Dibango kidogo nitakukosoa Leo ww ni best yangu sana but singeli itauza Spain coz huko ndio mambo Yao ila mjomba D Voice na mjomba Swara wawekeze sana katika lugha ya singeli kama ni kiswahili kiwe na mafunzo ya Hali halisis ya maisha na pia wafanye mix ya lugha kingereza na kispanyola ili watu wa Dunia wapate kuelewa na midundo iwe babukubwa but kama ni Sengeli ya kibongo bongo haiendi mbali .pia mjomba kitondoro ampe pumzi D voice afanya ya kwake coz naona makolabo kibao hii itamvunjavunja ila wampe ukubwa kwanza kivyakevyake Kisha kolabo za wastani.Doh Swara kaingia Kwa Sengeli sasa hii noma
Mond so mjinga kumsaini uyu msanii wa singeli... Kwasbu mond kaongeza mashabiki .. na uyu d voice atafka mbali sana mpka watu watashangaa kwasbu mwanzo ni mgumu ila najua atafanya tu surprise watu hawatoamini.
Nyanyi wakumponda D Voice,si nyinyi mpeleke mama zetu ama dada zenu wenye vikipaji wafike mbali. Maubwa nyinyi na Roho mbaya kila siku ila mko sahihi masikini kila siku kazi ni kuongelea waliomzidi
Ana tisha wapi kwa roho mbaya aliyo nayo hanaga akili wewe una waza mtu mwene ana akili ana weza ongea ivo mbona walishindwa kumu saidiya huyo anjela acha
Anae jua anajua tu yule ametokea kwenye singeli ndio aimanishi kua yeye ndio anaujua singeli tu msanii mkali ni yule anayeimba aina yoyote ya mziki huyo ndio msanii mkubwa
Wewe mbona harmonize mbona kaimba sinqel hata mkumsema mondi ndio kwanza mnampaisha mnamzidishia kupanda chat mondi na mpenda mziki wake mpaka nainqia kabulini napenda sana
Singeli ?? ET Wanadidang'aya kama Anabadilika Sasa uyo Msanii wao akibadilika anatuimbia Mataharabu . ET mwandishi mzuli wabongo wanapenda kupigia kelele vítu vibovu.
Ding”ano mtoto wa Lindi chawa mi mtoto wa Lindi tukutuku stare mimba ILaLa DSM born Lindi grew up Ilala DSM, kichaa wa kujipakia I’m just kidding homie one love from states, what up Bc 100 shule ya msingi Ilala Boma Tz one love, kitovu changu kipo TZ, I love you all on my heart.
Apo ndo wandishi wanafeli sana wanashindwa kusema harmonize alishinda Tuzo alafu kuna watu hawajui Harmonize alishinda Tuzo ya nini wanashindwa kusema hivyo
Yani had machoz yanakutoka kisha umbea kama mwanamke kwani kinakuuma nini ??eti ?Ajela alitoa siri zenu ebu tulia uko wewe ndo uwez pata kitu uku duniani kwa hii wivu yako nyooo mzee baba mzigo wako sepa pita paleeeee uka lale.
Nilisema tu huyu mchawi lazima tu litamchoma yani unaonekana uko na wivu kupitiliza sasa Ibra amekwisha ata sikuiz asikiki.ogea y Ibra wachana n WCB weeee chawa mchovu
Sasa yeye ali kuwa wapi ku msaidiya harmonize kabla haja pata number ya diamond ili amsaidiye acha wivu kaka sababu mume shindwa ku msaidiya anjela we umbwa hauna akili ata hausikiye haya kuweza kuongeya hayo mbona wasafi haikuongeleye wewe acha wivu umeshindwa wewe
Diamond anatumia nguvu ya ushawishi lazima Nigeria wataimba sengel na huyo dvoice haimbi sengel pekee anaimba mpaka bongo mpka taarabu mpaka miduara sioni ubaya pia itanyanyua mziki wa sengel
PTV FOREVER 🙏 Hakuna kitu APO , mwana mziki wa singeli hastahili iyo labels 🙏🙏 natena hakuna Mtuu wakumu pimanisha Na harmonize APO
Yeye ni msanii wa singeri anaimb hadi bongo fleva
🇰🇪🇰🇪🇰🇪 Ptv napenda sana interview za uyu mwamba Mii namuelewa sana keep it kumhoji Dingano 🔥🔥
Ni kweli hata mimi nkikuta Nyumbani kwangu inapigwa singeli ntachapa watoto vbya sana.
😂
WCB itawachukua muda sana kumpata msanii geneus kama harmonize
🥳🥳🙌🙌🙌😂😂
Unaumwa wewe....chawa tuuu😁
Kabisa na ndoomana Toka atoke Hamo mambo yameharibika kabisa kwao
This guy understands music💯
😅😅mungu yu mwema😂😂 ding'ano for life🙌🙌
Dibango kidogo nitakukosoa Leo ww ni best yangu sana but singeli itauza Spain coz huko ndio mambo Yao ila mjomba D Voice na mjomba Swara wawekeze sana katika lugha ya singeli kama ni kiswahili kiwe na mafunzo ya Hali halisis ya maisha na pia wafanye mix ya lugha kingereza na kispanyola ili watu wa Dunia wapate kuelewa na midundo iwe babukubwa but kama ni Sengeli ya kibongo bongo haiendi mbali .pia mjomba kitondoro ampe pumzi D voice afanya ya kwake coz naona makolabo kibao hii itamvunjavunja ila wampe ukubwa kwanza kivyakevyake Kisha kolabo za wastani.Doh Swara kaingia Kwa Sengeli sasa hii noma
Huyu ndio Dingano bwana Big up,waandishi wa mchongo.
Sasa domo amevaa nn icho amekaa kama fidodido amechekesha umma jamani
Matatizo and single again the best songs ever big up Hamonize keep moving
Meneja digano sharrahut, onguera sana sana 👏👏👏👏
Dinganoo Mwamba unatishaaa singeli inaishia bongo tu
Mob love from Kenya dingano
Nakuaka nakukubali sana manager dingano
Mond so mjinga kumsaini uyu msanii wa singeli... Kwasbu mond kaongeza mashabiki .. na uyu d voice atafka mbali sana mpka watu watashangaa kwasbu mwanzo ni mgumu ila najua atafanya tu surprise watu hawatoamini.
Muacheni diamond harmoze bado ana safari ndefu kufikia mondi alipo sasa na D VOICE ANA kipaji sana sana
Diamond amefeli
Tembo Jeshiiii la mtu Moja
Meneja ni Noma sana
Kwani mzee wa fact anasemaje nae AKA Mr Pimbi maana daah...🤣😃🤭
😂 ❤ding'ano 🔥🔥🇲🇿
WCB sjui imekuaje
Kiukweli ule jamaa hamuna kitu labda wamusaini FOUNDER TZ.
Ila daimond kakurupuka sana mimi binfsi cjamwelew huyo dtalaka
😂😂😂😂 Ding'ano na Ding'ano zake,...
From Kenya dinghano motor Sana 😅
Hapama singeli ita vukaa alafu d vois ana badilikaa badilika d vois bongee la msniii mtakuja nambiaaa
Mm nadhani d vois atabadili kutoka singel kuja bongo fever na amapiano....nyie pgeni ngenge tu😂😂😂
Mbona Uyu haeleweki meneger
Nice Dingano
VIP Angela , chid na kid, au Ibrah, bangi wewe chunga tu mu pumuwe vibaya😮😮
Mond ana target zake wala hana upinzani na upande wwote kwasbu kwa utajiri wake hana muda wa kushindana na mtu . Hata mkisema hamumpunguziii chochote.
True
Dingano nakufatilia nikiwa Nairobi ,huko sawa waoshe hawa mwabino
Ding'no facts 💫
Nyanyi wakumponda D Voice,si nyinyi mpeleke mama zetu ama dada zenu wenye vikipaji wafike mbali.
Maubwa nyinyi na Roho mbaya kila siku ila mko sahihi masikini kila siku kazi ni kuongelea waliomzidi
Motomoto
Hiyo nguo alivyo vaa mondii inatoshaaa😅😅 jameeni
Dingano 👏👏👏👏💯
Chambua babu din'gano😂😂😂
Ding kaongeya kweli kabisa
Fact kbs maneger❤
Ana tisha wapi kwa roho mbaya aliyo nayo hanaga akili wewe una waza mtu mwene ana akili ana weza ongea ivo mbona walishindwa kumu saidiya huyo anjela acha
Wcb wamechemuka sanaas
Wewe hauna akil kabixaaaa
Wivu huyooo diamond anaona mbali
😂😅ding'ano et anamtukana baba levo pua😂😂 wakati yeye mwenyewe dingano mpua huoo😂😂😂 ama kweli nyan haoni kundu lakeeee
😂😂😂
😅😅eti chakwacha kwachakwacha
Shenziii ngoja tu kidogo awe mkumbwa kushinda huyo ibrah
Kumbe Leber kubwa unajua
Chuki tuu huyo pimbi hajui chochota kuhusu mziki d voice msaanii tuacheni matani
Ukweli ata Mimi singeli jamani ipite ivi kwaza
True story wapuuz xn wasf😂😂😂
Meneja unajikuta TOP Quality, ila kupata ukubwani pia inachangia 😂
Kondegang nyie subirieni tu ajekumfunika ibraa😂😂
No senile on konde village
Anae jua anajua tu yule ametokea kwenye singeli ndio aimanishi kua yeye ndio anaujua singeli tu msanii mkali ni yule anayeimba aina yoyote ya mziki huyo ndio msanii mkubwa
Unajua Kama huwez kuwa mbunifu utaishia kuwashangaa wasafi ukwely anaujua ila anavunga
Atapotea kama lavalava
Apa WCB ime tiya maji
🎉🎉
Kweli ata mm niliisikiliza nami nikaifuta chapu maana uwimbaji wake Kwa mbalii kama Omar kopa
Azingua wesiwakuzungumza ww
Mdomomdomo tu akifanikiwa mnanyamaza
Acha roho mbaya kenge weeee
💯💯
Kwahiyo unasema hivyo huyo harmonize alivyokuwa hajatoka nani alikuwa anamjua halafu dogo anafanya mziki wowote wewe usicrem Labda mkamroge
Ila Kwa Upande Mwengin Kam Wamekosey Kumsaini Msanii Wa Singeli
Watu na kazi zao, usiwe mtabiri feki
Ndioo
Ulitaka wamsajili mama ako, kumaanisha nini
😂😂😂😂😂😂😂
@@hmedoggftherljih199 huyu mwanga tuuu....ndo wataskiza sasa😁😁
Naulizaa😂😂 Ni naani kamshaurii Diamond avaee Pensi jamani miguu miguu mbona ni aibuu avae Trouser tuu
😂😂😂😂😂 nilidhani nimeona peke yngu
Chuki tu
Huyu ni manager kweli au chawa?
Maana kama manager unatakiwa kujua vionjo mbalimbali kila aina ya mziki.
Hapo mwambino amegawanya riziki Tu hamna kitu hata wakaungana
We dingano una chembechembe za ushoga
Hapa ukweli 😅😅
Hata mimi kaka sipendi singeli
😂😂😂nahc we unapenda me xielewagii ata wanaimbagaaa nn an full matuc
😂😂😂aimbe singeli, mchiriku ata kwaya ndo kashatoboaa kwixhaaa iyooo kila m2 na bahat yak😏
😂😂😆
Mchawi ww ding'ano
Wewe mbona harmonize mbona kaimba sinqel hata mkumsema mondi ndio kwanza mnampaisha mnamzidishia kupanda chat mondi na mpenda mziki wake mpaka nainqia kabulini napenda sana
Wampigia kelele mtu mwenye humfukii hata robo 😂nipeni likes nilale mie fyoko
Niliwaza mavicali ao lunya😢
Utaxema xema wewe hauna akil kabixaaaa Yani
Singeli ?? ET Wanadidang'aya kama Anabadilika Sasa uyo Msanii wao akibadilika anatuimbia Mataharabu . ET mwandishi mzuli wabongo wanapenda kupigia kelele vítu vibovu.
Hata zuchu mlisema hivyo hivyo saivi ndio homa ya jiji kwa kila kitu kwaiyo tulieni dawa iwaingie
Wee unaumwa wallae😂😂Zuchu kafanya kitu gani toka aingie WCB😂😂
Hiyo ni jealous
Mpaka hapo ukae ukijua singeli ndio itakuwa sokon
Daimond kachemka hapo ila anajuwa snschokifanya
Japo mm ni team wcb but Hawa wasanii wa singeli siwaelewi kabisa
😂ila diamond sio chizi hamjui yeye kaona nn
Ding”ano mtoto wa Lindi chawa mi mtoto wa Lindi tukutuku stare mimba ILaLa DSM born Lindi grew up Ilala DSM, kichaa wa kujipakia I’m just kidding homie one love from states, what up Bc 100 shule ya msingi Ilala Boma Tz one love, kitovu changu kipo TZ, I love you all on my heart.
Apo ndo wandishi wanafeli sana wanashindwa kusema harmonize alishinda Tuzo alafu kuna watu hawajui Harmonize alishinda Tuzo ya nini wanashindwa kusema hivyo
Kumbe unajua kama WCB ni label kubwa kenge ww
Mimi niliona siku walivyo mutambulisha niliona nikajiua huyu musanii mpya wa WCB ni bure sana singeli ni music wa East Africa peke yake
Mwandishi unaongeaje hivyo wewe?
Af huyu jamaa bila diamond atalal njaa Mana hang mtu mwingine wakumsema,,
Ndo alivotumwa na boss😅😅 akili ya kunguni kukaa mchagoni...yamekushindaaaa kaa kwa kutulia...Simbaaaa
Yani had machoz yanakutoka kisha umbea kama mwanamke kwani kinakuuma nini ??eti ?Ajela alitoa siri zenu ebu tulia uko wewe ndo uwez pata kitu uku duniani kwa hii wivu yako nyooo mzee baba mzigo wako sepa pita paleeeee uka lale.
Nilisema tu huyu mchawi lazima tu litamchoma yani unaonekana uko na wivu kupitiliza sasa Ibra amekwisha ata sikuiz asikiki.ogea y Ibra wachana n WCB weeee chawa mchovu
Mnaiongelea lebel inayosajili wasanii halafu mnashindwa kuiongelea lebel inayofeli kukaa kukuza wasanii
Nyie wabongo muwe na akili kwani ukiwa deleva wa gari kubwa ndo inamanisha uwezi kuendesha gari dogo wangap walikua wanaimba bongo fleva na wakaamia kweny taarabu na wakatoboa wengine hip hap wakaamia bongo fleva mfano fid q, isha mashauzi na wakatoboa . Ukijua kuimba mziki utaimba mziki wowote ule acheni kujifanya wajinga
Kwahiyo mshaanza kumshindanisha Dvoice na harmomavi hebu angalieni hata urefu atakaekuwa mrefu ndo mkali
Kumbe dvoice ni mjukuu wa bikidude😅
😂😂😂😂😂daaaah! Ila ww em niachee kwanz an nmechekaa 😆😆😆
Ni kweli 😂😂😂
Sasa yeye ali kuwa wapi ku msaidiya harmonize kabla haja pata number ya diamond ili amsaidiye acha wivu kaka sababu mume shindwa ku msaidiya anjela we umbwa hauna akili ata hausikiye haya kuweza kuongeya hayo mbona wasafi haikuongeleye wewe acha wivu umeshindwa wewe
Sasa wewe uko na akili ku liko mkubwa fela na Salam sk peleka ushamba konde mlitengezewa saizi mna bwata kama mbwa koko
Diamond anatumia nguvu ya ushawishi lazima Nigeria wataimba sengel na huyo dvoice haimbi sengel pekee anaimba mpaka bongo mpka taarabu mpaka miduara sioni ubaya pia itanyanyua mziki wa sengel