Mimi nakuwa nasikia kama mafua yanabana sana puani kwa ndani lakini ayatoki je ni madonda maana nilikuwa nayo nkatumia dawa nkapona sasa ndo hali inajitokeza iyo
Umetuelekeza dawa ya vidonda vya tumbo tunaomba na maelekezo kamili asali unatumiaje na kwa mda gani au mafuta ya Nazi unatumia kwa mda gani tusaidie tupone tuishi hapa duniani Kama watu wengine 😭🙏
Mm nko nazo alisasslkini nkiwa skukulaa kutoka jion ndo naskiaa halii siyopow uyuu don't niukweleee so juuu mm kila alivyoo ongea mm nkovivyohivyooo soo niukweliii❤❤❤❤❤❤
Doctor naomba kuuliz chembea moyo nayo husababishwa n nin mim nina vidonda ila huwa nanapata maumiv makali saan chin kidogo y kifua yanayoenda mpk tumbon
Docta tumeshuhudia mana waganga wengine hawezemi ukweli wanaomba pesa tu sasa sisi kigoma mbona hizo dawa hatuzifahamu tunafanyaje tumeteseka tumetumia dawa nyingi hatuponi
Tunaomba namba ya simu Dr Mwaka
Je vidonda vya tumbo husababisha choo kigumu adi kutokwa dam sehemu ya aja kubwa
Mlo sahihi ni upi?
Mimi nakuwa nasikia kama mafua yanabana sana puani kwa ndani lakini ayatoki je ni madonda maana nilikuwa nayo nkatumia dawa nkapona sasa ndo hali inajitokeza iyo
Dr tupe namba ya simu tusaidie
Uyu mama mwenye miwani hajui utangazaji ana makelele sana
Umetuelekeza dawa ya vidonda vya tumbo tunaomba na maelekezo kamili asali unatumiaje na kwa mda gani au mafuta ya Nazi unatumia kwa mda gani tusaidie tupone tuishi hapa duniani Kama watu wengine 😭🙏
😂nimecheka
Hakika Dr.Shaka wewe ni daktari genius. Umetupatia bure dawa za aina 3, uwatu, asali mbichi,na mafuta ya nazi. Barikiwa...
mimi nimeelewa kasema mafuta ya nazi kijiko cha chakula asubuh na jioni kila sikuvila kwa muda gani ndo najiuliza
Dr plz unatumia kiac gn Cha unga wa uwatu?
Dr naweza kuagiza doz nkatumuwa mi npi dodoma
Mm nko nazo alisasslkini nkiwa skukulaa kutoka jion ndo naskiaa halii siyopow uyuu don't niukweleee so juuu mm kila alivyoo ongea mm nkovivyohivyooo soo niukweliii❤❤❤❤❤❤
Tutftane jmn😢
Je kula nyama kama samaki ,ya ngombe, mayai ,maziwa yanaongeza vidonda vya tumbo
NAMBA Yake Kuwasiliana
Mm nawaka moto tumboni mwenzenu
Hapa ni kusikiliza tu na ufuatize kama unaamini lakini namba ya Dr mwaka huwezi ipata wala madeali hayajibiwi hapa vinginevyo uende kwenye clinic yake
Docter mie nasumbuliwa na kizunguzungu na kila nikila haragwe ndo inatokea hivyo nasumbuka sana
Huyo mwanamke mdarai sana hupati faida kwa daktari
Yani vinanitesa sana nasubilia ayao maelekezo yadawa maana atari
😂😂😂kwamb mama anamakelele
Je dawa za hospital atumii
Kwaio, tunafwayaje, hapo
Dawa zake zinagarimu kiasi gani chapesa
NAOMBA KUULZA JE PALACHICHI UNAWEZA KULA?
Mm nko kenyaq je ukuhizii dawa ziko kwelii qma ni Tanzania pekee nachoka nahii halii mm waa hakii vimenikaaa sanaa
Ulizia huko kwenu kenya
Dr mm nasumbuliwa tatizo la asidi kwenye koo
Umepata dawa ndugu
Namba ya simu
Pitia coment Kuna mtu nimemuelekeza dawa
Doctor naomba kuuliz chembea moyo nayo husababishwa n nin mim nina vidonda ila huwa nanapata maumiv makali saan chin kidogo y kifua yanayoenda mpk tumbon
Km mm yaan
Kama mm
Dawa ya vidonda vya tumbo sh. Ngapi?, je unatibu na kuzidi kwa asid tumboni?.
Kuzidi kwa acid tumia manjani ya unga chukua kijiko chachakula weka kwenye maji Lita moja chemsha kunywa Mara 3 kwa siku ikiisha unatengeneza Tena
Mm ninavyo lakini natumiaga dawa hazinisaidii
Tuerekezeni, daw
Doctor mm mwanangu amepimwa anamadonda ya tumbo hiiii inasababishwa nanin Kwa mtoto mdogo?
Unatumia Kia's gan Cha uwatu?
Kijiko cha chai
Asali unatumiaje
Doktar mwaka tunaomba jibu au mafuta ya Nazi unatumia kwa mda gani
Naomba namba ya dokta mwaka
Naomba kuuliza mimi naumwa na vidonda naumia mpk nyuma ya mgongo inakuwaje
Ndio vidonda hivo
Dokta naomba kutambua Jambo moja swali langu nikwamba vidonda vyatumbo vinaweza kuasirii mwanaume kushindwa shuhuli yake kwa mwenza wake
Ndio
Mimi Nina uia nimeshakuywa dawA ila nikipima nakuta Bado nisaidie kwa anaejua dawa nyingine hata mitisha mnambie
Changanya Asali mbichi na maziwa ya mbuzi mabichi kunywa utapona
Docter naomba namba yako nina madonda sugu
Ivi vidonda vinapelekea kupata dege dege.
Sawa mkuu
Nimekuja kwenye Hospitali wanakupa Dawa mchanganyiko kitunguu saumu malimao tangawizi inazidisha asidi
Mimi nimetumia limao ndiyo kama tumbo limezidi
Upo uku oman mwingi tu
😢😢
Unaweza kuchanganya asali na uwatu au kuchanganya na mafuta ya nazi
Je? Katika hizodawa doctor ulizotutajia nizote lazma utume Yan mchanganyo au mojawapo
Bia ya kilimanjaro glas moja kabla yakula siku 14
Mundy nkofia 1:25
Kuna shida gani tukila maharage maana ndiochakula chetu
Docta tumeshuhudia mana waganga wengine hawezemi ukweli wanaomba pesa tu sasa sisi kigoma mbona hizo dawa hatuzifahamu tunafanyaje tumeteseka tumetumia dawa nyingi hatuponi
Dawa zinapatikana arusha
Mafuta ya nazi hata ya dukani?
Sisi watu wa inchi za kigeni dawa hizo tutazibata vipi dawa zenu
Nimeelewa dockita
Tunashukuru dkt kwa ushauri ila watangazaji mnaongea Sana kuliko dkt kah! Too much muwe mnampa nafasi ya kuongea mnapo alika mgeni
Asali mbichi unaitumiaje
Sisi watu tunaoishi inchi zingine kama Burundi matibabu tutayabata vip
Na je kwann kazi ya kabichi tumbon ni nn??na je maumivu ya chembe ya moyo na kichwa n nn?? Na je kuharisha kunasbabishwa na nn??
Mimi nikinywa pombe naumwa tumbo je nidalili au
Si uache
Ila wadada wana kelele hawa lol
dokta nina asidi nitapata tiba
Watangazaji wapunguze midomo tusikilize
😂😂😂
Jamani Mimi hady ss nasumbuliwa na Hy alisa au hypoory
Mm nasumbuliwa na vidonda vya tumbo na nko Kenya naweza pata aje hizo dawa
Namba yake
Huyu jamaa kiboko kama alipishana na mashehe
Mimi tumbo linavuta
Mimi napata maumivu kitkat yakifua je hivipia nividonda vya tumbo
Nenda hospital kapime
Mim vimeisha niasiri sana
Nisaidie dawa
Nisaidie dawa
Tuambie daw
Niambie dawa
Nisaidie dawa
Huyu mwanamke hata anakera mtu unataka kuskiliza dawa wao n kelele tu
Yaani wanaudhi!!! asali hajatwambia inatumikaje wanamkatisha kelele tu
Dr.naomba no yako
Mimi hd ganzi mkononi
Unatumia. Dawa. Gani. Nijuze. Mwenzio. Nasumbuka
@@omanoman4313aki pia mimi 😢😢