Mizengwe Ya Mzungu!
Вставка
- Опубліковано 18 жов 2024
- Mzungu mmoja wa Marekani amewashangaza wengi katika kaunti ya Siaya kwani yeye ni mchuuzi wa keki anazozipika mwenyewe katika mtaa wa Siaya. Mwanaume huyu ambaye ana umri wa miaka 48 amewaacha wengi vinywa wazi haswa kwa kuwa biashara ya uchuuzi inanasibishwa na watu wenye mapato ya chini. Hata hivyo kama tulivyogundua ni kwamba mwanamume huyo aliingia bishara hiyo ili kuwanaifaisha wengine.
Richness depends on obeself hardworking determination confidence courageous and implementation
😊 great we give smile to less fortunate
Analipa tax
Wamezoea KDF
Indeed he's doing God's work. ...God will open doors for him
🌹🌺🌻🌼🌷🍎
Good job keep it up you and your girls!!!
Wakenya na vitu kubwa🙌
I like what this family is doing. God bless them.
Amen
Hard work pays anywhere. I am sure someone must have said in their mind before, “muffins can’t sell here”, it’s all about mentality not your environment.
Akili ni mali, don't give up, God will bless the work of ur hands, thank u and may u be blessed
The man is having fun riding and making some cash with it.
Nyie wakenya nanyi mnataka kl ktu kubwa kubwa aiyyyi!
Wanzungu ati ni rich never Africans are rich everything is from Africa.
Hiyo maffin haiwekwi kubwa! Hiyo ndio kiazi sii boflo.
Hhhhh msikia huyu mjinga ati keki dng aungeza
Kweli mjinga
Eti keki huyo anakaziyake nyie mtaijua baadae sana, mwenye akili amenielewa!
He is so great
Inaitwa cupcake si bowlcake,ikiongezwa size na bei pia iongezwe mlalamike vizuri.
Hongera
MZUNGU AMEAMUA
Mashallah Allah
ujinga ya wausi...ati wazungu ni tajiri
wakenya nakulalamika apoww
si wakenya tunalalamika kuhusu size ya hio muffin.
Mungu amsaidie
@@juliuskilae2492 🌹🌼🌷👍👍👍👍