Hapo mtani umeongea ukweli asipake watu matope ajue umaarufu aliupata yanga ikiwa wataka kurudi yanga njoo ng'ombe atakapo vunjika mguu hurudi zizini basi mayele usizungushe watu nenda kwenye mshabaha Sawa
Naomba niulize jamani kwani hivi hawa utopolo ndio waliofanya moto wakachoma nyasi South baadae wakapigwa faini na CAF kama ndo hivyo bas Utopolo wachawi kweli. 😂
Sawa Sawa Mzee ndo Hawa mashabiki wa makolo ninaowasifu Wenye Simba Yao Sio wengine ambao Ni Newcomers hapo makolo wazee kama Hawa mnatakiwa muafundishe Hao Newcomers hapo umakoloni
Mzee kichwa kipotimamu kuliko yule msemaji angeojiwa yeye msemaji atachokiongea ni mtumbo mtupu kwa kifupi mzee nimemuelewa kuliko ninavyouelewa wali maharage mi naona kama vp apewe usemaji wa red davel ya k koo😅😅😅
Wachawi wakubwa Tanzania.Nyie mnaosema hawajamroga tunawaambia hamjui majina yenu..Imagine unaambiwa hujui jina lako, yani mnayoyasema ni ujinga mtupu, yeye mwenyewe anapata ujumbe kutoka kwa viongozi wenu wachawi then mtu anakuja anasema haipo, mnachekesha sana nyie.Yanga jina lao la katikati ni wanga, wanaamini sana mauchawi, hata wanavyoingiaga uwanja wa Mkapa, kwanini hamtumii gate la kawaida.Mmekamatwa basi, mtajielezea mpaka mwisho wa mwaka, lakini wachawi ni wachawi tu..💯💯
Huyu mzee comedy sanaa😅😅
Mzee kaongea point sana😅😅
Saafii sana mzee Saidi wewe ndio unajua mpira sio mnafki.
Mzee Said Ni Mtani Wa Ukweli Kwenye Timu Zetu Za Yanga Na Simba.😂😂😂😂👏👏👏👏👏
Mzeeeeeeee saidiiiiiiiii hongeraaaaaaaa
Hapo kwa Mayele mtani umeongea point😂
Huyo mzee anaongea vizuri
Chagamba leo mabega yamepoa ngoja ukutane na maramoja mabega yachangamke😂😂😂😂
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 wallahi mzee said kanifurahisha wana yanga tumpe maua yake mzee said kabla hajafa 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Aweee mamaaaaa weeeeeeeeee 😂😂😂😂😂😂😂🥱🥱🥱🥱🥱🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Msema kweliii mpnz wa mungu 😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃
Hana akili huyo mayele
😂😂 Mzee said umenifurahisha kwa kwer
Mzee saidi uko sawa umemshinda chagambaa
Leo mzee Saidi umesema ukweli asante
😂😂😂😂😂 mbavu zangu jamani
Mzee anaongea fact mby kabsa😅😅😅😅
Mzee kaongea point Sana huyo ndo mwanasimba anayejielewa
Uyo mzee kiboko ya mirajiii 😂😂😂
Mimi ni mwanachama wa Yanga lakini napenda saaana kumsikiliza huyu Mzee Said kwa sababu huu ndio utani na sio matusi...!!!!
😂😂eti kimya kimya nani atajua
Mzee kaongea point
Gambaaaa 😅😅😂😂😂😂😂
Mzee wangu unasimamia ukweli kabisa
Huyu mzee kanifurahisha😂😂😂
Kolopist anayejielewa😂😂😂😂😂 chukua 🎉🎉🎉🎉🎉
Il huyu mzee balaaaa
Finnest online naombeni namba ya Mzee said nimtuze nipo serious katika hilo
Kweli kabisa ikiwa ataka kurudi yanga aongee na wakuu wa klabu sio adanganye toto Tu
Mzee said mnajua milaji bakina huko muwape ukwel
Yan huyu mzee anamzidi msemaj wa simba nmsemaj ambae analopoka tu
Naomba tupe link ya video ya ali kamwe na priva baada ya kuingia Yanga akiisifia Simba kama sio wote waropokaji
Mze we mpira huyu sio shabiki maandazi nainjoy kabisa yuko vizuri
Kweli mayele Hana akili msenge
chagamba safii sana
Kwa upande wa mayele baba uko vizur kabisa
Huyu jamaa ni mkweli pongezi zako ndugu
😂😂😂😂
Hapo mtani umeongea ukweli asipake watu matope ajue umaarufu aliupata yanga ikiwa wataka kurudi yanga njoo ng'ombe atakapo vunjika mguu hurudi zizini basi mayele usizungushe watu nenda kwenye mshabaha Sawa
AAAAA majini FC
Mzee nipetokea kukupenda ukiongea uko mkeli
Yanga wanataka mayele arudi ilikule asifunge arudi tanzania uchawi upo msipishwe mzee
Tutalia wanasimba akilud
Magwede Mjaini fc
Yani Mzee kweli wewe unnaongea ukweli kabisa
Mayele kibarua kimeanza kusua sua ndo maana ameanza kutafuta sababu
Lakini mzee said yanga wanapenda uchawi hata fesall toto walimwambia tutakufanyi
Anataka kuja simba mayeele
Aongee ukweli gani nyinyi wachawi2. Majini fc
chagamba ndio lipota bora kabisa tena una watu sahihi unaowaoji tafadhali usiwaoji washabiki njaa
Utopolo WACHAWI kweli
Naomba niulize jamani kwani hivi hawa utopolo ndio waliofanya moto wakachoma nyasi South baadae wakapigwa faini na CAF kama ndo hivyo bas Utopolo wachawi kweli. 😂
Waliowasha moto ni simba sio yanga
Kamuulize Moloko cku ya Simba alichimba kipembeni alikua anafukia nn?
Wanajisahaulisha makusudi wanajua wazi walifanya nini kule Africa ya kusini hv tumuogope mungu simba wakusema yanga wachawi amazing kweli nyani haoni kundule
Wachache wenye akili kama mzee said kubaki wenzangu na mie shabiki maandazi tunaharaaaaaa maana si kuongea kuongea kuna wenyewe
Sawa Sawa Mzee ndo Hawa mashabiki wa makolo ninaowasifu
Wenye Simba Yao
Sio wengine ambao Ni Newcomers hapo makolo wazee kama Hawa mnatakiwa muafundishe Hao Newcomers hapo umakoloni
Mzee Yanga wachawi hata mkikasirika Yanga niwachawi
Mchawi baba yako na mama yako
NAATUMTAKI TENA YANGA MAYELE
Mzee kichwa kipotimamu kuliko yule msemaji angeojiwa yeye msemaji atachokiongea ni mtumbo mtupu kwa kifupi mzee nimemuelewa kuliko ninavyouelewa wali maharage mi naona kama vp apewe usemaji wa red davel ya k koo😅😅😅
utopolo wanafuga majini,
Wachawi wakubwa Tanzania.Nyie mnaosema hawajamroga tunawaambia hamjui majina yenu..Imagine unaambiwa hujui jina lako, yani mnayoyasema ni ujinga mtupu, yeye mwenyewe anapata ujumbe kutoka kwa viongozi wenu wachawi then mtu anakuja anasema haipo, mnachekesha sana nyie.Yanga jina lao la katikati ni wanga, wanaamini sana mauchawi, hata wanavyoingiaga uwanja wa Mkapa, kwanini hamtumii gate la kawaida.Mmekamatwa basi, mtajielezea mpaka mwisho wa mwaka, lakini wachawi ni wachawi tu..💯💯
Kumbe wewe ndiye unamloga
Kenge wewe umbwa nin ety Wang wanga wanyoko nin
😂😂😂😂
utopolo wanafuga majini,