VITU VINAVYOSABABISHA VIDONDA VYA TUMBO | DALILI ZAKE | DAWA YA VIDONDA VYA TUMBO

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 27 жов 2024

КОМЕНТАРІ • 99

  • @StellaNjalla
    @StellaNjalla 3 дні тому

    Tunaomba namba ya simu Dr Mwaka

  • @enezaelinnko-gr5cp
    @enezaelinnko-gr5cp 6 місяців тому +5

    Je vidonda vya tumbo husababisha choo kigumu adi kutokwa dam sehemu ya aja kubwa

  • @StellaNjalla
    @StellaNjalla 3 дні тому

    Mlo sahihi ni upi?

  • @praxedarutaselw4076
    @praxedarutaselw4076 10 місяців тому +2

    Mimi nakuwa nasikia kama mafua yanabana sana puani kwa ndani lakini ayatoki je ni madonda maana nilikuwa nayo nkatumia dawa nkapona sasa ndo hali inajitokeza iyo

  • @StellaNjalla
    @StellaNjalla 3 дні тому

    Dr tupe namba ya simu tusaidie

  • @rukiamziwanda7458
    @rukiamziwanda7458 6 місяців тому +2

    Uyu mama mwenye miwani hajui utangazaji ana makelele sana

  • @salhapeter5520
    @salhapeter5520 Рік тому +5

    Umetuelekeza dawa ya vidonda vya tumbo tunaomba na maelekezo kamili asali unatumiaje na kwa mda gani au mafuta ya Nazi unatumia kwa mda gani tusaidie tupone tuishi hapa duniani Kama watu wengine 😭🙏

    • @JoyceHaule-v7t
      @JoyceHaule-v7t Рік тому

      😂nimecheka

    • @elibarikimollel7149
      @elibarikimollel7149 7 місяців тому

      Hakika Dr.Shaka wewe ni daktari genius. Umetupatia bure dawa za aina 3, uwatu, asali mbichi,na mafuta ya nazi. Barikiwa...

    • @BintShaban
      @BintShaban 2 місяці тому

      mimi nimeelewa kasema mafuta ya nazi kijiko cha chakula asubuh na jioni kila sikuvila kwa muda gani ndo najiuliza

  • @mkambaselemani-ej7np
    @mkambaselemani-ej7np 6 місяців тому

    Dr plz unatumia kiac gn Cha unga wa uwatu?

  • @MRIMIIddy
    @MRIMIIddy 11 місяців тому

    Dr naweza kuagiza doz nkatumuwa mi npi dodoma

  • @aminachiziamina
    @aminachiziamina Рік тому

    Mm nko nazo alisasslkini nkiwa skukulaa kutoka jion ndo naskiaa halii siyopow uyuu don't niukweleee so juuu mm kila alivyoo ongea mm nkovivyohivyooo soo niukweliii❤❤❤❤❤❤

  • @MandelaKileo
    @MandelaKileo Місяць тому

    Je kula nyama kama samaki ,ya ngombe, mayai ,maziwa yanaongeza vidonda vya tumbo

  • @malibwaedwin
    @malibwaedwin 9 місяців тому

    NAMBA Yake Kuwasiliana

  • @hatmanjema
    @hatmanjema Рік тому +1

    Mm nawaka moto tumboni mwenzenu

  • @matildamati9222
    @matildamati9222 8 місяців тому

    Hapa ni kusikiliza tu na ufuatize kama unaamini lakini namba ya Dr mwaka huwezi ipata wala madeali hayajibiwi hapa vinginevyo uende kwenye clinic yake

  • @AbdiDizo
    @AbdiDizo 9 місяців тому

    Docter mie nasumbuliwa na kizunguzungu na kila nikila haragwe ndo inatokea hivyo nasumbuka sana

  • @mdathirhassan2187
    @mdathirhassan2187 8 місяців тому

    Huyo mwanamke mdarai sana hupati faida kwa daktari

  • @WemaMwinshehe
    @WemaMwinshehe Місяць тому

    Yani vinanitesa sana nasubilia ayao maelekezo yadawa maana atari

  • @kabuladende
    @kabuladende День тому

    😂😂😂kwamb mama anamakelele

  • @dominickjonas5423
    @dominickjonas5423 2 місяці тому

    Je dawa za hospital atumii

  • @ThomasititonikiThomasititoniki
    @ThomasititonikiThomasititoniki 14 днів тому

    Kwaio, tunafwayaje, hapo

  • @Husna-s5k
    @Husna-s5k 7 місяців тому

    Dawa zake zinagarimu kiasi gani chapesa

  • @abdallahfurah238
    @abdallahfurah238 3 місяці тому

    NAOMBA KUULZA JE PALACHICHI UNAWEZA KULA?

  • @aminachiziamina
    @aminachiziamina Рік тому +1

    Mm nko kenyaq je ukuhizii dawa ziko kwelii qma ni Tanzania pekee nachoka nahii halii mm waa hakii vimenikaaa sanaa

  • @phidonphillibert1504
    @phidonphillibert1504 11 місяців тому

    Dr mm nasumbuliwa tatizo la asidi kwenye koo

  • @Jacklin-bt3ic
    @Jacklin-bt3ic 5 місяців тому

    Doctor naomba kuuliz chembea moyo nayo husababishwa n nin mim nina vidonda ila huwa nanapata maumiv makali saan chin kidogo y kifua yanayoenda mpk tumbon

  • @BethaKululinda
    @BethaKululinda 3 місяці тому

    Dawa ya vidonda vya tumbo sh. Ngapi?, je unatibu na kuzidi kwa asid tumboni?.

    • @mailimanisul3847
      @mailimanisul3847 14 днів тому

      Kuzidi kwa acid tumia manjani ya unga chukua kijiko chachakula weka kwenye maji Lita moja chemsha kunywa Mara 3 kwa siku ikiisha unatengeneza Tena

  • @Husna-s5k
    @Husna-s5k 7 місяців тому

    Mm ninavyo lakini natumiaga dawa hazinisaidii

  • @ThomasititonikiThomasititoniki
    @ThomasititonikiThomasititoniki 14 днів тому

    Tuerekezeni, daw

    • @MunillahKhamis
      @MunillahKhamis 10 днів тому

      Doctor mm mwanangu amepimwa anamadonda ya tumbo hiiii inasababishwa nanin Kwa mtoto mdogo?

  • @mkambaselemani-ej7np
    @mkambaselemani-ej7np 6 місяців тому

    Unatumia Kia's gan Cha uwatu?

  • @salhapeter5520
    @salhapeter5520 Рік тому +2

    Asali unatumiaje

    • @salhapeter5520
      @salhapeter5520 Рік тому

      Doktar mwaka tunaomba jibu au mafuta ya Nazi unatumia kwa mda gani

  • @NeemaDaudi-o6x
    @NeemaDaudi-o6x 8 місяців тому

    Naomba namba ya dokta mwaka

  • @SaibShaib
    @SaibShaib 6 місяців тому

    Naomba kuuliza mimi naumwa na vidonda naumia mpk nyuma ya mgongo inakuwaje

  • @innocentmmary6441
    @innocentmmary6441 11 місяців тому

    Dokta naomba kutambua Jambo moja swali langu nikwamba vidonda vyatumbo vinaweza kuasirii mwanaume kushindwa shuhuli yake kwa mwenza wake

  • @RosemaryIbrahim-x9z
    @RosemaryIbrahim-x9z 9 місяців тому

    Mimi Nina uia nimeshakuywa dawA ila nikipima nakuta Bado nisaidie kwa anaejua dawa nyingine hata mitisha mnambie

  • @StevenNesphory
    @StevenNesphory Місяць тому

    Changanya Asali mbichi na maziwa ya mbuzi mabichi kunywa utapona

  • @neemamwijage
    @neemamwijage 5 місяців тому

    Docter naomba namba yako nina madonda sugu

  • @suniahjerry5985
    @suniahjerry5985 Рік тому

    Ivi vidonda vinapelekea kupata dege dege.

  • @archkeels3753
    @archkeels3753 11 місяців тому

    Sawa mkuu

  • @gracekavishe9823
    @gracekavishe9823 9 місяців тому

    Nimekuja kwenye Hospitali wanakupa Dawa mchanganyiko kitunguu saumu malimao tangawizi inazidisha asidi

  • @WemaMwinshehe
    @WemaMwinshehe Місяць тому

    Upo uku oman mwingi tu

  • @mwanakomboomary7609
    @mwanakomboomary7609 8 місяців тому

    😢😢

  • @HamudiSeif
    @HamudiSeif 11 місяців тому

    Unaweza kuchanganya asali na uwatu au kuchanganya na mafuta ya nazi

  • @SamwelGidion-b9h
    @SamwelGidion-b9h 10 місяців тому

    Je? Katika hizodawa doctor ulizotutajia nizote lazma utume Yan mchanganyo au mojawapo

  • @VelonikaMakota
    @VelonikaMakota 4 місяці тому

    Bia ya kilimanjaro glas moja kabla yakula siku 14

  • @MudyNkofia
    @MudyNkofia 2 місяці тому

    Mundy nkofia 1:25

  • @bmbabaima1506
    @bmbabaima1506 2 місяці тому

    Kuna shida gani tukila maharage maana ndiochakula chetu

  • @AngelineSaidi
    @AngelineSaidi 4 місяці тому

    Docta tumeshuhudia mana waganga wengine hawezemi ukweli wanaomba pesa tu sasa sisi kigoma mbona hizo dawa hatuzifahamu tunafanyaje tumeteseka tumetumia dawa nyingi hatuponi

  • @Atb300
    @Atb300 10 місяців тому

    Mafuta ya nazi hata ya dukani?

  • @NasibuJuma-zv5ox
    @NasibuJuma-zv5ox 8 місяців тому

    Sisi watu wa inchi za kigeni dawa hizo tutazibata vipi dawa zenu

  • @GiftMaiko
    @GiftMaiko 6 місяців тому

    Nimeelewa dockita

  • @mahijaspear4648
    @mahijaspear4648 Рік тому +2

    Tunashukuru dkt kwa ushauri ila watangazaji mnaongea Sana kuliko dkt kah! Too much muwe mnampa nafasi ya kuongea mnapo alika mgeni

  • @christinajohn3718
    @christinajohn3718 Рік тому

    Asali mbichi unaitumiaje

  • @NasibuJuma-zv5ox
    @NasibuJuma-zv5ox 8 місяців тому

    Sisi watu tunaoishi inchi zingine kama Burundi matibabu tutayabata vip

  • @rebeccapallangyo
    @rebeccapallangyo Рік тому +1

    Na je kwann kazi ya kabichi tumbon ni nn??na je maumivu ya chembe ya moyo na kichwa n nn?? Na je kuharisha kunasbabishwa na nn??

  • @ShigongoMahuma-jv6hm
    @ShigongoMahuma-jv6hm 11 місяців тому

    Mimi nikinywa pombe naumwa tumbo je nidalili au

  • @jackieleyla7161
    @jackieleyla7161 Місяць тому

    Ila wadada wana kelele hawa lol

  • @ChristianaKibena
    @ChristianaKibena Рік тому

    dokta nina asidi nitapata tiba

  • @JoyceSama-bo7jv
    @JoyceSama-bo7jv 2 місяці тому

    Watangazaji wapunguze midomo tusikilize

  • @muadhmirza
    @muadhmirza Рік тому +1

    Jamani Mimi hady ss nasumbuliwa na Hy alisa au hypoory

    • @margaretbarasa1627
      @margaretbarasa1627 Рік тому

      Mm nasumbuliwa na vidonda vya tumbo na nko Kenya naweza pata aje hizo dawa

  • @RobertJonh-e9w
    @RobertJonh-e9w 8 днів тому

    Namba yake

  • @msangodiesel3132
    @msangodiesel3132 Рік тому

    Huyu jamaa kiboko kama alipishana na mashehe

  • @VeronicaSisimbi-dv3bn
    @VeronicaSisimbi-dv3bn 7 місяців тому

    Mimi tumbo linavuta

  • @JameelaMahmood-k1b
    @JameelaMahmood-k1b Рік тому

    Mimi napata maumivu kitkat yakifua je hivipia nividonda vya tumbo

  • @SuzymirajiIbrahimu
    @SuzymirajiIbrahimu Рік тому +1

    Mim vimeisha niasiri sana

  • @PerisiperisiKingi
    @PerisiperisiKingi 8 місяців тому

    Huyu mwanamke hata anakera mtu unataka kuskiliza dawa wao n kelele tu

    • @EmanwelinaAlistides
      @EmanwelinaAlistides 7 місяців тому

      Yaani wanaudhi!!! asali hajatwambia inatumikaje wanamkatisha kelele tu

  • @yeanyaen3663
    @yeanyaen3663 Рік тому

    Dr.naomba no yako

  • @muadhmirza
    @muadhmirza Рік тому +1

    Mimi hd ganzi mkononi

    • @omanoman4313
      @omanoman4313 Рік тому

      Unatumia. Dawa. Gani. Nijuze. Mwenzio. Nasumbuka

    • @milkaondimu1684
      @milkaondimu1684 Рік тому

      ​@@omanoman4313aki pia mimi 😢😢