КОМЕНТАРІ •

  • @user-wp3xr8gr8u
    @user-wp3xr8gr8u 8 місяців тому +5

    Doto Acha Tu unatisha mzazi unatufanya tujiskie good Always

  • @humphreyleodgar9434
    @humphreyleodgar9434 7 місяців тому +1

    Doto ni halisi halisia hakuna kufake ❤❤❤

  • @frankmganda2424
    @frankmganda2424 8 місяців тому +3

    Broo Dotto nakukubali sana unaongea ukweli

  • @user-sj8ck1bk1d
    @user-sj8ck1bk1d 8 місяців тому +2

    Pesa haitaki kelele broo piga kazi mdomo achia Mke Wako boi

  • @salehkejje8786
    @salehkejje8786 8 місяців тому +4

    Doto ni mtu Wa kufurahisha watu
    Tunajiskia faragha sana uwepo wako

  • @katsuvakamatedaniel7893
    @katsuvakamatedaniel7893 8 місяців тому +2

    Hapo kwa juma nime cheka eti Kama musabato 😅😅😅

  • @haroldkayanda7092
    @haroldkayanda7092 8 місяців тому +6

    Hupendi maendeleo ya wenzio kazi kuwaponda, hivi wewe unauza magari au kazi kukashifu wenzio? Hiyo ndo kazi unaisha familia yako? 😂 pole!

  • @udizungwahimalaya5213
    @udizungwahimalaya5213 8 місяців тому +4

    Dotto eeeeeeeh sijawahi kucomment leo acha nicheke2😂😂😂😂

  • @ASALABOY
    @ASALABOY 8 місяців тому +3

    Mzee wanondo Dotto maca

  • @eldaddyofficial
    @eldaddyofficial 6 місяців тому +1

    Tto kakaa nao chuoni Uganda

  • @PrinceBonnyTz8
    @PrinceBonnyTz8 7 місяців тому +1

    Doto acha uongo mbona hiyo gari haina namba kama kweli ni yako😅

  • @angedizzle1
    @angedizzle1 8 місяців тому +2

    Kwa sisi watu wenye elimu.....😂😂

  • @SharifuAlbughul-ls4mw
    @SharifuAlbughul-ls4mw 8 місяців тому +2

    Yan mpk waandishi wanashindwa kumhoji wajikuta wanachekaaaa to na kuskiliza😂😂😂😂😂

    • @elizajoseph7209
      @elizajoseph7209 8 місяців тому

      Anaendesha juma mosi na juma pili kama msabat0😂😂😂😂😂😂

  • @bonabonala5559
    @bonabonala5559 8 місяців тому +1

    doto mwamba upo juu kuriko mapua au mama levo

  • @HappyGreenTea-fo8lz
    @HappyGreenTea-fo8lz 5 місяців тому

    Anaendesha kila jumapili kama msabato😅😅😅😅😅

  • @danreckgodfrey4663
    @danreckgodfrey4663 8 місяців тому +1

    Kwani dotto una gari yaina gan? Maana unaponda wakati lakwako hatulioni na pikipiki huna😊😊

  • @SelinaMdoe-jv1pu
    @SelinaMdoe-jv1pu 7 місяців тому

    Mbona doto unakaa banda la uani misifa yote hiyo uliyonayo jamani mnaishi mai sha yakuigiza sana

  • @jeremiahcharles6027
    @jeremiahcharles6027 8 місяців тому +1

    Yawezekana,kanunuliwa ,Ila wanakata kwenye mshahara

  • @sorwasoudy6256
    @sorwasoudy6256 8 місяців тому +3

    Doto unaongea Sana

  • @ReginaJoseph-cm3cx
    @ReginaJoseph-cm3cx 8 місяців тому +1

    Kodi unalipa?

  • @mathewungani9724
    @mathewungani9724 8 місяців тому +1

    Matako ya Nyani.....Mapua

  • @abisaimuhanji3687
    @abisaimuhanji3687 8 місяців тому +1

    Eti hapa ipo😊

  • @roberttagaya9098
    @roberttagaya9098 8 місяців тому +1

    Dotto. Sasa sisi Wasabato tumeingiaje apo? Mbona ivyo?😅😅

  • @user-fp9su6vp9y
    @user-fp9su6vp9y 7 місяців тому

    🎉

  • @bugabyarugaba3771
    @bugabyarugaba3771 8 місяців тому +1

    Baba levo kwa doto tulia wenye jj lao huwawezi

  • @josephmihayo6236
    @josephmihayo6236 7 місяців тому

    Mbwembwe nyingi, majigambo mengi kumbe anakaa chooni.

  • @arafatkasu
    @arafatkasu 2 місяці тому

    Vibunju 😅😅😅😅😅

  • @user-el6mm4lh4m
    @user-el6mm4lh4m 8 місяців тому

    Dotto njaaa2 uyoooo na sofa zimemjaaaa daimond hnaaa hiana na m2 bba levo chapa kazi🎉🎉🎉🎉

  • @asmarajabu5786
    @asmarajabu5786 8 місяців тому +1

    bora umewakomoa mana wambea hao 😏😏

  • @fanitofaustino4108
    @fanitofaustino4108 8 місяців тому +2

    Kkkkk

  • @gadafsalum8042
    @gadafsalum8042 8 місяців тому +2

    Inatakiwa uanze kuripa kofi

  • @salumDion3175
    @salumDion3175 8 місяців тому

    Kwan namba yagar inasemaje niileile au imebadirka

  • @user-fg1gg3ec2o
    @user-fg1gg3ec2o 8 місяців тому

    Kenya waoga wanaogapa kuuawa

  • @user-vw7te4fu9h
    @user-vw7te4fu9h 8 місяців тому +2

    😂😂😂

  • @user-lq1yg9mk1i
    @user-lq1yg9mk1i 3 місяці тому

    Acheni ushamba wa magari nyie

  • @YustoMlay-cv4zb
    @YustoMlay-cv4zb 8 місяців тому +3

    🤣🤣🤣🤣

  • @mariamalongo8803
    @mariamalongo8803 8 місяців тому

    Duuu

  • @Josephkp629
    @Josephkp629 7 місяців тому

    Tqngazo la biashara hili

  • @salehkejje8786
    @salehkejje8786 8 місяців тому +1

    Doto achana na watu utajiharibia CV endelea kutufurahisha
    Cha mama kipo apo 😂😂

  • @user-uo8ce5wp9x
    @user-uo8ce5wp9x 8 місяців тому +1

    😂😂😂😂😂

  • @sorwasoudy6256
    @sorwasoudy6256 8 місяців тому +2

    Doto ndo kboko w machawa

    • @eldaddyofficial
      @eldaddyofficial 6 місяців тому

      Umeonaaa ehhhhhh hawavumiiiii tenaa wala hatuwaogopi tenaa

  • @benitokibwaa4251
    @benitokibwaa4251 8 місяців тому +3

    Humuwez baba levo ww

  • @Kimanzi001
    @Kimanzi001 8 місяців тому +2

    DOTO MAGARI NDO NAANI MBONA ANA KELELE SANA?

  • @user-uo8ce5wp9x
    @user-uo8ce5wp9x 8 місяців тому

    duu huyu mwamba hatar

  • @nurdinkisaria9476
    @nurdinkisaria9476 8 місяців тому +2

    Wee takataka fiche vihela vyako mshenzi nini

  • @user-rw9kc2wg4f
    @user-rw9kc2wg4f 8 місяців тому

    Sema mnazingua nyie midia yenu jau iyo uso uso kwa uso baba levo yupo wapi ss acheni mamb ya kiwaki

  • @user-lq1yg9mk1i
    @user-lq1yg9mk1i 3 місяці тому

    Gari ni Chombo cha usafiri sio cha starehe...ukipata ajali ndio utajua.... Zaidi ni comfortability tu ya Gari kwa kutegemea umbali wa safari na ndio maana raisi ana magari ya town caravans' cars na gari za masafa ya mbali

    • @user-lq1yg9mk1i
      @user-lq1yg9mk1i 3 місяці тому

      Dotto Kwa sababu yeye Ni dalali wa magari Sio ajabu....Ila Hao wengine wamezidi ulimbukeni na ushamba ....mzungu hana ujinga wa kumiliki magari mengi akiwa hata ana Pesa vipi na wasanii wa ulaya wao wanakua na magari mengi ili baadae iwe kama vintage Yard

    • @user-lq1yg9mk1i
      @user-lq1yg9mk1i 3 місяці тому

      Achani kuiga maigo yasiyo ya msingi Kuna mambo kibao yakufanyia hizo Pesa ukaweleza na kufahidika ....acheni kua na mindsets za ajabu

  • @westcijosh
    @westcijosh 8 місяців тому

    Matako ya nyani yamekua matako ya sungura😂😂 dotto kenge sana

  • @roseannandambo8695
    @roseannandambo8695 8 місяців тому

    Utani utani tupinge utani na doto magari?

  • @KIPUDA2023
    @KIPUDA2023 8 місяців тому +2

    😂😂❤❤

  • @mkanulamajid500
    @mkanulamajid500 8 місяців тому

    Mbona sijaona sehemu ambayo b levo anamchana doto ?

    • @westcijosh
      @westcijosh 8 місяців тому +1

      Ukifungua macho utaona

  • @nasibuahmedy2438
    @nasibuahmedy2438 8 місяців тому

    Tatizo Doto watu wanampendea uongo wake tu na kujisifu hela lkn hamna chochote maigizo tu hayo ukimaliza interview unarudisha hela za watu hizo daaaah. Unasema Mazda gari lako lkn hakuna hata plate number mamyake

    • @Baron_Kigume
      @Baron_Kigume 8 місяців тому

      Acha makasiriko. Tafuta Hela

    • @nasibuahmedy2438
      @nasibuahmedy2438 8 місяців тому

      @@Baron_Kigume Sema unataka shingap nikutumie

    • @Baron_Kigume
      @Baron_Kigume 8 місяців тому

      @@nasibuahmedy2438 Ninajitosheleza. Silalamiki hovyo na kuanza Ku-Diss hustle za wanaume wenzangu. Ninaheshimu wapambanaji

  • @KingSillah-gx5nv
    @KingSillah-gx5nv 8 місяців тому +10

    Wanaume watanzania wanaongea sana kuliko wanawake, hapa Kenya huwezi ongea vile huyu jamaa anajisifia utapigwa risasi mapema sanaa💔💔💔. Tajiri haonekani mtandaoni ama kwenye media , matajiri wanaogopa kuonekana, nashangaa vile watanzania wanapenda kujionesha wakijisifu vile wanavyo hela. Njoo hapa Nairobi uone matajiri, utajidharau kaka.

    • @wilsonthomas9176
      @wilsonthomas9176 8 місяців тому +1

      Nchi yenu c haina aman

    • @nasibuahmedy2438
      @nasibuahmedy2438 8 місяців тому +2

      Ushasema huko kwenu Kenya ila tambua huku ni Tanzania nchi huru. Alafu huyu Doto magari wala sio tajiri au umepagawa na hicho kibunda kidogo cha hela

    • @MCNgakungaJunior
      @MCNgakungaJunior 8 місяців тому +1

      Million moja siyo utajiri.Hao unaowaona wanaongea sana riziki yao iko mdomoni.Hivyo lazima waongee sana.

    • @zakariadesha2707
      @zakariadesha2707 8 місяців тому +2

      Kenya wanaumehawana pesa Tanzania tulishazoeya kutumiya pesa mtanzania wahaliyachini hakosikumiliki MILIONI kwanziya 5 kwahio kwetu tunaona kwawaidatu

    • @allendaniel3172
      @allendaniel3172 8 місяців тому

      Asa nyi si mnatamaa Tz watafutaji ukiwa na pesa Yako ni Yako hakuna MTU ataitamani kikubwa kupambana Kila mtu awe na chake nyi Kenya piganen io mibunduki Kwa tamaa zenu

  • @laurentmupira1280
    @laurentmupira1280 8 місяців тому +2

    Tukizichange kwenye dollars za Marekani, hamna kitu!!!! Ni ugari tu, na mboga za majani.

    • @rizikiabdalla2501
      @rizikiabdalla2501 8 місяців тому +3

      Ila zakwakweeeeee

    • @NgengeMkeni-uo5hq
      @NgengeMkeni-uo5hq 8 місяців тому +3

      We unazooo😂

    • @fatmafatu1128
      @fatmafatu1128 8 місяців тому +2

      Mtumwa wa mayahudi

    • @davcodavid8651
      @davcodavid8651 8 місяців тому +2

      Acha bwana wewe zake lkn

    • @laurentmupira1280
      @laurentmupira1280 8 місяців тому +1

      @@NgengeMkeni-uo5hq, More, than him!!! For eg: Kila asubuhi nikiwa kaunta, nalazimika kutoa pesa taslimu zaidi ya milioni mia mbili ili kuwalipa wasafirishaji wa malori ya trela. Ni lazima iwe siri kubwa, iliyotunzwa vizuri na sio hiyo.

  • @user-hi1xf3je6l
    @user-hi1xf3je6l 7 місяців тому

    Mmezingua kwa mzawa mwenye dar yke

  • @oyay2821
    @oyay2821 8 місяців тому

    @babalevo waitwa huku

  • @andrewmmbaga1665
    @andrewmmbaga1665 8 місяців тому +1

    😂😂😂