Hongera sana mr daudi mbaga natamana sana hii elimu ifike kwa watu wengi hasa Sisi tuliopo huku pembezoni mwa nchi kama katavi,kigoma ,sumbawanga ,songea,mtwara.
Tumuombeeni sana Mama Samia wetu na serikali yake ya uongozi then our country will grow which will impact our investments for the Glory of our God! thanks much Mbaga for your time and presentation..superb!
Dear Mr. @edmundmunyagi, naweza kupata kitabu kinachoelezea juu ya uwekezaji wa UTT AMIS hasa mifuko ya Ukwasi na Hatifungani? Kindly, reply me back when you find this quest message!
Wapo Sukari House, Dar es Salaam. Wana branches, Dodoma, Arusha nadhani na Mwanza lakini unaweza kufika kwenye Branch yoyote ya CRDB kupata huduma za UTT. Pia unaweza kutembelea tovuti yao www.uttamis.co.tz
Hauhitaji Broker kuwekeza UTT. Bofya *150*82# halafu fuata maelekezo. Utaweza kufungua account na hata kuanza kuweka pesa. Lakini utahitaji kujaza na fomu ya mfujo husika ambazo unaweza kuzipata kutoka kwenye website yao www.uttamis.co.tz halfu ukazirudisha ofisini kwao au ukazituma kwa email.
Daudi wewe ni mpare Bwana ndugu yangu,proud for your tribe .Mpare ni best user wa scarce resource I proud to be mpare. We go with budget na hii ndio kauli mbiu yetu. Laminitis naipenda utt.
Hongera sana mr daudi mbaga natamana sana hii elimu ifike kwa watu wengi hasa Sisi tuliopo huku pembezoni mwa nchi kama katavi,kigoma ,sumbawanga ,songea,mtwara.
Tumuombeeni sana Mama Samia wetu na serikali yake ya uongozi then our country will grow which will impact our investments for the Glory of our God! thanks much Mbaga for your time and presentation..superb!
Asante sana nimejifunza vitu vingi. Taenda kufungua yangu and my kids also. Be bless my brother
Somo ni zuri sanaaaa!
Thank you Daudi.
Nahavache mno nimeelewa!
Very powerful presentation
Napenda utt japo nimechelewa kuingia huko lkn walipo utte nipo.
Asanteni Utt.
Habari, hujachelewa rafiki doors are still open for us , fursa hii sii ya kuacha
background music ipunguze volume jmni
Background music is very disturbing 😢
The background music is so high!
This sound so 👌 interesting and straightforward ,anyone here who has tried the past 3 years constantly??
Kudos Daud, very robust preparation 👏 🎉
Nice presentation Mr mbaga..by the way I got a wonderful lesson about shares investment . very satisfied to me
Asante sana Mr Mbaga ingawa mimi ni mwekezaji UTT Kuna kitu kipya nimejifunza
Aaah Dr nimekuelewa nitajilipa myself first kuanzia mwezi huu mwishoni.
Sasa,sasa,sasa nitajilipa.kwanza nimechezea fedha kumbe.
Dah i learn a lot...
Safi sana bro, be blessed
Dear Mr. @edmundmunyagi, naweza kupata kitabu kinachoelezea juu ya uwekezaji wa UTT AMIS hasa mifuko ya Ukwasi na Hatifungani?
Kindly, reply me back when you find this quest message!
nipe namba yako ya whatsup nikutumie
Daudi una madini ya uwekezaji, Mungu akubariki sana.
Good job big brother
Upo vizuri kaka
Namba zenu napataje nipate maelezo zaidi
music ina kwaza kusikiliza
hiyo ubanani sijui kasema uber 8 ST namba D ndo nini akisema it gives 150 per week 15:31 naomba jamni kuwlezewa jmni tafadhali
Life time inflation
Wsnalamba kweli yaani kazi hipo
Kweli kabisa jitambuwe
Nitauza nyumba 1 nilete utt.
Naomba slide hizo za wekeza maisha.
Mimi nahitaji kujiunga UTT lakini nawapata wapi?
Ama nawezapata no za simu niongee nanyi ana kwa ana?
Wapo Sukari House, Dar es Salaam. Wana branches, Dodoma, Arusha nadhani na Mwanza lakini unaweza kufika kwenye Branch yoyote ya CRDB kupata huduma za UTT. Pia unaweza kutembelea tovuti yao www.uttamis.co.tz
Back ground ya mziki jaman
👏🏽
Naitaji kujua zaid utt niwekeze nafanyaje nipo njee
Tembelea Tawi lolote la crdb karibu yako utajua kuhusu UTT AMIS
Nauliza mwanza huduma ya UTT inaweza kupatikana
Fika kwenye tawi la benki ya CRDB lililopo karibu yako.
nssf bldg mezanine
@edmund munyagi kwa nini watu hawaamini kuhusu utt wanaona ni kuibiwa
@@georgenazi9325 wakina nani hawaamini?
@@EdmundMunyagi ni watz wenzangu wananikatisha tamaa natapeliwa
Tunapataje broker anausikana na utt
Hauhitaji Broker kuwekeza UTT. Bofya *150*82# halafu fuata maelekezo. Utaweza kufungua account na hata kuanza kuweka pesa. Lakini utahitaji kujaza na fomu ya mfujo husika ambazo unaweza kuzipata kutoka kwenye website yao www.uttamis.co.tz halfu ukazirudisha ofisini kwao au ukazituma kwa email.
Tembelea tawi lolote la CRDB
Daudi sasa kumbe nisingewekeza kwenye nyumba kwanza.Lkn nitafika Dar nipate hii hii eliminate,lkn Daudi usinywe pombe.
Daudi wewe ni mpare Bwana ndugu yangu,proud for your tribe .Mpare ni best user wa scarce resource I proud to be mpare. We go with budget na hii ndio kauli mbiu yetu.
Laminitis naipenda utt.
ahahaha amestaafu