mkojani kijana wa kislam japo ni msanii ila kunamipaka huyazingati kumbuka hao mabinti wako uchi umarufu na madhambi kitu kimoja zingatio muhim wewe pia ni mzazi
Jamani hata kama Mimi ni mshamba lkn huyo candy nguo aliyoivaa hakuna mwanaume yeyote anaeweza kuvumilia,, halafu mnakuja kusema maboss wenu Wana wataka kimapenzi,,,sio vizuri
Mbona katokelezea jamani...Huo ndio usanii na sisi mashabiki ndio tunataka. Kwangu hapo yupo sawa, na mwanamke lazima ajikubali na kuwa free na mwili wake.
Bro mkojan sio siri tunawakubal sana ww na genge lako plz tunaomba mtusikilize na sisi tunachowaomba na mungu atawabariki mno hizo nyimbo anazoimba mtu wako baruti tunazihitaj tunazipataje?????fanya kitu boss hamad toka tanga❤❤
Namkubali Jojo sana that shows how tiniwhitefilms relates with mkojani gang🔥😘😘🥰🥰
Huyo ndio Kamugisha bana ninacho mpendea anaigiza sna kwenye uhalisia wa mapenzi ❤❤🇹🇿
Kampani nzuri saana🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼
Kazi nzuri saana🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼
Uongozi mzuuri saana🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼
#MKOJANI GANG🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰
Kia na baruti....tunaomba watoe wimbo wa umbambamba...from Kenya.haji
Kka mkojani plz usiwache baruti na Kai wanajua sana nawapenda mbona🔥🔥🔥🔥🔥🥰🥰🥰🥰🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Mbona mabwende simuoni
Jamn nyie mwaleta umbamba mpak Kwa keki ati uyo n .tot wa mwanne jamn nyie nawapend bure team gang one lov from Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Brother mkojani Mungu akubariki sana ku organise gang then pawe na upendo kazi ngumu sana
Miss you guys coming back I’m from USA I love you all missing you too much❤ ❤ Thank you so much
dah sorry sijui waweza nidokeza uliendaje us ,jmn nataka mchongo wa kwenda us jmn
NAWAKUBALI SAANA MUNGU AWAWEKE MUENDELEE KUTUPA BURUDANI♥️♥️♥️♥️🙏🏼🙏🏼
Nawapenda sana mkojani gang ❤❤❤❤💪💪💪💪🔥🔥🔥🔥happy birthday kamugisha
Chadoo Master daaah umbambamba sikuon kaka
Banaeeh yaani Raha tupu nawakubali sana wanangu wa Mkojani Gang. Harufu hapa kutoka Kenya/Likoni
Hbd kwako kamugisha weeee ish sana tu kama mungu alivopanga
Aitoe bas hiyo nyimbo afu tu❤ambiwae inaitwaje tuwe nayo ssi kama mashabiki
Ila uyo kendy katisha...mashalallah
mkojani kijana wa kislam japo ni msanii ila kunamipaka huyazingati kumbuka hao mabinti wako uchi umarufu na madhambi kitu kimoja zingatio muhim wewe pia ni mzazi
Chado mwanangu sanaaa shorout to you
Waaah Mashallah Mungu amizidishie inshaallah
Kamogisha kazaliwa Siku Moja na wanangu Tena mapacha Ishi Sana kamogisha🎂🥳🎂
Mungu awatangulie katka kazi yenu mkoja gang InshAllah
🇺🇬🇨🇩tuna kubali sana umbambamba @mkonjani ❤❤❤❤❤❤
Mmetish wazee wa umbambamba
Hiyo nyimbo baruti naipenda sana aiseeee
Nawakubali sana munajuwa kuigiza mungu awalinde
what is name of the theme song?
Nawapenda Sana movie zenu 🔥 fire Sana aisee
you guys MSIGOMBANE kwa ajili ya fame
Mashallah ogereni sana nawapenda bure wallah mungu awabariki daima ♥️♥️♥️
Narudia tena jamn naomb jina z hizo song y huzun n ya umbamba plzz jamn niliomb kitamb n vile napend 🙏🙏💕
TEAM MKOJANI HOYEEEE🥳🥳🥳🥳🥳🥳🥳🥳🥳🥳🥳🥳🥳🥳🥳🥳
Mkojani na samofi uwa munanifrahisha saana kwenye move muko sirias
Happy birthday to you kamugisha 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Nakubar mkojani gang from Mozambique 🇲🇿
Chado upande zilo upande sifuli
Baluti unaweza kuimba sauti mzuri
Baruti na Kai nawapenda sanaa
Happy birthday brother
Wiimbaj jmn nimempenda mm❤❤
Nawapenda sana nyie watu ❤️❤️❤️❤️🌹🌹🌹🌹🌹
Mkojani izzo nyimbo mbili naziiitaji nazipataje
Full happy Happy birthday 🎉🎂🎂🎉 Gang 🎂
Yani leo mkojani nasamofi leo wamekaa pamoja
Happy birthday kamugisha🎂🎂🎂🎂
Baruti anajuwa sana mungu amsaidie
Kai baruti ni 🔥🔥🔥💪🏻💪🏻
Waimbaji ni firee
tunawakubali nyote mkojang gang happy birthday kamungisha❤️
leo ndio nimeona mkojani vizuri kumbe hua c mzee ni kijana aky uko very funny plus samofi
Happy birthday 🍰🎂🎉🎉🎉
Nime ipenda sana😂😂❤🎉🎉🎉🎉
Jamani hata kama Mimi ni mshamba lkn huyo candy nguo aliyoivaa hakuna mwanaume yeyote anaeweza kuvumilia,, halafu mnakuja kusema maboss wenu Wana wataka kimapenzi,,,sio vizuri
MashaAllha 😘 chiiiiiiii ❤️🌹🌹😘 Aiiiiii 😘😘😘😘🌹🌹🌹🌹🌹❤️❤️❤️❤️❤️
Inapendeza sana Leo nmeamini msemo niliokua nikiambiwa namwalimu Wangu kwamba wasanii ni Ndugu Hakika🔥🔥💥💯💪🏾🎂🤝🏾
💯 Tunaomba hiyo audio kwenye chaneli yako ili tujumuike wote kwenye umbambamba kuimba na kucheza
Nakupenda bila kunitolea mahari❤️❤️❤️❤️🤣🤣
Nawapenda atali 🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Nilikosa Mimi tu madam jamani...mlienjoy kwakweli
Nawapenda mungu awahariki 🙏🙏
Daah mnaishi Maisha mazuri sana wanangu
Allah awajalie furaha kila siku ❤❤🙏🙏🇦🇪
Mume wangu nakupenda sana ❤
Labda fungu langu....duh huu mzigo ni habari nyengine
Wadada wa umu wote wanajua kuigiza nawapenda😙😘
BROTHER MKOJANI NILIKUA NAOMBA IZI NYIMBO MUWE WATUPOSITIA ATA CLIP AMBAZO TUNAWEZA SIKILIZA MAANA BARUTI NA MWENZAKE WANAJUA SANA
kamugishaa happy birthday
Happy birthday kamugisha
Jojo mbona ajala
nakukubali sana kamugisha
Hao madogo wanaoimba Kai na na Barut madogo ni mafundi
Jamani jamani wanake wenzangu kueni na aibu japokidogo mbele za wanaume nimavazi gani Hayo kifua wazi tutaenda kujibu nini mbele yamungu wetu mkojani nakuomba wrekebishe juu ya kujistiri
Mbona katokelezea jamani...Huo ndio usanii na sisi mashabiki ndio tunataka. Kwangu hapo yupo sawa, na mwanamke lazima ajikubali na kuwa free na mwili wake.
Bro mkojan sio siri tunawakubal sana ww na genge lako plz tunaomba mtusikilize na sisi tunachowaomba na mungu atawabariki mno hizo nyimbo anazoimba mtu wako baruti tunazihitaj tunazipataje?????fanya kitu boss hamad toka tanga❤❤
Mumejua sana
Baruti achelia hiyo audio
Hata mimi ndo ningekuw Chadimu ningemtia kweli mimba mwa four
Duuuuh huo mpenzi wa chandimu ka mlevi
Prince angusha mue delezo wa Umbambamba mwamba.unatutesa tumeshamiss kukupa Mb zetu
Chandimu na mwafoo kuna kamchezo cha kweli
Nice
Tunawapenda nyote
Nimependa San happy
Kwani io myimbo ukiitaka unaipataje lamda fungu langu alijapagwa bado unaipataje ii ngoma
HAPPY BIRTHDAY TO HIM
One love ❤️ 😍 💖 ❣️ 💕 💘
Aliemuona mjumbe yupo nyumanyuma aweke like hapa
Chado master 😂😄😄😂
Tunaitaka iyo nyimbo ya uzuniii
More life kamgisha
Mwa4🔥🔥🔥
baruti yuko wapi
Jojo km jojo na chado
Jmn Mbn mambwende cjamuona🤣
Naipenda hyo nyimbo ya barut aisee nawakubal nyote
Mwanne pisii safiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiio
Mambwende kashakula nyayo km chumvi nyingi
Mr matelefon.... A. K. A kijiko ako wap😂😂😂😂😂
Hahahahaha jamani mnachekesha
Nami napenda kuigiza jmn mtanisaidiaje
Wasanii was bongo bhana wote wamevaa malapa ya buku hahahahhaaahahaahhaahahahaha
Chandimu nakukubali akuna masiara mbele ya mapenzi
Baruti jomon nasauti nzuri yaku imba
Ankali wangu sikumuona baga
Barutiii one 💘
Tumekaa tension twangoja umbambamba
Nampenda mwaluvanda