yako kwa raha zako mdogo wangu we we songa mbeleee achana na kelele za madebe kwani hiyo anayekupigia domo siku ungemwomba akuazime mume wake kwa siku moja je angekuwa tayariii au angeona unamtukana Sasa kwa nini uendelee kuishi bila mume ikiwa ndoa imeharibika na hatujuwi yaliyokukuta walitaka ufe kwa streets achana nao mungu Ndio mwenye mamlaka ya kukuhukumuuuu
Faith Ngasoma Mi sisemi kitu maana sijui ulichokua unakipitia kweanye ndoa ya kwanza huenda ilikua madoa au ndoano
frola mbasha acha kumuabisha mungu,, mungu so wa sport sport kama hivyo, na wewe mchungaji , uliyefungisha hii harusi mungu anakuona ujinga wako wote ulioufanya,,
Hongera Flora kwa kukipata cheti chako kipya, chana na awa wengine wenye vyeti Feki Magufuli ameshawachanganya🌚
Huyo mchungaji anayefungisha ndoa ya pili alipaswa abadili dini awe muislam tu
Guys no one is perfect under the sun!! ila yampasa kuomba toba kwa Mungu maana atawasamehe wasiojua walitendalo ila c wale waijuayo kweli na wakapuuza!! nimesikitika na kuumia.....
Watu waweza kumponda Madam Flora lakini Jamhuri(Nchi) itamlinda na Mungu atamlinda vilevile.Nadhani madam Flora sio wa kwanza na hata kuwa wa mwisho kufanya kitendo hiki...Kuna vitu vinafanyika nyuma ya pazia hatuwezi kuona kwa macho ya nyama tunabaki kulalamika na kulaumu..Ikiwa changamoto za ndoa ya Flora "ya kwanza" zilijulikana publically tangu mwanzo ni nani aliyepiga mbio ya imani kwa kuiombea ndoa yake isivunjike? Kuna jambo la kujifunza hapa!!!!! UPENDO!!!!!!
Nelson Kato Haujuwi unachokiongea ww! Jamuhuri haina mbingu ya kumpeleka siku atakapokufa.
Nelson Kato tuna angalia maandiko yesu alisema nini nayeye nimkristo anajua vizuri xna kwanini aingie kwenye uzinifu? Duu aibu
hayo yalikuwa maoni yangu ya awali,Mungu anisamehe pale nilipokosea kimawazo..
Hongera sana.....Mwenyezi Mungu awe pamoja nanyi
David Achimpota
Flora, Mungu hadhihakiwi kiasi hicho.Umechagua njia isiyo sahihi.Bado Emma mumeo hajafa na Mungu anamtambua yeye kama mume wako.
duuuu!!!! usizungumze maana hata matendo yanazungumza!!!! kula maisha mama!!!
flora anajua kuchagua alaf warefu weupe mamaeeh 😘 daaah HONGERA SANA
kuzaa inje ya ndoa si kupenda kwa mtu msiukum kbl mungu ajaukum ni kweli niani aoni kundule wacha mungu atamuukum
Lakini hata kama anasema hasikilizi maneno ya watu, ni dini gan ya kikristo inayoruhusu mtu kufunga ndoa kabla mwenzake hajafanya, Mungu anisamehe kwa kuhukumu ila duh!!!!
Bola iyo kuliko kuzini sa amsubir nani nandoa ilivunjika sisi wakristo tunasema amina kwa kila jambo
Ni ngumu but ndio imeshakuwa hvyo..pole Mbasha.biblia inasema ndoa inavunjika Kwa habari ya uasherati.Mbacha alifanya uasherati..na Flora alifanya uasherati..hata km wangeendealea..Mungu haoni ndoa yao.anaona uasherati.Mungu awasamehe wote na kuwapa haja za mioyo yao.Ndugu mawazo ya Mungu sii ya mwanadamu.
Bwana Kusekwa amenunua matatizo... Mungu atupe uzima tuone kwa nini biblia ilisema mpaka kifo.... Time will tell
fredrick swai using'anie mstari mmoja soma vifungo vilivyotangulia na vilivyofuata
Kwa mara ya kwanza ninashuhudia waliostahili kuliinua jina la bwana leo wamelitia aibu kanisa.Ninamshangaa sana huyu mpendwa anayejifanya kuwa mwimbaji wa injili akienda kinyume na kiapo alichoapa mbele ya Mungu na kanisa lakini zaidi ninamshangaa huyo mchungaji ambaye kalitia aibu kanisa kwa kufungisha ndoa mke wa mtu. Mungu anawaona
Nimesikia eti bora kuolewa kuliko kuzini inje mwenye hila ana hila tu alishindwa kusameh na badae akazaa inje hata huko alipo enda sioni kizuizi cha kuchepuka kikubwa tumuombee mungu ampe msimamo wa ndoa
sasa anaolewaje na mume wake hajafa jaman .bora hata waisilam basi walioruhusu.mnatuogopesha jaman kha
Mungu awape maisha ya Aman na frah hakuna mkamilifu ktk dunia!!!
Hatuwezi jua walicho gombania
kikubwa arudi kwa mungu
unajua nini siku Daudi akigombana na flora atasikia hivi usiniletee ujinga nitakuacha kama nilivyo mbasha nanikikuacha tu naolewa tena ,tena najutia kuolewa na wewe pimbi,na huyu naye flora akimzingua utasikia Mimi siyo mbasha nakuchafua sura alafu namwoa mwingine tena nimejua kwanin mmeshindwana na mbasha kwa hyo kukubali kuolewa Mara ya pili ni kuriziki maisha.
Ulimwengu umekwisha
Ngome tv Arusha Safii
😃😅😅😅
Nimetetemeka jamani Sijawahi kuona ila niliwahi kusikia! Ndowa iliofungwa kikristo ikirudiliwa na wahusika mmoja wao akiwa bado yupo!OOh kipenzi changu Flora.Mimi nimesikitika wala sija furahi.Wachungaji Mnatupeleka wapi jamani?au mimi ni mdogo katka maandiko? Anyway kila la heri.Mbalikiwe.kwani Mungu ndiye anayejuwa zaidi kuhusu ukweli wa maisha yetu.
Huyu Dada anaroho ngumu noma sana
Mh! Ukakusany maviti meng ukijua wakristo watakusapoti na kuja,,,,,,mung hadhihakiw dada pole sana..... 🙏 nikuombe tu ndio ukatulie
Yote tisa, lakini hakuna kitu kinaniudhi kama kuona hizi shela zikivaliwa na wazee wenye watoto. Wachieni bikira hizo tuache kumdhihaki Mungu. Mungu hadhihakiwi.
Damaris Zuckschwert kwani shera/shela ni utaratibu wa ki Mungu?!
MUNGU atawauliza kakaangu.
Damaris Zuckschwert kweliii kabisaaa asee
Sam Batenzi shelaaa ni kwa watakatifuuu Wale ambao hawajawai kutana bro
Herieth Bangi kwa uelewa wangu shela zimeanza kutumika mwaka 1840 baasa ya Queen Victoria wa Uingereza kuvaa shela kwa mara ya kwanza kwenye ndoa akiwa ana funga ndoa na Albert of Saxe-Coburg, ndipo sehemu kubwa ya ulimwengu wakaanza ma bibi harusi wakaanza tumia gauni jeupe, kuvaa shela sio taratibu Mungu aliweka ila ni mwanadamu tu, na si kwamba ndoa hazikuwepo zilikuwepo hata kabla ya mwaka 1840...
hufai kabisaaa wewe dada, nlikupenda kama mtumishi wa mungu kumbe muhun, kwa sasa utaachwaa ww mchanaa kweupee
Nenepa dada ,pale penye pumziko la moyo wako enjoy usiskilize maneno ya watu ,hakuna mkamilifu
Dada imetia aibu wanawake woote wameumwa kuvumilia na kuziatamia familia zao ila shost we hujui unajua kubadili kama nguo..sawa basi kama unaona uvumilivu wa ndoa huuwez usiolewe we kua chama la wana tujue Moja kuliko kujidai unamjua Mungu ilhali yoote ulioyafanya hayapo ktk Biblia takatifu..Umekuja na maandiko yako,,muombe Mungu toba na Mbasha maana!wat goes around camz around...Umechefua
jaman nipo naangaika natafuta wapi maandiko yanasema wakristo kufunga ndoa mara mbili tena ya kikristo. kweli mnaipeleka wapi injili? yaani huyo mchngaji cjui kwakweli?
Mmmh nishidaaa
Hahaha mchungaji kama kakodiwa tu, maana anachoongea, anachouliza, hata havifanani. Hahaha yaani nimecheka mimi japo inasikitisha
Wow i like so much Nice my God will be hith you thanks god
hongera sana binadamu hawakosi cha kusema usiwasikilize mungu ndo anaejua
Felly love Kweli kabisa watu wanaomsema vibaya hata bible hawajaisoma wanaropoka tu.ukisikiliza wanadamu utachelewesha muujiza wako
Joyce Abdallah kweli kbs awaache wazungumze tu watachoka tu
Tatizo alizaaa aje Njeeeee before ya NDOAAAAAA
ila Frola watoto wako unawafundisha nn duuuu
hahahahahaaaa kila MTU ataubeba mzigo wake mwenyewe mbasha abebewa na Saudi pole
Eee M/Mungu tuongoze ktk njia sahihi ili tuweze kufany yakupendezayo ww '' Amen
ukweli tusimuhukumu flora huwez jua nn kimemfanya akatengana na mbasha ndoa ina siri kubwa
munapendeza sana kbs Mwenyezimungu awabariki
ifike mahara nadhani tujaribu kusahau yaliopita, my frndz u can't change ze past, hongereni maharusi
unajua nimeangalia hii harusi zaidi ya mara 3 nimegundua kuwa huyu dada kuachana na mbasha sio ujinga kwani hakuna mtu anapalilia magugu shamba na kulima kupanda mbegu akatia mbolea na kuhudumia vzr shamba lake eti wakati wa mavuno aseme ataki kuvuna inakuja kweli mm nakuombea maisha mema tu makazi mapya
umenena
umenena
umenena
Haa! Yayayayaa kazi ya Mungu imengiliwa
olee wake Mchungaji aliefunga hii ndoa mkono WA mungu ukojuu take ole wako
eee halo sijui MSUKUMA wapi umetufezehesha sana wasukuma kwa jina yesu usiludie tena nyimbo za dini imba talaab maana wewe changu
muongo ktk waongo wizi mtupu
wewe ni nani muwaache
aibu sana, mungu akusamehe ujui ulitendalo, pole sana
Mwachieni mungu anamajibu yake
congratulation Frola... hatujui kwann kafikia maamuzi hayo....
nakutakia furaha
huyu dada asilaumiwe cc hatuwez jua mambo ya ndan huenda jamaaa alikua @/&$@ sasa dada ameshinda.mwili wenyewe huu wa nyama huenda alichoka peke yake asingeweza.
that's true always do things that's makes you happy and gives you happiness and peace in your heart❤👍
Huyo pia utamtenda tu ww malaya mkubwa ulizaa nje ya ndoa acha kuzuga
Shyne Platnumz. Hatujui, ila yawezekana atakuwa kafanya toba kwa aliowakosea. Tusimhukumu haraka, tuombe Baraka za Mungu.
acha uongo ulimuona alivyozaa nje ya ndoa ..au una DNA test ya huyo mtoto msiwe mdantia treni kwa mbele ..
Judy Edith sikia alipoingia kwa ndoa alikuwa na mtoto na alipofunga ndoa akawa na mtoto.....pia why alivyopata ujauzito mumewe alikuwaaa jera
+Judy Edith judi acha kutetea uovu angekuwa amemtenda ni kaka yako ungejisikiaje?
Edson Sign
Hii kali kabisa. Kwa Wakristo hii ni mpya.
Banaeee muachen florah wa watuu oiii muachen fanyen mambo ya maaana ukwel wa florah anauujua mwenyewe baaaaana eeeeh
naukumbuka wimbo wako wa jipe moyo, hv ulikuwa unaimba kutoka moyoni au? au kuachana na mbasha ndo umeyashinda hivo majaribu? pole Sana Daudi.
bora kijana umepata Mam wakukulea😂😂😂😂😂
Mariam Hadija 😂😂😂😂😂
Mariam Hadija hahahaaaa umenichekesha
Mariam Hadija 😀😀😀sindio zao vijana sikuizi wanataka kukelewa bibi akiwa na vijipesa tu basi akosi serengeti boys
Mariam Hadija eee mama nimeamini ulichosema.
Mariam Hadija 😂😂😂😂😂😂
God bless your married flora we love u so much sometimes th wake matusi face your life and leave somebody's life (amen)
Nyie mnasema tu mpaka mtu anaamua kuiacha ndoa yake na kwenda kuolewa kwingine ujue kuna shida. Msiukumu jamani mambo ya ndani ya ndoa anayajua mke mpaka kasema basi ujue kachoka. Mwache aangalie furaha ya moyo wake.
mwanamke mjinga hubomoa nyumba yake kwa mikono yake mwenyewe kwahiyo Dada yetu amevuna alichokipanda
bertha mpenba kwel kabisa
Duu kweli kabisa jamani, watu wasiingilie mambo ya ndani ya ndoa
Kuna ndoa isiyo na shida?
yaan anatoka Kwa Mme sekunde mbili anafunga ndoa na mwingine Mimi hapa sina hata mpenzi miaka mingi lol!
Mungu wangu unapozuru wengine usinipite sasa!Amina
lily lilian
hongera sanaa flora hakuna ajuayee maumivu yako wanaudhi sanaa hawa viumbe hata umbebe mgongoni atanyoosha kidole kama kabebwa maumivu ya mapenzi nayajua hongera ndoa yenu idumu daima
kukosea ndio kujifunza
Zaudat Makula kweli kabisa ss hatujui kilicho nyuma ya pazia
hakuna anayejua huyu dada kapitia mangapi.mi nampongeza kwa maamuz
patricia Massawe hapo kweli japo sisi tunapenda kuhukum kwa kuskia na si kuona
Siku zote unaambiwa sifa ya mwanamke kifua yani kutunza siri
Justine Wangael Urio kabisaaa ndugu yangu nampongeza sanaa maana juu ya yote kaolewa tena wengine hata ndoa ya siku moja hatujaigusa
daah.... but ungevumilia kwä ndoa yako ya kwanza no One perfect
Nimejikuta nacheka Ila sijui kwa Nini?😜
Knfazzuk
Fetilishaz Omar hahahahhahah mm ndio zaid
mbna we2 umezaa njeeeeeee ya ndoa looooo
Fetilishaz Omar Legacy Kia Quinn a food addict with your man I'm happy
Fetilishaz Omar mi mwenyewe nimecheka cjui sababu
mungu anakuona flora,ndoa ni moja tu kwetu ss wakristo, hii ya pili umeitoa wapi?na huyo pastor ni feki wa kwanza,hata kanisa lake siwez ingia,nisije nikatoka na mapepo.
daudi kafanana na mbasha ndio mana flora kamchagua
wewee
acha banna mbasha ni handsome zaid
Mohammed Alfahdi nakubaliana nawe
kma umevutiwa na SUTIRAPA Ya PASTOR gonga like 😂😂😂😂
Flora ujui maandiko kama ungejua maandiko ungefunga ndoa tena ndoa ni maramoja tu alafu hata pastor aliyekufungisha ndoa huyo pia ajui maandiko na kama anafanya hivyo amefanya kwa mjibu wa sheria ya nchi siosheria ya MUNGU
Big congratulations to you flora ...may God bring happiness en joy in ur life ,don't listen to what people say but focus in your life coz de only person who can judge you is the Almighty God also he understands you well than anyone .wish you happy beginning of your new marriage😘😘
God bless you Flota
Punguza mbwembwe mungu sio binamu yako ungekua unamchua mungu usinge mudhalilisha unakumbuka alibamu zako acha kuchafua sm zawatu
am a muslim bur wat she did....only God can judge n not wanadamu so hakuna mkamilifu isipokua yy Muumba wa mbingu na ardhi
Sasa if you are a Muslim how can you talk of a Christian's faith? Let the bible judge her! No such kind of marriages in Christ!!!
Kabisa
unasema vizuri sana dada vidamu niwatu wahajabu sana
upendo popote hongera Flora daud
Mungu atusaidie Watumishi wa Kipentecost tutajibu siku ya Mwisho
Umependeza kweli wenye wivu acha wachonge wewe songa mbele wengi wao yao yamewashinda wamekalia kuchukulia ya watu
Hakuna wivu nisawa naoshoga
Please Release hapana usiku ñausubia balaaa mpaka naumwa
imenikumbusha ile filamu ya kanumba inaitwa PENINA
😀😀😀😀😀
jally gabriel
Hongera dadaangu humu kwenye hizo ndoa wanazo sema watu tumo tu hadi mioyo imepanuka hakuna amani wala upendo ni magonjwa tu hongera dadaaaaa
Wonders shall never end ohh
amekumbuka kweli kuvua ile pete ya mbasha?maajabu
mzeewa ngwasuma haahahaha 😃😀😃😀😃😁
Ni sawa unafanya kulinda amani ya moyo wako je kuhusu amani ya mungu wako na mungu akusameh kwa kuvunja agano la ndoa yako
flora usikubali kiapo cha uongo,mbona kwa mbasha uliapa na leo umemwacha?hukumu ipo.
mungu awatunze
Anamkosea mungu huyu viapo mara mbili kwel
Hongera sn Flora 👆🏼, na mungu anakujalia wanaume handsome. Akujalie pia wawe na mapenzi ya dhati. Maana wanaume wengi Ni pretenders hasa ukiwa na dolali watakukiimbiza km nyuki.
huyu mama nimuuwaji kabisa huyukijana ni mtoto kabisa atamhalibu na ujanawake
+said machaka jwani kalazimishwa
Flora kaoa, au kaolewa?
Nobody is perfect. Usi hukumu usije kuhukumiwa! Only God can judge. ☝🏽
neno la mungu unalijua ndio lilikufanya uzae nje yandoa na kumkataa mumeo mnafik ww
yani we ni Malaya tuuu
Harusi yenyewe haina uwepo nkt
Katika dini yetu ya kiislam hicho ni kitu cha kawaida ongera madame frola ila pole sana mbasha mungu atakupa mke mwema na usiuzunike sana uwezi jua mungu kakuepushia nn mbele yako.
Nadia Hussein. Kwa sisi Wakristo, Ndoa unatakiwa ubaki na mumeo hadi kifo kitakapo watenganisha. Hii ni kwa sababu Ndoa si Mkataba kati ya Mume na Mke. Mkataba unaweza ukaubadilisha au kuuvunja. Ndoa Takatifu ya Kikristo ni Agano kati ya Mume na Mke. Agano halibadilishwi wala kuvunjwa na mwanadamu - hakuna mwanadamu awaye yote mwenye mamlaka ya kuvunja Agano la Ndoa Takatifu iliyofungwa kihalali na kwa baraka zote mbele ya Mungu na mbele ya Kanisa/Wakristo. Kwa maana anayewaunganisha Mume na Mke kwenye Agano la Ndoa Takatifu siyo Afisa wa Serikali wala Mchungaji au Askofu Mkuu, bali ni Mungu mwenyewe. Alichokiunganisha Mungu, mwanadamu hana mamlaka ya kukitenganisha. Ni Mwanandoa aliyefiwa na mwenzi wake tu ndiye anaruhusiwa kufunga ndoa tena kama atataka.
Pete zijaze vidole vyote .... Amani ijaye kapu
lakn haya c maajab haya!!
lmani yangu kaka mbasha we unabusara kubwa sana huenda kuna moto umekwepeshwa nao na pengne baada ya ktambo kdg hutojutia na furaha itarejea tena
lkn Yule daud si alimuona tu ni mkubwa na akamkubali anajua kilicho ndani mwa Yule dada