Tuwe nao na wote tuwe na uthubutu wa kuwakemea sio kusemewa tu wakati saa hizi wanatungiwa mbinu za kuwaengua na kuwateka,sisi tunarudi majumbani kimya kwa dhambi ya uoga! Wekeni lengo mkomae kulinda kura!
Mama Samia nipo chini yamguu yko kuongoza kuingozwa. Natu ambaao hawakuchaguliwa nn manakke Tanganyika watu wanamaind sio vzri Sasa Sasa aahh Putin aanataka bandari hifadhi zetu tumpe putini AA menzza na ginee tz watu wanaumwa putini ata waponya now twende muda utaongea
Wananchi wa Mwanga hayo yote ni kweli tupu,Jiulizeni kwanini huduma za Elimu,na Afya wao hatuwaoni huko tatizo au tofauti yao na sisi ninini?! Chunguzeni wenyewe kama mtaona watoto wao kwenye foleni hospitalini ama katika mashule na vyuo vyetu ndipo mtaamini au kukataa maneno ya mh.Lema...
Mungu amekupa akili ya kutambua mema na mabaya, acha kujificha kwenye kivuli cha Mungu yeye amekwisha fanya kazi yake. Ni wajibu wako kuyakataa kwa vitendo hayo mabaya yanayotendwa na viongozi.
Jiepusheni Sana Utani wa makabila Kwenye Siasa za mateso... Dont give a chance to any counter productive communication.
Mungu ibariki Tanzania
Tuwe nao na wote tuwe na uthubutu wa kuwakemea sio kusemewa tu wakati saa hizi wanatungiwa mbinu za kuwaengua na kuwateka,sisi tunarudi majumbani kimya kwa dhambi ya uoga! Wekeni lengo mkomae kulinda kura!
Mama Samia nipo chini yamguu yko kuongoza kuingozwa. Natu ambaao hawakuchaguliwa nn manakke Tanganyika watu wanamaind sio vzri Sasa Sasa aahh Putin aanataka bandari hifadhi zetu tumpe putini AA menzza na ginee tz watu wanaumwa putini ata waponya now twende muda utaongea
Mama Aduli kauza kila kitu
Let us Go
hakika hotuba imetulia kisawasawa.
Nilikuwepo sema sionekani maana walichukuliwa walokuwa mbele tu😠
Wananchi wa Mwanga hayo yote ni kweli tupu,Jiulizeni kwanini huduma za Elimu,na Afya wao hatuwaoni huko tatizo au tofauti yao na sisi ninini?! Chunguzeni wenyewe kama mtaona watoto wao kwenye foleni hospitalini ama katika mashule na vyuo vyetu ndipo mtaamini au kukataa maneno ya mh.Lema...
Za kuzijaza mafuta ya bure zikienda popote nchini zimetengwa ngapi,hatujui lakini walipaji ni sisi kwenye tozo!. Yani hawa! Haidhuru Mungu anawaona...
Mungu amekupa akili ya kutambua mema na mabaya, acha kujificha kwenye kivuli cha Mungu yeye amekwisha fanya kazi yake. Ni wajibu wako kuyakataa kwa vitendo hayo mabaya yanayotendwa na viongozi.
Watania.wanaunga
Mkono.kukoma.wakubali
Mbowe.kazana.usirudi.nyuma.ccm.wasikutisha.ma.samia.kucheka..nimefurahi.hutuba.yako.geuzeni.sera.ccm.basi
Hujui kitu
Tanzania Sisi Ni Wahoga Sana Yani Tulitakiwa Kufanya Kama Kenya Mamaee😂😂