🔴LIVE: MWANGA MJINI MUDA HUU MHE:FREEMAN MBOWE, LEMA,

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 5 жов 2024

КОМЕНТАРІ • 15

  • @ThobiasMarandu
    @ThobiasMarandu 3 місяці тому +2

    Jiepusheni Sana Utani wa makabila Kwenye Siasa za mateso... Dont give a chance to any counter productive communication.

  • @adelinelyaruu3036
    @adelinelyaruu3036 3 місяці тому +1

    Mungu ibariki Tanzania

  • @elibarikimollel7149
    @elibarikimollel7149 3 місяці тому +2

    Tuwe nao na wote tuwe na uthubutu wa kuwakemea sio kusemewa tu wakati saa hizi wanatungiwa mbinu za kuwaengua na kuwateka,sisi tunarudi majumbani kimya kwa dhambi ya uoga! Wekeni lengo mkomae kulinda kura!

  • @MichaelMwasese
    @MichaelMwasese 2 місяці тому

    Mama Samia nipo chini yamguu yko kuongoza kuingozwa. Natu ambaao hawakuchaguliwa nn manakke Tanganyika watu wanamaind sio vzri Sasa Sasa aahh Putin aanataka bandari hifadhi zetu tumpe putini AA menzza na ginee tz watu wanaumwa putini ata waponya now twende muda utaongea

  • @odoieriasmonga6591
    @odoieriasmonga6591 3 місяці тому

    Mama Aduli kauza kila kitu

  • @bukurunestory3540
    @bukurunestory3540 3 місяці тому

    Let us Go

  • @donatusrupoli4845
    @donatusrupoli4845 3 місяці тому

    hakika hotuba imetulia kisawasawa.

  • @baizoboy1719
    @baizoboy1719 3 місяці тому

    Nilikuwepo sema sionekani maana walichukuliwa walokuwa mbele tu😠

  • @elibarikimollel7149
    @elibarikimollel7149 3 місяці тому

    Wananchi wa Mwanga hayo yote ni kweli tupu,Jiulizeni kwanini huduma za Elimu,na Afya wao hatuwaoni huko tatizo au tofauti yao na sisi ninini?! Chunguzeni wenyewe kama mtaona watoto wao kwenye foleni hospitalini ama katika mashule na vyuo vyetu ndipo mtaamini au kukataa maneno ya mh.Lema...

  • @elibarikimollel7149
    @elibarikimollel7149 3 місяці тому

    Za kuzijaza mafuta ya bure zikienda popote nchini zimetengwa ngapi,hatujui lakini walipaji ni sisi kwenye tozo!. Yani hawa! Haidhuru Mungu anawaona...

    • @charlesshitobelo6870
      @charlesshitobelo6870 2 місяці тому

      Mungu amekupa akili ya kutambua mema na mabaya, acha kujificha kwenye kivuli cha Mungu yeye amekwisha fanya kazi yake. Ni wajibu wako kuyakataa kwa vitendo hayo mabaya yanayotendwa na viongozi.

  • @evelina9621
    @evelina9621 3 місяці тому

    Watania.wanaunga
    Mkono.kukoma.wakubali

  • @evelina9621
    @evelina9621 3 місяці тому

    Mbowe.kazana.usirudi.nyuma.ccm.wasikutisha.ma.samia.kucheka..nimefurahi.hutuba.yako.geuzeni.sera.ccm.basi

  • @abdillahamour234
    @abdillahamour234 3 місяці тому

    Hujui kitu

  • @alvezog_3836
    @alvezog_3836 3 місяці тому

    Tanzania Sisi Ni Wahoga Sana Yani Tulitakiwa Kufanya Kama Kenya Mamaee😂😂