True definition of true and pure music ❤❤si hizi watu wanaimba wakiwa na mavazi ovyo na marangi usoni na nywele zinakaa sijui aje.....this remains my favourite choir❤❤❤❤
Amen,the Loved ones who pathed we will rejoice together, and surely the children who left us will be given back to our hands. Waiting for that day to receive my children who rested 😢😢 and he will wipe away my tears 😭😭. Thank you for such encouraging songs 🙏
Hello kasulu SDA choir, I herbaly take this opportunity to thank God for making you to be alive this preparation day and helping you to produce other songs which are a blessing to us. Please 🙏 if you answer this qustion I will be as happy as a king. My question there is a song that you sang of roho tatu za uchafu where is that prophecy found on the Bible? Please
Nawapenda bure nanyi mwajua kuwa nawapenda sana kutoka moyoni, ningekuwa naweza ningekuwa nawabeba mgongoni ila nawaombea tu muendelee kwenda viwango vya juu mno na mwisho mfike Mbinguni
Barikiweni mnaimba vizuri,boresheni beat zenu,maana zinafana zote na zinatumia kinanda kimoja,sasa katika dunia ya ubunifu wa kimuziki mnabaki nyuma.mwambieni producer wenu aongeze ubunifu,au mbadili producer ili mbadilishe ladha mbalimbali.sauti ziko poa,halafu director alijitahidi,ila tafuteni madirector wanaotoa video za HD,lakini pamoja na changamoto hizo naona mko juu,maana hata dressing code zenu ziko vizuri,barikiweni sana!!!!!
Mubarikiwe sana, ujumbe, mavaz, mwonekano kweli ninyi wasabato
Hongereni mnanibariki sanaa mavazi 100% heshimaaa mpaka kwa Mungu wimbo mtamuuuuuuuuuuuu
True definition of true and pure music ❤❤si hizi watu wanaimba wakiwa na mavazi ovyo na marangi usoni na nywele zinakaa sijui aje.....this remains my favourite choir❤❤❤❤
May God continue guiding them in Jesus name. Amen
AMINA kubwa. Nafurahi sana kuwafuatilia niko GOMA-DRC. Mungu na Aendelee kuwaongoza na kuwatumia kama vyombo vyake kuwavuta wengi kwake.
Barikiweni kwakumwinua bwana hakika mungu anainuliwa nimebarikiwa na huduma yenu songeni mbele daima.
Ahsante sana kwaya Voice of Prophecy. Twazipenda sana nyimbo zenu hapa nchini Rwanda. Chukueni maamkizi mengi kutoka kwa kanisa la huku!
hapo Rwanda tunawashukuru sana kwa kutufuatilia
Bwana Mungu awabariki. Ujumbe safi kabisa, sautiiiiiii, tena barikiwa sana,
asante saana
Vop kasulu Bwana awabariki saana mnatupatia ujumbe wa matumaini
Amen,the Loved ones who pathed we will rejoice together, and surely the children who left us will be given back to our hands. Waiting for that day to receive my children who rested 😢😢 and he will wipe away my tears 😭😭. Thank you for such encouraging songs 🙏
Mungu na ainuliwe ,barikiwa
Nawapenda sana kasulu mnanibariki haswa barikiweni sana
Bwana awabariki Kwa wimbo mzuri
Bwana Yesu na Aendelee kutukuzawa. Mbarikiwe sana nyote. Naendelea kuwafuatilia nikiwa GOMA-DRC 🇨🇩
ukiwa goma samuel barikiwa
Kwa kweli mnastahili kuitwa Voice of Prophecy maana mnaimba unabii wenyewe. Asanteni kwa nyimbo za kututia hamasa tunapokaribia mwisho wa safari yetu
So true
❤
Mungu azidi kuwainua sana, watumishi wa Bwana,
asante
duuuuuuuh kigomaaaa 🙌🙌🙌🙌
You are so amazing Kasulu, might God bless all of you abundantly.
Kwa kweli tunalo lile neno la unabii lililo imara na ni taa inatupatia mwanga. Mungu na hawabariki mnapoeneza injili ya unabii kwa njia ya nyimbo.
Yaani hii kwaya naipenda sana sana kutoka moyoni,, I love it more exceedingly
tumekupata endelea kuwa nasi
Barikiweni kwa nyimbo nzuri na ujumbe wa matumaini;
My favourite song
Wooow blessing...Happy sabbath
Aloo huwa nabarikiwa sana na nyimbo zenu WanaVOP mbarikiwe sana.
Bwana ni mwema
wakati wote
What a song !! In Christ we are definitely assured of victory.
👏 👏 👏 👏 Amen 🙏 🙌 🇰🇪 🇰🇪
Natamani kuingia lile Jiji
Mbalikiwe 🙏 San mna muonekano mzur mavazi na kichwani mme endan ana na wimbo wenu nime balikiwa hakika
Barikiweni sana songeni mbele
Hello kasulu SDA choir, I herbaly take this opportunity to thank God for making you to be alive this preparation day and helping you to produce other songs which are a blessing to us. Please 🙏 if you answer this qustion I will be as happy as a king. My question there is a song that you sang of roho tatu za uchafu where is that prophecy found on the Bible? Please
Revelation 16:13,14
Bwana Mungu awabariki sanaaaaaa.
asante
Mungu azidi kuwainua nawafwatilia nikiwa Nairobi Kenya
Hallelujah Maranatha 🙏🌹❤️🙏🌹❤️🙏🌹❤️🙏🌹❤️🙏🌹👍🌹🌹🌹🌹
Kweli ninyi ni wasabato muonekano wenu hauna maswli
Naipenda hiyi kwaya
i can't wait to meet Jesus-From this song, i see heaven
Ukweli barikiweni sana
Jaman sijui niseme nn mmenibariki SANAAAA BASI ACHA TU NISEME SAFARI IKARIBU SANA
Naisubiri hiyo siku kwa hamu sana ndani ya kiini cha moyo wangu
Niliisubiri Sana imekuja kwa wakati wake Mungu awabariki VOP choir am listening from MURUSI SDA Kasulu
basi ubarikiwe
Kila wakati najikuta kurudia rudia huu wimbo wapendwa, wimbo mtamu sana
ninawapenda saana
Mbarikiwe kwani mm nabarikiwa
For sure your songs are great blessing to me of which I believe you are blessing to many souls .
God bless you @VOP, Watching from Kigali - Rwanda. May heavenly God Father keep using you...Amen
bagabejohn thank you and wellcome
What a joy TUKIKARIBISHWA NA YESU KWENYE KITI CHA ENZI. This is a beatiful song full of hope and promise.
Barikiwa watu wa Mungu
kuwapi mauti kututesa ooo haleluya asante saana
Amen, nice song
Nawapenda bure nanyi mwajua kuwa nawapenda sana kutoka moyoni, ningekuwa naweza ningekuwa nawabeba mgongoni ila nawaombea tu muendelee kwenda viwango vya juu mno na mwisho mfike Mbinguni
hapana nasisi tunaelewa wadau wetu hatawewe umopia
Never heard this song, but I like it. Love the lyrics.
Amen.. great song that is beautifully done is a simple way, God bless. Nairobi Kenya
wellcom sir, and thank youvery much
Ameeni,hope to see my son 😢there
Nice be blessed
Mungu awabariki sana unatia nguvu
amina
Nawpenda sana barkiweni nataman nije kujiunga
Amina Amen wimbo nzuri sana Mungu awabariki waimbaji
coucou
amina ubarikiwe
Mubalikiwe sana
Nice🔥🔥🔥
Amen,tutaruka kama ndama
Asante kwa Wimbo
🙌🏿🙌🏿🙌🏿🙌🏿🙌🏿🙌🏿🙌🏿🙌🏿🙌🏿
Mbarikiwe sana
Hello . wapenzi wa Bwana yesu.
We are always blessed with your songs. Please share your contacts ASAP
+255756868184
+255756868184
Mungu awbark sana mana uko vizr
Very nice and inntresting songs
A very sweet song God bless you
one of my favorite from kasulu. continue showing other choirs what they are supposed do to including the physical appearance. you are amazing indeed.
Very nice songs
Amina Vop Kasulu ❤
Jiji yelusalem very good soloist
Balikiweni Sana V.O.P but hiyo sale ya nguo mmeivaa kwa nyimbo nyingi niombe muwe mnabadilisha sale
limefika
Kawape hela
A very inspiring song, keep it up our lovely VOP Kasulu, God bless you
amen
God bless you the voice
amen
Beautiful souls 5:08 singing for their Creator ❤
Barikiweni mnaimba vizuri,boresheni beat zenu,maana zinafana zote na zinatumia kinanda kimoja,sasa katika dunia ya ubunifu wa kimuziki mnabaki nyuma.mwambieni producer wenu aongeze ubunifu,au mbadili producer ili mbadilishe ladha mbalimbali.sauti ziko poa,halafu director alijitahidi,ila tafuteni madirector wanaotoa video za HD,lakini pamoja na changamoto hizo naona mko juu,maana hata dressing code zenu ziko vizuri,barikiweni sana!!!!!
asante tutaendelea kulifanyia kazi kadri itakavyo wezekana
Nyie ni wakala wa kuzimu kabisa
tufuatilie kwa umakini lakini fungua mawazo yako utajua ukweli
Amen 🙏🙏🙏🎉❤❤❤🎉
🔥🔥🔥🔥
Powerful 🎉🎉❤
Jesus is the centro of it all, melodious song God bless and empower you all
I don't understand the language but l can feel the song,,lm also aSDA please where is this group from?
Nice
AMEN 🙏🙏🙏
Thankful kisulu
Ameeen
God bless you ❤
Thank you for this song, it gives us hope amid all the problems of this world. Listening from Canada.
God bless you for your acknowledgement; you are welcome.
Amen
God bless you 🙏🏻🙏🏻
Amen Amen.
I love the tonal variations ,great
enjoy
❤❤❤ Amen gloria
AMEN 🙏🙏🙏 GOD IS OMNIPRESENT
Very inspiring song and giving great hope to many,be blessed VOP choir
amen
AMEN 🙏🙏🙏 BE BLESSED
An inspiring song may God bless you
Very powerful Be blessed
amen
Hamjawahikosea, mbarikiwe sana sana!
amina na asante
Amina
Amen 🙏🏿
I hope that lady solowing is still single😍. Drop her number kindly.
Wow
yes
Awesome, praise be to God
amen