Polen sana majirani zetu wa simba sijapenda kwa kitendo kilichotokea team za waarabu huwa na fujo muda mwingi na caf inaona ila inakaa kimya napenda kuskia wamechukua hatua juu ya hili tatzo natoa uyanga poleni sana ndugu zetu wana simba nimeskitika sana
Na wange kugusa wewe semaji kipenzi chawana Simba sijuw kama nasisi washabiki wa Simba kama tungekuja kuwahacha salama kwel Wacheze nawengine sio wewe semaj la CAFF Tena wakuone kama kituo chapolisi wewe ndio tegemez letu semaj mungu akubalik sana
Hao tripoli hata 20 bora hawapo katika ubora na nyinyi kila siku mnajisifu mpo nafasi ya 7 kiubora sasa ukiangalia mechi ilivyokuwa simba ilikuwa ndogo kwa tripoli kwa sababu mwanzo mwisho utasemaje wewe ni mkubwa...Kama sio uendawazimu ni nini😂😂😂
😂😂😂😂jamaa anajua sana kuwapumbaza makolo aiseeee!. Ukitaka kujua shirikisho ni mashindano ya chini, angalia huwa wanacheza lini! Ni baada CAFCL kuchezwa! Ni kama Europa! THURSDAY FOOTBALL 😂😂! wanacheza wanaume kwanza! Ndo mjue STATUS YA SHIRIKISHO!
Walibya wanaumoja kwenye uwakilishi wa nchi. Shida sio CAF wachukue hatua, Bali na sisi kama watanzania tuungane mashabik tuwafanyie kama timu zetu zinavyofanyiwa kwao
Nyinyi simba ni kamba camelieon, kwa Sababu mupo caf shirikisho minageuza ulimi eti ni mashindano bora, si nyinyi ndio mulikuwa minasema caf shirikisho ni mashindano ya walio feli wakati Yanga ikishiriki?
Mpenja waambie watani Wanatani wajikaze tena nyumbani halafu kuna mabadiliko ya kikosi baadhi ya sehemu ,hatutaki uwanja uharibiwe.uzalendo kwa ila wasimuache beki wao Hussein.sema Tu wasipulizie sumu vyumba vya wachezaji kama kipindi kile cha Jamaa wenu,lakini Ngoma ngumu.msikilizeni kaduguda 😀😀
Aise! Ulimi ni kitu hatari sana! Hivi si ndiwe uliesema hilo ni kombe la looser!? Na ukaliponda kwelikweli, haya leo tena limekuwa bora tena!? Kweli we kimbwele
Wewe Msemaji ,Mzaramo,Kisugu,Kei Mziwanda Wote Mlikuwa Mnalisema Hilo Ni Kombe La Walioshindwa Leo Vipi Mbona Mnashangaza Dunia Ama Kweli Nyie Wanafiq Wakubwa
ASANTE SANA SEMAJI LA CAF MUNGU AWALINDE SANA. HAO WAARABU NI WASHENZI SANA HUWA WANAPOTEZA MUDA UWANJANI NAKUJIANGUSHA OVYO OVYO KM MITOTO MIDOGO
Wale ni wapumbavu tuu ngoja waje kwa mkapa wataloana kivyovyote vile yatarudia ya mamenlord na Yanga
Polen sana majirani zetu wa simba sijapenda kwa kitendo kilichotokea team za waarabu huwa na fujo muda mwingi na caf inaona ila inakaa kimya napenda kuskia wamechukua hatua juu ya hili tatzo natoa uyanga poleni sana ndugu zetu wana simba nimeskitika sana
Hakuna mchango wa fujo kwenye matokeo
Aisee... wewe wakuache tu, hapa nchini akuna msemaji anaekufikia kwa umakini... Hongera sana.
nikombe la luza ndio ila kwasababu zinashiriki Tim bora kama simba limekuwa tamu kuliko hatahiyo champion
Simba nguvu moja❤❤
Ni jambo la kumshukuru mungu kama mmelejea salama ❤❤❤
Na wange kugusa wewe semaji kipenzi chawana Simba sijuw kama nasisi washabiki wa Simba kama tungekuja kuwahacha salama kwel
Wacheze nawengine sio wewe semaj la CAFF Tena wakuone kama kituo chapolisi wewe ndio tegemez letu semaj mungu akubalik sana
Sema Utani Wabongo Tumehuzowey Leo Unasem Ni Kombe Zurii Shrikishooo😂😂
Daaaah kumbe Leo ametambua ligi hiyo ni Bora. Hii itasaidia kuacha dharau.
Hao tripoli hata 20 bora hawapo katika ubora na nyinyi kila siku mnajisifu mpo nafasi ya 7 kiubora sasa ukiangalia mechi ilivyokuwa simba ilikuwa ndogo kwa tripoli kwa sababu mwanzo mwisho utasemaje wewe ni mkubwa...Kama sio uendawazimu ni nini😂😂😂
😂😂😂😂jamaa anajua sana kuwapumbaza makolo aiseeee!.
Ukitaka kujua shirikisho ni mashindano ya chini, angalia huwa wanacheza lini! Ni baada CAFCL kuchezwa! Ni kama Europa! THURSDAY FOOTBALL 😂😂! wanacheza wanaume kwanza! Ndo mjue STATUS YA SHIRIKISHO!
Microcephaly
@@gabrielnybala2165fika hiyo fainali,ndo uongee🤣🤣 hawa tu wamewata MAKAMASI! Na wanawafunga second leg🤣🤣
@@gabrielnybala2165 ila ni vizuri,unatambua ni madogo, mwambie huyo comedian 🤣🤣🤣
Mliwahi kusema hayo ni mashindano ya looser tena yamekuwa bora kwa sasa pole sana hiyo ni shirikisho tu
Walibya wanaumoja kwenye uwakilishi wa nchi.
Shida sio CAF wachukue hatua,
Bali na sisi kama watanzania tuungane mashabik tuwafanyie kama timu zetu zinavyofanyiwa kwao
Hivi ni kwa nini hamurekodi full matches ... ? Simba ni timu kubwa lakini uwekaji wa kumbukumbu ni hadi wafanye Azam TV? Huu ni udwanzi..!
Nyinyi simba ni kamba camelieon, kwa Sababu mupo caf shirikisho minageuza ulimi eti ni mashindano bora, si nyinyi ndio mulikuwa minasema caf shirikisho ni mashindano ya walio feli wakati Yanga ikishiriki?
Shirikisho ni mashindano bora😂😂😂😂😂
Kipindi hiki mtayasema yote
Mpenja waambie watani Wanatani wajikaze tena nyumbani halafu kuna mabadiliko ya kikosi baadhi ya sehemu ,hatutaki uwanja uharibiwe.uzalendo kwa ila wasimuache beki wao Hussein.sema Tu wasipulizie sumu vyumba vya wachezaji kama kipindi kile cha Jamaa wenu,lakini Ngoma ngumu.msikilizeni kaduguda 😀😀
fala kweli😂😂
Aise! Ulimi ni kitu hatari sana! Hivi si ndiwe uliesema hilo ni kombe la looser!? Na ukaliponda kwelikweli, haya leo tena limekuwa bora tena!? Kweli we kimbwele
Yaani watu wa nyuma mwiko ni visheti kishenzi. Nyie si manara wenu ndio aliwaambia ni kombe la looser leo mmemgeukia ahmedy kweli akili hazimo nyie
Nina macho
angalia mechi ya gor mahia na al ahal nayamnyama na tripol niipi yenyehadhi ya champion utopolo vp😂
Mangungu alisema shirikisho ni kombe la wanawake kwaiyo nyie
Mko mashindano ya kina mama 😅
Wewe Msemaji ,Mzaramo,Kisugu,Kei Mziwanda Wote Mlikuwa Mnalisema Hilo Ni Kombe La Walioshindwa Leo Vipi Mbona Mnashangaza Dunia Ama Kweli Nyie Wanafiq Wakubwa
Hata ucheze na bacalona hilo ni kombe la luza usilipambe
Naamini unaipenda sana Simba ila unashindwa kukiri mapenzi yako. Just admit it my friend.
Usimpangie chakusems semaji letu wew kuku
Unaumia sana mbw ww
Malalamiko fc chupa tu kelele kibao
@@MikidadyAbdusawa nyuma mwikooo
Heading mbovu kabisa kwakweli mbna wao walivyo kua Champion league hawajasema hayo???? Mpuuzi huyo na nyie mloandika Heading hiyo
Wahuni nyinyi kabisa
Nyie Simba Wote Wanafiq Kuanzia Viongozi Wenu Msemaji Wenu Mshabiki Wenu Wapenzi Wenu Wt Wanafiq Wapumvavu Washenzi WA Tabia Pyokoooooooo Fyuuuuuuuuu
Kutoka kombe la loser hadi kuwa kombe zuri, tuweke akiba ya Maneno wasemaji wetu. Tuwe tunaongea ukweli
Ahmed Ally acha kudanganya umma, umasema mbele ya mashabiki 50000!? Mbona hakukuwa na mashabiki kabisa au unadhani hatukuona?
Huna AKILI wew uwanja ulijaa useme amedanganya katoe mwiko nyuma unakusumbua
Mimi ni yanga lkn uwanja ulijaaa hakuna maelezo labda hukuangalia mpra
Hukuona screen kubwa imeandika 50065 au ulijua ni Sasa za kiarabu ndugu
Shida za kusimuliwa na binti kijumbe