MENEJA DING'ANO AMCHEKA MSANII MPYA WA WCB {DVOICE} // HAWEZI KUFIKA POPOTE HUYU // TAZAMA HAPA...

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 17 лис 2023

КОМЕНТАРІ • 132

  • @DAMIABOY
    @DAMIABOY 8 місяців тому +19

    PTV FOREVER 🙏 Hakuna kitu APO , mwana mziki wa singeli hastahili iyo labels 🙏🙏 natena hakuna Mtuu wakumu pimanisha Na harmonize APO

    • @ernestcharles4288
      @ernestcharles4288 8 місяців тому +1

      Yeye ni msanii wa singeri anaimb hadi bongo fleva

  • @NyanjeMwalimu-qy5ug
    @NyanjeMwalimu-qy5ug 8 місяців тому +18

    🇰🇪🇰🇪🇰🇪 Ptv napenda sana interview za uyu mwamba Mii namuelewa sana keep it kumhoji Dingano 🔥🔥

  • @nicholauskilosa5336
    @nicholauskilosa5336 8 місяців тому +14

    Ni kweli hata mimi nkikuta Nyumbani kwangu inapigwa singeli ntachapa watoto vbya sana.

  • @mrsinia3064
    @mrsinia3064 8 місяців тому +24

    WCB itawachukua muda sana kumpata msanii geneus kama harmonize

    • @michelinemapendo6652
      @michelinemapendo6652 8 місяців тому

      🥳🥳🙌🙌🙌😂😂

    • @mamboshepea8888
      @mamboshepea8888 8 місяців тому +1

      Unaumwa wewe....chawa tuuu😁

    • @felista5107
      @felista5107 8 місяців тому

      Kabisa na ndoomana Toka atoke Hamo mambo yameharibika kabisa kwao

  • @Levinsky25
    @Levinsky25 8 місяців тому +12

    This guy understands music💯

  • @pingumagongo1997
    @pingumagongo1997 5 місяців тому +2

    😅😅mungu yu mwema😂😂 ding'ano for life🙌🙌

  • @MohammedMohammed-uo5sk
    @MohammedMohammed-uo5sk 8 місяців тому +7

    Dibango kidogo nitakukosoa Leo ww ni best yangu sana but singeli itauza Spain coz huko ndio mambo Yao ila mjomba D Voice na mjomba Swara wawekeze sana katika lugha ya singeli kama ni kiswahili kiwe na mafunzo ya Hali halisis ya maisha na pia wafanye mix ya lugha kingereza na kispanyola ili watu wa Dunia wapate kuelewa na midundo iwe babukubwa but kama ni Sengeli ya kibongo bongo haiendi mbali .pia mjomba kitondoro ampe pumzi D voice afanya ya kwake coz naona makolabo kibao hii itamvunjavunja ila wampe ukubwa kwanza kivyakevyake Kisha kolabo za wastani.Doh Swara kaingia Kwa Sengeli sasa hii noma

  • @JoelRichard-hj3bi
    @JoelRichard-hj3bi 8 місяців тому +13

    Huyu ndio Dingano bwana Big up,waandishi wa mchongo.

    • @AshaMatola-hn2rd
      @AshaMatola-hn2rd 8 місяців тому +1

      Sasa domo amevaa nn icho amekaa kama fidodido amechekesha umma jamani

  • @chandiasamuel9292
    @chandiasamuel9292 8 місяців тому

    Matatizo and single again the best songs ever big up Hamonize keep moving

  • @abdalaauame3863
    @abdalaauame3863 8 місяців тому +5

    Meneja digano sharrahut, onguera sana sana 👏👏👏👏

  • @deogratiaskatabwa5230
    @deogratiaskatabwa5230 8 місяців тому +6

    Dinganoo Mwamba unatishaaa singeli inaishia bongo tu

  • @Levinsky25
    @Levinsky25 8 місяців тому +4

    Mob love from Kenya dingano

  • @desantos_official
    @desantos_official 8 місяців тому +5

    Nakuaka nakukubali sana manager dingano

  • @user-ie2ww6vq5o
    @user-ie2ww6vq5o 8 місяців тому +2

    Mond so mjinga kumsaini uyu msanii wa singeli... Kwasbu mond kaongeza mashabiki .. na uyu d voice atafka mbali sana mpka watu watashangaa kwasbu mwanzo ni mgumu ila najua atafanya tu surprise watu hawatoamini.

  • @mashramadhani1989
    @mashramadhani1989 8 місяців тому +2

    Muacheni diamond harmoze bado ana safari ndefu kufikia mondi alipo sasa na D VOICE ANA kipaji sana sana

  • @OmarOmaramimoOmar
    @OmarOmaramimoOmar 8 місяців тому +6

    Diamond amefeli

  • @denismigayi8513
    @denismigayi8513 8 місяців тому +6

    Tembo Jeshiiii la mtu Moja

  • @mayahemede4841
    @mayahemede4841 8 місяців тому +3

    Meneja ni Noma sana

  • @bakarimnyubi2650
    @bakarimnyubi2650 8 місяців тому +4

    Kwani mzee wa fact anasemaje nae AKA Mr Pimbi maana daah...🤣😃🤭

  • @cristianofabiao537
    @cristianofabiao537 8 місяців тому +9

    😂 ❤ding'ano 🔥🔥🇲🇿

  • @BarakaKanyamibwa-lo4gc
    @BarakaKanyamibwa-lo4gc 8 місяців тому +2

    Kiukweli ule jamaa hamuna kitu labda wamusaini FOUNDER TZ.

  • @JulianaMushi-nq3kc
    @JulianaMushi-nq3kc 8 місяців тому +3

    Ila daimond kakurupuka sana mimi binfsi cjamwelew huyo dtalaka

  • @Never-drc_officiel.
    @Never-drc_officiel. 8 місяців тому +1

    😂😂😂😂 Ding'ano na Ding'ano zake,...

  • @Jeymoh
    @Jeymoh 8 місяців тому +1

    From Kenya dinghano motor Sana 😅

  • @ISSACCECYTIN
    @ISSACCECYTIN 8 місяців тому +1

    Hapama singeli ita vukaa alafu d vois ana badilikaa badilika d vois bongee la msniii mtakuja nambiaaa

  • @hanifahkhamiss8485
    @hanifahkhamiss8485 8 місяців тому +1

    Mm nadhani d vois atabadili kutoka singel kuja bongo fever na amapiano....nyie pgeni ngenge tu😂😂😂

  • @nestonmarko395
    @nestonmarko395 8 місяців тому +1

    Mbona Uyu haeleweki meneger

  • @erastocyprian3555
    @erastocyprian3555 8 місяців тому +3

    Nice Dingano

  • @j...876
    @j...876 8 місяців тому +1

    VIP Angela , chid na kid, au Ibrah, bangi wewe chunga tu mu pumuwe vibaya😮😮

  • @user-ie2ww6vq5o
    @user-ie2ww6vq5o 8 місяців тому +5

    Mond ana target zake wala hana upinzani na upande wwote kwasbu kwa utajiri wake hana muda wa kushindana na mtu . Hata mkisema hamumpunguziii chochote.

  • @peterongonga4242
    @peterongonga4242 8 місяців тому +1

    Dingano nakufatilia nikiwa Nairobi ,huko sawa waoshe hawa mwabino

  • @user-gz7db2uj8v
    @user-gz7db2uj8v 8 місяців тому +3

    Ding'no facts 💫

  • @user-by9cu9to1y
    @user-by9cu9to1y 8 місяців тому +3

    Nyanyi wakumponda D Voice,si nyinyi mpeleke mama zetu ama dada zenu wenye vikipaji wafike mbali.
    Maubwa nyinyi na Roho mbaya kila siku ila mko sahihi masikini kila siku kazi ni kuongelea waliomzidi

  • @blandkubwatz4496
    @blandkubwatz4496 8 місяців тому +2

    Motomoto

  • @cuiteaishah7226
    @cuiteaishah7226 8 місяців тому +2

    Hiyo nguo alivyo vaa mondii inatoshaaa😅😅 jameeni

  • @andrecarlos1024
    @andrecarlos1024 8 місяців тому +3

    Dingano 👏👏👏👏💯

  • @user-om7zg6ug4z
    @user-om7zg6ug4z 8 місяців тому +3

    Chambua babu din'gano😂😂😂

  • @EvaristeRadjabu
    @EvaristeRadjabu 8 місяців тому +1

    Ding kaongeya kweli kabisa

  • @sandramutabazi8666
    @sandramutabazi8666 8 місяців тому +2

    Fact kbs maneger❤

    • @benson23823
      @benson23823 8 місяців тому

      Ana tisha wapi kwa roho mbaya aliyo nayo hanaga akili wewe una waza mtu mwene ana akili ana weza ongea ivo mbona walishindwa kumu saidiya huyo anjela acha

  • @user-dr3ve2pm5t
    @user-dr3ve2pm5t 8 місяців тому +3

    Wcb wamechemuka sanaas

  • @YohanaMusa-hy4gw
    @YohanaMusa-hy4gw 8 місяців тому +1

    Wewe hauna akil kabixaaaa

  • @happyvicent2837
    @happyvicent2837 8 місяців тому +1

    Wivu huyooo diamond anaona mbali

  • @user-jk6zk5lo9r
    @user-jk6zk5lo9r 8 місяців тому +2

    😂😅ding'ano et anamtukana baba levo pua😂😂 wakati yeye mwenyewe dingano mpua huoo😂😂😂 ama kweli nyan haoni kundu lakeeee

  • @DaniBoeeTz
    @DaniBoeeTz 8 місяців тому +1

    😅😅eti chakwacha kwachakwacha

  • @silageorge1638
    @silageorge1638 8 місяців тому +1

    Shenziii ngoja tu kidogo awe mkumbwa kushinda huyo ibrah

  • @ElogbneyoBreezy-yz4vq
    @ElogbneyoBreezy-yz4vq 8 місяців тому +1

    Kumbe Leber kubwa unajua

  • @user-mp4lf4ji8k
    @user-mp4lf4ji8k 8 місяців тому +1

    Chuki tuu huyo pimbi hajui chochota kuhusu mziki d voice msaanii tuacheni matani

  • @Kinyonga-kinyonga
    @Kinyonga-kinyonga 8 місяців тому +1

    Ukweli ata Mimi singeli jamani ipite ivi kwaza

  • @SululuZungu-kx8ws
    @SululuZungu-kx8ws 8 місяців тому +1

    True story wapuuz xn wasf😂😂😂

  • @hmedoggftherljih199
    @hmedoggftherljih199 8 місяців тому +2

    Meneja unajikuta TOP Quality, ila kupata ukubwani pia inachangia 😂

  • @LouisPadiri-im4xm
    @LouisPadiri-im4xm 8 місяців тому +1

    Kondegang nyie subirieni tu ajekumfunika ibraa😂😂

  • @Farajahelene23031
    @Farajahelene23031 8 місяців тому +1

    No senile on konde village

  • @MkaliZuberi-rt3gb
    @MkaliZuberi-rt3gb 8 місяців тому +3

    Anae jua anajua tu yule ametokea kwenye singeli ndio aimanishi kua yeye ndio anaujua singeli tu msanii mkali ni yule anayeimba aina yoyote ya mziki huyo ndio msanii mkubwa

  • @user-wv1qy6uk6c
    @user-wv1qy6uk6c 8 місяців тому +2

    Unajua Kama huwez kuwa mbunifu utaishia kuwashangaa wasafi ukwely anaujua ila anavunga

  • @paulkifuku9730
    @paulkifuku9730 8 місяців тому +1

    Atapotea kama lavalava

  • @albertoevaristo2643
    @albertoevaristo2643 8 місяців тому +1

    Apa WCB ime tiya maji

  • @Barnizeboy
    @Barnizeboy 8 місяців тому +1

    🎉🎉

  • @mashakamgonza
    @mashakamgonza 8 місяців тому +1

    Kweli ata mm niliisikiliza nami nikaifuta chapu maana uwimbaji wake Kwa mbalii kama Omar kopa

  • @legacyjini6651
    @legacyjini6651 8 місяців тому +1

    Azingua wesiwakuzungumza ww

  • @Levymond
    @Levymond 8 місяців тому +1

    Mdomomdomo tu akifanikiwa mnanyamaza

  • @DiabTutty-ke9bs
    @DiabTutty-ke9bs 8 місяців тому

    Acha roho mbaya kenge weeee

  • @edwinmeenda9171
    @edwinmeenda9171 8 місяців тому +1

    💯💯

  • @user-fz1kh9in2c
    @user-fz1kh9in2c 8 місяців тому +2

    Kwahiyo unasema hivyo huyo harmonize alivyokuwa hajatoka nani alikuwa anamjua halafu dogo anafanya mziki wowote wewe usicrem Labda mkamroge

  • @BAHATIKIBA-ul6wx
    @BAHATIKIBA-ul6wx 8 місяців тому +22

    Ila Kwa Upande Mwengin Kam Wamekosey Kumsaini Msanii Wa Singeli

  • @mushijohn6435
    @mushijohn6435 8 місяців тому +2

    Naulizaa😂😂 Ni naani kamshaurii Diamond avaee Pensi jamani miguu miguu mbona ni aibuu avae Trouser tuu

  • @ramadhanimohamedi3935
    @ramadhanimohamedi3935 8 місяців тому +1

    Chuki tu

  • @thobiasbukali9008
    @thobiasbukali9008 8 місяців тому +1

    Huyu ni manager kweli au chawa?
    Maana kama manager unatakiwa kujua vionjo mbalimbali kila aina ya mziki.

  • @user-tg2xi4mh6m
    @user-tg2xi4mh6m 8 місяців тому

    Hapo mwambino amegawanya riziki Tu hamna kitu hata wakaungana

  • @ikramzamando810
    @ikramzamando810 8 місяців тому +1

    We dingano una chembechembe za ushoga

  • @leonardchisutia8528
    @leonardchisutia8528 8 місяців тому +1

    Hapa ukweli 😅😅

  • @barakamnai4184
    @barakamnai4184 8 місяців тому +1

    Hata mimi kaka sipendi singeli

    • @GlamourMJ
      @GlamourMJ 8 місяців тому +1

      😂😂😂nahc we unapenda me xielewagii ata wanaimbagaaa nn an full matuc

  • @GlamourMJ
    @GlamourMJ 8 місяців тому +1

    😂😂😂aimbe singeli, mchiriku ata kwaya ndo kashatoboaa kwixhaaa iyooo kila m2 na bahat yak😏

  • @awiloligola7674
    @awiloligola7674 8 місяців тому +1

    😂😂😆

  • @user-jq9rj4dm5u
    @user-jq9rj4dm5u 8 місяців тому +1

    Mchawi ww ding'ano

  • @happyvicent2837
    @happyvicent2837 8 місяців тому +1

    Wewe mbona harmonize mbona kaimba sinqel hata mkumsema mondi ndio kwanza mnampaisha mnamzidishia kupanda chat mondi na mpenda mziki wake mpaka nainqia kabulini napenda sana

  • @OmarNgoa
    @OmarNgoa 8 місяців тому +1

    Wampigia kelele mtu mwenye humfukii hata robo 😂nipeni likes nilale mie fyoko

  • @acizazihalirwa7165
    @acizazihalirwa7165 8 місяців тому +1

    Niliwaza mavicali ao lunya😢

  • @YohanaMusa-hy4gw
    @YohanaMusa-hy4gw 8 місяців тому +1

    Utaxema xema wewe hauna akil kabixaaaa Yani

  • @ASALABOY
    @ASALABOY 8 місяців тому +1

    Singeli ?? ET Wanadidang'aya kama Anabadilika Sasa uyo Msanii wao akibadilika anatuimbia Mataharabu . ET mwandishi mzuli wabongo wanapenda kupigia kelele vítu vibovu.

  • @SadamSaleh-ki8uf
    @SadamSaleh-ki8uf 8 місяців тому +3

    Hata zuchu mlisema hivyo hivyo saivi ndio homa ya jiji kwa kila kitu kwaiyo tulieni dawa iwaingie

    • @musamatsaki79
      @musamatsaki79 8 місяців тому

      Wee unaumwa wallae😂😂Zuchu kafanya kitu gani toka aingie WCB😂😂

  • @KingbabilonBabilon
    @KingbabilonBabilon 8 місяців тому +1

    Hiyo ni jealous

  • @ChrissMrinah
    @ChrissMrinah 8 місяців тому +1

    Mpaka hapo ukae ukijua singeli ndio itakuwa sokon

  • @janetymatola6639
    @janetymatola6639 8 місяців тому +1

    Daimond kachemka hapo ila anajuwa snschokifanya

  • @user-gz2dq1sw8z
    @user-gz2dq1sw8z 8 місяців тому +1

    Japo mm ni team wcb but Hawa wasanii wa singeli siwaelewi kabisa

  • @ZackyFlavour-po3os
    @ZackyFlavour-po3os 8 місяців тому +2

    😂ila diamond sio chizi hamjui yeye kaona nn

  • @ibbyikh1788
    @ibbyikh1788 8 місяців тому

    Ding”ano mtoto wa Lindi chawa mi mtoto wa Lindi tukutuku stare mimba ILaLa DSM born Lindi grew up Ilala DSM, kichaa wa kujipakia I’m just kidding homie one love from states, what up Bc 100 shule ya msingi Ilala Boma Tz one love, kitovu changu kipo TZ, I love you all on my heart.

  • @tomsijohni
    @tomsijohni 8 місяців тому +1

    Apo ndo wandishi wanafeli sana wanashindwa kusema harmonize alishinda Tuzo alafu kuna watu hawajui Harmonize alishinda Tuzo ya nini wanashindwa kusema hivyo

  • @agwalubifaridah7079
    @agwalubifaridah7079 8 місяців тому +1

    Kumbe unajua kama WCB ni label kubwa kenge ww

  • @tomsijohni
    @tomsijohni 8 місяців тому +1

    Mimi niliona siku walivyo mutambulisha niliona nikajiua huyu musanii mpya wa WCB ni bure sana singeli ni music wa East Africa peke yake

  • @ZipoOnline4289
    @ZipoOnline4289 8 місяців тому +3

    Mwandishi unaongeaje hivyo wewe?

  • @ChrissMrinah
    @ChrissMrinah 8 місяців тому +1

    Af huyu jamaa bila diamond atalal njaa Mana hang mtu mwingine wakumsema,,

    • @mamboshepea8888
      @mamboshepea8888 8 місяців тому +1

      Ndo alivotumwa na boss😅😅 akili ya kunguni kukaa mchagoni...yamekushindaaaa kaa kwa kutulia...Simbaaaa

  • @aishaz1
    @aishaz1 8 місяців тому +1

    Yani had machoz yanakutoka kisha umbea kama mwanamke kwani kinakuuma nini ??eti ?Ajela alitoa siri zenu ebu tulia uko wewe ndo uwez pata kitu uku duniani kwa hii wivu yako nyooo mzee baba mzigo wako sepa pita paleeeee uka lale.

  • @aishaz1
    @aishaz1 8 місяців тому +1

    Nilisema tu huyu mchawi lazima tu litamchoma yani unaonekana uko na wivu kupitiliza sasa Ibra amekwisha ata sikuiz asikiki.ogea y Ibra wachana n WCB weeee chawa mchovu

  • @kilungahamis1270
    @kilungahamis1270 8 місяців тому +2

    Mnaiongelea lebel inayosajili wasanii halafu mnashindwa kuiongelea lebel inayofeli kukaa kukuza wasanii

  • @MkaliZuberi-rt3gb
    @MkaliZuberi-rt3gb 8 місяців тому +2

    Nyie wabongo muwe na akili kwani ukiwa deleva wa gari kubwa ndo inamanisha uwezi kuendesha gari dogo wangap walikua wanaimba bongo fleva na wakaamia kweny taarabu na wakatoboa wengine hip hap wakaamia bongo fleva mfano fid q, isha mashauzi na wakatoboa . Ukijua kuimba mziki utaimba mziki wowote ule acheni kujifanya wajinga

  • @adamnasibu5931
    @adamnasibu5931 8 місяців тому +2

    Kwahiyo mshaanza kumshindanisha Dvoice na harmomavi hebu angalieni hata urefu atakaekuwa mrefu ndo mkali

  • @JulianaMushi-nq3kc
    @JulianaMushi-nq3kc 8 місяців тому +1

    Kumbe dvoice ni mjukuu wa bikidude😅

    • @GlamourMJ
      @GlamourMJ 8 місяців тому

      😂😂😂😂😂daaaah! Ila ww em niachee kwanz an nmechekaa 😆😆😆

    • @Tintaaahasirakirende
      @Tintaaahasirakirende 8 місяців тому

      Ni kweli 😂😂😂

  • @benson23823
    @benson23823 8 місяців тому +1

    Sasa yeye ali kuwa wapi ku msaidiya harmonize kabla haja pata number ya diamond ili amsaidiye acha wivu kaka sababu mume shindwa ku msaidiya anjela we umbwa hauna akili ata hausikiye haya kuweza kuongeya hayo mbona wasafi haikuongeleye wewe acha wivu umeshindwa wewe

  • @oj6595
    @oj6595 8 місяців тому +1

    Sasa wewe uko na akili ku liko mkubwa fela na Salam sk peleka ushamba konde mlitengezewa saizi mna bwata kama mbwa koko

  • @saidollarchain2895
    @saidollarchain2895 8 місяців тому +2

    Diamond anatumia nguvu ya ushawishi lazima Nigeria wataimba sengel na huyo dvoice haimbi sengel pekee anaimba mpaka bongo mpka taarabu mpaka miduara sioni ubaya pia itanyanyua mziki wa sengel